Imarisha Ndoa

Imarisha Ndoa Uponyaji wa kihisia, mafunzo ya mahusiano & Ndoa na ushauri nasaha kwa wenye changamoto hizi.

Maumivu ya moyo ni matokeo ya tafsiri tunayotoa kwa kilichotokea. Tukikazia upande wa maumivu, tunaendelea kuumia. Lakin...
09/11/2025

Maumivu ya moyo ni matokeo ya tafsiri tunayotoa kwa kilichotokea. Tukikazia upande wa maumivu, tunaendelea kuumia. Lakini tukibadilisha mtazamo na kuona tukio kama sehemu ya ukuaji wetu, ubongo huanza kuachilia kemikali za utulivu kama serotonin na oxytocin.

Kwa hiyo, uponyaji wa moyo hauanzi nje - unaanza pale unaposema: “Sijapoteza, ila kuna manufaa kwenye hili"

Usitafute mtu mkamilifu. Kumbuka ya kuwa hata wewe mwenyewe una mapungufu.Kama umependa ujumbe huu tafadhali fanya yafua...
25/10/2025

Usitafute mtu mkamilifu. Kumbuka ya kuwa hata wewe mwenyewe una mapungufu.

Kama umependa ujumbe huu tafadhali fanya yafuatayo:
1. Save post hii kwa matumizi ya baadae
2. Comment kitu ulichojifunza
3. Follow page hii kwa masomo zaidi
4. Share ili umsaidie mwingine






Acha kupambana na kila mtu -  baadhi hawahitaji majibu, wanahitaji kuona tu mafanikio yako.Watu wengine huwa hawaelewi m...
21/10/2025

Acha kupambana na kila mtu - baadhi hawahitaji majibu, wanahitaji kuona tu mafanikio yako.
Watu wengine huwa hawaelewi maneno, wanaelewa matokeo.

Kwa hiyo wewe tulia tuliii!!! fanya kazi kwa utulivu, endelea kusonga mbele… na acha Mungu awe msemaji wako kupitia matokeo yako.

Ukijibu kila kelele, utapoteza nguvu ya kujenga kile kinachostahili kusikika.

👉 Comment: “Nipo busy na matokeo yangu🔥”

Share kwa mtu anayepoteza muda kujibishana badala ya kujijenga.

🔔 Follow kwa hekima zaidi za maisha, ndoa na amani ya ndani.













Kama umependa ushuhuda huu fanya yafuatayo:1. Save shuhuda hii kwa matumizi ya baadae 2. Comment kitu ulichojifunza 3. F...
10/10/2025

Kama umependa ushuhuda huu fanya yafuatayo:
1. Save shuhuda hii kwa matumizi ya baadae
2. Comment kitu ulichojifunza
3. Follow page hii kwa masomo zaidi
4. Unaweza nicheki WhatsApp kwa msaada zaidi.

Samahani kwa usumbufu. Nimegundua leo ni Simba Day, na najua mashabiki wa mpira – hasa wa Simba na Yanga – watakuwa waki...
09/09/2025

Samahani kwa usumbufu. Nimegundua leo ni Simba Day, na najua mashabiki wa mpira – hasa wa Simba na Yanga – watakuwa wakifuatilia kwa karibu tukio hili kubwa.

Kwa heshima ya mashabiki na ili kuepuka mwingiliano wa ratiba, nimeahirisha Insta Live hadi kesho (Jumatano saa 11:00 jioni).

Asanteni kwa uelewa na nawahakikishia kesho tutajumuika kwa hamasa kubwa zaidi.

Samahani kwa usumbufu. Nimegundua leo ni Simba Day, na najua mashabiki wa mpira – hasa wa Simba na Yanga – watakuwa waki...
09/09/2025

Samahani kwa usumbufu. Nimegundua leo ni Simba Day, na najua mashabiki wa mpira – hasa wa Simba na Yanga – watakuwa wakifuatilia kwa karibu tukio hili kubwa.

Kwa heshima ya mashabiki na ili kuepuka mwingiliano wa ratiba, nimeahirisha Insta Live hadi kesho (Jumatano saa 11:00 jioni).

Asanteni kwa uelewa na nina imani kesho tutajumuika kwa hamasa kubwa zaidi.

Nitakuwa Live kesho kukupatia mbinu za jinsi unavyoweza kuzuia makundi yenu ya damu yasiharibu ndoa yenu. *Jinsi ya kuji...
08/09/2025

Nitakuwa Live kesho kukupatia mbinu za jinsi unavyoweza kuzuia makundi yenu ya damu yasiharibu ndoa yenu.

*Jinsi ya kujiunga na Insta Live:*

1. Wakati muda wa Live utakapofika, nenda tu kwenye profile yangu kisha bonyeza sehemu ya LIVE utakayoiona juu ya picha ya profile. (Kumbuka ufanye hivi wakati wa Live utakapofika (Kesho saa 11:00 jioni na sio kabla ya hapo)

2. Ili Insta wakukumbushe ...weka alama ya kengele (🔔) kwenye akaunti yangu ili usipitwe na hiyo Live.

Jiunge, sikiliza, uliza maswali na shiriki maoni yako!
Usikose—uwepo wako ni muhimu sana

Kesho nitakuwa Insta Live nikikupatia mbinu za jinsi ya kuzuia makundi yenu ya damu yasiharibu ndoa yako. *Jinsi ya kuji...
08/09/2025

Kesho nitakuwa Insta Live nikikupatia mbinu za jinsi ya kuzuia makundi yenu ya damu yasiharibu ndoa yako.

*Jinsi ya kujiunga nami kwenye Insta Live:

1. Wakati muda wa Live utakapofika, nenda tu kwenye profile yangu kisha bonyeza sehemu ya LIVE utakayoiona juu ya picha ya profile. (Kumbuka ufanye hivi wakati wa Live utakapofika (Kesho saa 11:00 jioni na sio kabla ya hapo)

2. Ili Insta wakukumbushe ...weka alama ya kengele (🔔) kwenye akaunti yangu ili usipitwe na hiyo Live.

Jiunge, sikiliza, uliza maswali na shiriki maoni yako!

Usikose—uwepo wako ni muhimu kwa uponyaji wa ndoa yako.

Ikiwa unapitia mateso kwenye ndoa yako na ungepeda kupata msaada wa kitaalam kutoka kwa mtaalam wa mahusiano na ndoa usi...
04/09/2025

Ikiwa unapitia mateso kwenye ndoa yako na ungepeda kupata msaada wa kitaalam kutoka kwa mtaalam wa mahusiano na ndoa usisite kuwasiliana nami kwa namba yangu ya whatsapp 0754 450 505

Je, tabasamu lako limepotea kwa sababu ya unayopitia?Ungepeda lile tabasamu la kweli linalotoka ndani na sio plastic smi...
25/08/2025

Je, tabasamu lako limepotea kwa sababu ya unayopitia?

Ungepeda lile tabasamu la kweli linalotoka ndani na sio plastic smile likurejee?

Nitumie ujumbe "nahitaji tabasamu og"

Address

Dar Es Salaam
12116

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Imarisha Ndoa posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram