Afya Volts

Afya Volts 🤝 Karibu!
🏥 Afya⚡️Volts (Afya Yako, Hazina Yetu)
🌿Mahali sahihi kwa uchunguzi wa afya na tiba lishe
🤝Kutana na HC.

Mwakaz'Sryly_HealthTreasurer
Mtaalamu wa afya aliyejitolea kukuongoza kwenye safari ya maisha yenye afya bora.
👉+255 712 312 071

30/01/2026

MAZOEZI + LISHE BORA NDIO NGUZO PEKEE ZA KUTUNZA MWILI WAKO 👌
KWA USHAURI WA KITABIBU....🩺
KARIBU GCAT INTERNATIONAL CLINIC...
TUKUHUDUMIE...
☎️ +255/ 0712 312 071
📍DSM - YOMBO

27/01/2026

🩺Elimika zaidi Kuhusu *Enternal Fish Oil* Kwa Mwili wako...

👉Achana na *Energy Drinks* Chagua *Enternal Fish Oil*....
👉Chaguo/ Suluhisho sahihi la Lishe Asilia na ya kudumu ya kudeal na Changamoto yako ya Uchovu, wako wa mara kwa mara bila kukuacha na madhara mwilini mwako.
👉Tupatie oda yako sasa popote ulipo Tanzania, tutakufikishia.
0712 312 071

27/01/2026

Deep Sea Fish Oil Soft Capsules

Imetengenezwa kutokana na mafuta safi ya samaki wa bahari kuu, yenye virutubisho muhimu vinavyosaidia mwili wako kufanya kazi kwa ufanisi zaidi.

✨ Faida zake kwa mwili wako:
✅ Husaidia afya ya moyo na mzunguko mzuri wa damu
✅ Huimarisha ubongo na kumbukumbu
✅ Hupunguza uchovu wa viungo na misuli
✅ Huboresha afya ya ngozi, nywele na kucha ✨
✅ Huongeza kinga ya mwili 🛡️
✅ Inafaa kwa watu wa rika zote – vijana hadi wazee.

💙 Chagua Deep Sea Fish Oil leo, anza safari ya maisha yenye nguvu na afya bora zaidi.

📩 DM / Wasiliana nasi kwa order
⚡️Volts
(Afya Yako, Hazina Yetu)
0712 312 071

22/01/2026

💧 Faida za kunywa maji ya uvuguvugu asubuhi kabla ya kula chochote.

Kuanza siku kwa kunywa maji ya uvuguvugu husaidia;
♧Kuamsha mwili,
♧Kusafisha mfumo wa mmeng’enyo wa chakula,
♧ Kuondoa sumu mwilini,
♧ Pia kuboreshwa kwa mzunguko wa damu,
♧ Kupunguza kukaza kwa viungo,
♧ Tena huupa mwili nguvu ya asili kabla ya kula.

Ni hatua ndogo lakini yenye mchango mkubwa kwa afya ya kila siku.
Panga kuanza sasa na uone mabadliko ktk Afya yako.

🏥 Kwa ushauri wa kitaalamu na huduma bora za afya yako,

🚶Tembelea kituo chetu cha Afya ,

🏨 Mahali sahihi pa kuanza safari ya afya bora.

👉 Usisahau kufollow page yetu ili kuendelea kupata taarifa muhimu, elimu sahihi na mbinu rahisi za kuboresha afya yako kila siku.

Afya njema huanza na maamuzi sahihi 🌱
KARIBU 🙏

22/01/2026

Je, unasumbuliwa na maumivu ya magoti, viungo kukaza, maumivu ya mgongo au mifupa kuchoka haraka?🤔

Huu ndio muda sahihi wa kuchukua hatua 💪
💊 GCAT Glucosamine, Chondroitin Sulfate & Calcium Capsule.

🫴Imetengenezwa kwa mchanganyiko wa virutubisho muhimu vinavyofanya kazi kwa pamoja kurejesha na kulinda afya ya viungo na mifupa.
✔ Glucosamine – husaidia kujenga na kurekebisha cartilage (kinga ya viungo)
✔ Chondroitin Sulfate – hulinda viungo dhidi ya kuchakaa na hupunguza maumivu
✔ Calcium – huimarisha mifupa na meno, kuzuia mifupa kuwa dhaifu
👉 Vimetengenezwa kwa teknolojia ya kisasa ili virutubisho vifanye kazi haraka na kwa ufanisi mwilini.

🌿 FAIDA ZAKE KUU:
✅ Hupunguza maumivu ya magoti na viungo
✅ Husaidia kurejesha utelezi wa viungo
✅ Huimarisha mifupa na cartilage
✅ Husaidia watu wa rika zote, hasa wanaofanya kazi nzito au wazee
✅ Hukupa uhuru wa kutembea, kufanya kazi na kufanya mazoezi bila maumivu
✨ Afya bora inaanza na uamuzi sahihi. Usisubiri maumivu yaongezeke.
Linda viungo vyako leo karibu tukuhudumie.🙏
Make sure una Follow page yetu kwa tips nyingi zaidi za Afya.☎️
🩺 ⚡️ Mwakaz'Sryly_TreasurerHealth

22/01/2026

Sababu za Fangasi Kwenye Vidole (Miguu au Mikono)
Fangasi za kwenye vidole ni maambukizi yanayosababishwa na vijidudu vya fangasi vinavyopenda mazingira ya unyevu na joto.

Sababu kuu ni pamoja na:
●Kutembea bila viatu kwenye maeneo yenye unyevu k**a mabafu ya pamoja, vyoo au mabwawa ya kuogelea.
●Kuvaa viatu vinavyobana au visivyopitisha hewa kwa muda mrefu.
●Kutokukausha vizuri miguu au mikono baada ya kuoga.
●Kutumia vifaa vya mtu mwingine k**a taulo, viatu au soksi.
●Kinga ya mwili kushuka (mf. kwa wagonjwa wa kisukari au waliodhoofika kiafya).

Athari za Fangasi Kwenye Vidole.
●Kuwashwa na muwasho mkali.
●Ngozi kupasuka, kukauka au kutoa harufu mbaya.
●Maumivu na hisia ya kuungua.
●Kucha kubadilika rangi, kuwa nene au kupasuka.
●Ikiwa haitatibiwa mapema, inaweza kuenea kwenye sehemu nyingine za mwili.

Ushauri wa Kiafya
Ni muhimu kumwona daktari (Dr.) mapema kwa ushauri na matibabu sahihi. Kujitibu bila ushauri wa kitaalamu kunaweza kufanya tatizo liendelee au kuwa sugu.
📍 GCAT Clinic
📞 +255 712 312 071


👉 Follow page yetu ya FB kwa elimu zaidi ya afya na ushauri wa kitaalamu.

19/08/2025

"Mwanamke Jasiri Hupima Afya Yake! 🧬👩‍⚕️
Changamoto za uzazi hazionekani kwa macho hadi ucheki afya yako. Usingoje dalili—jua mapema, kinga ni bora kuliko tiba. G-CAT International Clinic tunapima na kutoa ushauri wa kitaalam juu ya afya ya uzazi.

📍 Njoo ujue hali ya afya yako leo!
📞 Piga simu: - 0712 312 071
📍 Location: - [ Almost all regions Tanzania ]

💚 Afya yako ni kipaumbele chetu!
🩺 AfyaYakoHazinaYako

12/08/2025

GCAT International Clinic inakuletea maana halisi ya afya!

Afya siyo tu kukosa magonjwa — ni ustawi kamili wa mwili, akili, hisia na mahusiano. 🌿

Watu wengi huangalia nje, lakini Afya huanzia ndani

👉🏾 Ungependa kuimarisha afya yako?

Hizi hapa ni hatua rahisi za kuanza nazo leo:
👇
✅ Kunywa maji ya kutosha kila siku
✅ Lala masaa 6–8 kila usiku
✅ Fanya mazoezi hata dakika 30 kwa siku
✅ Kula matunda na mboga kila siku
✅ Epuka msongo wa mawazo, pata muda wa kupumzika
✅ Dumisha mahusiano mazuri katika jamii yako

🛑 Usingoje hadi upate changamoto!

_Jenga afya yako sasa...

_Weka utaratibu wa Kucheki Afya yako Mara kwa Mara...

_ Afya ndiyo mtaji wa maisha bora....

📲 Tag rafiki yako ambaye anahitaji ujumbe huu leo!

12/08/2025

Huduma Bora za Afya GCAT International Clinic 🏥
Unahitaji ushauri wa kitaalamu wa afya au tiba mbadala kwa magonjwa sugu?

GCAT International Clinic;- iko kwa ajili yako! Tunatoa huduma za ushauri wa afya kwa kuzingatia *lishe bora, kinga na tiba* kwa kutumia *virutubisho vya asili*.

👉 Tunashughulikia matatizo ya presha, kisukari, U.T.I, vidonda vya tumbo, afya ya uzazi na mengine mengi.

📍 Afya ni Uwekezaji wa Thamani!
Tupigie leo upate huduma yako kwa ukaribu na kwa uangalifu wa hali ya juu.

📞 +255 712 312 071
📧 ahazimwakapango@gmail.com
📲 IG: ahazimwakapango255 | FB: LISHE KWA AFYA BORA

👉 HII NI KWAAJILI YAKO👇🌿 Tibu Fangasi na U.T.I kwa njia salama na ya asili!Dozi ya ETERNAL ikijumuisha virutubisho k**a ...
04/08/2025

👉 HII NI KWAAJILI YAKO👇

🌿 Tibu Fangasi na U.T.I kwa njia salama na ya asili!
Dozi ya ETERNAL ikijumuisha virutubisho k**a Soybean Softgel, Lecithin, Vitamin E, Fish Oil na Antilipemic Tea imeundwa kusaidia mwili wako kupambana na fangasi na maambukizi ya njia ya mkojo kwa ufanisi zaidi.

✅ Inasaidia kupunguza fangasi
✅ Hupunguza maambukizi ya UTI
✅ Husafisha mwili na damu
✅ Huimarisha kinga ya mwili

🩺 Ushauri Mhimu kwa Afya:
Epuka kutumia dawa bila uchunguzi sahihi!
👉 Tunashauri utembelee vituo vyetu vilivyoenea nchi nzima kwa ajili ya vipimo na ushauri wa moja kwa moja kabla ya kuanza dozi yoyote.
Hii itakusaidia kupata tiba sahihi kulingana na hali yako ya kiafya.

📍 Karibu katika tawi lililo karibu nawe afya yako ni kipaumbele chetu!
📞 Kwa maelezo zaidi, wasiliana nasi sasa. 0712 312 071

31/07/2025

*Acid Reflux* hali ambapo tindikali kutoka tumboni hurudi juu kwenye koromeo (esophagus), na kusababisha usumbufu au maumivu.

---

*Dalili za Acid Reflux:*
- Hisia ya kitu kukwama kooni
- Maumivu ya koo au koromeo
- Kiungulia cha mara kwa mara (burning sensation kifuani)
- Kukoroma usiku au kikohozi kisichoisha
- Kukosa hamu ya kula
- Kubadilikabadilika kwa sauti
- Uvujaji wa mate kupita kiasi au harufu mbaya ya mdomo

---

*Madhara/athari zake:*
- Vidonda kwenye koromeo
- Maumivu ya kifua yanayofanana na ya moyo
- Kuungua koo
- Kupata kansa ya koromeo (kwa visa vikali visivyotibiwa)
- Ugumu wa kumeza chakula

---

*Jinsi ya kudeal nayo:*
1. *Lishe Bora:*
- Epuka vyakula vyenye pilipili, mafuta mengi, au tindikali k**a machungwa, nyanya.
- Kula kwa kiasi kidogo mara nyingi badala ya milo mikubwa.

2. *Mabadiliko ya mtindo wa maisha:*
- Usilale mara baada ya kula (subiri angalau masaa 2–3)
- Inua kichwa unapolala
- Epuka kuvaa nguo zinazobana tumbo

3. *Dawa:*
- Matumizi ya antacids au proton pump inhibitors (PPIs) kwa ushauri wa daktari.

4. *Ushauri wa kitaalamu:*
- Muone daktari kwa uchunguzi zaidi ikiwa dalili zinaendelea.

Ukihisi unakumbana na dalili hizi mara kwa mara, usipuuzie—tafuta msaada wa kitaalamu.

WENGI HUCHANGANYA!
Acid Reflux mara nyingi huchanganywa na vidonda vya tumbo kwa sababu ya dalili zinazofanana... Lakini usidanganyike kwa dalili pekee! 🤔

Ukijikuta unapata dalili hizo mara kwa mara:

Ni muhimu kutafuta msaada wa kitaalamu.

🤝 KARIBU_niulize — nipo kwa ajili ya msaada wa afya yako.

Wasiliana nasi kwa simu:
📞 +255 712 312 071

ASANTE 🙏🏻— kwa afya bora, anza na maarifa sahihi!

29/07/2025

MWANAMKE NI UA MVUTO NI LAZIMA..! 👇👇🏻👇🏻👇🏻

_Yaani kua na Ngozi safi, laini na yenye mvuto!
_Ndiyo maana tunasema... urembo wa kweli huanzia tumboni!

💊 Soybean Soft Capsule_ ya Eternal International si kwa urembo tu, ni msaada kamili kwa afya ya mwanamke wa kisasa:

🍀 Husaidia ngozi kung’aa na kuwa na mvuto.

🙋🏽‍♀️ Hupunguza makunyanzi na dalili za uzee.

🩷 Hurekebisha homoni na mzunguko wa hedhi.

🌙 Husaidia wanawake waliopitia menopause.

💧 Husafisha damu na kuondoa sumu mwilini.

🛡 Huimarisha kinga ya mwili na kuifanya ngozi iang'ae zaidi.

💗 Kwa mrembo anayejiamini hii ndiyo siri yako mpya ya kung’aa kila siku, kutoka ndani kwenda nje.

Address

Yombo/Buza
Dar Es Salaam

Telephone

+255712312071

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya Volts posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram