Nuru Bee Product

Nuru Bee Product Bee scientist,
Managing director of NuruBeeProduct,
Trainings| Teamplayer.

29/01/2026

Enjoy buzzing brilliance of honey bees

28/01/2026

Wewe unapowaona nyuki mahali popote pale ni nini hukuijia kichwani mwako.


Spoonful of sunshine, Eating honey straight from the comb gives you raw enzymes, antioxidants, and even prebiotic compou...
23/01/2026

Spoonful of sunshine, Eating honey straight from the comb gives you raw enzymes, antioxidants, and even prebiotic compounds that feed good gut bacteria.
Enjoy small amounts as part of a balanced diet.

***********

Kijiko chenye kuupa mwili nguvu na Afya,
kula asali moja kwa moja kutoka kwenye sega hukupa vimeng'enya nguvu, vyenye uwezo wa kuoondoa sumu mwilini, na hata kuipa afya njema ya prebiotic ambayo hulisha bakteria nzuri za utumbo. Furahia kiasi kidogo k**a sehemu ya lishe bora.

Nuru Bee Products,
Ubora wa kifalme bei ya kizawa

16/01/2026

Get your honey package at Daruso Cafeteria

Zanzibar Revolution
12/01/2026

Zanzibar Revolution

Je ungependa utumie asali ipi kati ya ☆Asali ya masega ☆Asali ya nyuki wadogo ☆Asali ya nyuki wakubwa Tuandikie ni ipi u...
08/01/2026

Je ungependa utumie asali ipi kati ya
☆Asali ya masega
☆Asali ya nyuki wadogo
☆Asali ya nyuki wakubwa
Tuandikie ni ipi unapendelea na wapi unapatikana sisi tutakufikishia

05/01/2026

Zoezi linaloendelea ni kuhamisha au kuondoa nyuki kwenye makazi.
Ni jukumu letu kila mmoja kuhakikisha kuwa hatutumii viwatirifu kwenye kuua nyuki.
Hivyo unapo waona nyuki iwe nyumbani, ofisini au barabarani toa taarifa kwa wakala wa huduma za misiti Tanzania (TFS)
Ili kuhakikisha usalama wa wananchi na nyuki.

Usalama wetu ni jukumu letu sote

04/01/2026

Huwa unafanya nini Ukiwaona Nyuki Mtaani Kwako.
Au ndo unawatupia mawe unakimbia

Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) Wilaya ya Kinondoni/Ubungo wametoa mafunzo maalumu kwa Maafisa na Askari wa Je...
31/12/2025

Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) Wilaya ya Kinondoni/Ubungo wametoa mafunzo maalumu kwa Maafisa na Askari wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Wilaya ya Temeke kuhusu mbinu salama za kushughulikia matukio yanayohusisha nyuki.

Mafunzo hayo yaliyoendeshwa na B.O Nathanael Nuru kutoka TFS yamehusisha jumla ya Maafisa 8 na Askari 31 wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji.

Warsha hiyo imefanyika katika Ofisi ya Jeshi la Zimamoto Temeke, ikiwa na lengo la kuongeza uwezo wa watendaji kukabiliana na changamoto zinazotokana na ongezeko la matukio ya nyuki katika maeneo ya mijini.

Akizungumza wakati wa mafunzo hayo, Nathanael alisema kwamba kumekuwa na ongezeko la malalamiko ya wananchi kuhusu makundi ya nyuki kuingia katika makazi, Ofisi za umma, mashuleni, viwandani na maeneo yenye shughuli nyingi za kibinadamu, jambo linalohitaji wataalamu wenye ujuzi wa kitaalamu na tahadhari za kiusalama.

Alisema mafunzo hayo yamewajengea uwezo washiriki katika kutoa huduma ya kwanza kwa wahanga wa mashambulizi ya nyuki, pamoja na kutumia mbinu salama za kuwaondoa nyuki waliopotea au kujenga viota katika maeneo yasiyoruhusiwa bila kuhatarisha maisha ya watu.

Aidha, TFS imesisitiza kuwa kuongeza uelewa wa vikosi vya uokoaji kuhusu tabia za nyuki na njia bora za kushughulikia matukio yanayowahusisha ni hatua muhimu katika kulinda usalama wa wananchi na kuhifadhi viumbe hao wenye mchango mkubwa katika uchavushaji na uhifadhi wa mazingira.

31/12/2025

Nature's tiny aviator, tirelessly crafting sweetness with every buzz! 🐝✨

Choose nature embrace healthy lifestyle. Genuine pure honey  is available. Place your order Recieve. We delivery around ...
19/12/2025

Choose nature embrace healthy lifestyle.
Genuine pure honey is available.
Place your order Recieve.
We delivery around the world

Address

Ubungo
Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Nuru Bee Product posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram