Brighter health

Brighter health NINATOA HUDUMA YA MAGONJWA YASABABISHWAYO NA UMRI, NA YANAYO SABABISHWA NA UDHAIFU WA MFUMO WA MWILI.

Contact:+255749639292
Whatsapp: https://wa.me/message/7VSPNBT4KL6WL1

29/11/2025

Moja kati ya tunda lenye faida nyingi kwa watu wenye magonjwa ya damu na mifupa.
Wewe unajua faida gani unapo tumia hili tunda...?

Wakati mwingine maisha ya ndoto yana tutazamisha miujiza k**a kukausha bahari kwa kutumia ndoo. Muda mwingine tunasema n...
13/11/2025

Wakati mwingine maisha ya ndoto yana tutazamisha miujiza k**a kukausha bahari kwa kutumia ndoo.

Muda mwingine tunasema ndio inawezekana lakini milima tunayo kutana nayo ikiwa ni pamoja na fikra, muda, uhalisia, na njia vinatufanya wakati mwingine tulale na viatu.

Wakati mwingine unajiuliza walio tangulia walikuwa k**a wewe kweli au ni matokeo ya kutiana Moyo? Hakuna mwenye majibu kwasababu wa kumuuliza ndo huyo humuamini.
Jibu pekee linalo naki ni akili yako inakwambia nini na sio unaona nini.

๐—ง๐—ฎ๐—ฏ๐—ถ๐—ฎ 5 ๐˜‡๐—ฎ ๐—ฎ๐˜€๐˜‚๐—ฏ๐˜‚๐—ต๐—ถ ๐˜‡๐—ถ๐—ป๐—ฎ๐˜‡๐—ผ ๐˜„๐—ฒ๐˜‡๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—ฎ๐˜๐—ต๐—ถ๐—ฟ๐—ถ ๐—ณ๐—ถ๐—ด๐—ผ ๐˜‡๐—ฎ๐—ธ๐—ผ.Figo  ni miongoni mwa viungo muhimu zaidi katika mwili wa binadamu vin...
10/11/2025

๐—ง๐—ฎ๐—ฏ๐—ถ๐—ฎ 5 ๐˜‡๐—ฎ ๐—ฎ๐˜€๐˜‚๐—ฏ๐˜‚๐—ต๐—ถ ๐˜‡๐—ถ๐—ป๐—ฎ๐˜‡๐—ผ ๐˜„๐—ฒ๐˜‡๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—ฎ๐˜๐—ต๐—ถ๐—ฟ๐—ถ ๐—ณ๐—ถ๐—ด๐—ผ ๐˜‡๐—ฎ๐—ธ๐—ผ.

Figo ni miongoni mwa viungo muhimu zaidi katika mwili wa binadamu vinavyofanya kazi nyingi muhimu. Mbali na kuchuja damu, figo husaidia kutoa maji mwilini na kuondoa taka. Kadri muda unavyopita, figo zinaweza kudhoofika na kushindwa kufanya kazi ipasavyo.

Wakati ugonjwa wa kisukari, unywaji pombe, na unene uliopitiliza ni sababu zinazojulikana za ugonjwa sugu wa figo (Chronic Kidney Disease โ€“ CKD), lakini pia kuna tabia nyingine zinazo weza kuharibu figo zako k**a zifuatazo.

1. ๐Š๐ฎ๐ฌ๐ก๐ข๐ง๐๐ฐ๐š ๐ค๐ฎ๐ค๐จ๐ฃ๐จ๐š ๐š๐ฌ๐ฎ๐›๐ฎ๐ก๐ข.

Mara tu unapo amka mwili huitaji kutoa mkojo, kitendo hicho hurahisisha utendaji wa figo na kudumisha uimara wa kibofu.

Kubana mkojo wa asubuhi husababisha shinikizo kwa figo na kibofu kwa wakati mmoja na kusababisha udhaifu wa misuli ya kibofu, huongeza hatari ya maambukizi.

2. ๐Š๐ฎ๐ญ๐จ๐ค๐ฎ๐ง๐ฒ๐ฐ๐š ๐ฆ๐š๐ฃ๐ข ๐ฆ๐š๐ซ๐š ๐›๐š๐š๐๐š ๐ฒ๐š ๐ค๐ฎ๐š๐ฆ๐ค๐š.
Figo zako hupata ukavu (dehydration) wa kiwango kidogo kutokana na kutokunywa maji usiku kucha. Figo zinahitaji maji ya kutosha ili ziweze kuondoa taka mwilini ipasavyo.

Ukikosa kunywa maji asubuhi, unazifanya figo zifanye kazi kwa shida zaidi. Watu wengi hupendelea kunywa kahawa au chai asubuhi, lakini vinywaji hivi vina kafeini ambayo ni diuretic โ€“ humfanya mtu kukojoa mara kwa mara na hivyo kupoteza maji mengi mwilini, jambo linaloongeza ukavu wa mwili.

3. ๐Š๐ฎ๐ญ๐จ๐ค๐ฎ๐ง๐ฒ๐ฐ๐š ๐ฆ๐š๐ฃ๐ข ๐›๐š๐š๐๐š ๐ฒ๐š ๐ฆ๐š๐ณ๐จ๐ž๐ณ๐ข.

Mazoezi ya asubuhi ni mazuri kwa afya yako, lakini usipokunywa maji ya kutosha baada ya mazoezi, figo zako zinaweza kudharaika. Kadri unavo tokwa jasho maji na virutubisho muhimu hupotea mwilini, jambo linalosababisha utendaji duni wa mwili na kuzuia figo kusafisha damu kwa usahihi.

4. ๐Š๐ฎ๐ญ๐ฎ๐ฆ๐ข๐š ๐๐š๐ฐ๐š ๐ณ๐š ๐ฆ๐š๐ฎ๐ฆ๐ข๐ฏ๐ฎ ๐›๐ข๐ฅ๐š ๐ค๐ฎ๐ฅ๐š ๐œ๐ก๐š๐ค๐ฎ๐ฅ๐š.

Watu hutumia dawa k**a Panadol na aspirin kutibu maumivu ya asubuhi, lakini kuzichukua bila kula kwanza huwaathiri figo zao.

Dawa hizi, zinazoitwa NSAIDs, hupunguza mtiririko wa damu kwenye figo, na kusababisha maumivu ya figo na kudharaika kwa matumizi ya mara kwa mara. Kula dawa hizi bila chakula huongeza msongo kwa figo, kwani chakula hulinda figo kutokana na kemikali hatari za dawa.

5. ๐Š๐ฎ๐ซ๐ฎ๐ค๐š ๐ฆ๐ฅ๐จ ๐ฐ๐š ๐š๐ฌ๐ฎ๐›๐ฎ๐ก๐ข.

Watu wengi huruka mlo huu ili kupunguza uzito au kutokana na ratiba zao za kazi. Hata hivyo, baada ya kuruka mlo huu hufuatisha kula vyakula vyenye chumvi nyingi, jambo linaloongeza kiwango cha sodiamu mwilini.

Pia, kukosa kula kwa muda mrefu husababisha kiwango cha sukari damu kusawazika na kuongeza asidi mwilini. Hii huongeza mzigo kwa figo, kwani figo zinahitaji kusawazisha kemikali mwilini na kutoa taka.

Hizi ni tabia zinazo onekana za kawaida k**a huja pata ugonjwa wa figo, ila ikitokea umepata tatizo hili jua hii itakuwa sheria kwako kufanya hivo.
Dr. Allen.๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ.
0749639292.

๐—จ๐˜€๐—ถ๐—ฐ๐—ต๐—ผ ๐—ธ๐—ถ๐—ท๐˜‚๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—ต๐˜‚๐˜€๐˜‚ ๐˜‚๐—ฟ๐—ถ๐—ฐ๐—ถ ๐—ฎ๐˜€๐—ถ๐—ฑ๐—ถ ๐—ป๐—ฎ ๐—ด๐—ฎ๐˜‚๐˜๐—ถ. ๐†๐จ๐ฎ๐ญ ni ugonjwa unaosababishwa na ongezeko la uric asidi mwilini kuliko kawaid...
06/11/2025

๐—จ๐˜€๐—ถ๐—ฐ๐—ต๐—ผ ๐—ธ๐—ถ๐—ท๐˜‚๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—ต๐˜‚๐˜€๐˜‚ ๐˜‚๐—ฟ๐—ถ๐—ฐ๐—ถ ๐—ฎ๐˜€๐—ถ๐—ฑ๐—ถ ๐—ป๐—ฎ ๐—ด๐—ฎ๐˜‚๐˜๐—ถ.

๐†๐จ๐ฎ๐ญ ni ugonjwa unaosababishwa na ongezeko la uric asidi mwilini kuliko kawaida. Takwimu za kitabibu zinaonyesha kuwa wanaume wanapata madhara ya gout sana kuliko wanawake, hii ni kwasababu ya matumizi ya pombe au bia, nyamachoma na kachumbari.
Gout huathiri sana viungo vya mwili hasa magoti, mifupa,vidole na mishipa.
Baadhi ya mambo watu wengi wamekuwa wakihangaika nayo kuhusu uric asidi na hawajui ni haya hapa;
๐Ÿ‘‰ Chakula chenye asidi sio chanzo pekee cha asidi.
Watu wengi wameteseka na kupangilia mlo wakati hawapo kwenye mfumo wa tiba hali inayo wafanya kuonekana k**a wanajitesa bila wao kujua.
Hali ya mvurugiko ikisha tokea mwili wenyewe huzalisha zaidi ya 70% ya uric asidi wakati wa uvunjani wa DNA na RNA.
๐Ÿ‘‰ Viwango vya juu vya uric asidi huweza kuharibu figo na moyo.
Uric asidi inavozidi kuongezeka huathiri hali ya utendaji wa figo, hudhoofisha mishipa ya moyo na mwisho husababisha ongezeko la mawe kwenye figo.

๐Ÿ‘‰ Gout mara nyingi huambatana na magonjwa mengine.
Kwakuwa Gout ni ugonjwa wa kimfumo haisababishi tu maumivu ya viungo bali wagonjwa wa gout wapo kwenye hatari kubwa ya kupata shinikizo la damu, kisukari, ugonjwa wa moyo na kansa ya mifupa.

Usiache uric acid na Gout iendelee kukusumbua Ina madhara zaidi faida ya kuwepo kwa muda unao ivutia subra, wahi kupata ushauri au tiba sasa.
๐๐ซ๐ข๐ ๐ก๐ญ๐ž๐ซ ๐ก๐ž๐š๐ฅ๐ญ๐ก.

๐—จ๐—บ๐—ฒ๐˜„๐—ฎ๐—ต๐—ถ ๐—ธ๐˜‚๐˜€๐—ถ๐—ธ๐—ถ๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—ต๐˜‚๐˜€๐˜‚ ๐—Ÿ๐—ถ๐˜ƒ๐—ฒ๐—ฟ ๐—ฐ๐—ถ๐—ฟ๐—ฟ๐—ต๐—ผ๐˜€๐—ถ๐˜€..?๐‹๐ข๐ฏ๐ž๐ซ ๐œ๐ข๐ซ๐ซ๐ก๐จ๐ฌ๐ข๐ฌ ni hali ya kudumu (chronic disease) inayotokea pale ambapo ini ...
06/11/2025

๐—จ๐—บ๐—ฒ๐˜„๐—ฎ๐—ต๐—ถ ๐—ธ๐˜‚๐˜€๐—ถ๐—ธ๐—ถ๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—ต๐˜‚๐˜€๐˜‚ ๐—Ÿ๐—ถ๐˜ƒ๐—ฒ๐—ฟ ๐—ฐ๐—ถ๐—ฟ๐—ฟ๐—ต๐—ผ๐˜€๐—ถ๐˜€..?

๐‹๐ข๐ฏ๐ž๐ซ ๐œ๐ข๐ซ๐ซ๐ก๐จ๐ฌ๐ข๐ฌ ni hali ya kudumu (chronic disease) inayotokea pale ambapo ini (liver) linaathirika kwa muda mrefu kutokana na majeraha ya ndani yanayosababisha makovu (๐ณ๐ฌ๐œ๐š๐ซ๐ซ๐ข๐ง๐ /๐Ÿ๐ข๐›๐ซ๐จ๐ฌ๐ข๐ฌ) kwenye ini.
Kadri makovu yanavyozidi kujengeka, seli za kawaida za ini hupungua na ini linashindwa kufanya kazi zake ipasavyo.

๐’๐š๐›๐š๐›๐ฎ ๐ณ๐š ๐‹๐ข๐ฏ๐ž๐ซ ๐œ๐ข๐ซ๐ซ๐ก๐จ๐ฌ๐ข๐ฌ.

๐Ÿ“Œ Unywaji wa pombe kupita kiasi kwa muda mrefu. Matumizi ya pombe kali hupelekea kuharibu mfumo wa ndani wa utendaji wa ini, kongosho na figo, hali ambayo huongeza hatari ya ๐œ๐ข๐ซ๐ซ๐ก๐จ๐ฌ๐ข๐ฌ.

๐Ÿ“Œ Hepatitis ๐ na ๐‚ sugu. Virus wa hepatitis huwa k**a chanzo kikuu cha matatizo yote ya ini, kipindi virusi hawa wanapo shambulia na kufanikiwa kushusha kinga huweza kupelekea hadi ini kuoza.

๐Ÿ“Œ Mafuta kwenye ini (Fatty liver disease) hasa yanayohusiana na kisukari na unene kupita kiasi.

๐Ÿ“Œ Dawa na sumu zinazoharibu ini. Matumizi ya dawa mfurulizo bila huweza kusababisha sumu isiyo chujwa na mwisho kuchochea uharibifu wa figo na ini.

๐Œ๐š๐๐ก๐š๐ซ๐š ๐ฒ๐š ๐‹๐ข๐ฏ๐ž๐ซ ๐œ๐ข๐ซ๐ซ๐ก๐จ๐ฌ๐ข๐ฌ

1. ๐Œ๐š๐๐ก๐š๐ซ๐š ๐ฒ๐š ๐ค๐ข๐ฆ๐ฐ๐ข๐ฅ๐ข.

โžก๏ธ Uchovu usioisha

โžก๏ธ Kupungua uzito na misuli

โžก๏ธ Ngozi na macho kuwa ya njano (jaundice)

โžก๏ธ Kuvimba tumbo kwa maji (ascites)

โžก๏ธ Kuvimba miguu na mikono

2. ๐Œ๐š๐๐ก๐š๐ซ๐š ๐ฒ๐š ๐ค๐ข๐š๐Ÿ๐ฒ๐š ๐ฒ๐š ๐ง๐๐š๐ง๐ข ๐ฒ๐š ๐ฆ๐ฐ๐ข๐ฅ๐ข.

โžก๏ธ ๐Š๐ฎ๐ฌ๐ก๐ฎ๐ค๐š ๐ค๐ฐ๐š ๐ค๐ข๐ง๐ ๐š โ†’ mwili unakuwa rahisi kushambuliwa na magonjwa kila wakati.

โžก๏ธ ๐Š๐ฎ๐ญ๐จ๐ค๐ฐ๐š ๐ง๐š ๐๐š๐ฆ๐ฎ ๐ค๐ข๐ซ๐š๐ก๐ข๐ฌ๐ข. Hii ni kwa sababu ini linashindwa kutengeneza protini za kugandisha damu.

โžก๏ธ ๐•๐š๐ซ๐ข๐œ๐ž๐ฌ (๐ฆ๐ข๐ฌ๐ก๐ข๐ฉ๐š ๐ฒ๐š ๐๐š๐ฆ๐ฎ ๐ค๐ฎ๐ฉ๐š๐ง๐ฎ๐ค๐š) hasa tumboni na koo, na zinaweza kupasuka zikatoa damu nyingi.

โžก๏ธ ๐‡๐ž๐ฉ๐š๐ญ๐ข๐œ ๐ก๐ž๐ง๐œ๐ž๐ฉ๐ก๐š๐ฅ๐จ๐ฉ๐š๐ญ๐ก โ†’ sumu zinapojikusanya kwenye ubongo, mgonjwa hupata kuchanganyikiwa, kusahau, au hata kupoteza fahamu.

โžก๏ธ ๐‡๐ž๐ฉ๐š๐ญ๐จ๐œ๐ž๐ฅ๐ฎ๐ฅ๐ฅ๐š๐ซ ๐œ๐š๐œ๐ข๐ง๐จ๐ฆ๐š๐ซ (๐ฌ๐š๐ซ๐š๐ญ๐š๐ง๐ข ๐ฒ๐š ๐ข๐ง๐ข) โ†’ wagonjwa wa cirrhosis wako kwenye hatari kubwa ya kupata saratani ya ini.

3. ๐Œ๐š๐๐ก๐š๐ซ๐š ๐ฒ๐š ๐ค๐ข๐ฃ๐š๐ฆ๐ข๐ข.

๐Ÿ“Œ Gharama kubwa ya matibabu ya muda mrefu. Jinsi ini linavyo zidi kuharibika au jinsi virus wanavoongezeka ndivyo muda wa tiba huwa mrefu na asilimia za kupona moja kwa moja hupungua.

๐Ÿ“Œ Ulemavu wa kazi kwa sababu ya uchovu na maradhi ya kudumu.

๐Ÿ“Œ Msongo wa mawazo (stress) kwa mgonjwa na familia.

๐Ÿ“ Kwa ufupi: Liver cirrhosis ni ugonjwa hatari unaoharibu ini taratibu na unaweza kusababisha kifo endapo hautagunduliwa na kudhibitiwa mapema au ukichukuliwa katika hali ya mazoea.

๐—ž๐—ฎ๐—บ๐—ฎ ๐˜‚๐—ป๐—ฎ ๐—ต๐—ฒ๐—ฝ๐—ฎ๐˜๐—ถ๐˜๐—ถ๐˜€ ๐—• ๐—ฎ๐˜‚ ๐—– ๐—ป๐—ฎ ๐˜‚๐—ป๐—ฎ๐˜๐—ฎ๐—ฏ๐—ถ๐—ฎ ๐—ต๐—ถ๐˜‡๐—ถ ๐—ป๐—ถ ๐—ฟ๐—ฎ๐—ต๐—ถ๐˜€๐—ถ ๐—ธ๐˜‚๐˜„๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ ๐—Ÿ๐—ถ๐˜ƒ๐—ฒ๐—ฟ ๐—ณ๐—ฎ๐˜๐˜๐˜†. ๐‹๐ข๐ฏ๐ž๐ซ ๐Ÿ๐š๐ญ๐ญ๐ฒ ni hali ya ini kujaa mafuta, Hii n...
06/11/2025

๐—ž๐—ฎ๐—บ๐—ฎ ๐˜‚๐—ป๐—ฎ ๐—ต๐—ฒ๐—ฝ๐—ฎ๐˜๐—ถ๐˜๐—ถ๐˜€ ๐—• ๐—ฎ๐˜‚ ๐—– ๐—ป๐—ฎ ๐˜‚๐—ป๐—ฎ๐˜๐—ฎ๐—ฏ๐—ถ๐—ฎ ๐—ต๐—ถ๐˜‡๐—ถ ๐—ป๐—ถ ๐—ฟ๐—ฎ๐—ต๐—ถ๐˜€๐—ถ ๐—ธ๐˜‚๐˜„๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ ๐—Ÿ๐—ถ๐˜ƒ๐—ฒ๐—ฟ ๐—ณ๐—ฎ๐˜๐˜๐˜†.

๐‹๐ข๐ฏ๐ž๐ซ ๐Ÿ๐š๐ญ๐ญ๐ฒ ni hali ya ini kujaa mafuta, Hii ni tofauti na ini kupata hepatitis. Haya ni miongoni mwa makundi walio kwenye ukaribu wa kupata Liver fatty;
1. ๐–๐š๐ ๐จ๐ง๐ฃ๐ฐ๐š ๐ฐ๐š ๐ก๐ž๐ฉ๐š๐ญ๐ข๐ญ๐ข๐ฌ ๐‚.
Kundi hili lina uhatari mkubwa kutokana na tabia za virus hao kupendelea kujifunga k**a mafuta pia.

2. ๐–๐š๐ญ๐ฎ ๐ฐ๐ž๐ง๐ฒ๐ž๐ฏ๐ฎ๐ณ๐ข๐ญ๐จ ๐ฆ๐ค๐ฎ๐›๐ฐ๐š.
Hii ni kwa makundi yote yaani hepatitis B na C. Uwepo wa mafuta mengi hupelekea damu kuwa na mzunguko wa chini hadi kupelekea mafuta kuganda.

3. ๐–๐š๐ ๐จ๐ง๐ฃ๐ฐ๐š ๐ฐ๐š ๐ค๐ข๐ฌ๐ฎ๐ค๐š๐ซ๐ข ๐ง๐š ๐ฆ๐š๐ ๐จ๐ง๐ฃ๐ฐ๐š ๐ฒ๐š ๐ฆ๐จ๐ฒ๐จ.
Kwa kawaida kundi hili wengi wao huwa na cholestelol iliyo zidi hali ambayo huchochea kasi ya mzunguko wa damu kishuka na kuongeza cholesterol zaidi.

Dalili za watu walioanza kupata Fatty Liver ni pamoja na;
๐”๐œ๐ก๐จ๐ฏ๐ฎ ๐ฐ๐š ๐ฆ๐š๐ซ๐š ๐ค๐ฐ๐š ๐ฆ๐š๐ซ๐š, ๐ฎ๐ฌ๐ข๐ง๐ ๐ข๐ณ๐ข, ๐ค๐ข๐œ๐ก๐ž๐Ÿ๐ฎ๐œ๐ก๐ž๐Ÿ๐ฎ ๐ง๐š ๐ค๐ฎ๐ฉ๐š๐ง๐ฎ๐ค๐š ๐ญ๐ฎ๐ฆ๐›๐จ.
Ikiwa hujioni kuchoka maisha yako usiiendekeze hii hali wahi sasa nitakusaidia huduma ya ushauri na njia bora ya kumalizana na tatizo hili.
Dr. Allen ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
0749639292.

๐—ž๐—จ๐—™๐—” ๐—ž๐—ช๐—” ๐—›๐—˜๐—ฃ๐—”๐—ง๐—œ๐—ง๐—œ๐—ฆ ๐—ก๐—œ ๐—จ๐—ญ๐—˜๐— ๐—•๐—˜๐—ก๐—” ๐— ๐—”๐—”๐— ๐—จ๐—ญ๐—œ ๐—ฌ๐—” ๐—ž๐—จ๐—๐—œ๐—ง๐—”๐—ž๐—œ๐—”. Virus wa hepatitis ni kweli ni silent killer ila kwa wale ambao haw...
06/11/2025

๐—ž๐—จ๐—™๐—” ๐—ž๐—ช๐—” ๐—›๐—˜๐—ฃ๐—”๐—ง๐—œ๐—ง๐—œ๐—ฆ ๐—ก๐—œ ๐—จ๐—ญ๐—˜๐— ๐—•๐—˜
๐—ก๐—” ๐— ๐—”๐—”๐— ๐—จ๐—ญ๐—œ ๐—ฌ๐—” ๐—ž๐—จ๐—๐—œ๐—ง๐—”๐—ž๐—œ๐—”.

Virus wa hepatitis ni kweli ni silent killer ila kwa wale ambao hawajapima na kugundua.
Idadi kubwa ya wanao kufa sababu ya hepetitis huku wakiwa na taarifa zaidi ya mwaka huwa ni ๐ฎ๐ณ๐ž๐ฆ๐›๐ž ๐ง๐š ๐ฆ๐š๐š๐ฆ๐ฎ๐ณ๐ข ๐›๐ข๐ง๐š๐Ÿ๐ฌ๐ข.

๐ƒ๐š๐ฅ๐ข๐ฅ๐ข ๐ณ๐š ๐ฐ๐š๐ญ๐ฎ ๐ฐ๐š๐ฅ๐ข๐จ ๐ก๐š๐ญ๐š๐ซ๐ข๐ง๐ข ๐ค๐ฎ๐Ÿ๐š ๐ค๐ฐ๐š ๐ก๐ž๐ฉ๐š๐ญ๐ข๐ญ๐ข๐ฌ ๐ ๐ง๐š ๐‚.
๐Ÿ“Œ Mtu mwenye tabia ya kukariri na sio kupata taarifa (๐๐š๐œ๐ญ๐š๐ซ๐ข ๐ค๐š๐ง๐š๐ฆ๐›๐ข๐š ๐ก๐š๐ฎ๐ฉ๐จ๐ง๐ข)!.
Sikutishi ila k**a umesha jitafakari kauli hii huwa haitoki kichwani mwako na wenda inachangia sana kukupunguzia uzito.

๐Ÿ“Œ Mwenye kujaa kauli za "et dawa hazisaidiii".
Kariba ya kundi hili huwa mnatumia dawa bila utaratibu na matarajio yenu sio kupona bali ni kuona itakuwaje, hakika haitakuwa k**a unatumia dawa k**a chakula.

๐Ÿ“Œ Mwenye tabia ya naomba nusu nijaribu kwanza.
Mmh! Ebu tuangalie kundi lingine maana k**a uko hapa najua umepoteza ela nyingi na hautaki kusikia chochote.

๐Ÿ“Œ Mtu anaye fuata utaratibu kwa matakwa yake na sio maelekezo ya dactari.
Watu wengi walio kwenye kundi hili hupata ugumu wa kufanya maamuzi sahihi na anapo fanya maamuzi hufanya maamuzi kwa hisia na baadae hutumia dawa wenda kwa matamanio yake au jinsi atakavyo yeye.
Lipo kundi lingine hawa huitaji tiba na mwongozo lakini hupata dawa bila mwongozo hali inayo wafanya kuacha kufuatilia ratiba sahihi, hili ni kundi linalo umizwa na watoa huduma na saikolojia zao.

๐€๐ก๐š๐๐ข ๐ฒ๐š๐ง๐ ๐ฎ ๐ฅ๐ž๐จ.
Ikiwa ni mmoja upo kwenye kundi la kwanza na huna mpango wa kubadili mtazamo namimi sitaweza kukuhudumia, ikiwa upo kundi la kwanza lakini unafta njia ya kweli basi nitafte tuanze safari sahihi upya.

K**a upo kwenye kundi la pili la walio telekezwa ndani ya wimbi hili, saluhisho lako lipo pia ambapo nitakupatia ๐ฆ๐Ÿ๐ฎ๐ฆ๐จ ๐ฆ๐ณ๐ข๐ฆ๐š ๐ฐ๐š ๐ฆ๐š๐ญ๐ข๐›๐š๐›๐ฎ ๐›๐ฎ๐ซ๐ž na kuanza nawewe huduma hadi mwisho.
Nitafte sasa kwa namba hizo chini
0749639292.

๐Œ๐š๐ญ๐ข๐›๐š๐›๐ฎ ๐ฒ๐š ๐ก๐ž๐ฉ๐š๐ญ๐ข๐ญ๐ข๐ฌ.
Hepatitis hutibiwa kwa muda tofauti kulingana na tabia zake. Kwa hepatitis ambazo hazijawa na dalili ngumu;
๐Ÿ’ก Full package ya ๐ก๐ž๐ฉ๐š๐ญ๐ข๐ญ๐ข๐ฌ ๐‚ hutumia miezi miwili ambapo package yake hutolewa kwa full package.

๐Ÿ’ก ๐‡๐ž๐ฉ๐š๐ญ๐ข๐ญ๐ข๐ฌ ๐ kuweza kutoweka kabisa huweza kutumia siku 60 hadi 90 kuisha kabisa. Hivyo kwa mgonjwa huyu anaweza kupokea package yake kwa miezi miwili ya pamoja au mwezi mmojammoja kwa miezi mitatu.

Nitakusaidia kuondokana na tatizo hili na kulisahau iwapo utatoka kwenye dalili za hapo mwanzo na kupata mtazamo chanya wa afya yako.

๐‡๐ž๐ฉ๐š๐ญ๐ข๐ญ๐ข๐ฌ ๐ข๐ง๐š๐ญ๐ข๐›๐ข๐ค๐š ๐ง๐š๐ฆ๐›๐ข๐ž ๐ฎ๐ง๐š ๐ก๐ž๐ฉ๐š๐ญ๐ข๐ญ๐ข๐ฌ ๐ข๐ฉ๐ข ๐ง๐š ๐ฎ๐ง๐š๐ก๐ข๐ญ๐š๐ฃ๐ข ๐๐จ๐ฌ๐ž ๐ฒ๐š ๐ฆ๐ฎ๐๐š ๐ ๐š๐ง๐ข ๐ง๐ข๐ค๐ฎ๐Ÿ๐ข๐ค๐ข๐ž ๐ค๐ฐ๐š ๐ฆ๐š๐ญ๐จ๐ค๐ž๐จ ๐ฆ๐š๐ค๐ฎ๐›๐ฐ๐š ๐ง๐š ๐ฒ๐š ๐ก๐š๐ซ๐š๐ค๐š.

27/10/2025
19/10/2025

Celebrating my 1st year on Facebook. Thank you for your continuing support. I could never have made it without you. ๐Ÿ™๐Ÿค—๐ŸŽ‰

๐—™๐—ฎ๐—ถ๐—ฑ๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐—ท๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐—น๐—ถ๐—บ๐—ฎ๐—ผ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ ๐—บ๐—ด๐—ผ๐—ป๐—ท๐˜„๐—ฎ ๐˜„๐—ฎ ๐—ต๐—ฒ๐—ฝ๐—ฎ๐˜๐—ถ๐˜๐—ถ๐˜€.Maji ya vuguvugu yenye limao (lemon water) yana faida kadhaa kwa wagonjw...
07/10/2025

๐—™๐—ฎ๐—ถ๐—ฑ๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐—ท๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐—น๐—ถ๐—บ๐—ฎ๐—ผ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ ๐—บ๐—ด๐—ผ๐—ป๐—ท๐˜„๐—ฎ ๐˜„๐—ฎ ๐—ต๐—ฒ๐—ฝ๐—ฎ๐˜๐—ถ๐˜๐—ถ๐˜€.
Maji ya vuguvugu yenye limao (lemon water) yana faida kadhaa kwa wagonjwa wa ini (liver), hasa k**a yanatumiwa kwa kiasi na kwa utaratibu sahihi. Hapa chini nimeeleza faida zake muhimu kwa wagonjwa wa ini:

๐ŸŒฟ ๐…๐€๐ข๐๐š ๐ณ๐š ๐ฆ๐š๐ฃ๐ข ๐ฒ๐š ๐ฏ๐ฎ๐ ๐ฎ๐ฏ๐ฎ๐ ๐ฎ ๐ง๐š ๐ฅ๐ข๐ฆ๐š๐จ.
1. ๐‡๐ฎ๐œ๐ก๐จ๐œ๐ก๐ž๐š ๐๐ž๐ญ๐จ๐ฑ๐Ÿ๐ข๐œ๐š๐ญ๐ข๐จ๐ง ๐ฒ๐š ๐ข๐ง๐ข.
Limao lina vitamini C na viambato vya antioxidant vinavyosaidia kuondoa sumu (toxins) mwilini.
Husaidia seli za ini kufanya kazi vizuri katika kuchuja damu na kuondoa kemikali hatarishi.

2. ๐‡๐ฎ๐œ๐ก๐จ๐œ๐ก๐ž๐š ๐ฎ๐ณ๐š๐ฅ๐ข๐ฌ๐ก๐š๐ฃ๐ข ๐ฐ๐š ๐›๐ข๐ฅ๐ž.
Bile ni maji yanayotengenezwa na ini kusaidia umengโ€™enyaji wa mafuta.
Kunywa maji ya limao asubuhi kabla ya chakula husaidia ini kuzalisha bile zaidi, hivyo kuboresha umengโ€™enyaji.

3. ๐‡๐ฎ๐จ๐ง๐ ๐ž๐ณ๐š ๐ค๐ข๐ง๐ ๐š ๐ฒ๐š ๐ฆ๐ฐ๐ข๐ฅ๐ข.
Vitamini C kutoka limao husaidia kuimarisha mfumo wa kinga, jambo muhimu kwa wagonjwa wa ini ambao kinga zao huwa dhaifu.

4. ๐‡๐ฎ๐ฉ๐ฎ๐ง๐ ๐ฎ๐ณ๐š ๐ฎ๐œ๐ก๐จ๐ฏ๐ฎ ๐ฐ๐š ๐ข๐ง๐ข.
Limao lina uwezo wa kupunguza oxidation stress kwenye ini, jambo linalosaidia kupunguza kuharibika kwa seli za ini (hepatocytes).

5. ๐‡๐ฎ๐ฌ๐š๐ข๐๐ข๐š ๐ค๐ฎ๐ฌ๐š๐ฐ๐š๐ณ๐ข๐ฌ๐ก๐š ๐ค๐ข๐ฐ๐š๐ง๐ ๐จ ๐œ๐ก๐š ๐ฌ๐ฎ๐ค๐š๐ซ๐ข ๐ง๐š ๐ฆ๐š๐Ÿ๐ฎ๐ญ๐š ๐ฆ๐ฐ๐ข๐ฅ๐ข๐ง๐ข.
Asidi ya citric kwenye limao husaidia kupunguza mafuta mabaya (LDL) na kusaidia kudhibiti glucose, hivyo kulinda ini lisichoke kwa kuchakata mafuta mengi.

โš ๏ธ ๐“๐š๐ก๐š๐๐ก๐š๐ซ๐ข ๐ค๐ฐ๐š ๐ฐ๐š๐ ๐จ๐ง๐ฃ๐ฐ๐š ๐ฐ๐š ๐ข๐ง๐ข.

Usitumie limao kwa wingi (hasa ukali wake) tumia limao kwa ushauri na maelekezo ya dactari wako kwani asidi yake ikizidi inaweza;

๐Ÿ‘‰ Kuongeza maumivu ya tumbo au reflux.

๐Ÿ‘‰ Kuathiri meno kwa muda mrefu.

๐Ÿ“Œ Wakati mzuri ni asubuhi kabla ya kifungua kinywa.

๐Ÿ“Œ Epuka kuongeza sukari au chumvi kwenye mchanganyiko huo.

Tumia mchemsho huu kwa muda wa wiki tatu mfurulizo alafu angalia maendeleo yako, baada ya hapo rejesha majibu kwa dactari wako.

Address

Kimara
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Brighter health posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Brighter health:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram