Afya Ustawi Foundation

Afya Ustawi Foundation Empowering people to gain more control over their health and building resilient communities.

Tunapofunga mwaka 2025, tunakumbushwa na Mkurugenzi Mkuu wa WHO, Dr. Tedros, kuwa afya ni haki ya kila binadamu.Katika A...
01/01/2026

Tunapofunga mwaka 2025, tunakumbushwa na Mkurugenzi Mkuu wa WHO, Dr. Tedros, kuwa afya ni haki ya kila binadamu.

Katika Afya Ustawi Foundation, tunasimamia ukweli huu kwa vitendo. Dhamira yetu ni kuziba pengo kati ya umaskini, ujinga, na magonjwa kwa kuwawezesha watu kuchukua hatua madhubuti kuelekea afya zao. Tunajua kuwa kumpa mtu elimu na uwezo ni silaha tosha ya kutokomeza maradhi.

Asanteni kwa kuwa sehemu ya safari yetu ya kuleta ustawi wa kweli. Heri ya Mwaka Mpya wenye afya na matumaini! 💙🌍

09/12/2025
13/11/2025
Our Executive Director had the honour of participating Dr John Samwel Malecela Sec School Form four graduation as the gu...
20/10/2025

Our Executive Director had the honour of participating Dr John Samwel Malecela Sec School Form four graduation as the guest of honour,She spoke to the audience especially the students on childhood prognacy and how much discipline and strong WILL will lead them to the future the look foward, She also visitedthe local families with children living with physical disabilities

Hakuna Ustawi Kamili bila Afya ya Akili
10/10/2025

Hakuna Ustawi Kamili bila Afya ya Akili

Address

Tanzania
Dodoma
41100

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya Ustawi Foundation posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram