Afya Online na DR. Kilatenga

Afya Online na DR. Kilatenga Kwa ushauri na Tiba kuhusu Afya ya uzazi wa mwanaume na Mwanamke..karibu sana tukuhudumie.

13/10/2025

🔄 *Mzunguko wa Hedhi ni Nini?*

Mzunguko wa hedhi ni kipindi kinachoanzia *siku ya kwanza ya hedhi* hadi *siku ya kwanza ya hedhi inayofuata*. Kwa kawaida, huchukua siku *21 hadi 35*, lakini wastani ni *siku 28*.

🩸 *Hatua Kuu za Mzunguko wa Hedhi:*

1. *Hedhi (Menstruation)* — Siku ya 1 hadi 5
- Hii ni kipindi ambapo yai halikutunga mimba, na hivyo ukuta wa mfuko wa mimba hutoka k**a damu.
- Hii ndiyo siku ya kwanza ya mzunguko mpya.

2. *Kukomaa kwa Yai (Follicular Phase)* — Siku ya 1 hadi 13
- Yai huanza kukomaa kwenye ovari.
- Homoni zinajitayarisha kwa uwezekano wa ujauzito.

3. *Ovulation (Yai kutoka)* — Siku ya 14 (kwa mzunguko wa siku 28)
- Yai hutolewa kutoka kwenye ovari kwenda kwenye mirija ya uzazi.
- Hii ndiyo *siku yenye uwezo mkubwa zaidi wa kupata ujauzito.*

4. *Luteal Phase* — Siku ya 15 hadi 28
- Mwili unasubiri k**a yai litarutubishwa.
- K**a hakuna ujauzito, homoni hushuka, na hedhi huanza tena.

📅 *Siku Muhimu Kuelewa:*

🔴 *Siku za Hedhi:*
- Siku ya 1 hadi 3–7 (inategemea mtu)

🟢 *Siku Salama:*
- Siku ya 1 hadi 7 (mara tu baada ya hedhi, hatari ya ujauzito ni ndogo sana)
- Siku ya 21 hadi 28 (mara baada ya ovulation kupita)

🔶 *Siku Hatari (Siku za Ovulation):*
- Siku ya 11 hadi 17 (katikati ya mzunguko – hapa mimba inaweza kutokea kirahisi sana)

---

📌 Mfano wa Mzunguko wa Siku 28:

| Siku | Tukio |
|------|-------|
| 1–5 | Hedhi |
| 6–10 | Salama |
| 11–17 | Hatari (siku za ovulation) |
| 18–28 | Salama |

📝 *Kumbuka:* Hii ni kwa mzunguko wa kawaida wa siku 28. K**a mzunguko wako ni mrefu au mfupi, siku hizo hubadilika pia.

🧠 Vidokezo Muhimu:
- Tumia *kalenda ya kawaida* au *app ya mzunguko wa hedhi* (k**a *Flo, Period Tracker, Clue*) ili kufuatilia siku zako kwa usahihi.
- K**a hedhi yako haiko sawa (mara hii, mara ile), ni vyema kufanya *uchunguzi wa homoni* au kuonana na daktari.
-

*Dr. Kilatenga*
*0746846891*

💔 “Nilikuwa naona aibu hata kwenda hospitali…”Miaka miwili ya mateso kimya kimya. Kila nikijisafisha, kuna muwasho wa aj...
12/10/2025

💔 “Nilikuwa naona aibu hata kwenda hospitali…”

Miaka miwili ya mateso kimya kimya. Kila nikijisafisha, kuna muwasho wa ajabu. Mara uchafu usio wa kawaida. Maumivu nikikojoa. Nikajua ni kawaida – kumbe ni UTI ya kurudia na maambukizi ya ndani.

Nilienda kila kliniki, dawa kibao – sikupona. Nikakata tamaa.

Mpaka nilipopata tiba ya asili kutoka DR. KILATENGA HEALTH CARE. Sikuamini nilipopona ndani ya siku 7! Hakuna muwasho, hakuna uchafu, na mkojo ni mweupe k**a maji ya chupa. 😭🙌🏽

(HUU NI USHUHUDA WA MOJA KATI YA WATEJA WANGU NILIO WAHI KUWA HUDUMIA).

🛑 K**a unasoma hii, usiendelee kuteseka kimya kimya k**a mimi. Miwasho si kawaida. UTI si kawaida. Uchelewaji ni hasara kwa mwili wako!

🌿 Tiba yetu ni salama kwa wote, bila kemikali. Inatibu ndani kwa ndani.
🚚 Tunatuma popote ulipo, mikoani kwa uaminifu mkubwa!

💰 Bei ya kawaida: Tsh 53,600
⚡ Sasa unapata kwa offer ya Tsh 30000 tu!

📞 Wahi sasa kabla offer haijaisha:
👉Dr. Kilatenga +255746846891

11/10/2025

*KAZI ZA TRE-EN-EN*
📌Husaidia kupata choo laini
📌Husaidia kubalance hormone, kubalance mizunguko ya wadada na maumivu ya tumbo wakati wa hedhi
📌Husaidia mizunguko ya damu mwilini na afya ya moyo
📌Huongeza nguvu mwilini
📌Hukuondolea uchovu na kukufanya kuwa mchangamfu siku nzima
📌Husaidia kutoa sumu mwilini
📌Huboresha mbegu za kiume(sperm)
📌Husaidia mfumo wote wa mwili kufanya kazi vizuri
📌Husaidia kwa wale wenye malaria sugu na za mara kwa mara kupotea kabisa
📌Husaidia kuwa na ngozi laini na nzuri
🔖NB:ENDAPO UTAKUNYWA CAPSULE 3 KILA SIKU KWA SIKU 5 UTAANZA KUONA MABADILIKO MAZURI MWILINI

_*Hii ipo kwenye Offer leo tu utaipata kwa sh. 95,000/= badala ya sh. 120000/=*_

*Dr. Kilatenga*
*0746846891*

08/10/2025

Wasiliana nasi Sasa 0746846891..

06/10/2025

👉Je, hivi unafaham kuwa REPROCARE huua bakteria wabaya wanao patikana kwenye Masink ya chooni au vyoo vichafu(Public Toilets)?

Najua unajiuliza kivip.....?

Usijar.... Iko hivi 👇

Kwa wale mnao sumbuliwa sana na UTI za kujirudia rudia, hasa mnao tumia vyoo vya pamoja, maofisini, shuleni, chuoni, nyumbani nk...

Ili uweze kuwa salama dhidi ya UTI unatakiwa kupima vifuniko viwili vya REPROCARE.......kisha dondosha kwenye sink la choo unacho taka kutumia kabla hata ya kuchutama yaani kabla ya kujisaidia haja zote...😁

Hapo utakuwa ume wakomesha bakteria wabaya na Hautaweza kupata UTI kwasababu REPROCARE inauwezo wa kuua bakteria wabaya kwa 99.9% ndani ya dk 5 tu..

Hivyo basi......

Hautakiwi kabisa kuikosa REPROCARE kwenye kibegi au kipochi chako popote pale unapokwenda...

✅Ni vizuri pia kumpa Mpenzi wako asafishe uume wake kabla na baada ya tendo la ndoa ili kujikinga dhidi ya maambukizi ya fangasi ukeni...

Maajabu mengine ni haya.... 👇

✅Tumia REPROCARE kusuuzia nguo zako za ndani baada ya kuzifua ili kuuwa bakteria wabaya wanao sababisha fangasi ukeni....

Kwa kufanya hivi UTI na Fangasi utavisikia kwa majirani tu ambao hawaja Pata Bahati ya kujua REPRO-CARE..

Lakin usiwe Mchoyo hii ni yetu sote Kwahiyo Mwambie na Mwenzako🫵..

Hii inauzwa sh. 30000(elf30).

Nusu ni sh. 15000/=(elf15).

*Karibu Sana...*

06/10/2025

Nafahamu furaha mliyo nayo ni kubwa mno, Baada ya miaka mingi na kushirikiana kwenye maombi,

Kupitia safari ya changamoto ya kukosa mtoto— Hatimaye majibu ya kipimo yamekuja POSITIVU..

*Ipo hivi.....*

Safari ya kiafya haimaliziki kwenye kicheko cha majibu...MSIJISAHAU....

Hapa ndipo familia nyingi hukose wanasimama kusherehekea bila kujua kuwa hatua ya kwanza ndiyo imeanza...

*Jiulizeni maswali haya....👇*

Je, lishe ya ujauzito itandaliwa kuhakikisha mtoto anakua bila hatari za upungufu wa damu, shinikizo la juu au kisukari cha mimba...?

Je, kliniki ya kwanza mtahudhuria kwa pamoja ili kufanyiwa uchunguzi wa kitaalamu wa awali...?

*NB:* Ujauzito ni zawadi, lakini pia ni jukumu, Ni kipindi kinachohitaji ufuatiliaji, lishe bora, mazoezi mepesi ya usalama, na uchunguzi wa kitaalamu wa mara kwa mara...

Miujiza ya kushika mimba ni hatua ya kwanza… Lakini kupokea mtoto mwenye afya njema mikononi mwako— Ndiyo ushindi wa kweli....

Usiishie kufurahi tu, anza safari ya kliniki mapema, Jipatie elimu ya lishe na afya ya uzazi kutoka kwa mtaalamu, kwa sababu afya ya kesho inaanza na hatua unazochukua leo.....

*By Dr kilatenga | Jifunze na chukua hatu kuboresha afya yako...🩺🫡*

04/10/2025

*Utoaji wa maji maji uke (discharge) Si jambo la kawaida —Ni ujumbe kutoka mwilini mwako..!*

Hebu tuwe wakweli, hasa kipindi cha ujauzito, Mwili wako haukai kimya, kila siku huzungumza kwa njia tofauti....

Na moja ya lugha yake ni utoaji discharge ukeni...

*Swali Ni… Unasikiliza hali ya afya yako ya uzazi..?*

1. Ute meupe wa maziwa wenye harufu nyepesi...

↳ Ni wa kawaida, Huitwa leukorrhea na hulinda mfuko wa mimba dhidi ya maambukizi...

2. Ute mzito, unaokereketa na kufanana na siagi..

↳ Ni dalili ya maambukizi ya fangasi (Candida). Inahitaji tiba mapema mno....

3. Ute wa mzito wa kijani au wa manjano wenye harufu mbaya...

↳ Inaashiria maambukizi au magonjwa ya zinaa (mfano kisonono, trichomonas, chlamydia), Hapa unahitaji vipimo na tiba ya haraka...

4. Maji maji yanayotiririka k**a mkojo...

↳ Inaweza kumaanisha maji ya uzazi (amniotic fluid) yanavuja, Usichelewe hospitali....

5. Ute wa rangi ya kahawia au wenye kuchanganyika na damu damu...

↳ Wakati mwingine hutokana na mabadiliko ya shingo ya kizazi.

Lakini ukiona ni mwingi, wa mara kwa mara, au unaambatana na maumivu chini ya kitovu, Nenda hospitali mara moja.....🤒

*NB:* Dada zangu ukweli ni huu, discharge ukeni si adui wako, ni mjumbe, Usifiche, Usione aibu...

Ukiona jambo si la kawaida, Mwone daktari, Mwili wako unasema —Sikiliza kabla haujapiga kelele..

*By Dr. Kilatenga| Jifunze na chukua hatua kuboresha afya yako...*

04/10/2025

🌸 ZINC – Siri ya Uzazi Bora kwa Mwanamke wa Kisasa! 🌸
Unajua? Upungufu wa madini ya Zinc unaweza kuathiri mayai, homoni na uwezo wako wa kupata ujauzito! 😮
💪 Zinc hukusaidia kudhibiti homoni, kuimarisha afya ya uzazi na kulinda mimba changa.
✨ Kwa uzazi wenye nguvu na mwili wenye afya — chagua bidhaa zenye Zinc kila siku! 💖

Dr. Kilatenga
0746846891

03/10/2025

Pole sana kwa changamoto hiyo...

Ukwel ni kwamba sio rahisi UTI, FUNGUSI, PID pamoja na magonjwa mengine ya uzazi kutibika moja kwa moja kwa kutumia sindano na madawa ya hospital badala yake hupoza tu ugonjwa na mwisho wa siku linajirudia tena yakiwa sugu zaidi...

Tutakusaidia kuondoa changamoto hiyo moja kwa moja kwa haraka Zaid kwa kutumia virutubisho salama kabisa kwa Afya yako...

Je, ungependa kufahamu tiba hiyo?

Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya Online na DR. Kilatenga posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram