22/02/2026
VIPIMO MUHIMU KWA MWANAMKE NA MWANAUME ANAYETAFUTA MTOTO ๐คฐ๐ฝ
Wanawake wengi huzunguka hospitali bila kufanyiwa uchunguzi kamiliโฆ
Au mume hajafanyiwa hata kipimo kimoja.
Hapo unateseka miaka โ bila kujua chanzo halisi ๐
๐Hivi ndivyo vipimo vya msingi unapopaswa kufanya, FANYA KUSAVE KABISA post Hii Ili kujikumbushia Kwa Baadae Ukisahau:
1๏ธโฃ ULTRASOUND ya via vya uzazi
Inatuonesha kizazi, mfuko wa mayai, uvimbe, mirija, na hali ya jumla ya mfumo wa uzazi.
2๏ธโฃ Vipimo vya kuonesha MAYAI KUPATWA / KUPEVUKA
Progesterone siku 7 kabla ya hedhi inayofuata, au OPK nyumbani.
3๏ธโฃ Vipimo vya AKIBA YA MAYAI
AMH + FSH kutathmini uwezo wa mayai na kiwango cha kushuka kwake kadri muda unavyosonga.
4๏ธโฃ Uchunguzi wa MIRIJIA (HSG)
Hapa tunajua k**a mirija imeziba au iko wazi.
5๏ธโฃ Vipimo vya HOMONI
Kwa wanawake wenye mzunguko usioeleweka, kukosa hedhi, kutoa maziwa, uke mkavu, au kupoteza hamu ya tendo; tunapima Estrogen, Progesterone, LH, FSH, Prolactin, n.k.
6๏ธโฃ Vipimo vya MBEGU ZA KIUME
Safari ya ujauzito ni ya WAWILI.
Mpenzi/mume naye apime s***m count, morphology na motility.
Usiibebe peke yako Mateso/ lawama zote za Kukosa Ujauzito โ๐ฝ
---Vipimo hivi utapima Kwa Ofa ya
Tsh 30,000/= kwakua watu wengi wanasumbuliwa na changamoto za uzazi wai mapema.
KOSA KUBWA WANAWAKE WENGI HUFANYA:
Kupima peke yao bila mumeโฆ au kufanya vipimo visivyo sahihi halafu wanahangaika miaka bila mafanikio.
---
๐ Sasa hapa ndipo siri ya mafanikio inapoanziaโฆ
Kwa wanawake na wanandoa waliopitia matibabu mengi bila kufanikiwa, waliochoka kuambiwa โSUBIRI TUโ, waliozunguka bila majibuโ
GCAT ETERNAL HERBAL CLINIC imekuwa ni tumaini na msaada Kwa wenye changamoto zote za uzazi.
Ni tiba inayoshambulia chanzo cha tatizo:
โ๏ธ Humaliza fangasi/maambukizi yanayorudiarudia
โ๏ธ Hurekebisha homoni
โ๏ธ Hufungua na Kubalance mzunguko Wa Hedhi
โ๏ธ Huongeza idadi & ubora wa mayai
โ๏ธ Huandaa mwili kupokea na kutunza mimba ndani ya 30โ90 days kulingana na hatua ya tatizo
Matokeo yake?
Wanawake waliokuwa wanaitwa โMGUMBAโ leo ni mama wa mtoto.
Wanandoa waliokuwa na maumivuโฆ sasa wanashukuru Mungu ๐๐พ
Dozi hutegemea ukubwa wa changamoto yako.
baada ya kupata majibu ya vipimo.
Tunapatikana Dar es salaam, visiwani na mikoa yote Tanzania
Kwa mawasiliano 07551160939