29/03/2026
*JE UNAFAHAMU MADHARA YA SUMU MWILINI*
Asilimia kubwa ya maradhi yanayowasumbua watu hivi leo yanatokana na sumu zilizopo katika miili yao.
*INI(LIVER*) ni kiungo kinachofanya kazi ya kusafisha,kuchuja na kuondoa sumu mwilini, Wakati mwingine INI Linazidiwa nguvu...Inawezekana umewahi kusikia mambo mengi kuhusu sumu kwenye mwili, lakini hufahamu chazo halisi cha sumu hizi.
*VYANZO VYA SUMU*
Miili yetu imekuwa ikipokea sumu na uchafu kila siku kutokana ;
1. Matumizi ya dawa mara kwa mara
2. Matumizi ya pombe (Alcohol) na sigara
3. Mazingira na athari kutokana na maendeleo ya sayansi na teknolojia
4. Ukosekanaji wa lishe na mlo kamili.
5. Matumizi ya madawa makali.
6. Uzito mkubwa
7. Mitindo ya maisha
8. Njia za uzazi wa mpango za kisasa
*DALILI ZA KUWA SUMU NYINGI MWILINI*
1. Matatizo ya ngozi kwa mfano chunusi, vipele nk.
2. Kuwa na uzito wa kupindukia
3. Kutopata choo au kupata choo kigumu
4. Kukosa usingizi Na kujihisi mchovu kupitiliza
5. Kichwa kuuma kila mara
6. Kupata miwasho
7. Maumivu ya viungo K**a vile mgongo,goti, nyonga
8. Kuwa na hasira mara kwa mara.
9. Tumbo kujaa gesi nk
*MADHARA YA MWILI KUJAA SUMU*
1. Kukosa hamu ya tendo la ndoa
2. Kupata maambukizi ya figo
3. Kupata maambukizi ya Ini
4. Hupelekea matatizo ya kutopata watoto (ugumba)
5. Husababisha uvimbe kwa ndani ya kizazi kwa mwanamke.
6. Hupelekea matatizo shinikizo la damu la juu (high blood pressure)
7. Mvurugiko wa homoni na kupelekea hedhi kuvurugika, maumivu ya hedhi na kukosa hedhi ikiwa si mjamzito.
8. Husababisha vimbe mbalimbali mwilini.
*SULUHISHO LA KUDUMU*
Kwa watu wenye changamoto hizo tumewaandalia lishe mbadala yenye virutubisho muhimu ili kuondokana na matatizo hayo.
*FAIDA ZA KUFANYA DETOXIFICATION*
•Husaidia katika kuondoa matatizo ya upataji choo kigumu au mtu anayekosa choo.
•Husaidia katika kuimarisha mfumo wa mzunguko wa damu na upumuaji katika Mwili.
• Husaidia katika kuimarisha mfumo wa uzazi kwa mwanaume na mwanamke pale atakapoitumia na Bidhaa zetu nyingine.
• Huweka hedhi sawa na kuondoa maumivu wakati wa hedhi.
• Husaidia kuongeza virutubisho na kuupa Mwili afya.
Unahitaji Kutoa Sumu Mwilini
Call 0750933014