The VITAL CARE

27/12/2024

*JIUNGE NA GROUP LA AFYA KUPATA TIBA JUU YA MATATIZO YAFUATAYO*

🎯 *UTI*
🎯 *UVIMBE AKINA MAMA*
🎯 *STDs*
🎯 *AREJI*
🎯 *TYPHOID*
🎯 *GAUTI*
🎯 *KUPATA UJA UZITO KWA MWANAMKE MWENYE CHANGAMOTO HIYO.*
🎯 *PID*
🎯 *KUPUNGUZA WEIGHT*
🎯 *PRESHA*
🎯 *KISUKARI*
🎯 *SHIDA ZA MOYO*
🎯 *DETOXIFICATION*
🎯 *UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME*
🎯 *KIBAMIA*
🎯 *CONDOMS ZA* *MULTIPURPOSE*

25/12/2024

Merry christmassπŸŒ²πŸŒ²πŸŒ²πŸŒΉπŸ’

*KISUKARI NI NINI HASWA?**Sukari mwilini hutokana na vyakula pamoja na vinywaji tunavyotumia kila siku na hutumika kuupa...
23/12/2024

*KISUKARI NI NINI HASWA?*

*Sukari mwilini hutokana na vyakula pamoja na vinywaji tunavyotumia kila siku na hutumika kuupa mwili nguvu. Glukosi ni aina ya sukari ambayo huzipa chembe za mwili nishati. Hata hivyo ili glukosi iingie ndani ya chembe hizo inahitaji insulini. Insulini ni kemikali (Homoni) ambayo hutokezwa na kongosho (Pancrease).*

*Kisukari ni ugonjwa unaotokana na mtu kuwa na sukari nyingi kupita kiasi kwenye damu. Ugonjwa huo huvuruga utaratibu wa kuingiza sukari ndani ya chembe kutoka kwenye damu kwa kuwa chembe huhitaji sukari ili kupata nishati.*

*Ugonjwa wa Kisukari hutokea pale ambapo tezi ya kongosho inaposhindwa kutengeneza kichocheo (Homoni) aina ya insulin au pale mwili unaposhindwa kutumia vizuri kichocheo hicho na kusababisha kuongezeka kwa sukari (Hyperglycemia) au kushuka kwa kiwango cha sukari (Hypoglycemia). Ugonjwa wa kisukari unaweza kusababishwa na kuwa na kiwango kidogo cha insulin mwilini, mwili kutosikia kichocheo hicho au yote mawili.*

*DALILI ZA UGONJWA WA KISUKARI*

🎯 *Kunywa maji mengi kuliko kawaida na kusikia kiu kila wakati.*
🎯 *Kwenda haja ndogo mara kwa mara. Watoto kukojoa kitandani.*
🎯 *Kuwa dhaifu, kukosa nguvu na kujisikia mchovu kila wakati.*
🎯 *Kupungua uzito au kukonda licha ya kula vizuri.*
🎯 *Kusikia njaa kila wakati na kula sana.*
🎯 *Wanawake kuwashwa ukeni.*
🎯 *Kutoona vizuri.*
🎯 *Kupungua nguvu za kiume au hamu ya kujamiiana kwa wanawake.*
🎯 *Ganzi, kuchomwachomwa au kutohisi unapoguswa sehemu za miguu, viganja na vidole.*
🎯 *Miguu kuoza na hata kupata gangrini.*
🎯 *Kukaukwa na ngozi na pia kupata aina ya ngazi katika miguu.*
🎯 *Vidonda au majeraha sehemu yoyote ya mwili kutopona haraka.*
🎯 *Majipu mwilini.*

*SASA NI NANI ANAWEZA KUWA NA UGONJWA WA KISUKARI?*

✨ *Watu walio katika makundi yafuatayo wana uwezekano mkubwa wa kupata ugonjwa wa kisukari:-*

πŸ”₯ *Wenye uzito uliozidi,*

πŸ”₯ *Wenye historia ya kuwa na wagonjwa wa kisukari katika familia zao,*

Whatsapp: 0696633179

23/12/2024

Baba na mama wenye changamoto yoyote njoo nikupe tiba uweze kufurahia naisha yako...utajiri wa kwanza n Afya njema

23/12/2024

Katika Group la whatsapp huko ndipo elimu kubwa hutolewa...naomba jiunge sasa ili uweze kujua mambo kwa undani na upate tiba ya uhakika na ya kibingwa zaidi

23/12/2024

K**a unatatizo lolote linakusumbua kiafya karibu tukusaidiee

*MZIO (ALLERGY)**Mzio au aleji (allergy) ni matokeo ya mpambano uliopitiliza kati ya kinga ya mwili na kitu chochote (am...
23/12/2024

*MZIO (ALLERGY)*

*Mzio au aleji (allergy) ni matokeo ya mpambano uliopitiliza kati ya kinga ya mwili na kitu chochote (ambacho kwa ujumla huwa hakina madhara kwa mwili) inapotokea kimeingia ndani ya mwili au kimegusa sehemu fulani ya mwili.*

*Aleji husababishwa na nini?*

*Kuwa na mzio ni jambo la kawaida. Haishangazi basi kuona kuna baadhi ya watu wanakuwa na mafua karibu kila siku au wengine wanashindwa kuvaa baadhi ya vitu k**a saa au cheni za dhahabu kwa vile tu huvimba mwili au kuwashwa pindi wanapofanya hivyo.*

*Kwa kawaida kinga ya mwili huulinda mwili dhidi ya vitu mbalimbali hatari kwa afya k**a vile vimelea vya bakteria na virusi, lakini wakati mwingine inaweza kupambana pia na vitu ambavyo havina madhara yeyote kwa mwili (ambavyo huitwa allergens). Watu wenye aleji/mzio huwa na hisia zisizo za kawaida za mwili dhidi ya baadhi ya vitu.*

*Mwili unapokumbana na vitu vinavyosababishia aleji (yaani allergens), mfumo wa kinga ya mwili huzalisha kemikali mbalimbali ikiwemo histamine ambayo hupambana na allergens hizo. Mpambano huu ndo husababisha mtu kuwa na dalili za aleji/mzio.*

*Matatizo ya kinasaba pamoja na hali tofauti tofauti za kimazingira zote zinahusika sana katika kusababisha mtu kuwa na mzio. Baadhi ya vitu vinavyosababisha mzio (allergens) ni pamoja na vumbi vumbi, baadhi ya dawa, baadhi ya vyakula, kung'atwa na wadudu k**a vile nyuki, aina fulani ya uyoga, vumbi vumbi la maua (pollens) n.k.Wapo baadhi ya watu ambao hukumbana na mzio pindi wanapokuwa katika mazingira ya joto au baridi wakati wengine hupatwa na mzio pindi wanapopigwa na jua kali. Wakati mwingine, hata msuguano kidogo tu wa ngozi unaweza kuwasababishia baadhi ya watu dalili fulani fulani za mzio.*

*Nini dalili za mtu mwenye aleji?*

*πŸ“ŒDalili za aleji zipo nyingi kutegemeana na eneo gani la mwili linahusika, lakini kwa ujumla*

*🎯K**a ni mfumo wa hewa ndiyo ulioguswa, mtu anaweza kuwa na matatizo katika kupumua (kikohozi au kubanwa na pumzi, mak**asi na kuziba kwa pua, muwasho

*TYPHOID ni nini?**Homa ya matumbo ni maambukizi ya bakteria yanayosambazwa kupitia chakula au maji yaliyochafuliwa. Hus...
23/12/2024

*TYPHOID ni nini?*

*Homa ya matumbo ni maambukizi ya bakteria yanayosambazwa kupitia chakula au maji yaliyochafuliwa. Husababisha dalili k**a vile homa, maumivu ya kichwa, na maumivu ya tumbo. Matibabu na antibiotics ni ya ufanisi.*

*DALILI ZA TYPHOID*

🎯 *Homa ambayo huanza chini na kupanda polepole, ikiwezekana kufikia 104.9 F. (40.5 C)*
🎯 *Kuumwa kichwa*
🎯 *Udhaifu na uchovu*
🎯 *maumivu ya misuli*
🎯 *Kikohozi ni kavu*
🎯 *Kupoteza hamu ya kula na kupungua uzito*
🎯 *Tumbo la kuhara*
🎯 *Kuvimba kwa tumbo*

*MADHARA YA TYPHOID*

πŸ”₯ *Kuathirika kwa misuli ya moyo (myocarditis).*
πŸ”₯ *Kuathirika kwa utando unaozunguka moyo na valvu (endocarditis).*
πŸ”₯ *Pneumonia (homa ya mapafu).*
πŸ”₯ *Kuathirika kwa kongosho (pancreatitis).*
πŸ”₯ *Maambukizi kwenye figo na kibofu cha mkojo.*
πŸ”₯ *Maambukizi kwenye majimaji na ngozi laini inayozunguka ubongo na uti wa mgongo (meningitis).*
πŸ”₯ *Matatizo ya akili k**a kuchanganyikiwa, kuweweseka na ukichaa.*

*Kwa mawasiliano zaidi wasiliana nasi kwa 0696633179*

WhatsApp Group Invite

22/12/2024

*KISUKARI NI NINI HASWA?*

*Sukari mwilini hutokana na vyakula pamoja na vinywaji tunavyotumia kila siku na hutumika kuupa mwili nguvu. Glukosi ni aina ya sukari ambayo huzipa chembe za mwili nishati. Hata hivyo ili glukosi iingie ndani ya chembe hizo inahitaji insulini. Insulini ni kemikali (Homoni) ambayo hutokezwa na kongosho (Pancrease).*

*Kisukari ni ugonjwa unaotokana na mtu kuwa na sukari nyingi kupita kiasi kwenye damu. Ugonjwa huo huvuruga utaratibu wa kuingiza sukari ndani ya chembe kutoka kwenye damu kwa kuwa chembe huhitaji sukari ili kupata nishati.*

*Ugonjwa wa Kisukari hutokea pale ambapo tezi ya kongosho inaposhindwa kutengeneza kichocheo (Homoni) aina ya insulin au pale mwili unaposhindwa kutumia vizuri kichocheo hicho na kusababisha kuongezeka kwa sukari (Hyperglycemia) au kushuka kwa kiwango cha sukari (Hypoglycemia). Ugonjwa wa kisukari unaweza kusababishwa na kuwa na kiwango kidogo cha insulin mwilini, mwili kutosikia kichocheo hicho au yote mawili.*

*DALILI ZA UGONJWA WA KISUKARI*

🎯 *Kunywa maji mengi kuliko kawaida na kusikia kiu kila wakati.*
🎯 *Kwenda haja ndogo mara kwa mara. Watoto kukojoa kitandani.*
🎯 *Kuwa dhaifu, kukosa nguvu na kujisikia mchovu kila wakati.*
🎯 *Kupungua uzito au kukonda licha ya kula vizuri.*
🎯 *Kusikia njaa kila wakati na kula sana.*
🎯 *Wanawake kuwashwa ukeni.*
🎯 *Kutoona vizuri.*
🎯 *Kupungua nguvu za kiume au hamu ya kujamiiana kwa wanawake.*
🎯 *Ganzi, kuchomwachomwa au kutohisi unapoguswa sehemu za miguu, viganja na vidole.*
🎯 *Miguu kuoza na hata kupata gangrini.*
🎯 *Kukaukwa na ngozi na pia kupata aina ya ngazi katika miguu.*
🎯 *Vidonda au majeraha sehemu yoyote ya mwili kutopona haraka.*
🎯 *Majipu mwilini.*

*DALILI ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME*πŸ”₯Kuwahi kufika Kileleni mapema sekunde chache au baada ya kugusa tu mlango wa uke ...
22/12/2024

*DALILI ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME*

πŸ”₯Kuwahi kufika Kileleni mapema sekunde chache au baada ya kugusa tu mlango wa uke na uume kuwa legelege.

πŸ”₯Kukosa Hamu ya Tendo kabisa / kukosa Msisimko/Mihemko

πŸ”₯Mwili kuchoka sana baada ya tendo la Ndoa huambatana na usingizi mzito sana.

πŸ”₯MBEGU KUTOKA KIDOGO AU HAZITOKI KABISA/

πŸ”₯Uume kuwa Lege lege wakati unashiriki Tendo

πŸ”₯UUME KUSINYAA NA KUWA MDOGO

*Hizo ni baadhi ya dalili za upungufu wa nguvu za Kiume k**a umeziona moja ya dalili hizo usipuuze, na K**a unamfaham mtu mwenye Changamoto hizo usipuuze mpatie taarifa hii atakushukuru, kumbuka hilo tatzo likiwa sugu utapata shida Sana kurejea ubora wa mwanzo itakuwa ngumu sana na utadhalilika.*

*Jenga Afya yako sasa hivi kwa nini usubiri kesho?*

*Wanaume....TIBA ni BORA kuliko FEDHEA*

0696633179
https://chat.whatsapp.com/IDHTaKz6LOMDAAXnVTzCkE

Address

0696633179
Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when The VITAL CARE posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram