Tuongee Afya

Tuongee Afya NUTRITIONIST
✅UZAZI ME&KE
✅VIDONDA VYA TUMBO
✅ Ovarian cyst & Uvimbe
✅PID, U.T.I&FANGAS
✅UZITO
✅ AFYA YA WATOTO
MATOKEO BORA Whatsapp 0750933014

Mungu Akujibu 🙏Kwa Mahitaji ya Virutubisho Vinavyosaidia Kutatua changamoto za Uzazi tupigie 0750933014
16/09/2025

Mungu Akujibu 🙏

Kwa Mahitaji ya Virutubisho Vinavyosaidia Kutatua changamoto za Uzazi tupigie 0750933014

Je, umewahi kusikia kuhusu PID (Pelvic Inflammatory Disease)?Hii ni ugonjwa wa maambukizi kwenye via vya uzazi vya ndani...
25/08/2025

Je, umewahi kusikia kuhusu PID (Pelvic Inflammatory Disease)?
Hii ni ugonjwa wa maambukizi kwenye via vya uzazi vya ndani, mfuko wa uzazi (uterus), mirija ya uzazi (fallopian tubes), na ovari. Ni ugonjwa ambao mara nyingi huanza kwa dalili ndogo ndogo mtu akidhani ni maumivu ya kawaida ya tumbo, uchovu, au hata maambukizi ya kawaida ya uke. Lakini madhara yake ni makubwa sana kwa mwanamke.

👉 PID inaweza kuzuia ndoto yako ya kuwa mama, Hii ni kwa sababu:
📌Hujenga kovu (scars) kwenye mirija ya uzazi, na kusababisha mirija kuziba.

📌Inafanya yai kushindwa kukutana na mbegu ya kiume, hivyo mimba haiwezi kutunga.

📌Inaweza kusababisha mimba ya nje ya mfuko wa uzazi (ectopic pregnancy), hali hatari sana kwa maisha ya mwanamke.

📌Kadiri ugonjwa unavyocheleweshwa bila tiba sahihi, ndivyo unavyoharibu zaidi mfumo wako wa uzazi.

📌Hali hii imewazuia wanawake wengi kutimiza ndoto zao za kupata watoto, na wengine wamejikuta wakipitia mateso ya ndoa au unyanyapaa kwa sababu jamii mara nyingi haiwezi kuelewa chanzo ni nini.

LAKINI HABARI NJEMA ni KWAMBA
✅ PID inaweza kudhibitiwa na kupunguza madhara yake ukiwa makini mapema.
✅ Lishe bora yenye virutubisho sahihi inaweza kusaidia kuimarisha kinga ya mwili, kupunguza maambukizi, na kulinda afya ya via vya uzazi.
✅ Hatua ndogo unazochukua leo zinaweza kuwa mkombozi wa ndoto yako ya kuwa mama kesho.

Usiache mwili wako uendelee kudhoofishwa na PID bila kufanya hatua.
Afya ya uzazi ni zawadi ya thamani sana kwa mwanamke, na unapoitunza, unaweka msingi wa kuwa mama siku moja.

Call/Whatsapp 0750933014

UJAUZITO SIYO MATESOMama Mjamzito, Najua Unapitia Haya…Kuchoka haraka hata ukifanya kazi ndogo…Kichefuchefu kisichoisha ...
14/08/2025

UJAUZITO SIYO MATESO
Mama Mjamzito, Najua Unapitia Haya…
Kuchoka haraka hata ukifanya kazi ndogo…
Kichefuchefu kisichoisha na hamu ya kula kushuka…
Kuvimba miguu au uso…
Maumivu ya mgongo na kiuno…
Hofu ya kuzaa mtoto dhaifu au mwenye uzito mdogo…
Kukosa usingizi wa kutosha…
Au kuishi na hofu ya upungufu wa damu wakati wa ujauzito.

Lakini kumbuka mama ❤️, maisha ya kiumbe kilichomo tumboni mwako yanategemea sana afya yako.

UMUHIMU WA KUTUMIA VIRUTUBISHO SAHIHI WAKATI WA UJAUZITO
✅Husaidia mwili wako kuwa na nguvu na kinga imara.

✅Husaidia ukuaji bora wa mtoto na kuhakikisha anapata lishe kamili.

✅Hupunguza hatari ya upungufu wa damu na matatizo wakati wa kujifungua.

✅Hupunguza dalili k**a uchovu, kichefuchefu, na maumivu ya viungo.

✅Huongeza afya ya akili na uwezo wa kupumzika vizuri.

✅Hukuandaa kwa kipindi cha kunyonyesha kwa nguvu na afya bora.

Kwa sasa, unaweza kupata package ya mama mjamzito kwa 240,200/= tu badala ya 250,000/= punguzo maalum kwa muda mfupi.

Afya yako na afya ya mtoto wako ni kipaumbele cha kwanza.
Uamuzi unaoufanya leo unaweza kubadilisha maisha yenu wote

Tunamshukuru Mungu pamoja na Wewe Kipenzi 👏👏👏👏💃💃💃💃Na Wewe Unayepitia Changamoto ya Uzazi Mungu akusaidie Uwe Mama🙏
13/08/2025

Tunamshukuru Mungu pamoja na Wewe Kipenzi 👏👏👏👏💃💃💃💃

Na Wewe Unayepitia Changamoto ya Uzazi Mungu akusaidie Uwe Mama🙏

SABABU ZA MAUMIVU MAKALI WAKATI wa HEDHI (Dysmenorrhea)1. Homoni za Prostaglandins kupanda kupita kiasi – husababisha mi...
12/08/2025

SABABU ZA MAUMIVU MAKALI WAKATI wa HEDHI (Dysmenorrhea)
1. Homoni za Prostaglandins kupanda kupita kiasi – husababisha misuli ya uterasi (mfuko wa uzazi) kukaza sana, hivyo kusababisha maumivu.

2. Fibroids au Cysts kwenye Ovaries – uvimbe au vifuko vya majimaji vinaweza kuongeza shinikizo na maumivu.

3. Endometriosis – tishu zinazofanana na ukuta wa uterasi kukua sehemu zisizo sahihi, zikisababisha maumivu makali.

4. Magonjwa ya kuambukiza kwenye njia ya uzazi (PID) – maambukizi yanaweza kuongeza uvimbe na maumivu.

5. Upungufu wa virutubishi – hasa magnesium, omega-3, vitamini B complex na chuma.

6. Msongo wa mawazo na uchovu wa mwili – huathiri usawa wa homoni na kuongeza maumivu.

MATOKEO YA KUPUUZA MAUMIVU MAKALI YA HEDHI
👉Uharibifu wa uzazi (k**a chanzo ni endometriosis au maambukizi yasiyotibiwa).

👉Upungufu wa damu (anemia) kutokana na kupoteza damu nyingi.

👉Kupoteza ufanisi wa kazi na maisha ya kila siku kwa sababu ya kukosa nguvu.

👉Maumivu sugu ya nyonga yanayoweza kuendelea hata baada ya hedhi.

👉Matatizo ya kisaikolojia k**a msongo wa mawazo, huzuni na kukosa usingizi.

NAMNA BIDHAA ZA ASILI KUTOKA TUONGEE AFYA Zinavyoweza KUSAIDIA

Bidhaa za Neolife haziwezi kubadilisha mpangilio wa hedhi moja kwa moja, lakini zinasaidia kwa kurekebisha asili ya mwili, kupunguza maumivu, na kuimarisha afya ya mfumo wa uzazi.

1. Salmon Oil Plus
Chanzo cha Omega-3 fatty acids ambazo hupunguza uvimbe na huzuia misuli ya uterasi kukaza kupita kiasi.

Husaidia kupunguza kiwango cha prostaglandins kinachosababisha maumivu.

2. Tre-en-en Grain Concentrates
Huongeza upatikanaji wa virutubishi kwenye seli na kusawazisha homoni.

Hupunguza dalili za uchovu na maumivu ya mwili yanayohusiana na hedhi.

3. Cal-Mag with Vitamin D3
Kalsiamu na magnesium hulegeza misuli na kupunguza mikazo ya ghafla.

Vitamin D3 husaidia kupunguza hatari ya maumivu ya hedhi kwa kudhibiti homoni.

4. Formula IV / Formula IV Plus
Multivitamin kamili yenye B-complex, madini na antioxidants kwa usawa wa homoni na nguvu za mwili.

K**a hauna Changamoto nyingine ya Kiafya ila Ni Maumivu tu tuna Bidhaa Moja ambayo itakusaidia kuweka homoni sawa.
Price 88,000/= tu
Call/ Whatsapp 0750933014

Happy New Month To Everyone ❤️❤️👏Mungu awapatie Mahitaji ya Mioyo Yenu.Mungu Aponye Magonjwa, awape Afya, Awape Kibali, ...
01/08/2025

Happy New Month To Everyone ❤️❤️👏

Mungu awapatie Mahitaji ya Mioyo Yenu.
Mungu Aponye Magonjwa, awape Afya, Awape Kibali, awatakase na Kuwapa Amani.

Nawapenda ❤️🙏

*HUTAKI KUONGEZEKA UZITO NA UNATAKA KUPUNGUA? FUATA KANUNI HIZI KUHUSU CHAKULA CHA USIKU!!**USIKULE CHAKULA KIZITO USIKU...
11/03/2025

*HUTAKI KUONGEZEKA UZITO NA UNATAKA KUPUNGUA? FUATA KANUNI HIZI KUHUSU CHAKULA CHA USIKU!!*

*USIKULE CHAKULA KIZITO USIKU*
Chakula chenye mafuta mengi, wanga nyingi au sukari nyingi kinaweza kuhifadhiwa k**a mafuta mwilini kwa sababu mwili hauhitaji nishati nyingi wakati wa usiku.

Chakula k**a chipsi, ugali mzito, wali mwingi, na vyakula vya kukaanga vitakufanya unenepe haraka.
✅ Chagua chakula chepesi chenye virutubisho bora k**a mboga, protini nyepesi (samaki, mayai, maharage) na wanga kidogo wa polepole (viazi, ndizi mbivu kiasi, au kunde).

2️⃣ *EPUKA KULA MUDA MFUPI KABLA YA KULALA*
Kula chakula dakika chache kabla ya kulala kunasababisha chakula kisimeng'enywe vizuri, na mwili huanza kuhifadhi nishati hiyo k**a mafuta.

Unashauriwa kula angalau MASAA 2-3 kabla ya muda wa kulala ili kutoa nafasi kwa mmeng’enyo wa chakula.
🚨 K**a ukila na kulala ndani ya muda mchache, mfumo wa mmeng’enyo wa chakula hupungua na uzito huongezeka.

3️⃣ *KUNYWA MAJI YA KUTOSHA*
Maji ni muhimu kwa mmeng’enyo wa chakula na kusaidia mwili kuchoma mafuta. Ukiwa na kiu, unaweza kudhani unahitaji chakula, lakini mara nyingi mwili wako unahitaji maji tu.

💧 Kunywa maji glasi 1-2 kabla ya kulala lakini usizidishe sana ili kuepuka kwenda chooni mara kwa mara usiku.

4️⃣ *KAA MBALI NA VILEO*
Pombe na vinywaji vyenye kilevi vina kalori nyingi zisizo na faida yoyote kwa mwili. Zaidi ya hayo, vileo hupunguza uwezo wa mwili kuchoma mafuta, hasa wakati wa usiku.

5️⃣ *PUNGUZA/ACHA KABISA VYAKULA VYENYE SUKARI*
→ Sukari huongeza insulini mwilini, na insulini inapokuwa juu, mwili huanza kuhifadhi mafuta. Usiku ni wakati ambao mwili unapaswa kuwa na kiwango cha chini cha insulini ili kusaidia kuchoma mafuta.

❌ Epuka soda, juisi yenye sukari sana, biskuti, p**i, na vyakula vya wanga vilivyosindikwa usiku.
✅ Badala yake, kunywa maji mengi au chai ya asili bila sukari k**a chai ya tangawizi au mdalasini.

6️⃣ *PUNGUZA WANGA NA KULA ZAIDI PROTINI*
Wanga ni chanzo cha nishati, lakini usiku mwili hauhitaji nishati nyingi.

Ikiwa utakula chakula chenye wanga sana usiku, kuna uwezekano mkubwa utahifadhi mafuta mwilini.

✅ Chagua vyakula vyenye protini nyingi k**a samaki, nyama nyeupe, maharage,

* *NJIA 3 RAHISI ZA KUKUFANYA UACHE KULA MARA KWA MARA ILI UPUNGUZE UZITO HARAKA**1. KUNYWA MAJI MENGI*Kunywa glasi moja...
08/03/2025

* *NJIA 3 RAHISI ZA KUKUFANYA UACHE KULA MARA KWA MARA ILI UPUNGUZE UZITO HARAKA*

*1. KUNYWA MAJI MENGI*
Kunywa glasi moja kubwa ya maji kabla ya kula husaidia kupunguza kiasi cha chakula unachoweza kula kwasababu inafanya tumbo lijae na hivyo kupunguza hamu ya kula na kukufanya usikie umeshiba haraka.

Kunywa maji mengi kwa siku pia husaidia kukuepusha kula kula bila mpangilio.

*2. KULA VYAKULA VYENYE KIASI KIKUBWA CHA NYUZI NYUZI/FIBRE.*
Vyakula aina hii mara nyingi hufanya ujisikie umeshiba haraka bila kujaza calories nyingi mwilini. Hii ni kwasababu vyakula vingi vyenye kiasi kikubwa cha nyuzi nyuzi huwa na calories chache na pia huchukua muda mrefu kumeng’enywa tumboni.
Pia aina ya nyuzi nyuzi zinazopatikana kwenye mimea (soluble fibre) husababisha kupunguza hamu ya chakula na hukufanya ujisikie umeshiba.
Mfano wa vyakula vyenye kiasi kikubwa cha nyuzi nyuzi:
* Nafaka zisizokobolewa (Brown rice, brown bread,aatta)
* Jamii ya kunde (maharage, choroko, njegere nk)
* Karanga na mbegu (Almonds, korosho,macadamia,hazelnuts,chia seeds, flax seeds, mbegu za maboga, mbegu za alizeti nk)
* Baadhi ya matunda mf parachichi, machungwa, ndizi mbichi nk
* Mboga mboga mf mboga za majani, broccoli, cauliflower, zucchini, celery nk
* Maganda ya matunda k**a kiwi, maembe, nyanya, zabibu nk

*3. KULA PROTEIN KWA WINGI*
yakula vya protein vinasaidia sana kupunguza uzito wa mwili kwa kukuzuia kutokula chakula kingi kupitiliza.
Vyakula vya aina hii huchukua muda mrefu tumboni kumeng’enywa hivyo kukufanya ujisikie umeshiba kwa muda mrefu sana.
Mfano wa vyakula vya protein ni k**a
* Nyama
* Samaki
* Mayai
* Maziwa/mtindi
* Unga wa protein (Protein powders)
* Jamii ya kunde mf maharage, njegere,choroko nk
* Mboga mboga ( Broccoli)
* Karanga na mbegu (Almonds, hazel nuts, mbegu za chia, mbegu za flax, mbegu za maboga nk)

Mwanamke Wa Nguvu; nimekumegea SIRI YAKO Muhimu Hapa⬆️Hata kwa wanaume mnaowapenda wanawake waliowazunguka!Peleka hii ha...
07/03/2025

Mwanamke Wa Nguvu; nimekumegea SIRI YAKO Muhimu Hapa⬆️
Hata kwa wanaume mnaowapenda wanawake waliowazunguka!
Peleka hii habari kwa mwanamke mwingine… atakushukuru!😍

Wanawake wanapitia changamoto nyingi sana Kijamii; Kiuchumi na hata Kiafya! Uzuri ni hupaswi tuu kuvumilia na kubaki nazo… Una Suluhisho! Hivi virutubisho vimenisaidia mno pia kuondokana na changamoto niliyokuwa nayo katika swala zima la afya ya uzazi!

Nikushauri mwanamke mwenzangu; prioritize afya yako! Ukijisikia vizuri kila unayemjali na anayekutegemea atapata a better & Healthier Version of You!! And that is extremely WORTH IT!

Anza Sasa… Anza Leo… Anza na Wewe!
Karibu Saaana!!!

Nitafute kupata package ya kutatua Changamoto hiyo whatsapp 0788 138 816

Address

Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Sunday 09:00 - 17:00

Telephone

+255788138816

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Tuongee Afya posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram