KWELI Clinic

KWELI Clinic Magonjwa yote yanatiba, Muhimu kuwahi matibabu

Kulikuwa na mtu aitwaye John, aliyekuwa na maisha yenye shughuli nyingi sana. John alikuwa na biashara inayohitaji umaki...
15/10/2024

Kulikuwa na mtu aitwaye John, aliyekuwa na maisha yenye shughuli nyingi sana. John alikuwa na biashara inayohitaji umakini wake wote, na hakupenda kupoteza muda kwenda hospitalini kwa vipimo vya kawaida vya afya. Alijua kuwa alitakiwa kufanya uchunguzi wa afya mara kwa mara, lakini aliendelea kujipa kisingizio cha kuwa na kazi nyingi.

Miaka ilipita, na John akaanza kuhisi uchovu usio wa kawaida. Alikuwa na maumivu ya kichwa ya mara kwa mara, lakini bado hakwenda hospitalini. Aliamini kuwa alikuwa tu amechoka kutokana na kazi nyingi na stress ya maisha. Alianza kutumia dawa za maumivu kununua bila ushauri wa daktari.

Hatimaye, hali ilizidi kuwa mbaya. John alianza kupata dalili za kupumua kwa shida, kuvimba miguu, na moyo wake ulikuwa unapiga kwa kasi isiyo ya kawaida. Alipokubali kwenda hospitali, vipimo vilionyesha kuwa alikuwa na shinikizo la damu na matatizo ya moyo yaliyokuwa yameendelea kwa muda mrefu bila kutibiwa. Kwa bahati mbaya, ilionekana kuwa uharibifu ulikuwa umeshasonga mbali sana na tiba ilikuwa ngumu zaidi.

John alijutia sana kupuuza vipimo vya kawaida vya afya yake. Madaktari walimwambia kuwa k**a angefanya uchunguzi mapema, matatizo haya yangeweza kudhibitiwa kwa urahisi. Sasa, alikabiliwa na matibabu ya muda mrefu na gharama kubwa za afya.

Hadithi ya John ni somo muhimu juu ya umuhimu wa kuchukua hatua za mapema za afya, kufanya uchunguzi wa kawaida, na kutotegemea hisia tu kuwa kila kitu kiko sawa.

Tatizo la uzazi linaweza kusababishwa na sababu mbalimbali kwa wanawake na wanaume. Kwa wanawake, baadhi ya sababu za ka...
14/10/2024

Tatizo la uzazi linaweza kusababishwa na sababu mbalimbali kwa wanawake na wanaume. Kwa wanawake, baadhi ya sababu za kawaida ni:

1. **Matatizo ya ovulation**: Kukosa au kuwa na mzunguko usio wa kawaida wa hedhi, ambayo husababisha kutokuwa na yai lililopevuka.
2. **Uharibifu wa mirija ya uzazi**: Inaweza kuwa kutokana na maambukizi, upasuaji, au magonjwa k**a endometriosis.
3. **Matatizo ya kizazi**: Uvimbe kwenye mji wa mimba (fibroids), tishu zilizojengeka isivyo kawaida kwenye mji wa mimba, au matatizo ya shingo ya kizazi.
4. **Umri**: Uwezo wa mwanamke kupata mimba hupungua kadri anavyozeeka, hasa baada ya miaka 35.

Kwa wanaume, sababu kuu ni:
1. **Ubora duni wa mbegu za kiume**: Hii inaweza kuwa kutokana na idadi ndogo ya mbegu, maumbo yasiyo ya kawaida ya mbegu, au mbegu zisizo na uwezo wa kuogelea vizuri.
2. **Tatizo la maumbile ya viungo vya uzazi**: Matatizo katika maumbile ya korodani, mishipa inayosafirisha mbegu, au matatizo ya homoni.
3. **Mtindo wa maisha na afya**: Unywaji wa pombe kupita kiasi, kuvuta sigara, matumizi ya madawa ya kulevya, lishe duni, au matatizo ya uzito yanaweza kuathiri uzazi.

Mara nyingi, ni mchanganyiko wa mambo haya kwa pande zote mbili, hivyo ni muhimu uonane na Daktari kwaajili ya kufanya VIPIMO zaidi kuona ni namna gani Tatizo lako litaisha Wasiliana nami kwa namba hii 0653442044

AFYA! AFYA! ... Siku zote kipaumbele namba moja kwa viumbe wote (ikiwemo sisi wanadamu) ni kuwa na Afya Bora.Lakini Kuto...
11/10/2024

AFYA! AFYA! ... Siku zote kipaumbele namba moja kwa viumbe wote (ikiwemo sisi wanadamu) ni kuwa na Afya Bora.

Lakini Kutoka na mtindo wa Maisha na baadhi ya vyakula tunavyokula pamoja na mazingira tunayoishi yanatufanya tukose Afya na tupate maradhi Sugu.

Ndio ni sugu na huwa hayana tiba hata ukienda kweny Baadhi ya Hospital utaishia kupewa dawa ya kutuliza tuu. Baada ya muda Tatizo linarudia pale pale.

Magonjwa hayo ni K**a vile:

✅Matatizo ya hedhi kwa wanawake
✅Kutoshika mimba
✅Mimba kuharibika
✅Chango la uzazi
✅Vimbe aina zote
✅PID & UTI
✅Kuzibua mirija ya uzazi
✅Vidonda vya tumbo
✅Tezi dume
✅Nguvu za kiume
✅Bawasiri
✅Matatizo ya moyo
✅Matatizo ya mifupa
✅Ngiri
✅Matatizo ya kibofu cha mkojo
✅Aleji
✅Bandama
✅Homa ya Ini
✅Kiharusi/Stroke
✅Pumu
✅Miguu Kuwaka Moto
✅Uzito mkubwa
✅Presha
✅Sukari

KIPI CHA KUFANYA: pindi unapohisi unadalili ya Magonjwa hayo au Mengineyo ambayo hayajaorodheshwa hapo juu. Tafadhari Wasiliana nasi kwa kubofya Tangazo ambalo litakupeleka moja kwa moja kweny uwanja wa meseji kwa Njia ya WhatsApp nawew utapatiwa maelekezo ufike kituoni.

VIPIMO: kwakuwa maranyingi Magonjwa haya sugu yanavisababishi vingi, yawezakuwa vyakula, Mtindo wa Maisha au hata mazingira ya mtu anayoishi. Hivyo hatua ya Kwanza ni kupewa VIPIMO vya mwili mzima.

GHARAMA:kutakuwa na GHARAMA ya fomu tuu ambayo ni Tsh30,000 na utamwona Daktari na kupima mwili mzima kwa GHARAMA hio hio ya fomu tuu.

DAWA: hatutumii dawa zenye kemikali kabisa, tunatumia tibalishe na virutubisho (Food supplement) ambavyo vimethibitishwa kitaifa na kimataifa! Ukiwa nchi yoyote Duniani unaweza kutumiwa na ukaendelea na matibabu yetu.

Gharama ya Dawa itategemea Changamoto yako uliyokutwa nayo wakati wa VIPIMO!! Ni muhim kuzingatia Afya yako kwa kuwa ndo mtaji wako kuliko kuangalia gharama.

USHUHUDA: wote waliokuja kupima na kupata tiba kwetu wamefanikiwa na kupona kabisa, pia tunashukur kwa kuwa hata wao wanaendelea kusambaza ujumbe huu wa neema kwa watu wengine, hivyo hata wew upatapo ujumbe huu mtaarifu na mwenzio

Wasiliana nasi kwa namba 0653442044
pia unaweza kuwasiliana kwa WhatsApp kwa namba 0653442044

From BBC
09/10/2024

From BBC

Tatizo ni nini? Kwanini huwezi kumzalia watoto mume wako, ambaye ana mali nyingi?" Utakula peke yako? Nakabiliana na maswali ya aina hiyo kila siku.

Sababu sita za kiafya za kupoteza hamu ya tendo
09/10/2024

Sababu sita za kiafya za kupoteza hamu ya tendo

Hamu yako ya kufanya mapenzi imepungua? Zijue sababu

Soma hii
09/10/2024

Soma hii

Ni dhairi kuwa, kukosa au kutopata hedhi kabisa ni tatizo linalowapata wanawake wengi sana kwa siku za karibuni, na kutokana na maswali ya wasomaji wetu wa kila wiki nimeona leo nieleze ni nini...

07/10/2024

🍀DALILI ZA BAWASILI 🍀
👉maumivu wakati wa kujisaidia haja kubwa
👉Damu kutoka wakati wa kujisaidia
👉kupata muwasho sehem ya haja kubwa
👉uvimbe au kinyama kuota sehem ya haja kubwa
👉hajakubwa yaweza kujitokea mda wowote
👉choo kuwa kigumu au muda mwingine kukosa choo kwa siku hata tatu
👉maumivu makali ya kiuno na mgongo
👉tumbo kujaa gesi mara kwa mara
👉kutokushiba vizuri au kupata njaa baada ya muda mfupi kumaliza kula.
👉kukosa usingizi
👉watu wengine macho kuwa mekundu

🍀ATHARI ZA BAWASILI🍀
👉upungufu wa dam mwilini
👉kinyesi kutoka bila kujitambua
👉kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa
👉kupungukiwa nguvu za kiume kwa wanaume
👉kupungukiwa uwezo wa kufanya kazi kutokana na maumivu
👉kupata tatizo la kisaikolojia

🍀NJIA ZA KUJIKINGA DHIDI YA BAWASILI🍀
👉kula mboga za majani na nafaka zisizokobolewa kwa wingi.
👉kunywa maji mengi lita sita au 12 kwa siku
👉acha kufanya tendo kinyume na maumbile
👉punguza kukaa chooni kwa muda mrefu, kunaweza kusababisa shinikizo la dam sehem ya haja

😂😂
07/10/2024

😂😂

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when KWELI Clinic posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram