Devotha na Afya

Devotha na Afya SULUHISHO LA CHANGAMOTO ZA MFUMO MZIMA WA MMENG'ENYO WA CHAKULA|0761642491

15/02/2026

🩺 BAWASIRI NI NINI?
Bawasiri ni uvimbe wa mishipa ya damu inayopatikana ndani au nje ya tundu la haja kubwa .
Hutokea pale mishipa hiyo inapopata shinikizo kubwa kwa muda mrefu, na kujaa damu kupita kiasi.
📌 AINA ZA BAWASIRI
1️⃣ Bawasiri za Ndani (Internal Hemorrhoids)
Zipo ndani
Mara nyingi haziumi sana
Huonekana kwa damu kutoka wakati wa kujisaidia
2️⃣ Bawasiri za Nje (External Hemorrhoids)
Zipo nje
Huleta maumivu, kuwasha na uvimbe unaoshikika
3️⃣ Bawasiri Zilizotoka Nje (Pr*****ed)
Huanzia ndani lakini hutoka nje
Wakati mwingine hurudi ndani zenyewe au hubaki nje
4️⃣ Bawasiri zenye Damu Kuganda (Thrombosed)
Damu huganda ndani ya uvimbe
Husababisha maumivu makali sana

15/02/2026

09/02/2026

1.maji
2.limao vipande viwili au ndimu
3.baking soda
Kunywa mara baada ya kula
❌️usinywe kabla ya kula tumbo likiwa tupu
# #

06/02/2026

Inbox neno nahitaji nikupatie program ya bure pdf yenye maelezo ya vyakula vya kutumia kila siku wewe mjamzito

03/02/2026

“Afya ni zawadi ya thamani kuliko zote. 🍎 Msimu huu, waonyeshe unaowapenda kuwa unawajali kwa kuwachagulia kitu cha kuwajenga afya yao. Usisubiri kesho — wanunulie leo package ya acid reflux pamoja na vidonda vya tumbo. ✨
👉 Wasiliana nami sasa / Inbox kwa order.”

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Devotha na Afya posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram