09/03/2024
TATIZO LA HORMONE IMBALANCE LINAWEZA KUSABABISHA KUTOSHIKA UJAUZITO????👇👇
HORMONE IMBALANCE.
🍇-Hili ni tatizo linalowakumba wanawake wengi na hii hutokea hormone zinapokuwa nyingi au kidogo katika mkondo wa damu kwasababu ya umuhimu wa hormone katika mwili, hata hormone imbalance kidogo husababisha madhara makubwa sana katika mwili.
☑️ DALILI ZA HORMONE IMBALANCE ☑️
*Kupungua kwa hamu ya tendo la ndoa.
*Mzunguko wa hedhi kubadilika badilika.
*Kuwa na mawazo na wasiwasi.
*Maumivu ya mifupa na viungo.
*Maumivu wakati wa tendo la ndoa.
*Kujisikia joto ghafla hasa wakati wa usiku.
*Kupata choo kwa shida.
*Kuota ndevu
*Kua na tabia za kiume
"Kua na sauti pana k**a ya mwanaume
👉👉 -Ukiwa na dalili hizi basi jua unatatizo la hormone imbalance hivyo unahitaji tiba mapema.
MADHARA YA HORMONE IMBALANCE.
- Mimba kuharibika mara kwa mara.
- kutoshika ujauzito kwa muda mrefu.
- UTI ya mara kwa mara.
- Kuziba kwa mirija ya uzazi.
- Kupata saratani.
- Uvimbe kwenye kizazi na uvimbe kwenye mayai.
👉👉Inawezekana Ukawa Una Changamoto yoyote Ya Uzazi au Ya Kiafya Kwa Ujumla,
👉👉Tiba ya hormone imbalance inapatikana kwa gharama nafuuu kabisaa Tsh. 50,000 tu. Usafiri ni bureee mpka ulipo
0682351073
Ushauri ni buree