Tuongee Afya

Tuongee Afya NUTRITIONIST
✅UZAZI ME&KE
✅VIDONDA VYA TUMBO
✅ Ovarian cyst & Uvimbe
✅PID, U.T.I&FANGAS
✅UZITO
✅ AFYA YA WATOTO
MATOKEO BORA Whatsapp 0750933014

𝐉𝐞 𝐔𝐦𝐞𝐜𝐡𝐨𝐤𝐚 𝐮𝐧𝐚𝐭𝐞𝐬𝐞𝐤𝐚 𝐤𝐢𝐦𝐲𝐚 𝐤𝐢𝐦𝐲𝐚 𝐧𝐚 𝐡𝐚𝐫𝐮𝐟𝐮 𝐦𝐛𝐚𝐲𝐚 𝐮𝐤𝐞𝐧𝐢, 𝐌𝐢𝐰𝐚𝐬𝐡𝐨 𝐚𝐮 𝐅𝐚𝐧𝐠𝐚𝐬𝐢?Je wewe ni mmoja wa wanawake wanaopoteza kuj...
29/03/2026

𝐉𝐞 𝐔𝐦𝐞𝐜𝐡𝐨𝐤𝐚 𝐮𝐧𝐚𝐭𝐞𝐬𝐞𝐤𝐚 𝐤𝐢𝐦𝐲𝐚 𝐤𝐢𝐦𝐲𝐚 𝐧𝐚 𝐡𝐚𝐫𝐮𝐟𝐮 𝐦𝐛𝐚𝐲𝐚 𝐮𝐤𝐞𝐧𝐢, 𝐌𝐢𝐰𝐚𝐬𝐡𝐨 𝐚𝐮 𝐅𝐚𝐧𝐠𝐚𝐬𝐢?

Je wewe ni mmoja wa wanawake wanaopoteza kujiamini ukiwa kwenye mkusanyiko wa watu au hata karibu na mwenza wako Kwa sababu ya harufu mbaya ukeni?

Wengine hata Wanashindwa kufurahia siku zao za mwezi kwa Amani....

𝐖𝐚𝐧𝐚𝐰𝐚𝐤𝐞 𝐰𝐞𝐧𝐠𝐢 𝐰𝐚𝐧𝐚𝐩𝐢𝐭𝐢𝐚 𝐜𝐡𝐚𝐧𝐠𝐚𝐦𝐨𝐭𝐨 𝐡𝐢𝐳𝐢 𝐊𝐢𝐥𝐚 𝐬𝐢𝐤𝐮

•𝐏.𝐈.𝐃 𝐒𝐮𝐠𝐮
•𝐌𝐢𝐰𝐚𝐬𝐡𝐨 𝐮𝐤𝐞𝐧𝐢
•𝐔.𝐓.𝐈 𝐈𝐧𝐚𝐲𝐨𝐣𝐢𝐫𝐮𝐝𝐢𝐚
•𝐅𝐚𝐧𝐠𝐚𝐬𝐢 𝐳𝐚 𝐦𝐚𝐫𝐚 𝐊𝐰𝐚 𝐦𝐚𝐫𝐚

Habari Njema ni kwamba ... Tumewasaidia wanawake zaidi ya 500+ Kurejesha afya yao ya uke, kuondoa harufu mbaya na kurudisha kujiamini kwao

Usiendelee kuteseka kimya kimya

𝐓𝐮𝐦𝐚 𝐍𝐞𝐧𝐨 "𝐀𝐅𝐘𝐀" 𝐊𝐮𝐩𝐢𝐭𝐢𝐚 𝐖𝐡𝐚𝐭𝐬𝐚𝐩𝐩 𝐊𝐰𝐚 𝐤𝐮𝐛𝐨𝐧𝐲𝐞𝐳𝐚 𝐥𝐢𝐧𝐤 𝐡𝐚𝐩𝐚 𝐜𝐡𝐢𝐧𝐢 𝐥𝐞𝐨.

https://wa.me/255750933014

UTAJUAJE K**A UNA FANGASI SUGU👇Kuna dalili nyingi zinazoonyesha kuwa una fangasi ukeni k**a zifuatazo;1.Kuwa na miwasho ...
29/03/2026

UTAJUAJE K**A UNA FANGASI SUGU👇
Kuna dalili nyingi zinazoonyesha kuwa una fangasi ukeni k**a zifuatazo;

1.Kuwa na miwasho sehemu za siri mara kwa mara

2.Vipele vidogo vidogo ukeni

3.Kutokwa na uchafu mweupe au wa rangi ya kijivu ukeni wenye harufu mbaya

4.Vidonda au kuwa na michubuko ukeni

5.Kutokwa na harufu mbaya ukeni

6.Kupatwa na maumivu makali wakati wa tendo la ndoa.

7.Kuvimba au kuwa mwekundu katika mdomo wa nje ya uke.

8.Kuwaka moto ndani na nje ya uke.

Je una dalili hizi tunayo tiba ya UHAKIKA kwa ajili yako ambayo itakusaidia kutibu fangasi sugu na magonjwa Mengine Ya sehemu za siri

Kwa Tiba Na Ushauri Njoo WhatsApp-0750933014

Kwa urahisi Gusa link- wa.me/255750933014

*JE UNAFAHAMU MADHARA YA SUMU MWILINI*Asilimia kubwa ya maradhi yanayowasumbua watu hivi leo yanatokana na sumu zilizopo...
29/03/2026

*JE UNAFAHAMU MADHARA YA SUMU MWILINI*
Asilimia kubwa ya maradhi yanayowasumbua watu hivi leo yanatokana na sumu zilizopo katika miili yao.

*INI(LIVER*) ni kiungo kinachofanya kazi ya kusafisha,kuchuja na kuondoa sumu mwilini, Wakati mwingine INI Linazidiwa nguvu...Inawezekana umewahi kusikia mambo mengi kuhusu sumu kwenye mwili, lakini hufahamu chazo halisi cha sumu hizi.

*VYANZO VYA SUMU*

Miili yetu imekuwa ikipokea sumu na uchafu kila siku kutokana ;
1. Matumizi ya dawa mara kwa mara
2. Matumizi ya pombe (Alcohol) na sigara
3. Mazingira na athari kutokana na maendeleo ya sayansi na teknolojia
4. Ukosekanaji wa lishe na mlo kamili.
5. Matumizi ya madawa makali.
6. Uzito mkubwa
7. Mitindo ya maisha
8. Njia za uzazi wa mpango za kisasa

*DALILI ZA KUWA SUMU NYINGI MWILINI*

1. Matatizo ya ngozi kwa mfano chunusi, vipele nk.
2. Kuwa na uzito wa kupindukia
3. Kutopata choo au kupata choo kigumu
4. Kukosa usingizi Na kujihisi mchovu kupitiliza
5. Kichwa kuuma kila mara
6. Kupata miwasho
7. Maumivu ya viungo K**a vile mgongo,goti, nyonga
8. Kuwa na hasira mara kwa mara.
9. Tumbo kujaa gesi nk

*MADHARA YA MWILI KUJAA SUMU*
1. Kukosa hamu ya tendo la ndoa
2. Kupata maambukizi ya figo
3. Kupata maambukizi ya Ini
4. Hupelekea matatizo ya kutopata watoto (ugumba)
5. Husababisha uvimbe kwa ndani ya kizazi kwa mwanamke.
6. Hupelekea matatizo shinikizo la damu la juu (high blood pressure)
7. Mvurugiko wa homoni na kupelekea hedhi kuvurugika, maumivu ya hedhi na kukosa hedhi ikiwa si mjamzito.
8. Husababisha vimbe mbalimbali mwilini.

*SULUHISHO LA KUDUMU*

Kwa watu wenye changamoto hizo tumewaandalia lishe mbadala yenye virutubisho muhimu ili kuondokana na matatizo hayo.

*FAIDA ZA KUFANYA DETOXIFICATION*

•Husaidia katika kuondoa matatizo ya upataji choo kigumu au mtu anayekosa choo.

•Husaidia katika kuimarisha mfumo wa mzunguko wa damu na upumuaji katika Mwili.

• Husaidia katika kuimarisha mfumo wa uzazi kwa mwanaume na mwanamke pale atakapoitumia na Bidhaa zetu nyingine.

• Huweka hedhi sawa na kuondoa maumivu wakati wa hedhi.

• Husaidia kuongeza virutubisho na kuupa Mwili afya.

Unahitaji Kutoa Sumu Mwilini
Call 0750933014

Hata wewe Ndoto Yako ya Kuwa Mama inawezekanaK**a Bado una matumaini ndani Yako na unaona inawezekana Kuwa Mama Piga/Wha...
28/03/2026

Hata wewe Ndoto Yako ya Kuwa Mama inawezekana

K**a Bado una matumaini ndani Yako na unaona inawezekana Kuwa Mama

Piga/Whatsapp 0750933014

Ushuda mwingine🔥🔥🔥🔥🙏Tunaendelea Kugusa maisha ya watu wengine... Usikubali kuendelea kukaa na Changamoto ya Uzazi, PID s...
28/03/2026

Ushuda mwingine🔥🔥🔥🔥🙏
Tunaendelea Kugusa maisha ya watu wengine... Usikubali kuendelea kukaa na Changamoto ya Uzazi, PID sugu, UTI, FANGAS NA PCOS

Suluhisho lipo 📦

Piga/Whatsapp 0750933014

Uvimbe wa kizazi (Fibroids) - Huleta maumivuya tumbo la chini, hedhi nyingi au ndefu.2. Maambukizi ya nyonga (PID) - Mau...
26/03/2026

Uvimbe wa kizazi (Fibroids) - Huleta maumivu
ya tumbo la chini, hedhi nyingi au ndefu.
2. Maambukizi ya nyonga (PID) - Maumivu makali chini ya tumbo, homa au uchafu usio wa kawaida.
3. Endometriosis - Maumivu makali wakati wa
hedhi au tendo la ndoa.
4. Cyst kwenye ovari - Maumivu upande mmoja
wa tumbo la chini.
5. Maumivu ya hedhi (Dysmenorrhea) -
Maumivu kabla au wakati wa hedhi.
Dalili zinazoweza kuambatana:
• Maumivu ya kiuno au mgongo wa chini
• Kutokwa na damu isiyo ya kawaida
• Maumivu wakati wa tendo la ndoa

Wasiliana nasi 0670552110

Tunalo suluhisho la Changamoto yako...Maumivu Yako hayapaswi kuendelea Kuwa sehemu ya maisha YakoTupigie 0670552110
26/03/2026

Tunalo suluhisho la Changamoto yako...
Maumivu Yako hayapaswi kuendelea Kuwa sehemu ya maisha Yako

Tupigie 0670552110

Baadhi ya wanawake hupitia changamoto ya uke mkavu na kujikuta wanakumbana zaidi na mambo hayaMaumivu wakati wa tendo la...
25/03/2026

Baadhi ya wanawake hupitia changamoto ya uke mkavu na kujikuta wanakumbana zaidi na mambo haya

Maumivu wakati wa tendo la ndoa 💔
Kupoteza hamu ya tendo la ndoa kabisa
Kujihisi k**a haupo “active” k**a zamani

Lakini ukweli ni huu…
Sio kawaida kuvumilia ukavu ukeni!

Mwili wako unahitaji msaada k**ama na sio mateso.

Huu ndio Ukweli ambao wengi hawajui
Ukavu ukeni mara nyingi unatokana na
💧Upungufu wa maji mwilini
💧Lishe duni
💧Homoni kutokuwa sawa
💧Msongo wa mawazo

Na habari njema ni hii…
Unaweza kuanza kurejesha unyevu wako ukeni kwa njia ya asili kabisa

🥤 ANZA NA HIZI JUICE 4
✨ Tikiti maji + tangawizi
✨ Karoti + chungwa
✨ Parachichi + maziwa
✨ Beetroot + tufaha (apple)

Usisubiri hali iwe mbaya zaidi!

K**a unapitia hali hii AU unamjua mtu anayepitia…
Tupo hapa kukusaidia

WhatsApp 0750933014

Usiendelee kuteseka na tatizo la Uchafu na ukavu Ukeni.. usikubali kukosa confidence Kwa sababu ya tatizo linalotatulika...
24/03/2026

Usiendelee kuteseka na tatizo la Uchafu na ukavu Ukeni.. usikubali kukosa confidence Kwa sababu ya tatizo linalotatulika

Suluhisho lipo, Rahisi na uhakika

Piga 0750933014

Matokeo ni uhakika🔥🔥🔥🔥Simu ziite 0750933014
24/03/2026

Matokeo ni uhakika🔥🔥🔥🔥

Simu ziite 0750933014

Mwanamke yoyote ambaye ana ndoto ya kuitwa mama, hata k**a bado hajabeba ujauzito, anatakiwa kuanza kujitunza mapema na ...
20/03/2026

Mwanamke yoyote ambaye ana ndoto ya kuitwa mama, hata k**a bado hajabeba ujauzito, anatakiwa kuanza kujitunza mapema na kutengeneza mazingira sahihi kwa kutumia folic acid.
Umejiuliza ni kwanini utumie si ndio?

Folic acid ni aina ya vitamin (Vitamin B9) ambayo husaidia mwili kutengeneza seli mpya. Hii vitamin ni muhimu sana kwa mtoto anayeanza kutungwa tumboni.

📌Kwa nini uitumie kabla ya kushika mimba?
Unashauri mwanamke kuanza kutumia folic acid angalau miezi 3 kabla ya kubeba mimba. Hii ni kwa sababu uhai wa mtoto unaanza kutengenezwa mapema sana , wakati mwingine hata kabla hujajua k**a una mimba.

Inasaidia hasa katika
📍 Kuzuia kasoro ya mishipa ya fahamu ya mtoto (mfano: mgongo wazi – spinal bifida)
📍 Kuimarisha uwezo wa mayai ya mwanamke kushika mimba
📍Kupunguza hatari ya mimba kuharibika (miscarriage)
📍Kusaidia homoni kufanya kazi vizuri
📍 Kulinda mama asipatwe na upungufu wa damu wakati wa ujauzito

Mbona wahenga hawakutumia?
Hili ndio.swali lako, basi usikae ukajiuliza tena maana haya ndio majibu yako.

Kweli Wahenga hawakutumia, lakini maisha yao yalikuwa tofauti sana:
📌Walikula vyakula vya asili vilivyokuwa na virutubisho vingi
📌 Hakukuwa na kemikali, vyakula vya viwandani wala stress k**a sasa
📌Sasa tumekuwa na miili dhaifu kwa sababu ya maisha ya kisasa na kukumbana zaidi na changamoto
za uzazi.

Ndio maana hata wewe ambae unasumbuliwa na uzazi bado unanafasi ya kuanza leo kutumia folic acid bila kusahau kupata usaidizi husika wa Changamoto yako pamoja na kula lishe bora kwa ajili ya kuboresha afya ya uzazi wako.

Bado unanafasi ya kutimiza ndoto yako
Wasiliana nasi sasa kupata msaada zaidi
0750933014

Address

Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Sunday 09:00 - 17:00

Telephone

+255788138816

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Tuongee Afya posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram