25/03/2022
*🥦Vijue Visababishi vya Vimbe Kwenye mfuko wa mayai (Ovarian cyst)*
Maana ya Ovarian cyst:-
Hii Ni Hali ya sehem ya mfuko wa mayai kujitokeza vijimbe vidogo vidogo vyenye maji maji kwa ndani.
Mwanamke yeyote Yule ana mfuko moja wa mayai (ovaries) kila upande kulia na kushoto mwa uteri(uterus).
Ambapo kila mwezi yai moja huweza kupevuliwa na kushushwa Kwenye mfuko wa UZAZI (uterus ) kwa ajili ya urutubishaji,
*Sababu kuu za Kuvimba kwa mfuko wa mayai* ,
🔴 Tatizo la hormonal imbalance,
Tatizo la hizi vimbe hutokea katikat ya umri wa kubarehe na Kukoma hedhi,
Hii ni kutokana na sababu ya hormone ya progesterone na estrogen kuzalishwa kwa wingi.
Na sababu kubwa Ni pale mwanamke anapo kuwa unatumia *dawa au vidonge vya UZAZI wa mpango* hupelekea vijivimbe vingi kwenye mfuko wa mayai.
🔴 Magonjwa ya UZAZI.(PID) Mfano, kaswende, Gonnorrhea, fungus, N.k
🔴 Endometriosis,
Hii ni Hali ambayo seli za ukuta wa uteri huweza kukua kwa Hali ya kiutofauti inayo pelekea kuanza kukua na kumeza yai ambapo hufanya kuwa uvimbe.
*Vyakula ambavyo Ukila husababisha hizo vimbe👇*
💎 Viazi vyeupe,
💎Mikate yenye rangi nyeupe
💎 Kutumia vyakula vilivyo tengenezwa kwa unga mweupe,
💎 vyakula vyenye sukarii kwa wingi,
*Dalili za Vimbe Kwenye mfuko wa mayai (Ovarian cyst)*
💎Kupata Maumivu makali upande mmoja wa mwili wenye vimbe hizo.
💎Kupata Maumivu kwenye nyonga,
💎 Hedhi kutoka mfululizo au Tareh tofauti tofauti,
💎Kupata Maumivu makali Tareh za hedhi.
💎 Kupata hedhi yenye mabonge mabonge ya damu.
💎Kupata Maumivu wakati wa tendo la ndoa,
💎Kupata vichomi na nyonga kukuza.
*Namna ya kuepuka Ovarian cyst*
🌑 Epuka kutumia UZAZI wa mpango wa kisasa,
🌑 Kula vyakula vya asili ili kuhakikisha unapata Virutubisho mhimu zaidi,
🌑 Mwanamke Usivute sigara
🌑Kuwa na uzito sahihi na k**a una uzito mkubwa hakikisha unapunguza,
*Note* :
Tuna toa Tiba ya kuondoa Ovarian cyst na Uvimbe kwenye uzazi (Fibroids) Bila Kufanya upasuaji Na unapata matokeo mazuri,
Ambapo ndan ya Tiba hiyo Kuna products za kusawazisha hormone level na kufanya mfumo wa hormone unakuwa sawa,
Ukiwa Kwenye matibabu hayo Tunatoa Ushaur au elimu ya ulaji wa chakulaa buree kabisa"
*Mawasiliano. *0620638175*