04/03/2026
Maumivu ya koo mara nyingi husababishwa
1.Maambukizi ya virusi k**a vile kikoona, flu
2. Maambukizi ya bakteria k**a vile strep throat
3. Acid reflux (GERD) asidi inarudi kutoka tumboni na kuudhi koo
4. Kupiga kelele sana inatengeneza mkazo kwenye koo
5. Uvutaji sigara unaharibu koo na kuongeza hatari ya maambukizi
Unataka kujua jinsi ya kutibu au kuzuia nitafute kwa ushauri na matibabu yaliyo bola 0798588948