IJUE AFYA YAKO TZ

IJUE AFYA YAKO TZ Tunatoa ELimu ya Magonjwa | Tiba kwa magonjwa lishe | Ushauri juu ya lishe & Mtindo wa Maisha.

02/10/2022
VIAMBATA 13 MUHIMU NDANI YA DETOXIFICATION TEABaadhi ya viambata hivyo na kazi zake mwilini1.GINGERAnti-inflammatory & a...
01/10/2022

VIAMBATA 13 MUHIMU NDANI YA DETOXIFICATION TEA
Baadhi ya viambata hivyo na kazi zake mwilini
1.GINGER
Anti-inflammatory & analgesic contents. Husaidia kutibu mafundo fundo kwenye koo, maumivu ya kichwa, maumivu ya viungo na changamoto kwenye mfumo wa mmeng’enyo wa chakula

2.PAPAYA
Papain hii inasaidia sana kwenye mfumo wa mmeng’enyo wa chakula kupambana haswa na minyoo na bacteria washambulizi tumboni

3.BLESSED THISTLE
Kupambana na maambukizi mwilini, kuondoa vichakaza seli(free radicals), kuondoa homa ya manjano, kupambana na mashambulizi na magonjwa kwenye ini.

4.PRESIMNON LEAVES
Husaidia kuweka uwiano sawa wa sukari na shinikizo la damu. Nzuri kwa matatizo ya macho na kuongeza kinga ya mwili.

5.MASHMALLO LEAVES
Husaidia kuongeza madini ya calcium, vitamin B, Iron

6.MALVA LEAVES
Husaidia kutibu na kurepair tissue zilizo haribika, kuongeza ufanisi wa mfumo wa mmeng’enyo wa chakula, kusaidia kupambana na uzee kwa kuzalisha seli mpya, husaidia watu wenye changamoto ya kukosa usingizi usiku.

7.MYRRH
Husaidia kusafisha mfumo wa mzunguko wa damu, kupambana na maambukizi haswa kwenye damu, kupambana na vichakaza seli

8.CHAMMOMILE
Husaidia kuleta muscle relaxation, watu wenye shida ya kupanda uso, maumivu wakati wa hedhi, husaidia watu wanaokosa usingizi usiku.

9.REISH MUSHROOM
Husaidia kuongeza kinga ya mwili, husaidia kupambana na maambukizi ya virusi, husaidia matatizo ya mapafu, husaidia matatizo ya moyo, husaidia kupunguza mafuta mabaya mwilini, husaidia kuweka uwiano sawa wa mzunguko wa damu.

10.SIBERIAN CHAGA
Husaidia watu wenye changamoto ya asthma, nzuri kwa ajili ya kuondoa maumivu ya viungo, maumivu ya misuli, changamoto kwenye mfumo wa mmeng’enyo wa chakula

11.RED CRANBERRY
Hutumika k**a antibiotic husaidia kupambana na maabukizi ya bacteria k**a Ecoli, husaidia watu wenye UTI chronic, maumivu ya meno, vidonda vya tumbo, mawe kwenye figo, mafundo fundo kwenye koo

12.HOLY THISTLE
Husaidia kupambana na changamoto kwenye mfumo wa mmeng’enyo wa chakula, maumivu ya tumbo, kukosa choo, kupambana na bacteria wabaya tumboni na kuweka Ph ya tumbo sawa

13.MICRO FIBRE
Husaidia kuondoa tatizo la choo kigumu

Tupigie 0763 403040 kuipata chai hii.

Kwanini utumie detox teaChai kikombe Kimoja, Faida Nyingi~Boresha usingizi na utulivu~Kurekebisha viwango vya sukari kwe...
01/10/2022

Kwanini utumie detox tea

Chai kikombe Kimoja, Faida Nyingi
~Boresha usingizi na utulivu
~Kurekebisha viwango vya sukari kwenye damu
~Boresha matatizo sugu ya mfumo wa upumuaji
~Huondoa ugonjwa wa matumbo(kuvimbiwa, kuhara)
~Pambana na virusi kwani baadhi ya viambata vina sifa ya kuzuia virusi
~Hupambana na fangasi k**a vile candida kwani baadhi ya viambato vina sifa ya kuzuia ukungu(fungus)
~Husaidia kusafisha utumbo mkubwa na kuondoa shida ya choo kigumu
~Hupunguza msongo wa mawazo na kuweka mfumo wa hormones sawa
~Kurekebisha shinikizo la damu Kuboresha mfumo wa kinga kutokana na baadhi ya viungo kuwa na mali ya kupambana na oxidant
~Changamsha shughuli za T-cell hivyo kuongeza kinga ya mwili
~Boresha kupunguza uzito na kupunguza unene
~husaidia kusafisha ini na figo
~Hupunguza maumivu ya tumbo haswa la hedhi
~Punguza uchungu na uchungu kutokana na viambato vya kuzuia uvimbe
~Kupunguza homa
Kuboresha afya ya moyo na mapafu
~Huboresha kumbukumbu kutokana na kuongezeka kwa mzunguko wa damu kwenye ubongo
~Huongeza ufanisi kwenye mmeng’enyo wa chakula na kuondoa shida ya gesi tumboni
~Huboresha mzunguko wa damu mwilini
~Husaidia sana kuondoa chunusi na kufanya ngozi ing’ae na kuwa soft ina collagen ya kutosha
~Huzuia vidonda vya tumbo, Boresha afya ya tumbo kwa kuongeza bacteria wazuri tumboni
~Hupunguza maambukizi kwenye mfumo wa mkojo (UTI's)
~Hupunguza kichefuchefu
~Inaondoa mafuta mabaya kwenye mishipa ya damu

Tupigie simu namba 0763 403040 ili kuipata.

Hii tea ukianza kutumia utaelewa, one of the best detox tea, baada ya week mbili za kutumia unajihisi k**a mwili mpya ya...
01/10/2022

Hii tea ukianza kutumia utaelewa, one of the best detox tea, baada ya week mbili za kutumia unajihisi k**a mwili mpya yaani kuna namna unakuwa so relaxed hakuna uchovu wala maumivu ya kichwa wale wa kukosa usingizi unalala vizuri sana.
Mimi binafsi wakati naitumia sikuwa naumwa chochote mbali na kuwa na uchovu hata asubuhi nikiamka nimechoka lakini baada ya kutumia nilijua kumbe nilikuwa naumwa vingi bila kujua.

Hivyo jitahidi sana kutumia hii detox walio anza kutumia wamenielewa, unakunywa pombe, unavuta sigara, unatumia madawa mengi hii detox unahitaji. Detox tea inaondoa viambata sumu(free radicals ) ambazo zinachakaza seli za mwili na kusababisha viungo vya mwili kuchoka, kuzeeka na kushambuliwa na magonjwa

Viambata sumu hivi kwa kawaida hutolewa na mwili lakini mwili hauwezi kuondoa viambata vyote na hapo ndio magonjwa yapotokea, seli zinapochakaa husababisha kuzeeka kwa mwili. Hii ndio sababu wazee huambatana na magonjwa mengi.

Lakini kwa namna maisha yanavyoenda sio wazee tu ambao wanahitaji kuondoa sumu mwilini lakini ni kila mtu ndio maana tuona magonjwa mengi kwa sasa hayaangalii umri

Vyanzo vya sumu mwilini
~matumizi ya madawa mara kwa mara au kwa muda mrefu(matumizi ya antibitic, dawa za maumivu, madawa ya magonjwa sugu k**a kisukari, pressure, ARV, uzazi wa mpango etc)
~Matumizi ya pombe (Alcohol) na sigara
~Mazingira na athari kutokana na maendeleo ya sayansi na technolojia (matumizi ya madawa ya kutunza vyakula, uchafuzi wa hewa etc)
~Ukosekanaji wa lishe sahihi na diet nzuri matumizi ya vyakula vya wanga na sukari kwa wingi zaidi ya virutubisho vingine
~Uzito mkubwa huambatana na aina ya mafuta mabaya (LDL) ambayo hunasa sumu za mwili hivyo watu wenye uzito mkubwa wana ongezeko la sumu mwilini na ni rahisi kushambuliwa na magonjwa.

Kwa maelezo zaidi tupigie 0763 403040

Unene unapoteza hata shepu ya mwiliHakuna sehemu ngumu kupungua k**a sehemu ya tumbo na kiuno, Hapa utahitaji discipline...
01/10/2022

Unene unapoteza hata shepu ya mwili
Hakuna sehemu ngumu kupungua k**a sehemu ya tumbo na kiuno, Hapa utahitaji discipline ya ziada ili kukamilisha mpango wa kupungua

Detoxification tea ni fat burner yaani inaondoa mafuta ya kwanza kabisa ni ya tumbo na kiuno
Ukiniuliza nikitumia detoxification tea napungua mwili mzima jibu ni wewe utakavyo amua
Sehemu ya kwanza kushambuliwa huwa ni tumbo na kiuno kwanza k**a utaridhika na matokeo basi utaishia hapo na kuendelea kumaintain tu mwili.

Ukipenda kupungua zaidi basi utaendelea KUTUMIA detox tea. Detoxification tea ni njia rahisi ya kuchoma mafuta kwa haraka
Ukiambatanisha na keto diet (utapata muongozo na utaifurahia) pamoja na mazoezi utafurahia mabadiliko ya mwili

Detoxification tea sio kwa ajili ya kupungua tu ina faida nyingine nyingi mwilini. Ni muhimu ufanye detox walau mara mbili mpaka nne kwa mwaka

Detoxification haifanywi na wanene tu au wenye vitambii😅 inafanywa na wote hii tea inafaa k**a

~Hupati choo au unapata choo kigumu
~tumbo kujaa gesi
~mvurugiko wa homoni
~Unachoka Mara kwa Mara
~Homa za ovyo ovyo
~Kichwa kuuma Mara kwa Mara Basi ujue wee unatakiwa ufanye detox
~Matatizo ya ngozi kwa mfano chunusi,vipele
~Maumivu ya viungo K**a vile mgongo,goti etc

Kwa maelezo zaidi tupigie 0763 403040

Kila siku tunaingiza sumu nyingi mwilini bila kujua kutoka kwenye vyakula, hewa, maji na mazingira kwa ujumla yanayo tu ...
01/10/2022

Kila siku tunaingiza sumu nyingi mwilini bila kujua kutoka kwenye vyakula, hewa, maji na mazingira kwa ujumla yanayo tu zunguka.
Sumu hizi na uchafu huwa unatolewa na mwili kwa mfumo maalumu na utaratibu mzuri. Tatizo huanza pale ambapo sumu huzidi kuliko kiwango ambacho mwili unaweza kuzitoa, kiasi cha kusababisha mlundikano wa viambata sumu na taka mwilini haswa kwenye ini, figo, mapafu na mfumo wa mmeng’enyo wa chakula.

Mlundikano huu ndio chanzo cha kuzoofisha ufanisi wa viungo hivi vya mwili na kusababisha magonjwa mengi sugu yasiyo ambukizwa
Mlundikano wa sumu husababisha uzito kuongezeka, mfumo wa hormones za mwili kuvurugika, mtu kukosa nguvu uchovu wa mara kwa mara. Unaweza kujua mapema sana k**a kuna mabadiliko, changamoto ni kwamba wengi hawajui wafanye nini baaada ya kugundua hilo.

Umeshawahi kuumwa homa kali lakini kila ukipima hospitali huna tatizo lolote? Mara nyingi tunasubiri mpaka uambiwe una shida ya kisukari, pressure, cancer lakini ni kwasababu tunapuuza mwili unapoongea mapema.
Suluhisho ni kufanya detoxification

Detoxification ni muhimu ifanyeke mara kwa mara inasaidia sana kuondoa magonjwa na kuimarisha kinga ya mwili. Detoxification tea ni mchanganyiko wa majani ya mimea asili ambayo yametumika na yana historia ya kusaidia kufanya detox ya mifumo yote ya mwili. Detox hii imekuwa na matokeo mazuri kwa watu wengi
Imetengenezwa na viambata 13
Utakapoanza kutumia:
~Ndani ya week mbili utahisi mabadiliko
~Ndani ya week nne utaona mabadiliko
~Ndani ya week sita unabadili maisha yako kabisa.

Week mbili za kwanza unaweza kuondoa uchafu na mafuta mpaka 3.5 kg ukianza detox program (hii huambatana na ulaji sahihi)

Detoxification haifanywi na wanene tu au wenye vitambiiinafanywa na wote hii tea inafaa k**a

~Hupati choo au unapata choo kigumu
~tumbo kujaa gesi
~mvurugiko wa homoni
~Unachoka Mara kwa Mara
~Homa za ovyo ovyo
~Kichwa kuuma Mara kwa Mara Basi ujue wee unatakiwa ufanye detox
~Matatizo ya ngozi kwa mfano chunusi, vipele
~Maumivu ya viungo K**a vile mgongo, goti etc

Ukihitaji tuwasiliane tupigie 0763 403040

Usisubiri kufanya detox mpaka uumwe kwasababu utatumia nguvu nyingi zaidi kutoa sumu mwilini.Mwili una uwezo wake wa kut...
30/09/2022

Usisubiri kufanya detox mpaka uumwe kwasababu utatumia nguvu nyingi zaidi kutoa sumu mwilini.

Mwili una uwezo wake wa kutoa sumu mwilini lakini huzidiwa na mlundikano wa sumu na hapo ndio viungo vya mwili hupunguza ufanisi wake

Unaweza kuona upo sawa huumwi chochote lakini haimaanishi hakuna sumu mwilini, mpaka uone dalili ujue ni sumu na uchafu umezidi mwilini
Kumbuka hakuna kipimo maalumu cha kujua k**a kuna sumu mwilini
Mara nyingi ni dalili za mwili ndio zitajulisha kuna mlundikano wa sumu.

Fanya detoxification kabla ya mwili kuanza kuonyesha dalili, ili kuupunguzia mwili mzigo detoxification tea yetu inafaa kuondoa sumu kwenye mifumo mitano ya mwili tofauti na detox nyingine. Husaidia kusafisha
~Mfumo wa damu
~Mfumo wa mmeng’enyo wa chakula
~Figo
~Ini
~Mapafu

Baadhi ya kazi zake 👇🏽👇🏽👇🏽
~Boresha usingizi na utulivu
~Kurekebisha viwango vya sukari kwenye damu
~Boresha matatizo sugu ya mfumo wa upumuaji
~Huondoa ugonjwa wa matumbo(kuvimbiwa, kuhara)
~Pambana na virusi kwani baadhi ya viambato vina sifa ya kuzuia virusi
~Hupambana na fangasi k**a vile candida kwani baadhi ya viambato vina sifa ya kuzuia ukungu (fungus)
~Husaidia kusafisha utumbo mkubwa na kuondoa shida ya choo kigumu
~Hupunguza msongo wa mawazo na kuweka mfumo wa hormones sawa
~Kurekebisha shinikizo la damu
Kuboresha mfumo wa kinga kutokana na baadhi ya viungo kuwa na mali ya kupambana na oxidant
~Changamsha shughuli za T-cell hivyo kuongeza kinga ya mwili
~Boresha kupunguza uzito na kupunguza unene
~husaidia kusafisha ini na figo
~Kupunguza homa
~Kuboresha afya ya moyo na mapafu
~Huboresha kumbukumbu kutokana na kuongezeka kwa mzunguko wa damu kwenye ubongo
~Huongeza ufanisi kwenye mmeng’enyo wa chakula na kuondoa shida ya gesi tumboni
~Huboresha mzunguko wa damu mwilini
~Husaidia sana kuondoa chunusi na kufanya ngozi ing’ae na kuwa soft ina collagen ya kutosha
~Huzuia vidonda vya tumbo
~Hupunguza maambukizi kwenye mfumo wa mkojo (UTI's)
Boresha afya ya tumbo kwa kuongeza bacteria wazuri tumboni
~Hupunguza kichefuchefu
~Inaondoa mafuta mabaya kwenye mishipa ya damu

Kuipata tupigie 0763 403040

Watu wengi wanasumbuliwa na mfumo wa Mmeng’enyo wa Chakula haswa kukosa Choo au kupata choo kwa tabu sana, hata baada ya...
30/09/2022

Watu wengi wanasumbuliwa na mfumo wa Mmeng’enyo wa Chakula haswa kukosa Choo au kupata choo kwa tabu sana, hata baada ya kunywa maji ya kutosha, kula mboga mboga na matunda lakini bado tatizo liko pale pale na wengine imewasababishia bawasiri.

Fikiria k**a kila siku unatakiwa upate choo, lakini unakaa baada ya siku tatu ndio unapata choo tena kwa tabu nini kinaendelea mwilini mwako?
Unahitaji kurudisha ufanisi wa mfumo wa Mmeng’enyo wa chakula, restart kwa kutumia detoxification tea inasaidia sana kuondoa mabaki tumboni na kuongeza microfibers zenye uwezo mkubwa kuliko fibers unazopata kwenye matunda na mboga mboga, itakusaidia pia kuongeza bacteria wazuri tumboni ili kurudisha ufanisi wa mfumo wa Mmeng’enyo wa chakula.

Kwa maelezo zaidi namna ya kupata detoxification tea tupigie 0763 403040

Kwanini utumie detoxification teaChai kikombe Kimoja, Faida Nyingi~Boresha usingizi na utulivu~Kurekebisha viwango vya s...
30/09/2022

Kwanini utumie detoxification tea

Chai kikombe Kimoja, Faida Nyingi
~Boresha usingizi na utulivu
~Kurekebisha viwango vya sukari kwenye damu
~Boresha matatizo sugu ya mfumo wa upumuaji
~Huondoa ugonjwa wa matumbo(kuvimbiwa, kuhara)
~Pambana na virusi kwani baadhi ya viambata vina sifa ya kuzuia virusi
~Hupambana na fangasi k**a vile candida kwani baadhi ya viambato vina sifa ya kuzuia ukungu(fungus)
~Husaidia kusafisha utumbo mkubwa na kuondoa shida ya choo kigumu
~Hupunguza msongo wa mawazo na kuweka mfumo wa hormones sawa
~Kurekebisha shinikizo la damu Kuboresha mfumo wa kinga kutokana na baadhi ya viungo kuwa na mali ya kupambana na oxidant
~Changamsha shughuli za T-cell hivyo kuongeza kinga ya mwili
~Boresha kupunguza uzito na kupunguza unene
~husaidia kusafisha ini na figo
~Hupunguza maumivu ya tumbo haswa la hedhi
~Punguza uchungu na uchungu kutokana na viambato vya kuzuia uvimbe
~Kupunguza homa
Kuboresha afya ya moyo na mapafu
~Huboresha kumbukumbu kutokana na kuongezeka kwa mzunguko wa damu kwenye ubongo
~Huongeza ufanisi kwenye mmeng’enyo wa chakula na kuondoa shida ya gesi tumboni
~Huboresha mzunguko wa damu mwilini
~Husaidia sana kuondoa chunusi na kufanya ngozi ing’ae na kuwa soft ina collagen ya kutosha
~Huzuia vidonda vya tumbo, Boresha afya ya tumbo kwa kuongeza bacteria wazuri tumboni
~Hupunguza maambukizi kwenye mfumo wa mkojo (UTI's)
~Hupunguza kichefuchefu
~Inaondoa mafuta mabaya kwenye mishipa ya damu

Tupigie simu namba 0763 403040 ili kuipata.

Dalili za ugonjwa wa shambulio la moyo (Heart attack) hujumuisha maumivu ya kifua au usumbufu, kujihisi dhaifu, maumivu ...
30/09/2022

Dalili za ugonjwa wa shambulio la moyo (Heart attack) hujumuisha maumivu ya kifua au usumbufu, kujihisi dhaifu, maumivu mepesi ya kichwa, au kuzimia.

Maumivu au usumbufu katika taya, shingo, au mgongo. Maumivu au usumbufu katika moja au mikono yote miwili au mabega. Kuhisi upungufu wa pumzi wakati wa kupumua.

Ugonjwa wa maambukizi ya njia ya mkojo “UTI” kwa wanaume inaweza kusababisha ugumba. Maambukizi ya mfumo wa uzazi na mko...
30/09/2022

Ugonjwa wa maambukizi ya njia ya mkojo “UTI” kwa wanaume inaweza kusababisha ugumba. Maambukizi ya mfumo wa uzazi na mkojo “genito-urinary tract” yanaweza kusababisha utasa kwa mwanaume.

Bakteria wasababishao UTI “Escherichia coli” huweza kuenea kwenye tezi dume ya kiume “prostate gland” na muundo mwingine wa uzazi ambapo inaweza kusababisha kupungua kwa idadi ya mbegu na kuathiri mwendo wake “sperm count & motility” na mwisho kushindwa kutungisha ujauzito.

Tunashauri kutibu ugonjwa wa 'PID' kabla ya kubeba ujauzito, kwani hupelekea mimba kutunga nje ya kizazi “ectopic pregna...
30/09/2022

Tunashauri kutibu ugonjwa wa 'PID' kabla ya kubeba ujauzito, kwani hupelekea mimba kutunga nje ya kizazi “ectopic pregnancy”.

Mimba hizi mara nyingi hutunga kwenye mrija wa uzazi ambapo hupelekea mrija kukatwa “Salpingectomy” haswa ikiwa mimba nje ya kizazi inapotokea tena au ina ukubwa zaidi ya sentimita 5, au ikiwa mirija imeharibika sana, au ikiwa hakuna mpango wakuzaa baadaye mrija ulioharibika huondolewa.

Ni sehemu tu ya mrija iliyoharibiwa isiyoweza kurekebishwa itaondolewa.

Address

Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Sunday 09:00 - 17:00

Telephone

+255763403040

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when IJUE AFYA YAKO TZ posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to IJUE AFYA YAKO TZ:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram