16/02/2026
Mafuta yasiyofaa mwilini OMEGA 06 ndio hasa hupelekea uzito kuongezeka na mishipa ya damu kuziba Hali inayopelekea msukumo wa damu kuhutaji Presha zaidi ili kupita katika mishipa ya damu iliyoziba.
👉Msukumo wa damu unapokuwa mkubwa hupelekea shinikizo la damu ambayo hufanya Presha ya mwili kupanda juu kwa sababu ya nguvu kubwa inayotumika kusukuma damu katika mishipa iliyozibwa na mafuta.
UZITO MKUBWA UNAOLETWA NA MAFUTA husababishwa hasa na ULAJI MBAYA WA VYAKULA VISIYO NA AFYA kila siku.
Pia Kuna Hali nyingine k**a kutofanya mazoezi na kufanya kazi za kukaa muda mrefu.