afya na dr emanuel

afya na dr  emanuel Afya na Dr Emanuel

 . (ULCERS)~Ni ugonjwa ambao mtu hupata michubuko au vijitundu katika kuta za ndani za viungo vya umeng'enyaji au uyeyus...
13/10/2025

. (ULCERS)

~Ni ugonjwa ambao mtu hupata michubuko au vijitundu katika kuta za ndani za viungo vya umeng'enyaji au uyeyushaji chakula.

β€’AINA ZA VIDONDA VYA TUMBO.
1/ Oesophagael Ulcers - ni vidonda ambavyo hutokea kwenye koo.
2/Duodenum ulcers - ni vidonda ambavyo hutokea kwenye utumbo Mdogo.
3/Gastric Ulcers - ni vidonda ambavyo hutokea kwenye mfuko wa chakula (TUMBO).

"CHANZO CHA VIDONDA VYA TUMBO.
~Kushinda mda mrefu bila kula.
~Msongo wa mawazo (Stress).
~Matumizi ya dawa kwa mda mrefu,mfano aspirin
~H plyori hutengeneza enzymes (urease)ambayo hupunguza makali ya tindikali.
~Matumizi ya pombe na tumbaku kwa mda mrefu.
~Bacteria(helicobacteria).

β€’DALILI ZA VIDONDA VYA TUMBO.
~Maumivu ya tumbo
~Tumbo kujaa gesi/kunguruma
~Kichefuchefu na kutapika.
~Kupungua uzito
~Kupata choo cheusi
~Kupatwa na kiungulia
~Kushiba kwa mda mfupi
~Kutapika damu au k**a mabaki ya kahawa.

'TIBA NA USHAURI KWA WENYE TATIZO'
Tupo MIKOCHENI MKABALA KWA WALE AMBAO HUDUMA HAIJAWAFIKIA TUNATOA VIA
tuma sms au piga 0695513738

πŸ‘†Ni Mfumo wa umeme kwa Mwanaume. Mfumo huu ukianza kuharibika lazima Mwanaume upate tatzo la Kuwahi haraka kufika kilele...
13/10/2025

πŸ‘†Ni Mfumo wa umeme kwa Mwanaume. Mfumo huu ukianza kuharibika lazima Mwanaume upate tatzo la Kuwahi haraka kufika kileleni, na uume kusimama kwa ulegevu.

Kadri unavyozidi kukaa na tatzo ndivyo mfumo huu wa umeme unavyokufa ganzi, Baada ya muda utakosa hisia kabisa. Mtu anashauriwa kuanza suluhisho kwa virutubisho asilia K**a vile *Multimaca* na *arg plus* au kimojawapo kwanza, au anaweza kuanza na *Naturemin* kulingana na kipato chake. Hakuna mwingine atayeijali Afya yako zaidi ya wewe mwenyewe. Itunze Afya yako kwanza kabla ya Mambo mengine. Wasap no 0761847263 au piga simu 069553738

PATA ELIMU SAHIHI MWANAUME.UUME Wa Mwanaune Umejengwa Na Misuli Mikubwa Mitatu Na Mjumuisho Wa Misuli Na Tissue Ndogo Nd...
13/10/2025

PATA ELIMU SAHIHI MWANAUME.

UUME Wa Mwanaune Umejengwa Na Misuli Mikubwa Mitatu Na Mjumuisho Wa Misuli Na Tissue Ndogo Ndogo. Msuli Mmoja Wapo Ni Corpus Spongiosum Ambao Ndani Yake Nipo Mrija Wa Urethra Unaohusika Kupitisha Mkojo Na S***m Umepita. Huu Msuli Pia Umejengwa Na Mishipa Ya Damu Ambayo Damu Ikipita Ndani Yake Ndipo Misuli Hii Mikubwa Mitatu Inakaza Na Kukufanya Upate Msimamo Au Kwa Lugha Rahisi "KUDINDA". Wanaume Wengi Sana Haswa Wenye Changamoto Na Udhaifu Katika Afya Ya Uzazi Hushindwa Kumudu Msimamo Imara Na Wa Muda Mrefu Kutokana Na Misuli Hii Kushindwa Kudinda Imara Au Kudinda Kabisa. Udhaifu Huu Unaweza Kutokana Na Mambo Kadha Wa Kadha. Ila Suluisho Zuri Kuliko Yote Ni Kutumia Bidhaa Za Virutubisho Vya Ubora Wa Juu Kabisa. Tuna Package Iitwayo NATURAL MAN POWER Ni Program Itakayo Kupa Miongozo Nadhifu Itakayo Kufanya Uwe Rijali Na Mwenye Afya Bora Kabisa.

Tuma ujumbe neno MAN POWER kwenda whatsApp 0761847263 au piga simu 0695513738

10/10/2025
KUTOKWA NA DAMU NYINGI WAKATI WA HEDHI (MENORRHAGIA ).Hili ni taitizo ambalo huwakumba wanawake wengi katika nyakati tof...
09/10/2025

KUTOKWA NA DAMU NYINGI WAKATI WA HEDHI (MENORRHAGIA ).

Hili ni taitizo ambalo huwakumba wanawake wengi katika nyakati tofautitofauti.
Mwanamke hutokwa na damu nyingi wakati wa hedhi pia inaweza kudumu kwa wiki moja na zaidi.
Hali hii isipopatiwa ufumbuzi huweza kuleta madhara makubwa sana kwa mwanamke ambayo hupelekea vifo.
Katika hali fulani sababu ya kutokwa na damu nyingi inaweza isijulikane.
Zipo sababu kuu zinazosababisha hali hii.Sababu hizo huweza kutofautiana kati ya Mtu mmoja mpaka mwingine kutokana na kiwango cha lishe na virutubisho alivyonavyo mama huyo.

Zifuatazo ni sababu kuu ambazo huchangia tatizo hilo.

1.Kutokuwepo kwa usawa wa vichocheo (Hormonal imbalance )

Vichocheo vya oestrogen na progesterone hutakiwa kuwa katika usawa ili viweze kufanya kazi yake ipasavyo.
Matumizi ya vichocheo katika kupanga uzazi(vijiti/contraceptive pills) huweza kubadili Hali ya vichocheo na kusababisha hali hiyo kutokea,
K**a hali hii itatokea ukuta wa mfuko wa mimba hutoa damu nyingi isiyokawaida.

2. Matatizo ya ovari .

Ovari ni sehemu muhimu sana katika katika kuandaa na kukuza yai na badae kutolewa likiwa kamili kuingia katika mirija ya fallopia tayari kwa safari kuelekea mfuko wa kizazi.
K**a ovari zitashindwa kutoa mayai basi tatizo huwa ni upingufu wa kichocheo kiitwacho progesterone hivyo yai haliwezi kutoka kwenye ovari na hali hii husababisha damu nyingi kutoka wakati wa hedhi.

3. Uvimbe kwenye shemu ya kizazi (Fibroids )

Fibroids siyo saratani bali huwa ni uvimbe wa kawaida ambao hubaki sehemu moja (benign), ambayo hutokea katika umri wa uzazi.
Na hii husababishwa na vichocheo kutokuwa katika usawa na huweza kusababisha damu nyingi kutoka wakati wa hedhi.

4. Vimbe ndogondogo kwenye kizazi .

Huwa ni vimbe ndogo sana katika mfuko wa uzazi.
Hutokea kwa wanawake katika umri wa kuzaa kutokana na vichocheo kuongezeka.

5. Magonjwa ya kurithi.

Matatizo ya damu kutoganda kutokana na hii husababishwa na ukosefu wa vigandishi vya damu.

6. Matatizo ya kiafya.

Maambukizi katika njia ya kizazi k**a Pelvic Inflammatory Diseases(PIDs)

Je nani yuko hatarini kukumbwa na hali hii ?

Makundi yafuatayo yako katika hatari ya kukumbwa na tatizo hili..

1. Wale waliovunja ungo hasa mwaka mmoja wa kwanza huwa hatarini kupata changamoto hii

2.Wanawake wanaokaribia ukomo wa hedhi kati ya miaka 40-50 wako hatarini katika mabadiliko ya vichocheo.

ZIJUE DALILI NA VIASHIRIA VYA TATIZO HILI (Menorrhagia )

1.Kutumia pads moja ama zaidi kila saa kwa mfululizo wa masaa kadhaa.
2. Uhitaji wa kuamka usiku kubadili pad.
3.Damu kutoka nyingi zaidi ya siku nne wakati wa hedhi.
4.Kutoa mabonge ya damu wakati wa hedhi zaidi ya siku moja.
5.Kutoshiriki shughuli za kila siku kutokana na damu nyingi kutoka
6.Dalili za kuishiwa damu, k**a kuchoka, ama kupumua kwa shida.
MADHARA YANAYOWEZA KUTOKEA ENDAPO HATUA MADHUBUTI HAZITACHUKULIWA .

1.Upungufu wa iron ambayo ni madini muhimu katika damu ambapo husaidia katika kubeba hewa ya oksijeni, kukosekana ama kupungua kwake maisha huwa hatarini.

2. Maumivu makali wakati wa hedhi ambayo wakati mwingine huhitaji kutumia dawa za kutuliza maumivu.
Mwili wa mwanamke huhitaji uangalizi wa hali ya juu.

Uonapo dalili ama viashiria hivyo basi tambua changamoto hii ipo karibu nawe hivyo ni vyema kuitafutia ufumbuzi mapema sana.

Suluhisho.

Tumia virutubisho sahihi vyenye kuweza kukupa madini muhimu katika mwili wako. Fanya mazoezi mara kwa mara kwani husaidia katika kuimarisha utendaji kazi mzuri wa mwili wako.
Lakini pia tumia tiba lishe ili kuweza kuimarisha homoni ambazo zitakusaidia kuondokana na changamoto ya homorne imbalance.

Ukizingatia na kutumia Lishe bora na virutubisho bora basi utaweza kuimarisha Afya yako na kuondokana na changamoto hiyo.

Kwa Maelezo zaidi/Maswali au ushauri
Wasiliana nasi au comment namba zako nasi Tutawasiliana nawe ndugu. Au

Wasiliana nasi kwa namba;

Namba:

0695513738

Whatsapp na kawaida piga simu tuongee tukusaidie

πŸ€·β€β™‚οΈ *TOFAUTI YA PID, FANGASI NA UTI* πŸ“ŒHaya ni Magonjwa yanayosumbua sana Mfumo wa Uzazi wa mwanamke... Yana fanana baad...
08/10/2025

πŸ€·β€β™‚οΈ *TOFAUTI YA PID, FANGASI NA UTI*

πŸ“ŒHaya ni Magonjwa yanayosumbua sana Mfumo wa Uzazi wa mwanamke... Yana fanana baadhi ya dalili lakini ni tofauti kabisa

πŸ“ŒKinachotofautisha PID Na mammbukizi mengine ni Kwamba PID ni maambukizi yaliyofika kwenye KIZAZI

πŸ“ŒUTI ni maambukizi ya Bacteria(E.Coli). Hawa wanakaa kwenye Kibofu wasipotibiwa huwa wanapandisha hadi kwenye Figo na kupelekea UTI SUGU

πŸ“Œ Hapa hata utumie dawa za pharmacy aina 500 huwezi pona.. Ila utakuwa unatuliza tu maumivu😭

🧏 *Fungus wanakaa kwenye kuta Za Uke. Na wanaweza kufika kwenye Kizazi wakasababisha PID Pia.*

πŸ“ŒPID Anaweza kupata mtu yoyote yule hata awe Bikra,mara nyingi kutokana na Fungus)
Ukiachilia fungus, Kuna Maambukizi Mengine /Magonjwa ya zinaa yanashambulia kizazi na kusababisha PID.

🧏Makao makuu ya PID ni Kwenye Kizazi

Ili usipate PID
1️⃣ Usitoe Mimba
2️⃣Tibu Maambukizi yoyote ukeni mapema
3️⃣Punguza matumizi ya sukari
4️⃣Acha kushiriki s*x na kila mwanaume
Nipo na njia tatu za kukupa ili upone kabisa.,,,,0695513738
Ushauri na huduma 😊

SOMO LA LEO: PID (PELIVC INFLAMMATORY DISEASE) – UGONJWA WA NDANI KWA WANAWAKE πŸ’”Ugonjwa unaoua taratibu bila kelele, una...
07/10/2025

SOMO LA LEO: PID (PELIVC INFLAMMATORY DISEASE) – UGONJWA WA NDANI KWA WANAWAKE πŸ’”
Ugonjwa unaoua taratibu bila kelele, unaowafanya wanawake wengi washindwe kupata ujauzito na waishi na maumivu ya siri.

πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

πŸ›‘ PID ni nini?
πŸ‘‰ Pelvic Inflammatory Disease ni maambukizi ya bakteria yanayoshambulia viungo vya uzazi vya ndani k**a vile mfuko wa uzazi (uterus), mirija ya uzazi (fallopian tubes), na mayai (ovaries).

😱 Huambukizwa kwa njia gani?
βœ… Kuchelewa kutibu magonjwa ya zinaa k**a kisonono na chlamydia
βœ… Kutumia vifaa vya uzazi bila usafi wa kutosha (k**a kijiti au coil)
βœ… Kuingiliwa bila kinga na mtu aliyeambukizwa
βœ… Kuingiliwa mara kwa mara bila usafi
βœ… Kupata mimba na kutoa mimba mara kwa mara bila kufuata usafi wa kitaalamu

πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

πŸ”₯ Je, una PID?
Dalili kuu ni hizi:
πŸ”Ή Maumivu ya tumbo chini (hasa upande mmoja)
πŸ”Ή Maumivu wakati wa tendo la ndoa
πŸ”Ή Kutokwa na uchafu mwingi usio wa kawaida ukeni
πŸ”Ή Homa au baridi
πŸ”Ή Maumivu wakati wa kukojoa
πŸ”Ή Kutokwa damu katikati ya mzunguko wa hedhi
πŸ”Ή Kutoona siku zako vizuri au kuwa na mabadiliko makubwa ya hedhi
πŸ”Ή Kukosa ujauzito kwa muda mrefu bila sababu

πŸ“Œ PID haikimbii mtu... Hata k**a huna dalili, bado unaweza kuwa nayo kwa kimya na kuharibu kizazi chako kidogo kidogo.

πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

πŸ’£ Madhara ya PID bila matibabu ya haraka:
❌ Kukosa uwezo wa kupata mimba (infertility)
❌ Mimba kutunga nje ya kizazi (ectopic pregnancy)
❌ Maumivu sugu ya nyonga ya kudumu
❌ Kupasuka kwa mirija ya uzazi
❌ Kifo kwa kuchelewa kutibiwa

🟠🟠🟠🟠🟠🟠🟠

πŸ’Š Je, kuna tiba?
βœ… Ndio! PID hutibika mapema kabisa kwa kutumia dawa (za asili au za hospitali)
βœ… Tiba inatakiwa ichukuliwe mapema ili kuepusha madhara ya kudumu
βœ… Unapaswa pia kumueleza mwenza wako atibiwe pia ili kuzuia kurudiana kwa maambukizi

πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

🟒 JE, UNAHISI UNA DALILI AU UNAJIHISI SI MZIMA KIZAZI CHAKO?
➑️ Wasiliana na mtaalamu wa tiba kwa uchunguzi na ushauri.
➑️ Usikae kimya ukiumia – afya ya uzazi ni uhai wa mwanamke!

πŸ“² Mwenye uhitaji wa tiba ya asili inayotokana na mimea, mizizi na matunda iliokusanywa kitaalamu kwa ajili ya PID anitafute inbox au kupitia namba hii:
πŸ“ž + 255 695513738

πŸ”΄πŸ”΅πŸŸ‘πŸŸ’ ELIMU YA LEO NI KINGA YAKE KESHO!
πŸ₯€ Usikubali kizazi chako kiangamizwe kimya kimya na ugonjwa wa ndani…
πŸ” TUMA SOMO HILI KWA WANAOWEZA KUSAIDIWA!

Mimba ikitungwa nje ya kizazi ina dalili hizi:-✨- Kuanza kupata maumivu ya tumbo chini ya kitovu au kiuno,Maumivu haya y...
07/10/2025

Mimba ikitungwa nje ya kizazi ina dalili hizi:-
✨- Kuanza kupata maumivu ya tumbo chini ya kitovu au kiuno,
Maumivu haya yanaweza kuwa ya upande mmoja wa kulia au wa kushoto Na mara nyingi utaanza kuhisi maumivu kuanzia wiki ya 6 hadi ya 8

✨ -Kutokwa damu ukeni
Damu huanza kutoka kidogo kidogo inaweza kuwa nyepesi au nzito nyeusi. Damu hutoka nyingi pale mimba inapopasuka. Wakati mwingine damu inaweza itoke kidogo lakini ikawa imevilia ndani kwa ndani.

Wapo ambao hawaonyeshi dalili zozote, tatizo linaweza kugunduliwa wakati wa *kipimo cha ultrasound*

πŸ”ΈMatibabu yake yanaweza kuwa ya dawa peke yake au kwa njia ya upasuaji.

πŸ”ΈMatibabu ya dawa huanzishwa pale ambapo mimba bado ni ndogo sana Unaweza ukapewa dawa moja au mchanganyiko na ukawekwa kwenye uangalizii wa karibu mpaka utakapopona.

πŸ”ΈMatibabu ya upasuaji hufanywa pale mimba iliyoko nje ya mfuko wa kizazi inapopasuka baada ya kuwa kubwa.

NB: Mimba aikitungu nje ya kizazi hakuna uwezekano wa Kufikia Miezi 9 Miezi 2 -4 ya mwanzo lazima mirija ipasuke.


Kwa mwanamke,hakikisha UNAPONA CHANGAMOTO HIZI KABLA YA KUTAKA UJAUZITO,

1.U.t.i
2.P.i.d
3.fangus sugu
4 .uvimbe na mirija kuziba,

Haya yote nakutibu Bila hata shida yoyote Hapa Tena Kwa uhakiika na njia salama, nicheki kwa namba 0695513738

  πŸ‘‰πŸΎSababu kubwa inayofanya chanzo cha magonjwa mengi kuanzia tumboni ni kwa sababu tumbo (mfumo wa mmeng’enyo) ndicho k...
18/09/2025




πŸ‘‰πŸΎSababu kubwa inayofanya chanzo cha magonjwa mengi kuanzia tumboni ni kwa sababu tumbo (mfumo wa mmeng’enyo) ndicho kiini cha kupata virutubisho vinavyojenga na kuendesha mwili wote. Nikieleze hatua kwa hatua:

1. Mfumo wa kinga uko tumboni kwa kiasi kikubwa

Takribani 70–80% ya seli za kinga zipo kwenye utumbo.

Hii inamaanisha ukuta wa utumbo na bakteria wazuri waliopo humo (gut microbiota) ndio walinzi wa kwanza wa mwili dhidi ya vijidudu na sumu. Ukivurugika, kinga inashuka β†’ magonjwa mengi yanapata nafasi.

2. Virutubisho hutoka tumboni

Mwili wote hutegemea chakula kinachovunjwa tumboni ili kupata vitamini, madini, protini, mafuta na wanga.

Ikiwa mmeng’enyo ni mbovu au chakula ni duni, mwili unakosa nguvu na kinga β†’ kusababisha maradhi mbalimbali k**a upungufu wa damu, uchovu, kisukari, nk.

3. Bakteria na usawa wa vijidudu

Utumbo una mamilioni ya bakteria wazuri (probiotics).

Wakipungua au kuharibiwa na vyakula vibaya, dawa (mfano antibiotics), au msongo wa mawazo, hutokea hali inayoitwa dysbiosis β†’ matokeo yake ni magonjwa ya ngozi, akili (mfano depression), mzio (allergies), na hata saratani.

4. Sumu na taka

Ukuta wa utumbo ukiharibika (leaky gut), sumu na vipande vya chakula visivyovunjika vizuri huingia kwenye damu. Hii husababisha mwili kujibu kwa magonjwa ya kinga mwilini (autoimmune diseases) k**a arthritis, kisukari cha aina 1, na mengine.

5. Tumbo lina uhusiano na ubongo (gut-brain axis)

Kuna mawasiliano ya moja kwa moja kati ya tumbo na ubongo kupitia mishipa (mfano vagus nerve).

Hali ya tumbo ikiharibika β†’ huathiri hisia, mawazo, usingizi, hata matatizo ya akili k**a wasiwasi na sonona.


πŸ‘‰ Tumboni ndiko hutokea usawa au machafuko ya afya.
Chakula, mazingira, msongo wa mawazo na maisha yetu huathiri tumbo kwanza, ndipo matokeo yake yanaonekana mwilini mzima.

πŸ™πŸ½πŸ™πŸ½πŸ™πŸ½

KWA MAWASILIANO ZAIDI PIGA SIMU TUWASILIANE 065513738

 !Tunatoa suluhisho la haraka, salama na la uhakika kwa nguvu za kiume.βœ… Salama kwa afya yakoβœ… Matokeo ya uhakikaβœ… Hudum...
15/09/2025

!
Tunatoa suluhisho la haraka, salama na la uhakika kwa nguvu za kiume.

βœ… Salama kwa afya yako
βœ… Matokeo ya uhakika
βœ… Huduma ya siri na ya heshima

πŸ“ž Piga simu: 0695 513 738
πŸ’¬ WhatsApp: 0761 847 263

πŸ’ͺ !

Address

Kilungule
Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when afya na dr emanuel posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram