Tuongee Afya

Tuongee Afya NUTRITIONIST
✅UZAZI ME&KE
✅VIDONDA VYA TUMBO
✅ Ovarian cyst & Uvimbe
✅PID, U.T.I&FANGAS
✅UZITO
✅ AFYA YA WATOTO
MATOKEO BORA Whatsapp 0750933014

07/12/2025

Pregnancy Care... Afya Yako hutegemea Chakula unachokula,
K**a Mungu ameruhusu ukuze Kiumbe Ndani Yako hakikisha Unampatia Virutubisho sahihi

Pregnancy Care Kit Inapatikana kwetu
Itakusaidia Kuwa na Ujauzito usio na lawama...

Call/Whatsapp 0750933014

07/12/2025

FAIDA ZA KITUNGUU MAJI KWA MFUMO WA UZAZI WA MWANAMKE

1. Husaidia kuboresha mzunguko wa damu kwenye via vya uzazi
Kitunguu kina virutubisho vinavyosaidia kupanua mishipa ya damu. Damud nzuri → afya ya via vya uzazi, lubrication nzuri, na kusawazisha hormones fulani.

2. Kina viini vya kupunguza maambukizi ya fangasi na bacteria
Kitunguu kina antimicrobial properties zinazoweza kusaidia mwili kupambana na maambukizi k**a vile fangasi au bacteria sehemu za siri (lakini sio tiba ya moja kwa moja ya infections!).
NB: Hakipakwi ndani ya uke. Hutumiwa kwa kula tu.

3. Kina Antioxidants zinazosaidia usawa wa homoni
Antioxidants k**a quercetin husaidia mwili kupambana na oxidative stress, moja ya sababu za: PMS, hormonal imbalance, uzazi kushuka nk

4. Huimarisha kinga ya mwili (immune system)
Kingamwili imara → mwili unapambana vizuri na infections zinazoweza kuathiri mfumo wa uzazi.

5. Husaidia afya ya mishipa na mayai (ovaries)
Virutubisho vyake vina mchango kwenye afya ya seli, hivyo huchangia afya ya mayai kwa ujumla.

6. Husadia kupunguza uvimbe (anti-inflammatory)
K**a mtu hupata maumivu ya tumbo chini kutokana na uvimbe wa ndani, antioxidants zake zinaweza kusaidia kupunguza inflammation.

7. Huboresha libido kwa baadhi ya wanawake
Kitunguu huongeza mzunguko wa damu na kina minerals fulani zinazochochea desire.
(Effect hii hutokea kwa baadhi ya watu, si wote.)

📌ZINGATIA
Kitunguu maji hakitibu magonjwa ya mfumo wa uzazi.

Faida zake hutokana na kula k**a chakula, si kuweka chochote ukeni.

K**a kuna tatizo k**a maumivu, kutokwa uchafu, harufu, au kukosa hedhi au mvurugiko Wa homoni

Call/Whatsap 0750933014

MWANAMKE UNATAMANI KUITWA MAMA 2026 ZINGATIA HAYA....Package ya Detox Kwa Mwanamke na Uzazi inapatikana Ofisini hapa Kwa...
05/12/2025

MWANAMKE UNATAMANI KUITWA MAMA 2026 ZINGATIA HAYA....

Package ya Detox Kwa Mwanamke na Uzazi inapatikana Ofisini hapa Kwa 380,000/= tu Msimu Huu Wa SikuKuu....

HAKIKISHA Unajipatia Package Yako mapema Kabisa Ili ujiandae Kuwa Mama 2026

Maandalizi ni Sasa

Call/Whatsap 0750933014

05/12/2025

FAIDA KUU ZA PROVITALITY
✅ 1. Kuongeza Nguvu (Energy) Mwilini
Provitality ina Tre-en-en Grain Concentrates ambazo hufungua seli, kuruhusu mwili kutumia virutubisho vizuri na kuongeza nguvu za mwili na ubongo.

✅ 2. Kuimarisha Kinga ya Mwili
Ina Carotenoid Complex ambayo husaidia kuongeza kinga mara 37 zaidi (kulingana na utafiti). Inaongeza uwezo wa mwili kupambana na magonjwa.

✅ 3. Kuboresha Mmeng’enyo wa Chakula
Fiber Tablets husaidia kusafisha tumbo, kurekebisha choo kigumu au kuharisha, na kupunguza gesi.

✅ 4. Kusafisha Mwili (Detox) Kila Siku
Carotenoids + Omega-3 husaidia kuondoa sumu mwilini, kupunguza uvimbe na mwili kuwa mwepesi.

✅ 5. Kulinda Moyo na Mishipa ya Damu
Omega-3 Salmon Oil Plus inasaidia:

Kupunguza mafuta mabaya (LDL)

Kuongeza mafuta mazuri (HDL)

Kuweka mzunguko wa damu sawa
Hivyo kulinda moyo, ubongo na viungo.

✅ 6. Kuboresha Afya ya Ubongo
Omega-3 huimarisha:

Kumbukumbu

Muda wa kufikiri (concentration)

Utulivu wa akili (stress reduction)

✅ 7. Kusaidia Ngozi Kuwa Nzuri na Kutoa Mwanga
Virutubisho vya ndani (Carotenoids) husaidia ngozi kupona, kuwa soft, clear na glowing.

✅ 8. Kusaidia Kupunguza Uzito
Kwa kusafisha mwili, kuboresha mmeng’enyo, kupunguza inflammation na kuongeza energy — mwili unachoma mafuta vizuri zaidi.

✅ 9. Kuimarisha Afya ya Macho
Carotenoids husaidia kulinda macho dhidi ya mwanga mkali, screen (blue light), na uzee wa mapema wa macho.

✅ 10. Afya ya Mirija ya Uzazi (Hormonal Balance)
Tre-en-en + Omega-3 husaidia usawa wa homoni, hivyo ni msaada kwa:
Maumivu ya hedhi, Mzunguko kutolingana,Uzazi, Mood swings.

✅ 11. Kupunguza Kuvimba (Inflammation)
Omega-3 imeundwa kusaidia mwili kupunguza uvimbe unaosababisha maumivu ya viungo, miguu, mgongo na uchovu usioelezeka.

✅ 12. Overall Body Protection
Ni pakiti ya kila siku inayolinda:
Seli,Moyo,Ubongo,Kinga,Mmeng’enyo, Afya ya ngozi nk

Ni foundation ya afya bora kila siku.

Price 165,000/= tu

Call/Whatsapp 0750933014

Karibu🤗

Afya ya Mtu Ni issue Sensitive Sana na Inahitaji Mafunzo Mara Kwa Mara Ili Kutoa Huduma Bora Kwa Kila anayehitaji Huduma...
05/12/2025

Afya ya Mtu Ni issue Sensitive Sana na Inahitaji Mafunzo Mara Kwa Mara Ili Kutoa Huduma Bora Kwa Kila anayehitaji Huduma Yako....

Mimi Binafsi ninahudhuria Seminar na Mafunzo Mara Kwa Mara Ili Niweze Kuihudumia Vyema Familia Kubwa Hii Inayonitegemea na Kutegemea Huduma Bora kutoka kwangu....

Iwe ni Elimu yoyote au Bidhaa ninamwomba Mungu anisaidie Kufanya Kwa Ubora...

Huduma Tulizonazo Bure ni Ushauri/Elimu na Delivery tu

Huduma unazopata Kwetu ni pamoja na
Virutubisho Kwa Ajili ya Afya ya Uzazi Kwa Mwanamke, Afya ya Mtoto, Pregnancy Care Kit nk

So Ikiwa una Changamoto ya Kiafya k**a Vile PID, UTI, FANGAS, Miwasho, Ukavu Ukeni, Hormones, Kushika ujauzito nk Karibu Sana Ofisini Kwetu Mwenge

K**a Uko Mkoani Tunakutumia Kwa UAMINIFU.

Call/Whatsapp 0750933014

04/12/2025

Nani Mwingine anataka Kuwa Mama 2026?

Tuongee Afya Ipo Kwa Ajili Yako... Utapata usaidizi na Virutubisho Bora ambavyo Vitakusaidia Kushika Ujauzito Kirahisi.

Call/Whatsapp 0750933014

03/12/2025

Mimba ni mchakato na k**a kuna mahali hapajakaa sawa basi ndivyo matokeo yanazidi kuchelewa.
Anza sasa kufata mchakato huu ili kupata matokeo.

Usiseme umetumia tiba karibu zote, je ulifata mchakato?

Basi ndio maana tupo kukujuza namna ya kufata mchakato utakao kusaidia kupata matokeo kwa urahisi na kuwa mama.

Leo hii wasiliana nasi upate muongozo sahihi utakao kupeleka katika kupata matokeo, anza na detox hii kisha utaelekezwa namna hatua nyingine itakayofutaka.

Unahitaji kupata ujauzito
Wasiliana nasi 0750933014

KWA NINI MIMBA INAWEZA Kuharibika MARA KWA MARA?1. Homoni Kutokuwa SawaProgesterone kuwa chini hushindwa kushikilia mimb...
03/12/2025

KWA NINI MIMBA INAWEZA Kuharibika MARA KWA MARA?

1. Homoni Kutokuwa Sawa
Progesterone kuwa chini hushindwa kushikilia mimba mapema.

2. Maambukizi ya Siri
UTI, PID au fangasi yanaweza kudhoofisha mazingira ya mimba.

3. Shinikizo la Damu / Kisukari / PCOS
Pressure ya juu, sukari kutodhibitiwa au PCOS huathiri ukuaji wa mimba.

4. Damu Kuganda Kupita Kiasi
Clots zinazuia mimba kupata hewa na lishe.

5. Kinga ya Mwili Kushambulia Mimba
Mwili kumchukulia mtoto k**a kitu cha kigeni.

6. Ubora Mdogo wa Mayai (Umri)
Mayai kuwa dhaifu hupelekea mimba kutokea lakini kutodumu.

7. Tatizo la Mfumo wa Uzazi
Fibroids, mfuko wa mimba kuwa na maumbo yasiyo ya kawaida au ute wa kizazi kuwa dhaifu.

SULUHISHO (Muhimu Sana)
✨ Kwanza: Fanya vipimo kamili (homoni, thyroid, infection, clotting, ultrasound).
✨ Pili: Anza matibabu kulingana na chanzo (homoni, dawa za maambukizi, kudhibiti pressure/sukari, matibabu ya damu kuganda n.k.).
✨ Tatu: Imarisha mwili kwa lishe bora + virutubisho sahihi (folic acid, omega-3, zinc, antioxidants).

HABARI NJEMA
Wanawake wengi hupata mimba salama mara tu chanzo kikijulikana na kutibiwa.
Usikate tamaa – mwili wako unaweza kupona na kubeba mimba yenye afya.

USIBAKI NYUMA...
K**a Umekuwa Ukipitia Changamoto hii Kwa Muda mrefu na Unatamani Kuwa Mama.... HAKIKISHA unanitafuta

Call/Whatsapp 0750933014

03/12/2025

60,000/= tu

Ni salama Kwa Mjamzito unaweza kuitumia maana Ipo Kwenye PCK yetu (Pregnancy Care Kit)

Tunafanya Delivery

Call/Whatsapp 0750933014

#ᴠɪʀᴇʟ

ALOVERA PLUS -Ni kinywaji kizuri sana ambacho kimetengenezwa na kiungo cha ndani cha Alovera.      FAIDA ZAKE-:         ...
02/12/2025

ALOVERA PLUS -Ni kinywaji kizuri sana ambacho kimetengenezwa na kiungo cha ndani cha Alovera. FAIDA ZAKE-:
1. INASAIDIA MMENG'ENYO WA CHAKULA.
2. INAONDOA KIUNGULIA.
3. ⁠INAONDOA MAUMIVU YA TUMBO.
4. ⁠INAONGEZA NGUVU MWILINI
5. ⁠INASAIDIA MTU MWENYE UNGONJWA WA SUKARI, SUKARI INAKUWA NORMAL.
6. ⁠INASAIDIA SANA WANAWAKE WAJAWAZITO, INAONDOA KICHEFUCHEFU, PIA INAWAONGEZEA MADINI MWILINI NA KUWAPA NGUVU.
7. INASAIDIA WENYE VIDONDA VYA TUMBO.
8. ⁠INASAIDIA SANA MWENYE CANCER YA TUMBO.
9. ⁠INAONGEZA KINGA MWILINI KWA KIASI KIKUBWA NA KUIMARISHA KINGA YA MWILI.
10. ⁠INAKUKINGA NA ATHARI ZA MIYONZI.
11. ⁠INACHUJA FIGO INASAFISHA FIGO INASAIDIA FIGO KUFANYA KAZI.
12. ⁠INASAIDIA KUPATA CHOO WENYE SHIDA YA CONSTIPATION, AFYA YA NGOZI.
13. ⁠ INAONDOA SUMU MWILINI.

Price 60,000/= tu

Karibu uhudumiwe 0750933014

02/12/2025

TRE EN EN Ni supplement ambayo kila mtu inabidi awenayo maana itaenda kufungua chembe hai na kurudisha uhai wa mifumo ya mwili.

👉🏼Kutokana na mfumo wa maisha yetu ni wachache sana wanaokula kiini cha nafaka kamili(Dona)
Hata hizo dona tunazokula tukumbuke kwamba mashambani mbegu zinazotumika ni mbegu Za kisasa (watu wapo kibiashara zaidi sio kiafya zaidi)

✍️Tre en en
Kiini cha ngano soya na mchele
Hufungua chembe hai
Huruhusu virutubisho vyote kuingia na kutoa uchafu
Hutoa uchovu sugu
Hubalance hormones
Hutengeneza ngozi
Utapata choo vizuri kwa wakati

👉🏼Tre en en inaenda kulainishia ukuta wa chembehai ambao ndio uhai wa miili yetu.

👉🏼Ili chembehai iweze kuruhusu virutubisho kuingia ndani ya seli na iweze kutoa sumu inabidi ukuta wa seli uwelaini (permeable)

👉🏼Unatumia dawa za hospitalini lakini hakuna maendeleo hii ni kwasababu dawa haifiki Hadi ndani ya kiini cha seli kwakuwa kuta Za seli zetu zimechakaa haziwezi kufyonza virutubisho au dawa kwa ufasaha.

👉🏼Umepewa dawa sahihi kabisa Za kisukari, pressure,ARV lakini kila ukipima hakuna maendeleo. Kuongeza dawa sio suluhisho, fungua chembe hai zako kwanza iliziweze kupokea dawa unayoiinywa na ziende zinafanye kazi stahiki.

👉🏼unasumbuliwa na uchovu, unahisi kuumwa lakini ukipa hauna ugonjwa

👉🏼Mwanamke hupati siku zako au hazina mpangilio mzuri

👉🏼Na maradhi yanazidi kwasababu seli inashindwa kuondoa sumu zilizopo ndani na inashindwa kupata virutubisho sahihi.

Kupata Kirutubisho Hiki Piga 0750933014 au
Andika NENO LISHE Whatsapp

Ndogo Unaipata Kwa 60,000/= tu na
Kubwa unaipata Kwa 120,000/= tu

Karibu

02/12/2025

Mpende Mwanao Kwa Kumpatia Virutubisho hivi Bora Kabisa
Virutubisho hivi ni Natural mades

Vitasquare 85,000/= tu

Salmon oil 95,900/= tu

Call/Whatsapp 0750933014

Address

Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Sunday 09:00 - 17:00

Telephone

+255788138816

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Tuongee Afya posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram