AI Prompt Images

AI Prompt Images I help creators and brands bring their images into powerful visuals using AI image generation.

Facebook Huangalia Nini Kabla ya Kulipa (Monetization Criteria)Facebook hatoi malipo tu kwa sababu ya views au followers...
11/11/2025

Facebook Huangalia Nini Kabla ya Kulipa (Monetization Criteria)

Facebook hatoi malipo tu kwa sababu ya views au followers bali inachunguza vitu vinne vikubwa👇👇

1️⃣ Kiwango cha uhalisia wa akaunti (Authenticity & Originality). Facebook hulipa wale wanaotengeneza content halisi (original content) si waliyochukua kutoka kwa watu wengine.

Mfano mtu ana followers 3.5k anaweza kuwa anaweka video zake mwenyewe (si repost), anatumia sauti yake mwenyewe au AI voice, ana captions na maudhui ya kipekee.

Lakini wakati huo huo kuna mtu mwingine ana 1M views lakini video ni repost au kachukua vitu alivyoandika mtu mwingine basi Facebook haihesabu k**a eligible kwa malipo.

2️⃣ Uhalisia wa engagement (Meaningful Interactions). Facebook haangalii tu idadi ya views, bali je, watu wanacomment kweli? Je, wanatazama video hadi mwisho? je, wanashare au ku-save?

Mtu anaweza kuwa na 3.5k followers lakini k**a ana community hai (active audience) engagement zake zina quality kubwa zaidi na algorithm inampendelea.

3️⃣ Kuwasha & kutimiza Vigezo vya Monetization. Kuna aina kadhaa za monetization, na kila moja ina masharti tofauti mfano angalia hapa 👇👇👇

a) In-stream ads (kwa video ndefu) Angalau account iwe na 5,000 followers.

b) Dakika 60,000 za kuangaliwa video (watched minutes) ndani ya siku 60. Je huwa unaangalia k**a video zako zinafikisha dakika 60,000 za utazamwaji? Na ni lazima video ziwe original na watu waziangalie hadi mwisho

c) Reels Bonus / Ads on Reels. Facebook huchagua kwa invitation program kigezo kikubwa ni reels zako kupata consistency ya engagement

Hata k**a una 3.5k followers, unaweza kuingizwa kwenye reels bonus k**a Facebook inaona content zako zinawashirikisha watu vizuri.

d) Stars Followers wanakutumia zawadi. Unahitaji kufikisha 500 followers na Video 5 zilizotengenezwa binafsi ndani ya siku 30

Kwa hiyo mtu mwenye 3.5k followers anaweza kuwa anapokea pesa kupitia stars au reels ads si lazima awe na milioni za views.

4️⃣ Uzingatiaji wa sheria za monetization. Facebook hukagua mambo kadhaa mfano hakuna copyright issues.
Hakuna community violations k**a hate speech, nudity, etc.
Akaunti imeunganishwa na professional mode

Wengi wana views nyingi lakini wanashindwa kulipwa kwa sababu ya haya makosa madogo madogo. Wakati mwingine mtu mwenye 50k followers hawezi kulipwa kwa sababu page yake imejaa reposts au haijakamilisha vigezo vya Professional Mode.

WALE WA FOLLOW ME kuna ujumbe wenu hapa!Kuna kitu kinaendelea sana hapa facebook kuwaomba watu wakufollow kupitia commen...
11/11/2025

WALE WA FOLLOW ME kuna ujumbe wenu hapa!

Kuna kitu kinaendelea sana hapa facebook kuwaomba watu wakufollow kupitia comments za wengine au page za watu wengine.

Hii njia inahitaji ustadi na ustaarabu kwa sababu Facebook inapenda engagement ya kweli si spam. Na nimeona wengi wakisema follow me na mimi will follow you back. Hii sio njia nzuri sana na badala yake fanya haya👇

1️⃣ Toa maoni yenye thamani kwanza. Usianze na “Follow page yangu” bali andika comment ya maana inayoonyesha uelewa wako. Baada ya hapo weka mwito mdogo wa kufuata.

Mfano👇

Hii post imenikumbusha jinsi tunavyosahau kupiga picha zenye mvuto. Nimeandika zaidi kuhusu mambo k**a haya kwenye page yangu ya AI Prompt Images karibu utembelee k**a unapenda content za jinsi ya kutengeneza picha kutumia AI.

Hapa unakuwa unatoa thamani, unaweka mwaliko kwa upole unavutia watu halisi (organic followers).

2️⃣ Tumia lugha ya ukarimu siyo amri. Watu hawapendi kuambiwa “Follow me”, wanapenda kualikwa kwa upole. Badala ya kusema Follow page yangu!

Tumia njia hii👇👇

K**a unapenda ujumbe k**a huu unaweza kunitembelea kwenye page yangu kwa posts zaidi.

3️⃣Jibu comments za wengine kwa ukarimu. Ukijibu maoni ya watu kwa upendo wanavutiwa kutembelea page yako kisha wataamua kubakia na kuwa wafuasi wako au laah

4️⃣ Kuwa mshiriki hai siyo promoter tu. Usi comment kwa wengine kwa nia ya kujitangaza pekee. Weka comments zenye uhalisia, toa maoni ya kina, uliza maswali watu wataona wewe ni wa kipekee na kukufuata wenyewe.

5️⃣Tumia akaunti yako kuinua page. Wakati mwingine unaweza kutumia profile yako binafsi kwa kujibu comment vizuri alafu mtu akivutiwa ataangalia profile yako na baadaye atakwenda kwenye page yako. Pia hakikisha bio yako ina maneno yanayoendana na page yako.

6️⃣ Mwisho kabisa hakikisha mtu akija kwenye ukurasa wako anajua kabisa hapa nitapata kitu flani na kweli akute unatoa hicho kitu. Hii itasaidia kupata watu halisi na sio ilimradi watu.

WALE MNAOULIZA KUHUSU MISHALE MEKUNDU KWENYE DASHBOARD!  fans Precious Grace Mishale mekundu kwenye hiyo picha inaonyesh...
11/11/2025

WALE MNAOULIZA KUHUSU MISHALE MEKUNDU KWENYE DASHBOARD! fans Precious Grace

Mishale mekundu kwenye hiyo picha inaonyesha kupungua kwa utendaji (performance) wa ukurasa wako wa Facebook ukilinganisha na kipindi kilichopita.

Kwa mfano hiyo picha nimewaka hapo chini haya ndio maelezo yake👇👇

1. Views 45% idadi ya watu waliotazama post zako imepungua kwa 45%.

2. Viewers 40% watu wa kipekee waliotazama maudhui yako wamepungua kwa 40%.

3. Engagement 52% likes, comments, na shares zimepungua kwa 52%.

4. Net followers 100% hakuna wafuasi wapya waliopatikana na pengine ulipoteza baadhi.

Sababu zinazoweza kusababisha hali hiyo👇👇

1. Umeacha kupost mara kwa mara au muda wa kupost umebadilika.
2. Maudhui (content) hayajawa na mvuto k**a zamani.
3. Algorithm ya Facebook imepunguza kusambaza post zako (reach) kwa sababu ya engagement ndogo.
4. Wafuasi wako hawapati taarifa zako kwa sababu hawajihusishi (like/comment/share) mara nyingi.
5. Ushindani wa maudhui (competition) umeongezeka.

Mambo ya kufanya ili mishale hiyo iwe ya kijani kuongezeka👇👇

1. Post mara kwa mara na kwa ratiba maalum angalau post 1–2 kwa siku muda wa asubuhi (6–9am) au jioni (7–9pm).

2. Tengeneza content ya kuvutia tumia picha au video za kuvutia. Uliza maswali au weka captions zenye hisia (“emotional captions”). Tumia maudhui ya elimu, hadithi, au mafundisho mafupi.

3. Jibu comments zote ukihusiana na wafuasi engagement inaongezeka na Facebook inaleta reach zaidi.

4. Tumia Hashtags na maneno muhimu kulinga na kitu umeposti.

5. Angalia post zilizofanya vizuri zamani rudia mtindo, caption, au muundo ulioleta matokeo mazuri.

6. Tumia Reels zaidi Facebook inasambaza zaidi Reels kuliko post za picha.

7. Shirikiana na kurasa nyingine Tag, comment, au share kutoka kwa wengine kwenye niche yako.

゚viralシfypシ゚viralシalシ

Prompt ya picha pendwa👇👇Create a realistic artistic scene showing a smartphone placed on an open spiral notebook. On the...
11/11/2025

Prompt ya picha pendwa👇👇

Create a realistic artistic scene showing a smartphone placed on an open spiral notebook. On the phone screen, display my uploaded photo. On the right side of the notebook, draw a highly detailed pencil sketch version of the same photo, as if hand-drawn with shading and texture. Keep a pencil beside the notebook. The background should be a light wooden table, and the overall lighting should be soft and natural.

Wakati tuko busy na maokoto ya META tusisahau pia mambo ya nchi yetu🤣🤣Una nini cha kumwambia Spika wa bunge??
11/11/2025

Wakati tuko busy na maokoto ya META tusisahau pia mambo ya nchi yetu🤣🤣

Una nini cha kumwambia Spika wa bunge??

Prompt pendwa hii🤣🤣Haya tuone wangapi wamependa hizi picha!Comment neno Prompt nakutumia chapu kwa haraka🤣
11/11/2025

Prompt pendwa hii🤣🤣

Haya tuone wangapi wamependa hizi picha!

Comment neno Prompt nakutumia chapu kwa haraka🤣

K**a vile kuku anavyowakusanya vifaranga wake chini ya mabawa yake… ndivyo upendo wa Mungu unavyotulinda sisi kila siku....
11/11/2025

K**a vile kuku anavyowakusanya vifaranga wake chini ya mabawa yake… ndivyo upendo wa Mungu unavyotulinda sisi kila siku.

Wakati mwingine, ulinzi wa Mungu hauonekani kwa macho lakini unahisiwa ndani ya moyo.

11/11/2025

Katika kupambana na haya maisha tusisahu kuishi pia. Fanya vile vitu ambavyo vinakupa furaha na amani ya moyo. Maana mwisho wa siku kila tunacho kihangaikia leo tutakiacha hapa hapa.

If you want to be successful in your life by age 30yrs, you should be having these two accounts.1. Facebook Account2. Mi...
11/11/2025

If you want to be successful in your life by age 30yrs, you should be having these two accounts.
1. Facebook Account
2. Mind Your Own Business account

Wewe una account gani hapo?

Address

Mbezi Beach Near Rainbow Social Club
Dar Es Salaam
255

Opening Hours

Monday 08:00 - 17:00
Tuesday 08:00 - 17:00
Wednesday 08:00 - 17:00
Thursday 08:00 - 17:00
Friday 08:00 - 17:00
Saturday 08:00 - 17:00

Telephone

+255784398435

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when AI Prompt Images posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to AI Prompt Images:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram