Tuongee Afya

Tuongee Afya NUTRITIONIST
✅UZAZI ME&KE
✅VIDONDA VYA TUMBO
✅ Ovarian cyst & Uvimbe
✅PID, U.T.I&FANGAS
✅UZITO
✅ AFYA YA WATOTO
MATOKEO BORA Whatsapp 0750933014

Unaweza kuwa Mjamzito na ukabaki na Urembo WakoTumia pregnancy Care Kit Call 0750933014
02/02/2026

Unaweza kuwa Mjamzito na ukabaki na Urembo Wako

Tumia pregnancy Care Kit

Call 0750933014

KWENYE UZAZI HAKUNA KUWAHI WALA KUCHELEWA WAKATI ULIOPO NDIO SAHIHI USIKATE TAMAAA MAMBO YANAWEZEKANA NIPIGIE SIMU 07509...
30/01/2026

KWENYE UZAZI HAKUNA KUWAHI WALA KUCHELEWA WAKATI ULIOPO NDIO SAHIHI USIKATE TAMAAA MAMBO YANAWEZEKANA NIPIGIE SIMU 0750933014

21/01/2026

Mtaje hapa tumjue😂

21/01/2026

Jibu Kwa IMANI!

All the Best 😊🙏

21/01/2026

Unahisi ni sababu ipi kati ya 1 - 4 inaweza kuwa chanzo cha kuona upungufu wa hedhi yako.

Kumbuka ikiwa hali hii imetokea zaidi ya miezi 3 basi kuna haja ya kuona tatizo liko wapi kwa undani zaidi

Kwa msaada zaidi
WhatsApp/call 0750933014

Je, Umeolewa… Lakini Kila Mwezi Unamaliza kwa Machozi?Ulikuwa unaamini ndoa ni mwanzo wa furaha mpya.Lakini kimya cha ch...
16/01/2026

Je, Umeolewa… Lakini Kila Mwezi Unamaliza kwa Machozi?
Ulikuwa unaamini ndoa ni mwanzo wa furaha mpya.
Lakini kimya cha chumba cha kulala kinazidi kuwa kizito.
Kila mwezi unapoona damu, moyo wako unapasuka kwa Maumivu zaidi…
Unajiuliza: “Ni mimi nina tatizo?”
“Kwa nini wote wanapata watoto, mimi napambana peke yangu?”
Madaktari wanasema upo sawa.
Lakini mimba haiji.
Hapa ndipo wanawake wengi hukwama, na Kupoteza Matumaini...
sio kwa sababu hawana uwezo wa kupata mtoto,
bali kwa sababu miili yao haijaandaliwa vya kutosha.
Fertility Booster: Sio Kulazimisha Mimba, Ni Kuandaa Mwili
na hufanya kazi kimya kimya ndani ya mwili:
✅Hurekebisha homoni zilizochanganyikiwa
✅Huboresha ubora wa mayai
✅Hurejesha mpangilio wa hedhi
✅Huandaa mfuko wa uzazi kupokea mimba kwa usalama
✅Mwili wa mwanamke hauhitaji kushinikizwa.
Unahitaji msaada sahihi.

⚠️ UKWELI MCHUNGU wa Kutotumia Fertility Booster
Wanawake wengi wanaendelea:
📌Kupoteza miezi na miaka bila mabadiliko
📌Kuishi na lawama zisizo na majibu
📌Kuvumilia maneno ya watu: “Bado?”
📌Kuona ndoa ikianza kuathirika kimya kimya
📌Kupoteza matumaini ya kuwa mama
📌Na kilicho cha kusikitisha zaidi
wakati mwingine tatizo si kubwa,
ni mwili kukosa msaada wa msingi.

MATOKEO HALISI WANAWAKE WANAYOPATA
Wanawake wanaoanza kuandaa miili yao huanza kuona:
✅Mzunguko wa hedhi ukirejea kawaida
✅Dalili za ovulation kuwa wazi
✅Mwili kuwa tayari kushika mimba
✅Kujiamini na amani ya moyo
✅Kuongezeka kwa nafasi ya kupata mimba kwa asili
Na zaidi ya yote,
tumaini linarejea.

💬Kwa Mwanamke Aliye Kwenye Ndoa
Kuchelewa kupata mtoto hakukufanyi uwe mdhaifu.
Na hakumaanishi huwezi kuwa mama.
Wakati mwingine,
unachohitaji sio dawa kali,
bali maandalizi sahihi ya mwili.

📩 Usibebe mzigo huu peke yako
K**a wewe ni mwanamke:
📌Umeolewa ila Unachelewa kupata mtoto
Umechoka kusikia “subiri muda wake”
💚 Anza kujitunza kutoka ndani.
💚 Anza kuandaa mwili wako leo.
👉 Nitumie ujumbe (DM)/Whatsapp 0750933014 nikuongoze hatua sahihi ya kuanza.

14/01/2026

Inarudisha nguvu ya seli

Seli zikikosa virutubisho sahihi, mwili unachoka hata bila kufanya kazi.
Tre-en-en inarudisha uhai wa seli, ndiyo maana mtu anaanza kujisikia nguvu, wepesi na mwili unaamka upya.

Inaboresha kinga ya mwili kuanzia ndani
Kabla hujaumwa, mwili huanza kudhoofika ndani.
Tre-en-en:
Huimarisha uwezo wa mwili kujilinda
Husaidia mwili kupambana na magonjwa kabla hayajaonekana

Inasaidia mfumo wa homoni (hasa kwa wanawake & wanaume)

Husaidia wanawake wenye hedhi zisizo sawa
Husaidia wanaume kupata nguvu ya mwili na stamina

Zinakaa capsules 120
TSHS 120,000 TU

Ndogo capsule 60
Tsh 60,000/= tu

0750933014
Mwenge...Bamaga

14/01/2026

JE UNATAKA KUWA MAMA 2026?

“Safari ya Kuwa Mama Huanzia Ndani”
Kuwa Mama si tukio la bahati... ni matokeo ya mwili uliotunzwa, uliosawazishwa na uliopewa virutubisho sahihi kwa muda.
Mwanamke anapoanza kutumia supplements zetu za Neolife kwa uelewa na nidhamu, mabadiliko haya huanza kuonekana hatua kwa hatua 👇
1. Mwili Unajisafisha na Kusawazika
• Mfumo wa mmeng’enyo (digestion) unaimarika
• Sumukuvu (toxins) zinazochangia homoni kuchanganyikiwa hupungua
• Tumbo, ini na figo vinafanya kazi vizuri
👉 Hii husaidia homoni za uzazi kufanya kazi kwa mpangilio sahihi

2. Mzunguko wa Hedhi Unaanza Kuwa Mzuri
• Hedhi inakuja kwa mpangilio
• Maumivu na blood clots hupungua
• Dalili za hormonal imbalance hupungua
👉 Hii ni ishara ya mwili kuanza kuwa rafiki wa mimba

3. Homoni Zinapata Msingi Sahihi
Supplements zetu husaidia: • Kujenga mazingira mazuri ya estrogen & progesterone
• Kupunguza stress hormones (cortisol)
• Kuupa mwili madini muhimu k**a zinc, iron, magnesium na omega fats
👉 Homoni zikiwa sawa, ovulation huwa bora

4. Mayai (Egg Quality) na Uterasi Huimarika
• Virutubisho vinasaidia seli kupata ulinzi (cellular nutrition)
• Uterasi inapata mazingira mazuri ya kubeba mimba
• Mwili unakuwa tayari kupokea uhai mpya
👉 Hili ni jambo muhimu sana kwa mwanamke anayepanga kuwa Mama

5. Nguvu ya Mwili na Akili Inaongezeka
• Uchovu unapungua
• Usingizi unakuwa mzuri
• Msongo wa mawazo unapungua
👉 Mwili mtulivu ni rafiki wa mimba
KUMBUKA
Kuwa Mama sio kukimbizana na matokeo,
ni kujenga mwili unaostahili kubeba uhai.

Unapowekeza kwenye:
✔️ Lishe sahihi
✔️ Supplements sahihi
✔️ Muda na subira
✔️ Nidhamu
Unajiandaa sio tu kupata mimba...
bali kuwa Mama mwenye afya, nguvu na furaha 🤍
📌 Ujumbe wa Muhimu
Supplements sio dawa,
lakini ni msaada mkubwa wa mwili kujirekebisha kiasili.
👉 Matokeo hutofautiana kulingana na mwili, mtindo wa maisha na ufuatiliaji.

Package yetu ya Uzazi Ipo Kwa Ajili Yako

Unaipata Kwa 380,000/= tu

Ofisi Ipo Dar es salaam Mwenge... K**a upo Mkoani unatumiwa Mpaka Ulipo Kwa UAMINIFU

Call/Whatsapp 0750933014

Je Wajua kwamba Virutubisho vya Omega-III Salmon Oil Plus husaidia mwili kuwa na mwitikio mzuri dhidi ya uvimbe (healthy...
14/01/2026

Je Wajua kwamba Virutubisho vya Omega-III Salmon Oil Plus husaidia mwili kuwa na mwitikio mzuri dhidi ya uvimbe (healthy inflammatory response) na kusaidia kudumisha viwango vya afya vya mafuta mwilini (triglycerides).*

• Mwitikio wa Uvimbe: Husaidia mwili wako kukabiliana na maumivu na uvimbe wa ndani kwa njia ya asili.

• Triglycerides: Husaidia kuweka uwiano mzuri wa mafuta kwenye damu, jambo ambalo ni muhimu sana kwa afya ya moyo wako.

Ndogo 60,000/= tu

Kubwa 95,000/= tu

0750933014

Karibu

PID ni nini Nimaambikizi katika via vya UZAZI ni ugonjwa unaozalisha bacteria wanaoshambulia kizazi na kuleta hitirafu. ...
14/01/2026

PID ni nini Nimaambikizi katika via vya UZAZI ni ugonjwa unaozalisha bacteria wanaoshambulia kizazi na kuleta hitirafu.

Dalili
*kutokwa uchafu k**a maziwa mtindi yaliyokatika
*kutoa harufu mbaya ukeni
*miwasho ya mara kwa mara
*ukavu ukeni *maumivu ya kiuno na mgongo
*maumivu wakati wa tendo
*maumivu wakati wa hedhi
*kukosa hamu ya tendo

MADHARA
*kuwa mgumba
*kupata saratani ya shingo ya kizazi
Kwa ushauri na tiba.

PID dose 350,000/= tu

UTI Dose 195,000/= tu

Call/whatsap
0750933014

14/01/2026

2026 kuwa Mama ni Haki Yako...

Call/Whatsapp 0750933014

12/01/2026

1. Detox ni Nini?
Detox (Detoxification) ni mchakato wa kusaidia mwili kuondoa sumu (toxins) zinazojikusanya mwilini.
Hutegemea zaidi viungo vya mwili k**a:
✍️Ini (Liver)
✍️Figo (Kidneys)
✍️Utumbo (Colon)
✍️Ngozi
✍️Mapafu

Detox inaweza kufanyika kwa:
✅Lishe sahihi
✅Maji ya kutosha
✅Virutubisho (supplements)
✅Mtindo bora wa maisha

2. Sumu (Toxins) Hutoka Wapi?
✅Chakula chenye kemikali na preservatives
✅Dawa zinazotumika mara kwa mara
✅Uchafuzi wa mazingira (hewa, maji)
✅Sukari nyingi na mafuta mabaya
✅Msongo wa mawazo (stress)
✅Mfumo duni wa mmeng’enyo wa chakula

3. Umuhimu wa Kufanya Detox
✍️Kusaidia ini na figo kufanya kazi kwa ufanisi
✍️Kuboresha mfumo wa mmeng’enyo wa chakula
✍️Kuondoa kujaa gesi, tumbo kuvimbiwa
✍️Kuongeza nguvu na stamina ya mwili
✍️Kuboresha kinga ya mwili (immune system)
✍️Kusafisha damu
✍️Kuboresha afya ya ngozi
✍️Kusaidia kupunguza uzito kwa njia salama
✍️Kurejesha balance ya mwili (body balance)

4. Dalili Zinazoashiria Unahitaji Detox
✅Uchovu wa mara kwa mara
✅Maumivu ya kichwa yasiyoeleweka
✅Kuvimbiwa au kuharisha mara kwa mara
✅Harufu mbaya ya mdomo
✅Chunusi na matatizo ya ngozi
✅Kukosa usingizi mzuri
✅Kujaa gesi tumboni
✅Kushuka kwa kinga ya mwili

5. Aina za Detox (Kwa Muhtasari)
✅Detox ya chakula (diet-based detox)
✅Detox ya maji (hydration detox)
✅Detox ya utumbo (colon cleanse)
✅Detox ya ini
✅Detox kwa kutumia supplements
✅Detox ya mtindo wa maisha (stress & sleep detox)

6. Detox Sahihi Inapaswa Kuwa vipi?
✍️Iwe ya taratibu, si ya ghafla
✍️Izingatie afya ya utumbo kwanza
✍️Iungwe mkono na lishe bora
✍️Iwe salama na endelevu
✍️Isisababishe udhaifu au madhara

7. Nani Anapaswa Kufanya Detox?
✅Watu wenye maisha ya kisasa (processed foods)
✅Wenye matatizo ya tumbo na mmeng’enyo
✅Wenye uchovu usioisha
✅Wenye changamoto za ngozi
✅Wanaotaka kuboresha afya kwa ujumla

Unahitaji kufanya detox? Nipigie 0750933014

Address

Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Sunday 09:00 - 17:00

Telephone

+255788138816

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Tuongee Afya posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram