Afyanova Pharmacy

Afyanova Pharmacy 🩺Afyanova Pharmacy 💊
Dawa salama kwa matumizi sahihi
Ushauri wa tiba sahihi na
Vifaa tiba
💊Delivery Dar es saalam 💊

30/01/2026

Inver forte
inatibu maambukizi ya uke.
Hasa yale yanayosababishwa na
fangasi na bacteria.”
👉 Hutumika k**a kuna:
Kuwashwa ukeni
Harufu mbaya ukeni
Kutokwa uchafu ukeni

30/01/2026

Ibuprofen ni dawa nzuri ya maumivu na uvimbe, lakini inaweza kusababisha vidonda vya tumbo k**a haitatumika kwa usahihi.
🔹 Ibuprofen hupunguza kinga ya tumbo
🔹 Asidi ya tumbo huanza kuharibu ukuta wa tumbo
🔹 Matokeo yake ni maumivu, vidonda au hata kutokwa damu tumboni
📌 Jinsi ya kujilinda:
✔️ Meza ibuprofen baada ya chakula
✔️ Usitumie kwa muda mrefu bila ushauri
✔️ K**a una historia ya vidonda vya tumbo, mwambie mfamasia
🏥 AfyaNova Pharmacy – Afya yako ni kipaumbele chetu

27/01/2026

ALBENDAZOLE: NJIA SAHIHI YA KUTUMIA
✔️ Meza baada ya kula
✔️ Tumia dozi sahihi kulingana na aina ya minyoo
✔️ Kwa minyoo ya kawaida: dozi moja (400mg)
✔️ Kwa minyoo sugu: fuata maelekezo ya mtaalamu wa afya
⚠️ Tahadhari:
🚫 Usitumie k**a una ujauzito (hasa miezi 3 ya mwanzo)
🤱 Wanyonyeshao – pata ushauri kwanza
💡 Madhara madogo yanaweza kujitokeza k**a kichefuchefu au maumivu ya tumbo.
📍 Pata ushauri sahihi wa dawa AfyaNova Pharmacy
📩 DM au tufikie dukani

26/01/2026

Baada ya safari ndefu, mteja alifika AfyaNova Pharmacy
akilalamika miguu kuvimba

Baada ya kumsikiliza kwa makini,

👉 hatukumshauri kukanda miguu

kwa sababu kuvimba baada ya safari kunaweza kuashiria tatizo la mishipa ya damu ⚠️

✅ Tulimpa ushauri sahihi:

🔹 Aende hospitali haraka kwa uchunguzi

🔹 Aepuke kukanda au kutumia dawa bila vipimo

🔹 Afuate ushauri wa daktari kwanza

💊 AfyaNova Pharmacy

Tunajali afya yako zaidi ya kuuza dawa —
ushauri sahihi huokoa maisha.

AFYA YAKO KIPAUMBELE CHETU





21/01/2026

Unachoka haraka? Kizunguzungu? Mwili hauna nguvu?Huenda ni upungufu wa damu (anemia) 🩸💊 HEMOVIT®Mchanganyiko wa iron, fo...
20/01/2026

Unachoka haraka? Kizunguzungu? Mwili hauna nguvu?
Huenda ni upungufu wa damu (anemia) 🩸
💊 HEMOVIT®

Mchanganyiko wa iron, folic acid, vitamini & zinc
✔ Huongeza damu
✔ Huongeza nguvu
✔ Husaidia afya ya wajawazito na wanawake

📍 Pata HEMOVIT® leo AfyaNova Pharmacy

📞 Piga / WhatsApp: +255 674 76 62 92

Bonyeza link kwenye Bio👆

📩 DM nasi sasa hivi

⚠️ Tumia kwa ushauri wa mtaalamu wa afya

💚 AfyaNova Pharmacy – Afya yako, kipaumbele chetu
afyanovapharmacy



🌸 Dalili za Fangasi Ukeni❌ Dalili:• Kuwashwa/kuchoma ukeni• Uchafu mweupe, mzito • Harufu isiyo ya kawaida• Maumivu waka...
19/01/2026

🌸 Dalili za Fangasi Ukeni

❌ Dalili:
• Kuwashwa/kuchoma ukeni
• Uchafu mweupe, mzito
• Harufu isiyo ya kawaida
• Maumivu wakati wa kujamiana
• Kuwashwa wakati wa kukojoa

📩 Tuandikie DM "AfyaNova Pharmacy" tukushauri hatua sahihi

📲Whatsapp +255 6 74 76 62 92

📍 AfyaNova Pharmacy – Manzese Darajani, Dar es Salaam





18/01/2026

CANBIO-V6 Vaginal Inserts (Clotrimazole USP) 🔷Je, unasumbuliwa na muwasho, kuwashwa au uchafu usio wa kawaida ukeni?Afya...
17/01/2026

CANBIO-V6 Vaginal Inserts (Clotrimazole USP) 🔷
Je, unasumbuliwa na muwasho, kuwashwa au uchafu usio wa kawaida ukeni?
AfyaNova Pharmacy tunakujali 💚
CANBIO-V6 ni dawa ya kuaminika inayotumika kutibu:
✅ Maambukizi ya fangasi ukeni (Vaginal Candidiasis)
✅ Muwasho na kuwashwa ukeni
✅ Uchafu mweupe mzito unaoambatana na harufu isiyo ya kawaida
Tahadhari
Usitumie bila ushauri wa daktari
AfyaNova Pharmacy

255 6 74 76 62 92

MEDIVENT (Betamethasone Cream)Je, unasumbuliwa na:✔️ Muasho wa ngozi✔️ Uwekundu na uvimbe✔️ Eczema au dermatitis✔️ Mzio ...
16/01/2026

MEDIVENT (Betamethasone Cream)
Je, unasumbuliwa na:
✔️ Muasho wa ngozi

✔️ Uwekundu na uvimbe

✔️ Eczema au dermatitis

✔️ Mzio wa ngozi

MEDIVENT husaidia kupunguza inflammation na muasho wa ngozi haraka.
⚠️ Tahadhari:
Haifai kwa fangasi, bakteria au virusi bila ushauri wa mtaalamu.
Usitumie kwa muda mrefu bila maelekezo ya daktari.
📍 Pata AfyaNova Pharmacy
Afya yako, kipaumbele chetu

AfyaNova Pharmacy Inakushauri Kuhusu Ibuprofen 200mg ⚠️Ibuprofen ni dawa ya kupunguza maumivu na kuondoa homa, lakini ha...
08/01/2026

AfyaNova Pharmacy Inakushauri Kuhusu

Ibuprofen 200mg ⚠️

Ibuprofen ni dawa ya kupunguza maumivu na kuondoa homa, lakini haifai kwa kila mtu.

Baadhi ya watu hawapaswi kuitumia bila ushauri wa
1. Historia ya vidonda vya tumbo au maumivu ya tumbo.

2.Shida za figo au ini.

3.Presha ya damu juu (high blood pressure).
4.Asthma
4.Umejifungua au uko mjamzito,
hasa kipindi cha mwisho cha ujauzito.

💡Kumbuka: dawa salama ni dawa iliyotumika kwa uangalifu.
Afya yako ni kipaumbele chetu!

Je unasumbuliwa na magoti kuuma? 😣Unatembea unachoka haraka?Ukisimama au kukaa muda mrefu unaumia?👉 OSTEOMIN Ni msaada w...
07/01/2026

Je unasumbuliwa na magoti kuuma? 😣
Unatembea unachoka haraka?
Ukisimama au kukaa muda mrefu unaumia?

👉 OSTEOMIN
Ni msaada wa magoti na viungo vyako.
🔹 Inasaidia kupunguza maumivu ya magoti

🔹 Inafanya viungo viwe laini, siyo vikavu

🔹 Inafaa kwa watu wanaofanya kazi nyingi au wazee

💊 Ina Glucosamine + Chondroitin
Virutubisho vinavyosaidia kulinda magoti

📍 Pata sasa AfyaNova
+255 674 76 62 92
Afya yako kipaumbele chetu
Use this code





Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afyanova Pharmacy posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram