SEBA Herbal clinic

SEBA Herbal clinic Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from SEBA Herbal clinic, Medical and health, BUNJU, Dar es Salaam.

Tunasaidia wanawake wenye changamoto ya UZAZI kuwawezesha waweze kubeba ujauzito ndani ya siku 90 tu kwa kutumia FORMULA maalumu ya STEVIA PIGA/WHATSAPP 0763199190

*Tumpongeze madam BERTHA kwa kutumia juisi zetu na vidonge vyetu na Hatimae amepata mtoto wa k**e**Unachokifanya Leo ndo...
14/11/2025

*Tumpongeze madam BERTHA kwa kutumia juisi zetu na vidonge vyetu na Hatimae amepata mtoto wa k**e*

*Unachokifanya Leo ndo kinaamua kesho yako iweje kamwe usikate Tamaa endelea kutumia juisi zetu na vidonge vyetu ipo siku utanyonyesha*

SEBA Herbal clinic

13/11/2025

*Matilda, Ashura, Aisha, Mariam, Irene, Prisca, Mwantumu, Atupele na wengine kuna ujumbe wenu Hebu waambieni wapitie Hapa*πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Herbal Clinic

*UVIMBE MAJI (PCOS)*Polycystic Ovarian Syndrome (PCOS).Hivi ni vimbe vidogo vidogo kwenye mfuko wa mayai (vimbe maji) ha...
13/11/2025

*UVIMBE MAJI (PCOS)*

Polycystic Ovarian Syndrome (PCOS).

Hivi ni vimbe vidogo vidogo kwenye mfuko wa mayai (vimbe maji) havijawa uvimbe kamili vikipimwa huonekana k**a malengemalenge vinaweza kuwa vingi vingi vimekusanyana bado lakini havijawa Ovarian Cyst tayari ambavyo ni uvimbe kwenye mfuko wa mayai (Ovaries).

Mwanamke mwenye tatizo hili anapitia ugumu wa kubeba ujauzito kwa wakati au anaweza kubeba ujauzito lakini ukatoka yaani mimba ikaharibika. Maumivu haya huambatana na maumivu mengine ya chango la uzazi ndiyo maana mimba zinaharibika hata mwezi mmoja hazijafikisha.

Na hivyo vyote chanzo chake kikuu ni mvurugiko wa homoni yaani homoni imbalance na maambukizi katika kizazi k**a vile UTI, FANGASI, MIWASHO UKENI na baadae P. I. D.

Je, unamjua mwanamke mwenye tatizo hili?. πŸ§β€β™‚οΈπŸ§β€β™‚οΈπŸ§β€β™‚οΈ
*Juisi ya vitunguu swaumu na chai ya mchaichai hutibu Tatizo hili Tumia zote mbili kwa siku 60*

SEBA Herbal clini

12/11/2025

*JINSI YA KUPATA MTOTO WA KIUME.*

ili uweze kupata mtoto wa kiume kisayansi unashauliwa kushiriki tendo siku ambayo yai litakuwa limetoka k**a mzunguko uko sahihi ni hesabu ya siku 14 kabla ya hedhi inayofuata.

Njia nyingine ya kujua k**a yai limetoka, unapaswa kuingiza vidole viwili ukeni nyakati ya asubuh na ukikuta uteute ujue yai limetoka kwahiyo jion yake unashiriki tendo la ndoa kwa ajili ya kupata mtoto wa kiume.

*KWANINI USHIRIKI TENDO LA NDOA WAKAT YAI LIMETOKA ILI KUPATA MTOTO WA KIUME..???*

Kisayansi chromosomes Y ambayo inahusika katika kutunga Mimba ya mtoto wa kiume inaspid kubwa saana ni nyepesi na haiwez kuishi muda mrefu kwahiyo ukishiriki tendo la ndoa wakat yai limetoka maana yake unaongeza nafasi ya kupata mtoto wa kiume.

*Hebu twambie Lengo lako upate mtoto wa k**e au wa kiume au yoyote tuu*πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

SEBA Herbal clinic

12/11/2025

JINSI YA KUPATA MTOTO WA K**E.

Zamani ukimuuliza mtu unapenda upate mtoto gani wengi wao wangejibu mtoto wa kiume. Lakini hivi karibuni mambo yamebadilika watu wengi wanatamani kupata watoto wa k**e zaidi kuliko wa kiume, wengine hutamani kupata mtoto wa k**e baada ya kuwa na watoto wengi wa kiume.Haijalishi ni sababu gani inakusukuma kupata mtoto huyo wa k**e, pengine sasa umekuwa ukihangaika kutafuta njia rahisi ya kukusaidia kufanikisha azma yako hiyo. Basi Leo utakwenda kupata jibu lake, kikawaida yapo mambo matatu makubwa unayotakiwa kuzingatia ili uweze kufanikisha kwa haraka

1.Muda wa Kushiriki Tendo

Mwanaume hutoa mbegu za aina 2, X zinazotengeneza mtoto wa K**e na Y zinazoleta mtoto wa Kiume. Mbegu X huwa zinaishi muda
mrefu zaidi zaidi kuliko Y hivyo basi ili kuweza kufanikisha kupata mtoto wa k**e mapema inatakiwa kushiriki tendo la ndoa siku 2 hadi 4 kabla ya siku ya kutungisha mimba. Hii itasaidia mbegu hizi za X ziweze kuingia pindi tu yai linapotoka.

2.Mikao/Staili za kushiriki tendo la ndoa.


Mikao unayotumia wakati wa kushiriki tendo la ndoa inaweza kuathiri jinsia ya mtoto umtakae… Kikawaida epuka kutumia mikao inayoruhusu mwanaume kumwagia mbegu zake karibu kabisa na mlango wa kizazi. Hivyo pendelea zile staili ambazo mashine ya mwanaume haiingii ndani sana, mfano staili ya kifo cha mende.

3.Usimfikishe Mwanamke Kileleni.


Wakati mwanamke anafika kileleni huwa kuna ute fulani anautoa unaozisaidia mbegu za kiume kukimbia haraka na kuishi muda mrefu, ili kuondoa uwezekano huu wa kupata mtoto wa kiume basi ni vema kushiriki tendo la ndoa kikawaida bila mwanamke kufika kileleni.

SEBA Herbal clinic

*JINSI YA KUTIBU KISUKARI NA PRESSURE NA UTAPONA KABISA NDANI YA MIEZI MITATU.*πŸ‘‡πŸ‘‡*Njia ya pili:* Chukua limao 6 🍈  katak...
12/11/2025

*JINSI YA KUTIBU KISUKARI NA PRESSURE NA UTAPONA KABISA NDANI YA MIEZI MITATU.*πŸ‘‡πŸ‘‡

*Njia ya pili:* Chukua limao 6 🍈 katakata vidogo vidogo na maganda yake weka kwenye maji nusu lita tengeneza juisi usiweke chochote kwenye hii juisi. Chuja juisi yako tumia kila siku asubuhi glass moja, mchana glass moja na jioni glass moja kwa siku 90 mfululizo utakuwa umepona kabisa kisukari na pressure.

Tumia limaoβœ… siyo ndimu.❌❌
* HERBAL CLINIC .*

*JINSI YA KUTIBU KISUKARI NA PRESSURE NA UTAPONA KABISA NDANI YA MIEZI MITATU.*πŸ‘‡πŸ‘‡*Njia ya kwanza:*  Kila siku hakikisha ...
12/11/2025

*JINSI YA KUTIBU KISUKARI NA PRESSURE NA UTAPONA KABISA NDANI YA MIEZI MITATU.*πŸ‘‡πŸ‘‡

*Njia ya kwanza:* Kila siku hakikisha unakunywa chai ya tangawizi na mchaichai usiweke sukari bali katakata limao moja weka kwenye kikombe chako. Chai hii itumike kila siku asubuhi kikombe kimoja na jioni kikombe kimoja kwa siku 90 mfululizo.
* HERBAL CLINIC .*

11/11/2025

*Mwakani mda k**a huu utakuwa unanyonyesha mtoto wako*

*Kazana kutumia juisi zetu na vidonge vyetu utapata hitaji la moyo wako*

SEBA Herbal clinic

*JINSI YA KUMALIZA TATIZO LA UKAVU UKENI NA KUONGEZA UTE UKENI ILI USIUMIE TENA WAKATI WA TENDO LA NDOA.*πŸ’‹πŸ’‹πŸ’‹MAHITAJI.πŸ‘‡Ta...
11/11/2025

*JINSI YA KUMALIZA TATIZO LA UKAVU UKENI NA KUONGEZA UTE UKENI ILI USIUMIE TENA WAKATI WA TENDO LA NDOA.*πŸ’‹πŸ’‹πŸ’‹

MAHITAJI.πŸ‘‡

Tango moja
Juisi fresh ya ukwaju glass moja.

Unanunua ukwaju unaloweka afu unachuja juice yake, baada ya hapo ndo unachukua matango pamoja na hii juice unaviweka kwenye Brenda unasaga kwa pamoja.

Usiweke kingine zaidi ya hivyo tu na usichuje.πŸ₯›

ANGALIZO: Usinunue ya dukani hakikisha umetengeneza mwenyewe nyumbani kwako.

Kisha saga/blend kwa pamoja na utapata juisi safi kabisa. Kunywa juisi hii asubuhi glass moja na jioni glass moja.

Tengeneza na tumia juisi hii angalau mara nne kwa wiki, utaleta majibu....πŸ₯°πŸ’‹

Unaweza pia kumuandalia mume wako juisi hii itamsaidia kumuimarisha zaidi k**a mwanaume.πŸ’ͺπŸ€œπŸ€›

Vilevile unaweza kuwafundisha pia wengine somo hili ili nao wafaidike. Kwa pamoja tusaidiane kuepuka fedheha ndogo ndogo kwenye ndoa zetu.πŸ₯³πŸ₯³

Herbal clinic

*MOLAR PREGNANCY* (Mimba Zabibu/ Mimba hewa: hii ni aina ya mimba ambayo hutokea endapo mbegu ya kiume imerutubisha yai ...
10/11/2025

*MOLAR PREGNANCY* (Mimba Zabibu/ Mimba hewa: hii ni aina ya mimba ambayo hutokea endapo mbegu ya kiume imerutubisha yai la k**e ambalo halina kiini au hata k**a yai hilo lina kiini basi kiini ambacho hakija kamilika vizuri.
Lakini pia huweza kutokea endapo mbegu mbili za kiume kuweza kurutubisha yai moja la k**e kwa wakati mmoja. Matokeo yake kuna kuwa na mgawanyiko usio sahihi wa kondo la nyuma na kijusi pia.

Mimba zabibu ni kati ya aina ya magonjwa ya mimba yanayoweza kujitokeza wakati seli za uzazi (mbegu ya mwanaume na mwanamke) kuungana na kutengeneza mimba isiyokuwa kamilifu.Tatizo hili hujitokeza kwa nadra sana lakini linaweza kuleta changamoto kubwa sana kwa muhusika.

Yai kutokuwa na kiini hutokea hasa pale homoni za kuzalisha mayai zinaposhindwa kupevusha mayai kwa kiwango kinachotakiwa na kuruhusu yai hilo hilo ambalo halijapevuka kukutana na mbegu za kiume kurutubishwa iwe mimba.

*MATIBABU YAKE.*

Ugonjwa huu unaweza kutibika na moja kati ya tiba inayotolewa ni kusafishwa mji wa mimba. Tiba zake zinakuwa na mafanikio makubwa k**a tatizo hili litajulikana mapema. Pale tatizo linapo chelewa kujulikana, linaweza likaleta madhara makubwa kwa afya ya mama.
Tiba hii itaambatana na kufanyiwa Ultrasound na vipimo vya homoni za mimba kabla na baada ya kusafishwa.

Katika kipindi cha matibabu utashauriwa usibebe mimba kwa mda usio pungua miezi 6 mpaka mwaka mmoja ili kuhakikisha hali ya kizazi ipo salama, homoni ziko salama na utulivu wa fikra wa mama.

*NYONGEZA.*πŸ‘‡

1. Unapojihisi umebeba mimba, fika hospitali mapema kwa ajili ya vipimo.

2. Kumbuka kwamba, sio kila mwenye tatizo hili anakuwa na dalili na sio kila dalili inaashiria tatizo, hivyo njia sahihi ni kufanya vipimo.

2. Ugonjwa huu hauna kinga na k**a ulishawahi upata upo na nafasi nyingine ya kuupata tena.

3. Tumia juisi zetu ili kusafisha kizazi, kuondoa changamoto za Uzazi na kuweka homoni sawa ili ubebe ujauzito kiurahisi na mimba iliyo salama.

4. Anza Kliniki mara baada ya kujua kuwa wewe ni Mjamzito kwani ugonjwa huu usipofanyiwa tiba sahihi unaweza ukabadilika na kuwa saratani (cancer) inayo julikana k**a choriocarcinoma.

Je, uliwahi kupata changamoto ya mimba zabibu (Molar Pregnancy)?

10/11/2025

*Hivi nyie mnaotaka MAPACHA mtaweza hizi kashikashi kweli*πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Any way

*JINSI YA KUPATA WATOTO MAPACHA KWA KUTUMIA KARAFUU NA CLOMIPHENE*

*Siku ya kwanza kuingia period Nunua karafuu za 2000 Zisage upate unga wake loweka kwenye maji lita tatu*
*Asubuhi kunywa glasi moja na jioni glasi moja kwa siku tano tuu hii lita tatu itakuwa imeisha*

*Ikifika siku ya Tano Tangu kuanza period nenda pharmacy nunua Clomiphene vidonge 5 tuu anza kumeza asubuhi tuu kwa siku 5 maana yake siku ya 10 dose itakuwa imeisha*

*Alafu kuanzia siku ya 11mpaka ya 18 kutana na mumeo utaleta ushuhuda hapa*

SEBA Herbal clinic

10/11/2025

NIMEPIMA VIPIMO VYOTE VYA UZAZI KWA MWANAMKE SINA TATIZO LOLOTE LAKINI MBONA SIBEBI UJAUZITO?.πŸ€·β€β™‚οΈπŸ€·β€β™€οΈ

Baadhi yetu tumeshajitibu na kujiridhisha kwenye vipimo vyote vya uzazi lakini bado hatujafanikiwa kubeba ujauzito.

"Dr. Sebastian ahsante kwa huduma yako nzuri nimepona kila kitu, nimepima homoni zote ziko sawa, mirija haina shida, mayai yanapevuka vizuri, ute wa uzazi napata, sina uvimbe na hata ultrasound nimepiga zaidi ya tatu niko sawa, hedhi napata vizuri na hata maziwa hayaumi wala kujaa LAKINI kwanini sibebi ujauzito?."😳

Au kwanini sipati period k**a wengine?.πŸ₯Ή

Hili swali wengi linawasumbua bila majibu wala ufafanuzi mzuri.

K**A HUYU NI WEWE FANYA HIVI:πŸ‘‡

1. Mwambie mwenza wako (mme) nae akapime kipimo cha wingi na ubora wa mbegu (semen analysis) kwa sababu baadhi ya wanaume pia wana changamoto za Uzazi hasa katika wingi na ubora wa mbegu zake.

2. Punguza matumizi ya dawa za vipodozi (make up) hasa zenye kemikali kali.
Baadhi ya kemikali zilizopo kwenye vipodozi hasa zenye uwezo wa kuchubua ngozi huathiri taratibu katika mishipa ya neva na damu hivo kupelekea uwezo mdogo wa mayai kupevuka au kukomaa. Mfano mwingine dawa/ vipodozi vya kubadili muonekano ukitumika kwa kipindi kirefu unaweza kuchochea madhara katika uwiano wa homoni.

3. Punguza mawazo na jipe miezi 6 upime upya vipimo vyote na katika kipindi hiki unaweza kujipa likizo ya kupunguza safari za mara kwa mara zisizokuwa za lazima kuepuka kubadili mazingira. Maana kubadili mazingira mara kwa mara huchochea homoni kubadilika hasa kupata period kabla ya wakati au kuchelewa kupata period.

4. Punguza uzito endapo una uzito mkubwa lakini pia punguza mazoezi makali k**a wewe ni mpenda mazoezi sana basi fanya mazoezi kwa wastani yasiwe makali sana kwa kipindi kirefu.

5. Katika kipindi unachohitaji ujauzito na hupati kwa wakati jitahidi kupunguza baadhi ya vyakula, vilevi hasa vilevi vikali vyenye wingi wa kafeini ndani yake na punguza pia uraibu mfano kuvuta sigara, sh**ha na uraibu mwingine wenye kufanana na hivyo.

6. Chunguza utokaji wa hedhi yako, mzunguko wako, aina ya damu inayotoka (nyeusi, mabonge, inatoa harufu au yenye utelezi), na ishara zingine ambazo hujitokeza siku kadhaa

Address

BUNJU
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when SEBA Herbal clinic posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to SEBA Herbal clinic:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram