AFYA YA UZAZI

AFYA YA UZAZI TUNA SHUGHULIKA NA MAGONJWA MBALIMBALI KUHUSIANA NA AFYA YA UZAZI📍..IKIWEMO..

bawasili, PID,saratani zote IKIWEMO shingo ya kizazi , matiti, UTI..NA MARADHI YOTE YANAYOHUSIANA NA WAJAWAZITO ...WASILIANA NASI KWANI SULUHISHO LIMEPATIKANA 0756260521

🌱 *UFAHAMU UGONJWA WA P.I.D* 🌱 ⚡ Pelvic inflammatory disease (P.I.D) -Ni maambukizi kwenye via vya uzazi vya mwanamke ya...
19/06/2025

🌱 *UFAHAMU UGONJWA WA P.I.D* 🌱
⚡ Pelvic inflammatory disease (P.I.D) -Ni maambukizi kwenye via vya uzazi vya mwanamke yaani uterus, Fallopian tube, o***y na parametrium.

⚡ HUSABABISHWA NA WADUDU WAJULIKANAO K**A:
👉Gonococci
👉Chlamydia
Hawa wawili ndo visababishi vikubwa vya PID, na wengineo K**a vile:
👉 Staphylococcus
👉 Streptococcus
👉 Coliforms
👉 Mycoplasma
👉Colistridium perfringens

🔷Huenezwa kwa njia ya kufanya mapenzi (through sexual in*******se) kwa asilimia kubwa.
🔷Njia zingine ni k**a:
👉 Wakati wa kuwekewa kitanzi cha uzazi wa mpango (insertion of intrauterine contraceptive device)
👉 Wakati wa kutoa mimba(therapeutic or elective abortion)
👉 Wakati wa kujifungua mtoto(during childbirth)
👉 Wakati wa Upasuaji wa endometrium(endometrial biopsy)

🥬 DALILI ZA P.I.D🥬
👉Kutoka uchafu usio wa kawaida ukeni (vaginal discharge with abnormal colour)
👉 Maumivu ya Tumbo la chini(lower abdominal pain)
👉 Hedhi isiyoeleweka (irregular menstrual cycle)
👉 Maumivu wakati wa hedhi(increased menstrual cramping)
👉 Maumivu wakati wa kufanya mapenzi (pain during sexual in*******se)
👉Kutoka damu baada ya tendo(bleeding after sexual in*******se)
👉 Kichefuchefu (nausea)
👉Kukosa hamu ya chakula (lack of appetite)
👉 Kuchokachoka (fatigue)
👉Maumivu ya kiuno(lower back pain)

🔷WATU WALIOPO KWENYE HATALI YAKUPATA P.I.D NI🔷
👉Watu waliofikia umri wa kufanya mapenzi (sexually active age group)
👉Watu wenye mahusiano na mpenzi zaidi ya moja(multiple sexual partners)
👉Wenye upungufu wa Kinga ya mwili(immunodeficiency)
👉Wenye historia ya kuwa na PID(past history of PID)
👉Wenye kuingiziwa vitanzi(Insertion of IUCD).

🔷 MADHARA YA PID🔷
👉Ugumba/kushindwa kubeba mimba (infertility)
👉Mimba kutungwa nje ya mfuko wa uzazi (ectopic pregnancy)
👉 Maumivu ya muda mrefu(chronic pelvic pain)
👉 Kutungwa kwa usaha(pelvic abscess)
👉Mimba kuharibika (Miscarriage)
👉Kukosa hamu ya tendo la ndoa
👉Mirija ya uzazi kuziba
👉Kupata saratani ya shingo la kizazi
👉Kuvurugika kwa mfumo wa homoni (hormonal imbalance)

🔥 *NOTE* UONAPO DALILI HIZO TAFUTA MSAADA WA KUONDOKANA NA TATIZO HILO.

Kwa ushauri na tiba za maradhi mbalimbali wasiliana nasi
WHATSAPP 0756260521

UTI (Urinary tract infection) ni ugonjwa wa maabukizi katika mfumo wa mkojo na maambukizi haya yanasababishwa na bakteri...
15/06/2025

UTI (Urinary tract infection) ni ugonjwa wa maabukizi katika mfumo wa mkojo na maambukizi haya yanasababishwa na bakteria aitwaye Escherichia coli.

Kwa kawaida bakteria hawa hupatikana katika utumbo mpana na kwenye njia ya haja kubwa,

Na inapotokea wakahamia katika njia ya mkojo husababisha mtu kupata tatizo hili la maambukizi katika mfumo wa mkojo.

Ugonjwa wa U.T.I unaweza athiri urethra, kibofu cha mkojo na figo.
-

DALILI ZA UTI .

➢ Kwenda haja ndogo mara kwa mara na maumivu wakati wa kukojoa.

➢ Kuhisi kuunguzwa na mkojo kwenye kibofu au mrija wa mkojo.

➢ Maumivu chini ya kitovu.

➢ Mkojo kuwa na harufu mbaya.➢ Kuhisi homa kali na uchovu na kichefuchefu.

➢ Mkojo kubadilika rangi kuwa nyeusi au rangi ya mawingu.

➢ Kushikwa na hamu ya kukojoa ila mkojo unatoka kidogo.

➢ Maumivu ya mgongo na kiuno.

➢ Uchovu kupita kiasi wa mwili mzima. .➢ Kupata hamu kubwa ya kwenda haja ndogo lakini inatoka kiduchu.
➢ Haja ndogo kutoka legevu au legelege.
-

Tiba imepatikana wahi Sasa !!!!

WASILIANA NASI Kwa simu namba Whatsapp 0756260521

Changamoto kubwa katika kukabiliana na unyanyapaaji wakati wa hedhi ni kwamba elimu ya afya ya hedhi haipo kwa uwazi kat...
15/06/2025

Changamoto kubwa katika kukabiliana na unyanyapaaji wakati wa hedhi ni kwamba elimu ya afya ya hedhi haipo kwa uwazi katika maeneo mengi. Na mahali ambapo elimu ya hedhi ipo kwa uwazi, mara nyingi huanza wakati tayari msichana ameshavunja ungo zaidi ya mwaka au wakati mwingine (ikiwahi) baada ya msichana kuanza hedhi yao ya kwanza. Matokeo ya kutowaelimisha wasichana kuhusu hedhi kabla ya kuanza inamaanisha kwamba majibu yao ya awali yanaweza kuhusisha hofu, aibu na fedheha. Zaidi ya hayo, elimu duni ya hedhi inamaanisha ukosefu wa ujuzi kuhusu vidhibiti hedhi salama. Kwa sababu hiyo, wanawake wengi, wasichana, na watu hawana udhibiti wa kweli kutokana na bidhaa wanazotumia, na hawana uwezo wa kuzitupa (k**a ni disposable) au kuzifua kwa njia inayofaa, kulingana na mazingira, mila, desturi na tamaduni za jamii husika.

Baadhi ya programu za elimu ya kujamiiana haziangalii afya ya hedhi, wala kuwashirkisha wavulana; kufanya hivi ni kupoteza fursa muhimu ya kukabiliana na unyanyapaaji wa hedhi katika umri mdogo. Kwa muda mrefu sana, jukumu limewekwa kwa wanawake na wasichana kuongoza mabadiliko katika suala hili, lakini wanaume na wavulana wanaweza na wanapaswa kuchukua jukumu katika kubadilisha mitazamo hasi na usiri unaozunguka hedhi.

Matokeo ya kutofanya hivyo yanaweza kudhuru sana. Dhana potofu inayosumbua, haswa miongoni mwa wanaume, ni kwamba mwanzo wa hedhi huashiria kuanza kwa 'ukomavu wa kijinsia', na ndoa ya mapema inaweza kuwa jambo la kuzingatia. Kwa mfano wakati fulani katika mahojiano na wanaume kuhusu hedhi, mmoja alijibu hivi: “Ninaposikia neno hedhi, ninajua kwamba msichana au mwanamke anavuja damu na ninajua kwamba sasa yuko tayari kwa ndoa.” Mwingine alisema kwamba msichana akipata hedhi kwa mara ya kwanza inamaanisha kwamba “amekuwa mtu mzima na anaweza

Suluhisho limepatikana wasiliana nasi Kwa simu namba

Whatsapp/ 0756260521

SABABU ZA MWANAMKE KUSHINDWA KUSHIKA MIMBA.  .Ovari Kushindwa kutoa Mayai yaliyo komaaa  Kutokuwa na uwiano mzuri wa hom...
15/06/2025

SABABU ZA MWANAMKE KUSHINDWA KUSHIKA MIMBA.

.Ovari Kushindwa kutoa Mayai yaliyo komaaa Kutokuwa na uwiano mzuri wa homone (Hormone Imbalance)
.Kuziba Kwa Mirija ya Uzazi/Kuja Maji/Kuwa na ukungu
Uvimbe katika Kizazi (Uterine Fibroid, )
Magonjwa k**a vile a) PID.
b) Kisonono
c)Kisukari
d)UTI Sugu.
e)Fangasi Sugu.
f)Saratani ya Mlango kizazi.n.k
Kuwa na Msongo wa mawazo.
Kuharibika Kwa mimba mfululizo ndani ya Mda mfupi (Abortion)
Kuwa na uzito mkubwa ulio pitiza (Over weight)
Matumizi ya vilevi, Sigara vilivopita kiasi
😭 Matumizi ya Madawa Kiholela
😭 Endometriosis hiii ni hali ambayo seli za ndani au tishu za Mfuko wa uzazi kutoka nje ya fuko Hilo /hata sehemu ya nje

DALILI ZINAZO PELEKEA KUTOKUSHIKA MIMBA.

😭 Maumivu makali ya Tumbo chini ya kitovu hupelekea hatari ya kujaaa Maji/Ukungu katika Mirija ya Uzazi
😭Maumivu makali ya Kiuno Kwa mda mrefu
😭Maumivu makali wakati wa Hedhi, hali hiii hupelekea mtu kuwa na Dalili za Chronic PID au Uterine Fibroid au Uterine Cancer.
😭 Kukosa ute wa uzazi katika kipindi cha ovulation

suluhisho la changamoto hii limepatikana wasiliana nasi Kwa simu namba

Whatsapp/0756260521

Saratani ya shingo ya kizazi (Cervical Cancer) ni aina ya saratani inayotokea kwenye shingo ya kizazi (sehemu inayoungan...
15/06/2025

Saratani ya shingo ya kizazi (Cervical Cancer) ni aina ya saratani inayotokea kwenye shingo ya kizazi (sehemu inayounganisha uke na mfuko wa mimba).
Saratani hii mara nyingi husababishwa na maambukizi ya muda mrefu ya virusi vya HPV (Human Papilloma Virus).

Dalili za Saratani ya Shingo ya Kizazi

✅️ Kutokwa na damu isiyo ya kawaida:

Baada ya tendo la ndoa

Kati ya siku za hedhi

Baada ya kukoma hedhi (menopause)

✅️Kutokwa na uchafu ukeni wenye harufu mbaya

✅️Maumivu ya nyonga au tumbo la chini

✅️Maumivu wakati wa tendo la ndoa

✅️Kupungua uzito bila sababu maalum

✅️Kuchoka sana (fatigue)

✅️Kuvimba miguu (k**a saratani imeenea kwenye tezi)

Athari za Saratani ya Shingo ya Kizazi

✍️Ugonjwa kuenea kwa viungo vingine k**a kibofu cha mkojo, utumbo au mapafu

✍️Kupoteza uwezo wa kuzaa (hasa baada ya matibabu k**a kuondolewa kwa kizazi)

✍️Kuharibika kwa mfumo wa mkojo au haja kubwa (kutokana na kuathiriwa kwa neva au viungo jirani)

✍️Athari za kisaikolojia k**a msongo wa mawazo, huzuni, au kukata tamaa

✍️ Kupoteza uzito na nguvu mwilini

✍️Hatari ya kifo endapo haitagunduliwa mapema na kutibiwa kwa wakati

suluhisho limepatikana wasiliana nasi Kwa simu namba 0756260521

Jinsi Ya Kuzibua Mirija Ya Uzazi Mirija ya Uzazi (fallopian tubes) ni mirija miwili myembamba inayokuwa katika tumbo la ...
14/06/2025

Jinsi Ya Kuzibua Mirija Ya Uzazi

Mirija ya Uzazi (fallopian tubes) ni mirija miwili myembamba inayokuwa katika tumbo la uzazi, mrija mmoja upande wa kulia na mrija mwingine upande wa kushoto, mirija hii hulisaidia yai lililopevuka liweze kusafiri kutoka katika mfuko wa yai (o***y) mpaka kwenye kifuko cha uzazi katika kipindi cha siku za upevushaji (ovulation days/danger days)

Kitu chochote kinapojitokeza na kuzuia yai la mwanamke lisiweze kusafiri kutoka kwenye fuko la mayai (ovari) mpaka kufika kwenye kifuko cha uzazi (uterus), humfanya mwanamke kukosa kubeba mimba.

hali hii ya mirija kuziba isipotibiwa mapema hukufanya kukosa mtoto (ujauzito) sababu yai hushindwa kufika kwenye mfuko wa uzazi kwa wakati sahihi kwa ajili ya upevushaji

Kuziba kwa mirija huweza kuliharibu yai kabla halijafika kwenye fuko la uzazi iwapo k**a mirija ina maambukizi ya fangasi/bakteria au maji machafu pia huzuia mbegu za mwanaume kufikia yai lilipo unaweza kubaini mirija ina shida iwapo k**a shahawa za mwanaume zinatoka nje ya uke dakika chache (5-10) mara baada ya kumwagwa ukeni (kupiiz mnaita)

Labda unajiuliza ni mambo gani yanaweza kufanya mirija yako ya uzazi kuziba...!

1. Maambukizi ya magonjwa ya zinaa k**a vile Pangusa, kisonono, kaswende, n.k

2. Utoaji mimba (Abortion) wa mara kwa mara kwa njia za kienyeji

3. Magonjwa ya maambukizi k**a vile U.T.I sugu na Fangasi (P.I.D)

4. Hali ya kukua kwa uvimbe aina ya fibroid ambayo hupelekea kuziba nafasi ya mirija ya uzazi

5. Mimba kutunga nje ya kizazi na kusababisha upasuaji hali ambayo hupelekea michubuko au majeraha kwenye mirija ya uzazi ambayo hupelekea mirija kuvimba na kuziba

6. Hali ya kukua kwa uvimbe aina ya fibroids ambayo hupelekea kuziba nafasi ya mirija ya uzazi

Unaweza kubaini k**a mirija yako imeziba mapema tu kwani huwa kunakuwepo na dalili za wazi k**a vile;

1. Kutokwa na uchafu k**a maziwa sehemu za uke na mara nyingi uchafu huu huwa na harufu ya kisamaki

2. Mimba kutunga nje ya kizazi (ectopic pregnancy)

3. Maumivu makali ya nyonga katika siku za hatari na maumivu makali mno wakati wa hedhi

4. Maumivu ya kiuno ama tumbo la chini mara kwa mara

Kwa matibabu Zaidi wasiliana nasi Kwa simu namba

Whatsapp namba / 0756260521

UJUE UGONJWA WA BAWASILI NA  MADHARA YAKE Bawasiri ni mojawapo ya matatizo ambayo mara nyingi inapotokea humfanya muathi...
14/06/2025

UJUE UGONJWA WA BAWASILI NA MADHARA YAKE
Bawasiri ni mojawapo ya matatizo ambayo mara nyingi inapotokea humfanya muathirika kuwa na aibu kuelezea au kwenda hospitali ili kupata tiba. Bawasiri husababishwa na kuvimba kwa mishipa ya damu aina ya vena katika eneo la mfereji wa haja kubwa.

A. NINI KINASABABISHA BAWASIRI ?
Miongoni mwa visababishi vya bawasiri ni;
-Tatizo sugu la kuharisha
-Kupata haja kubwa(kinyesi)kigumu
-Uzito kupita kiasi(OBERSITY)
-Ngono ya njia ya haja kubwa(ANAL S*X)
-Umri mkubwa na mambo yanayoongeza shinikizo katika tumbo.

B. DALILI ZA BAWASIRI
-Kinyesi kuchanganyika na damu wakati wa kujisaidia
-Maumivu au usumbufu katika njia ya haja kubwa
-Kutokwa na kinyesi bila kujitambua(kuvuja kinyesi)
-Kijiuvimbe katika eneo la tundu(mlango)wa kutolea haja kubwa.
-Ngozi katika eneo la tundu la haja kubwa kuwasha.
-Bawasir kutoka wakati wa kujisaidia haja kubwa.

C. ATHARI ZA BAWASIRI
-Upungufu wa damu mwilini(ANEMIA)
-STRAGULATED HEMORRHOID
-Kinyesi kutoka na kuvuja bila kujitambua na kusababisha kunuka kinyesi saa zote.
-Kukupunguzia morali ya kufanya kazi kutokana na maumivu hasa watu wanaokaa muda mrefu maofisini.
-Kuathirika kisaikolojia
-Kukosa hamu ya tendo la ndoa.
-Kupungukiwa nguvu za kiume.

Wasiliana nasi Kwa matibabu Zaid

Whatsapp namba/0756260521

Address

KARIAKOO DAR ES SALAAM
Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when AFYA YA UZAZI posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram