Msingi Wa Uzazi

Msingi Wa Uzazi NATATUA CHANGAMOTO ZA UZAZI NA KUBORESHA MFUMO WA UZAZI KWA WANAWAKE NA WANAUME KWA KUTUMIA TIBA LISHE (DIETARY FOOD SUPPLEMENT).

23/10/2025

Sahau Kuhusu Harufu mbaya ukeni isiyo Ya Yawaida.... Nitakusaidia kutatua Changamoto Yako





#0742167265

23/10/2025
23/10/2025
21/10/2025

Sahau Kuhusu Kupata Maumivu Makali Wakati Wa Tendo La Ndoa Kwa Kutumia Njia hizi Tatu.

Chaula health Solution
0742167265

#


#0742167265

21/10/2025

Inawezekana wewe mwanamke Unakosa Hamu Ya Tendo la Ndoa Kwasababu Ya Maambukizi Ya Bakteria Katika Via Vya Uzazi...... Suluhisho lipo la changamoto yako





#0742167265

21/10/2025

Inawezekana wewe mwanamke Unakosa Hamu Ya Tendo la Ndoa Kwasababu Ya Maambukizi Ya Bakteria Katika Via Vya Uzazi...... Suluhisho lipo la changamoto yako.





14/10/2025

Mwanamke mwenye maambukizi ya PID anatokwa na uchafu ukeni kwa sababu bakteria husababisha uvimbe na usaha kwenye mfuko wa uzazi, mirija ya uzazi au uke, na huo usaha hutoka k**a uchafu wenye rangi na harufu mbaya.

#0742167265



Faida za kutumia feminine cleanser kwa mwanamke 1. Kudumisha usafi wa uke – huondoa uchafu na harufu mbaya.2. Kurekebish...
13/10/2025

Faida za kutumia feminine cleanser kwa mwanamke

1. Kudumisha usafi wa uke – huondoa uchafu na harufu mbaya.

2. Kurekebisha usawa wa pH – husaidia kuzuia maambukizi ya fangasi na bakteria.

3. Kutoa harufu nzuri – hufanya sehemu ya siri kuwa safi na yenye harufu ya kupendeza.

4. Kupunguza muwasho – hutoa faraja wakati wa hedhi au joto.

5. Kuongeza kujiamini – mwanamke anajisikia safi, huru, na mwenye amani na mwili wake.

Kuwa wa kwanza kuitumia leo!

Chaula health Solution
0742167265.

06/10/2025
UTI ni kifupi cha Urinary Tract Infection, yaani Maambukizi ya Njia ya Mkojo. Haya ni maambukizi yanayotokea katika sehe...
03/10/2025

UTI ni kifupi cha Urinary Tract Infection, yaani Maambukizi ya Njia ya Mkojo. Haya ni maambukizi yanayotokea katika sehemu yoyote ya mfumo wa mkojo, ikiwemo figo, ureta, kibofu cha mkojo, na urethra. Mara nyingi, maambukizi haya huathiri kibofu cha mkojo na urethra.

Dalili za UTI zinaweza kujumuisha:
- Kujihisi una haja ya kukojoa mara kwa mara.
- Maumivu au hisia ya kuchoma wakati wa kukojoa.
- Mkojo kuwa na harufu mbaya au kuwa na damu.
- Maumivu ya tumbo la chini (katika sehemu ya kibofu cha mkojo).

Ni muhimu kutafuta matibabu haraka ikiwa unadhani una UTI ili kuepuka matatizo makubwa zaidi k**a vile maambukizi ya figo.

Chaula health Solution.
0742167265

“Heri ya siku ya kuzaliwa kiongozi @⁨Mshuza⁩ ! Tunakutakia miaka mingi yenye furaha, afya njema na mafanikio makubwa. Ue...
23/08/2025

“Heri ya siku ya kuzaliwa kiongozi @⁨Mshuza⁩ ! Tunakutakia miaka mingi yenye furaha, afya njema na mafanikio makubwa. Uendelee kung’aa, kushinda changamoto na kukusanya tuzo nyingi ndani ya BF Suma. Mungu akupe neema na hekima zaidi kila hatua ya maisha yako!”

Address

Njombe
Iringa

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Msingi Wa Uzazi posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Msingi Wa Uzazi:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram