Umuhimu wa Afya yako

Umuhimu wa Afya yako Karibu kwenye page yetu hii pendwa. KARIBUNI SANA KWA HUDUMA �

Inajihusisha na kutoa elimu buuure juu ya Afya yako hasa ya uzazi.
�Tunapatikana dodoma.
�Pia tunatoa tiba lishe za forever living products kama MULTI MACA na zingne nyingi.

JE UNACHANGAMOTO YOYOTE YA UZAZI? Bedroom Pack Ni Muunganyiko Wa Virutubisho Mbalimbali Vyenye Uwezo Wakutatua Changamot...
30/01/2022

JE UNACHANGAMOTO YOYOTE YA UZAZI?
Bedroom Pack Ni Muunganyiko Wa Virutubisho Mbalimbali Vyenye Uwezo Wakutatua Changamoto Zifuatazo;
1).Kurudisha NGUVU ZAKIUME Kwa Sababu Inaboresha Mzunguko/Msukumo Wa Damu Mwilini
2).Kuongeza Hamu Ya Tendo Landoa
3).Kukupa Uwezo Wa Kustahimili Tendo Kwa Muda Mrefu
4).Kukupa Stamina Yakuendelea Natendo Baada Yakumwaga
5).Kuongeza Idadi Nakuboresha Mbegu
6).Kuzuia Ukuaji Wa Tezi Dume
7).Kupunguza Athari Za Msongo Wamawazo
8).Kusaidia Afya Yamoyo,Mzunguko Wadamu Na Kupunguza Kiwango Cha Cholesterol Kwenye Mishipa NK
📞📞📞📞📞📞📞📞📞📞☎️☎️☎️☎️☎️☎️
KWAMAELEZO ZAIDI TUPIGIE/WHATS'APP +255656434863

MATATIZO YANAYOMFANYA MWANAMKE ASIPATE UJAUZITO HARAKAKWA kawaida mwanamke anatakiwa apate ujauzito ndani ya mwaka mmoja...
03/01/2022

MATATIZO YANAYOMFANYA MWANAMKE ASIPATE UJAUZITO HARAKA

KWA kawaida mwanamke anatakiwa apate ujauzito ndani ya mwaka mmoja baada tu ya kuolewa au kuanza uhusiano. Tunategemea baada ya miaka miwili hadi mitatu baada ya kupata mtoto apate mwingine labda k**a hajaamua yeye pamoja na mumewe. Ujauzito unapatikana baada ya kufanya tendo la ndoa kwa ukamilifu, yaani katika kipindi ambacho mwanamke anaweza kupata ujauzito wengine wanaita siku za hatari.

Suala hili pia linaangalia kwa upande wa pili wa mwanaume ambaye pia tunategemea ana uwezo huo wa kumpa mwanamke mimba kwa kuwa na mbegu zenye ubora na nyingi pia awe na nguvu za kutosha za kufanya tendo ili mwenzi wake apate ujauzito.

Kitendo cha kukaa muda mrefu bila ya kupata mtoto huku mkiwa mnamtafuta huitwa ugumba, kwa hiyo unahitaji uchunguzi na matibaibu ya haraka kwa kutumia natural food supplements ili kulisha mfumo wa uzazi.
ENDELEA KUSOMA NAKALA ZINGINE KWA FAIDA YAKO.
Call &WhatsApp: +255692434893 Tupo Dodoma Tanzania

11/12/2021

MWANAUME SOMA HAPA ITAKUSAIDIA 👇👇👇
CHANZO CHA TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME

Tatizo la nguvu za kiume lina vyanzo vingi ambavyo mara nyingi wengi huvipuuza, hivyo vyanzo huathiri taratibu na vingine huathiri haraka, tunashauri watu kuwa makini sana ili kujiimarisha vizuri. Kuna mitindo ya maisha inayoweza kukuweka hatarini kupata tatizo la nguvu za kiume nayo ni pamoja na;

1.Kuwa na lehemu (Cholesterol) na Shinikizo la damu (B.P) au ugonjwa wa moyo
2.Kuvuta sigala na unywaji wa pombe
3.Uzito kupita kiasi na unene uliozidi
4.Ulaji holela wa vyakula vyenye mafuta mengi na sukari nyingi
5.Kujichua/Punyeto
6.Magonjwa k**a kisukari, vidonda vya tumbo, bawasiri au ngiri
7.Kuwa na mawazo na wasiwasi
8.Matumizi ya madawa mbalimbali
9.Kuwa na tatizo la kibofu
10.Matumizi makubwa ya dawa zenye kemikali za kutibia magonjwa k**a kansa, vidonda vya tumbo, moyo, kisukari, B.P, na magonjwa mengine

Kwa ushauri na Tiba thabiti Tuma neno KIUME kwenda +255692434893 WhatsApp/Call or SMS
Nasi tutakufikia popote ulipo

FAHAMU UMUHIMU WA ROYAL JELLY KWA WANAWAKE PAMOJA NA FAIDA ZAKE.Royal jelly ilikuwa inatumika k**a Tiba za kiasili huko ...
11/12/2021

FAHAMU UMUHIMU WA ROYAL JELLY KWA WANAWAKE PAMOJA NA FAIDA ZAKE.
Royal jelly ilikuwa inatumika k**a Tiba za kiasili huko China kuongeza umri Wa kuishi na pia kuimarisha seli kuongeza umri Wa kuishi na pia kuhamasisha hisia za kimapenzi.
Kutokana na gharama zake kuwa kubwa ilikuwa ikihifadhiwa katika himaya za kichina.Hii ilikuwa ni kutokana na ugumu Wa kuipata ila baada ya hapo ufugaji Wa nyuki ulisaidia kuondokana na hilo.

Royal jelly imekuwa ikihitajika kwa wingi kutokana na utafiti uliofanyika dunuani,pamoja na hayo ni bidhaa yenye mchanganyiko Wa vitu vingi ambavyo ni mahsusi mwilini.
Ni mchanganyiko unaosaidia kutengeneza viondosha sumu mwilini na pia kupunguza kasi ya kuzeeka.

Royal jelly ni bidhaa yenye mchanganyiko Wa virutubisho muhimu k**a protein 12%,sukari 11%,kiwango kikubwa cha vitamini (B3,B5,B6,PP,H).
Ni chanzo kikubwa cha vitamin B5 na amino asidi,madini muhimu (calcium,chuma,kopa,magnesium,phosphorus,potassium, silikoni,sulphur, na sodium),fatty asidi muhimu 5%,karbohaidreti 14%,madini yanayohitajika kwa kiasi kidogo,na vizuizi vya bacteria na antibiotiki ya kiasili.

Royal jelly ni mchanganyiko Wa virutubisho vingi pamoja na goji berry na spirulina.
Hiki ni kile chakula anachokula au kulishwa yule malkia Wa nyuki ili aweze kuishi muda mrefu na kutaga mayai mengi zaidi ya 2,000 kwa siku kuweza kuishi miaka 5-6 ukifananisha na nyuki wengine wanaoishi miezi miwili.

MANUFAA YAKE:-
👉🏼kusaidia kuzuia maumivu kabla,wakati na baada ya hedhi (Pre-Menstrual Syndrome (PMS)).
👉🏼kutokupata mimba/ujauzito na kuimarisha tendo la ndoa.
👉🏼kupunguza kasi ya kuzeeka
👉🏼kurekebisha na kubalansi utendaji Wa homoni mwilini.
👉🏼kurekebisha mapigo ya moyo.
👉🏼kurekebisha seli za ubongo.
👉🏼kurekebisha kumbukumbu.
👉🏼kurekebisha matatizo ya ngozi.
👉🏼kupunguza lehemu (cholesterol).
👉🏼kuimarisha viondosha sumu mwilini.
👉🏼kuimarisha kinga kwenye mfumo wa uzalishaji wa mayai ya kizazi.
👉🏼kuimarisha utendaji wa testosterone.
👉🏼kupunguza uwezekano Wa kansa inayoweza kusababishwa na estrogens.
👉🏼kupotea au kushindwa kufanya kazi kwa mifupa.
👉🏼kuondokana na athma ya koromeo.
👉🏼kushindwa kupata usingizi na kasoro zake.
👉🏼ngozi kuwa laini na ya kuvutika.👉🏼kuimarisha msukumo Wa damu kwa watu wenye msukumo mkubwa Wa damu yaan hypertension.
👉🏼mbadala Wa madhara yatokanayo na chemotherapy.

Kuipata Wasiliana Nasi kwa 0692434893

Ni sabuni iliyotengenezwa na aloevera na parachichi halisi katika ubora wakeKwa wale wenye ngozi zenye mafuta kidogo (dr...
09/12/2021

Ni sabuni iliyotengenezwa na aloevera na parachichi halisi katika ubora wake
Kwa wale wenye ngozi zenye mafuta kidogo (dryskin)...bidhaaa hii itawafaaa sana
Piga simu au tuma ujumbe kwenda 0756899197

08/12/2021

🎇🎇🎇 New🎇🎇🎇
Kwa wenye ngozi kavu...
Yani mtu akipaka mafuta hayakai...
Poda haikai usoni....
Mashavu yanachanika, miguu yan mwili umekak**aa.
Bas tumia Forever aloe avocado soap
Wa//sms// call me: 0692434893

BORESHA AFYA YA UZAZI KWA WANAUME!! 🛑Je wewe ni mwanamume unayepata changamoto kufanya tendo la ndoa? 🛑Je wewe ni mwanam...
05/12/2021

BORESHA AFYA YA UZAZI KWA WANAUME!! 🛑Je wewe ni mwanamume unayepata changamoto kufanya tendo la ndoa? 🛑Je wewe ni mwanamume unawahi kumaliza haraka tendo ndani ya muda mfupi na kuchukua muda mrefu tena kupata haja?
🛑Je unafahamu kuwa tezi dume inaathiri wanamume wengi kuankzia miaka 35? Ambayo inahatarisha sana kupata kansa ya korodani?

Matatizo haya ♻️Inawezekana ni kutokana na umri mkubwa, magonjwa k**a vile kisukari na pressure, uzito uliokithiri? ♻️Inawezekana athari za dawa, kupiga punyeto, kula vyakula visivyo na virutubisho ya kutosha?
♻️Inawezekana upo busy sana na una msongo wa mawazo sana?

Ni bidhaa ya asili iliyotengenezwa na mchanganyiko wa Vitamin C, D, E, B6 na madini k**a Zinc na Selenium.
Bidhaa hii husaidia -kulinda afya ya uzazi kwa mwanaume -Kupambana na tezi Dume (prostate) -Udhibiti wa Cancer ya koridani -Kuzalisha mbegu zaidi -Kuongeza nguvu za kiume -Kuleta hamu ya tendo la ndoa kwa asilimia kubwa sana
-kuboresha mzunguko wa damu ambao ni muhimu kwenye nguvu za kiume.

VUNJA UKIMYA!
Wa me//0692434893

♦FAHAMU KUHUSU MZUNGUKO WA HEDHI KWA MWANAMKE.  ••Kwa kawaida mzunguko wa HEDHI kwa mwanamke ni siku 28. Japo kuna wengi...
24/07/2021

♦FAHAMU KUHUSU MZUNGUKO WA HEDHI KWA MWANAMKE.

••Kwa kawaida mzunguko wa HEDHI kwa mwanamke ni siku 28. Japo kuna wengine wanamzunguko mrefu wa siku 35.

♦️Kwa mfano unaweza pata HEDHI kuanzia tarehe 1-5 na wengine huchukua siku 7. Hiki ni kipindi ambacho uterus hutoa damu baada ya yai la mwanamke kukosa kurutubishwa na mbegu za kiume.

♦️SALAMA, SIKU YA 6-10. Hiki ni kipindi ambacho mwanamke hawezi kupata mimba japo kinaelekea kipindi cha hatari

♦️HATARI, SIKU YA 11-18 .Hiki ni kipindi ambacho mwanamke akijamiiana anapata mimba. K**a mfumo wake wa uzazi upo sawa. Yaani hana uvimbe sehemu yoyote,homoni zimebalance vizuri, mirija haijaziba, hana infections zozote km vile PID, fangasi na UTI, kizazi hakina mikwaruzo. Hapa atapata mimba bila shida.
♦️SALAMA SIKU YA 19-28. Hiki ni kipindi kingine baada ya Ovulation ambapo mwanamke hawezi kushika mimba. Anajiandaa kupata hedhi nyingine kwakuwa yai halikurutubishwa siku za hatari. Endapo limerutubishwa hawezi ona hedhi nyingine.

••JE? UNATATIZO MOJAWAPO KATI YA HAYA.
~Hedhi yenye kuambatana na maumivu makali.
~Hedhi isiyo na mpangilio maalum,ndefu, fupi, au haitoki kabisa.
~Huna uwezo wa kushika mimba.
~Mirija yako ya uzazi imeziba.
~Mimba zinaharibika mara kwa mara.
~Una uvimbe kwenye mayai.(Ovarian cyst).
~Hormone imbalance.
Wa//me 0756899197

Kwa afya bora ya ngozi yako ...Kwa yeyote yule mwny shida ya ngozi..basi piga simu kwenda 0756899197
23/07/2021

Kwa afya bora ya ngozi yako ...
Kwa yeyote yule mwny shida ya ngozi..basi piga simu kwenda 0756899197

Address

Nzuguni
Dodoma
0102

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Umuhimu wa Afya yako posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Umuhimu wa Afya yako:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram