Jukwaa la Afya ya Uzazi Tanzania

Jukwaa la Afya ya Uzazi Tanzania Afya ya uzazi kwa kila kijana wa Kitanzania

Siku ya Ukimwi Duniani – 1 Desemba 2025  Leo tunakumbuka na kuelimisha kuhusu VVU na UKIMWI. Ni wakati wa kuonyesha mshi...
01/12/2025

Siku ya Ukimwi Duniani – 1 Desemba 2025

Leo tunakumbuka na kuelimisha kuhusu VVU na UKIMWI. Ni wakati wa kuonyesha mshik**ano, kupinga unyanyapaa na kueneza maarifa sahihi. Kila mmoja wetu ana jukumu la kulinda afya yake na ya wenzake.

Mambo muhimu ya kufanya
- Pima afya yako mara kwa mara kujua hali yako ya VVU.
- Tumia kondomu kila mara unapofanya ngono.
- Tafuta matibabu mapema na fuata ushauri wa daktari.
- Toa msaada wa kihisia na kijamii kwa watu wanaoishi na VVU.

Mambo ya kuepuka
- Usinyanyapae au kutenga watu wenye VVU.
- Usitumie sindano au vifaa vya kuchoma mwili kwa pamoja.
- Usiamini tiba zisizo na uthibitisho wa kisayansi.

Imani potofu
- VVU haviambukizwi kwa kushikana mikono, kukumbatiana, au kula chakula pamoja.
- Kuonekana mwenye afya hakumaanishi mtu hana VVU – kipimo ndicho njia pekee ya kujua.
- VVU siyo hukumu ya kifo; kwa dawa sahihi na ufuatiliaji, mtu anaweza kuishi maisha marefu na yenye afya.

Tujenge jamii yenye upendo na uelewa. Elimu sahihi ndiyo silaha kubwa dhidi ya UKIMWI.

Je, ni kwa namna gani ukatili wa kijinsia hufanyika shuleni na vyuoni? Tupe maoni yako
29/11/2025

Je, ni kwa namna gani ukatili wa kijinsia hufanyika shuleni na vyuoni? Tupe maoni yako

Tuendelee kujikinga.🏥
21/06/2025

Tuendelee kujikinga.🏥

28/09/2024
🔺 kumeza P2 zaidi ya masaa 72 (siku 3). Kumbuka P2 inafanya kazi kwa ufanisi mkubwa zaidi ikimezwa mapema zaidi.🔺Kumeza ...
27/09/2024

🔺 kumeza P2 zaidi ya masaa 72 (siku 3). Kumbuka P2 inafanya kazi kwa ufanisi mkubwa zaidi ikimezwa mapema zaidi.
🔺Kumeza P2 wakati ukiwa katika baadhi ya dozi za dawa k**a vidonda vya tumbo (omeprazole) , kifua kikuu (rifampicin) na dawa za kifafa (epilepsy)
🔺Endapo ukatapika dawa ndani ya masaa mawili baada ya kumeza dawa, kuhisi kichefuchefu ni moja ya maudhi madogo madogo ya P2 hivyo baadhi ya watu hutapika.
🔺Kufanya ngono zembe baada ya kumeza P2 au kumeza P2 kabla ya kufanya ngono zembe. Kumbuka kwamba dozi moja ya P2 inakinga ngonk zembe moja na sio idadi kadhaa ya ngono zembe.
🔺Uzito mkubwa uliopitiliza unaweza kupunguza ufanisi wa P2. Ufanisi hupungua zaidi kadiri uzito unavyokuwa mkubwa zaidi. Hiki kigezo hakipaswi kumnyima mwanamke/binti haki ya kupata P2.

Je unatufolo? Karibu utufolo ili uweze jifunza vitu vingu kuhusu afya ya uzazi.
26/09/2024

Je unatufolo? Karibu utufolo ili uweze jifunza vitu vingu kuhusu afya ya uzazi.

Address

Dar Es Salaam
1573

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Jukwaa la Afya ya Uzazi Tanzania posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Jukwaa la Afya ya Uzazi Tanzania:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram