linah telele

linah telele mshauri wa Afya ya uzazi
�Tunasaidia wanaume kuondokana na tatizo la kutoweza kumudu tendo la ndoa.
�Contact Us WhatsApp/0692293626
�see translation

TUANGALIE MADHARA YA UZITO ULIOPITILIZA (Obesity).Uzito mkubwa wa kupindukia ni tatizo kubwa la kiafya katika maisha yet...
29/06/2022

TUANGALIE MADHARA YA UZITO ULIOPITILIZA (Obesity).

Uzito mkubwa wa kupindukia ni tatizo kubwa la kiafya katika maisha yetu ya kisasa.
Uzito unapozidi kiwango ambacho kinahitajika kwa mtu husika kunachangia matatizo mengi ya kiafya.
ambayo ni k**a.......

▪Kisukari.

▪shinikizo la damu (hypertension).

▪Matatizo ya kizazi (Infertility).

▪kiharusi (Stroke).

▪Magonjwa ya moyo (Heart Failure).

▪Kiwango cha juu cha lijamu kwenye damu ( Cholesterol ).

▪Saratani ya matiti.

▪Saratani ya tezi dume ( prostate Cancer)

▪Saratani ya utumbo mpana pamoja na maeneo ya haja kubwa ( Colorectal Cancer)

▪ Matatizo ya mzunguko na mishipa ya damu k**a vile kuvimba kwa Vena za miguuni ( Varicose veins)

▪kutokupumua vizuri wakati mtu yupo usingizini.

▪Kutoku perform vizuri kwenye TENDO la Ndio.

karibu kupungue uzito nasi kwa siku 9 tu. tupigie simu kupita namba 0692293626

Address

Makumbusho
Dar Es Salaam
362699

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when linah telele posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to linah telele:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram