LISHE KWA AFYA BORA

LISHE KWA AFYA BORA 🀝 Karibu!
πŸ₯GCAT International Clinic (AfyaNiHazina)
🌿Mahali sahihi kwa uchunguzi wa afya na tiba mbadala
🀝Kutana na HC.

Mwakaz'Sryly_TreasurerHealth
Mtaalamu wa afya aliyejitolea kukuongoza kwenye safari ya maisha yenye afya bora.
πŸ‘‰+255 712 312 071

19/08/2025

"Mwanamke Jasiri Hupima Afya Yake! πŸ§¬πŸ‘©β€βš•οΈ
Changamoto za uzazi hazionekani kwa macho hadi ucheki afya yako. Usingoje daliliβ€”jua mapema, kinga ni bora kuliko tiba. G-CAT International Clinic tunapima na kutoa ushauri wa kitaalam juu ya afya ya uzazi.

πŸ“ Njoo ujue hali ya afya yako leo!
πŸ“ž Piga simu: - 0712 312 071
πŸ“ Location: - [ Almost all regions Tanzania ]

πŸ’š Afya yako ni kipaumbele chetu!
🩺 AfyaYakoHazinaYako

12/08/2025

GCAT International Clinic inakuletea maana halisi ya afya!

Afya siyo tu kukosa magonjwa β€” ni ustawi kamili wa mwili, akili, hisia na mahusiano. 🌿

Watu wengi huangalia nje, lakini Afya huanzia ndani

πŸ‘‰πŸΎ Ungependa kuimarisha afya yako?

Hizi hapa ni hatua rahisi za kuanza nazo leo:
πŸ‘‡
βœ… Kunywa maji ya kutosha kila siku
βœ… Lala masaa 6–8 kila usiku
βœ… Fanya mazoezi hata dakika 30 kwa siku
βœ… Kula matunda na mboga kila siku
βœ… Epuka msongo wa mawazo, pata muda wa kupumzika
βœ… Dumisha mahusiano mazuri katika jamii yako

πŸ›‘ Usingoje hadi upate changamoto!

_Jenga afya yako sasa...

_Weka utaratibu wa Kucheki Afya yako Mara kwa Mara...

_ Afya ndiyo mtaji wa maisha bora....

πŸ“² Tag rafiki yako ambaye anahitaji ujumbe huu leo!

12/08/2025

Huduma Bora za Afya GCAT International Clinic πŸ₯
Unahitaji ushauri wa kitaalamu wa afya au tiba mbadala kwa magonjwa sugu?

GCAT International Clinic;- iko kwa ajili yako! Tunatoa huduma za ushauri wa afya kwa kuzingatia *lishe bora, kinga na tiba* kwa kutumia *virutubisho vya asili*.

πŸ‘‰ Tunashughulikia matatizo ya presha, kisukari, U.T.I, vidonda vya tumbo, afya ya uzazi na mengine mengi.

πŸ“ Afya ni Uwekezaji wa Thamani!
Tupigie leo upate huduma yako kwa ukaribu na kwa uangalifu wa hali ya juu.

πŸ“ž +255 712 312 071
πŸ“§ ahazimwakapango@gmail.com
πŸ“² IG: ahazimwakapango255 | FB: LISHE KWA AFYA BORA

πŸ‘‰ HII NI KWAAJILI YAKOπŸ‘‡πŸŒΏ Tibu Fangasi na U.T.I kwa njia salama na ya asili!Dozi ya ETERNAL ikijumuisha virutubisho k**a ...
04/08/2025

πŸ‘‰ HII NI KWAAJILI YAKOπŸ‘‡

🌿 Tibu Fangasi na U.T.I kwa njia salama na ya asili!
Dozi ya ETERNAL ikijumuisha virutubisho k**a Soybean Softgel, Lecithin, Vitamin E, Fish Oil na Antilipemic Tea imeundwa kusaidia mwili wako kupambana na fangasi na maambukizi ya njia ya mkojo kwa ufanisi zaidi.

βœ… Inasaidia kupunguza fangasi
βœ… Hupunguza maambukizi ya UTI
βœ… Husafisha mwili na damu
βœ… Huimarisha kinga ya mwili

🩺 Ushauri Mhimu kwa Afya:
Epuka kutumia dawa bila uchunguzi sahihi!
πŸ‘‰ Tunashauri utembelee vituo vyetu vilivyoenea nchi nzima kwa ajili ya vipimo na ushauri wa moja kwa moja kabla ya kuanza dozi yoyote.
Hii itakusaidia kupata tiba sahihi kulingana na hali yako ya kiafya.

πŸ“ Karibu katika tawi lililo karibu nawe afya yako ni kipaumbele chetu!
πŸ“ž Kwa maelezo zaidi, wasiliana nasi sasa. 0712 312 071

31/07/2025

*Acid Reflux* hali ambapo tindikali kutoka tumboni hurudi juu kwenye koromeo (esophagus), na kusababisha usumbufu au maumivu.

---

*Dalili za Acid Reflux:*
- Hisia ya kitu kukwama kooni
- Maumivu ya koo au koromeo
- Kiungulia cha mara kwa mara (burning sensation kifuani)
- Kukoroma usiku au kikohozi kisichoisha
- Kukosa hamu ya kula
- Kubadilikabadilika kwa sauti
- Uvujaji wa mate kupita kiasi au harufu mbaya ya mdomo

---

*Madhara/athari zake:*
- Vidonda kwenye koromeo
- Maumivu ya kifua yanayofanana na ya moyo
- Kuungua koo
- Kupata kansa ya koromeo (kwa visa vikali visivyotibiwa)
- Ugumu wa kumeza chakula

---

*Jinsi ya kudeal nayo:*
1. *Lishe Bora:*
- Epuka vyakula vyenye pilipili, mafuta mengi, au tindikali k**a machungwa, nyanya.
- Kula kwa kiasi kidogo mara nyingi badala ya milo mikubwa.

2. *Mabadiliko ya mtindo wa maisha:*
- Usilale mara baada ya kula (subiri angalau masaa 2–3)
- Inua kichwa unapolala
- Epuka kuvaa nguo zinazobana tumbo

3. *Dawa:*
- Matumizi ya antacids au proton pump inhibitors (PPIs) kwa ushauri wa daktari.

4. *Ushauri wa kitaalamu:*
- Muone daktari kwa uchunguzi zaidi ikiwa dalili zinaendelea.

Ukihisi unakumbana na dalili hizi mara kwa mara, usipuuzieβ€”tafuta msaada wa kitaalamu.

WENGI HUCHANGANYA!
Acid Reflux mara nyingi huchanganywa na vidonda vya tumbo kwa sababu ya dalili zinazofanana... Lakini usidanganyike kwa dalili pekee! πŸ€”

Ukijikuta unapata dalili hizo mara kwa mara:

Ni muhimu kutafuta msaada wa kitaalamu.

🀝 KARIBU_niulize β€” nipo kwa ajili ya msaada wa afya yako.

Wasiliana nasi kwa simu:
πŸ“ž +255 712 312 071

ASANTE πŸ™πŸ»β€” kwa afya bora, anza na maarifa sahihi!

29/07/2025

MWANAMKE NI UA MVUTO NI LAZIMA..! πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ»πŸ‘‡πŸ»πŸ‘‡πŸ»

_Yaani kua na Ngozi safi, laini na yenye mvuto!
_Ndiyo maana tunasema... urembo wa kweli huanzia tumboni!

πŸ’Š Soybean Soft Capsule_ ya Eternal International si kwa urembo tu, ni msaada kamili kwa afya ya mwanamke wa kisasa:

πŸ€ Husaidia ngozi kung’aa na kuwa na mvuto.

πŸ™‹πŸ½β€β™€οΈ Hupunguza makunyanzi na dalili za uzee.

🩷 Hurekebisha homoni na mzunguko wa hedhi.

πŸŒ™ Husaidia wanawake waliopitia menopause.

πŸ’§ Husafisha damu na kuondoa sumu mwilini.

πŸ›‘ Huimarisha kinga ya mwili na kuifanya ngozi iang'ae zaidi.

πŸ’— Kwa mrembo anayejiamini hii ndiyo siri yako mpya ya kung’aa kila siku, kutoka ndani kwenda nje.

25/07/2025

πŸ€”πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
*🎁 ZAWADI YA THAMANI TOKA KWA MUNGU*
Mtoto ni zawadi kutoka kwa Mungu β€” si wa kupewa tu, bali hulindwa naye pia.
Lakini maarifa ni silaha ya Mungu kutusaidia kuitunza zawadi hii.

Tangu akiwa tumboni, mzazi anapaswa kuelewa hatua za kimwili, kiakili na kiroho za mtoto. Elimu ni ulinzi.

*Jiunge nami kujifunza namna ya kutunza zawadi hii ya kipekee.*
Ili siku Mungu atakapotuuliza, β€œIle zawadi niliyokupa iko wapi?” β€” tuwe na jibu la hekima, upendo na uwajibikaji.

*Karibu tujifunze pamoja.* 🀍

18/07/2025
Karibu Tuelimike na kukuhudumie pia πŸ“ž+255 712 312 071
18/07/2025

Karibu Tuelimike na kukuhudumie pia πŸ“ž+255 712 312 071

18/07/2025

Address

MajumbaSita
Dar Es Salaam

Telephone

+255712312071

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when LISHE KWA AFYA BORA posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram