LIZY AFYA UZAZI

LIZY AFYA  UZAZI NINAWASAIDIA WANAUME NA WANAWAKE KUTATUA CHANGAMOTO ZILIZOSUGU KATIKA MFUMO MZIMA WA UZAZI

TATIZO LA HORMONE  IMBALANCE LINAWEZA KUSABABISHA  KUTOSHIKA UJAUZITO????👇👇HORMONE IMBALANCE.🍇-Hili ni tatizo linalowaku...
09/03/2024

TATIZO LA HORMONE IMBALANCE LINAWEZA KUSABABISHA KUTOSHIKA UJAUZITO????👇👇

HORMONE IMBALANCE.

🍇-Hili ni tatizo linalowakumba wanawake wengi na hii hutokea hormone zinapokuwa nyingi au kidogo katika mkondo wa damu kwasababu ya umuhimu wa hormone katika mwili, hata hormone imbalance kidogo husababisha madhara makubwa sana katika mwili.

☑️ DALILI ZA HORMONE IMBALANCE ☑️

*Kupungua kwa hamu ya tendo la ndoa.
*Mzunguko wa hedhi kubadilika badilika.
*Kuwa na mawazo na wasiwasi.
*Maumivu ya mifupa na viungo.
*Maumivu wakati wa tendo la ndoa.
*Kujisikia joto ghafla hasa wakati wa usiku.
*Kupata choo kwa shida.
*Kuota ndevu
*Kua na tabia za kiume
"Kua na sauti pana k**a ya mwanaume

👉👉 -Ukiwa na dalili hizi basi jua unatatizo la hormone imbalance hivyo unahitaji tiba mapema.

MADHARA YA HORMONE IMBALANCE.

- Mimba kuharibika mara kwa mara.
- kutoshika ujauzito kwa muda mrefu.
- UTI ya mara kwa mara.
- Kuziba kwa mirija ya uzazi.
- Kupata saratani.
- Uvimbe kwenye kizazi na uvimbe kwenye mayai.

👉👉Inawezekana Ukawa Una Changamoto yoyote Ya Uzazi au Ya Kiafya Kwa Ujumla,

👉👉Tiba ya hormone imbalance inapatikana kwa gharama nafuuu kabisaa Tsh. 50,000 tu. Usafiri ni bureee mpka ulipo

0682351073
Ushauri ni buree

TAMBUA TOFAUTI YA UGUMBA NA UTASA                      😭TASA        Ni hali ya mwanamke kutoweza kushika ujauzito kabisa...
12/02/2024

TAMBUA TOFAUTI YA UGUMBA NA UTASA

😭TASA
Ni hali ya mwanamke kutoweza kushika ujauzito kabisa au mwanaume kutoweza kusababisha ujauzito kwa mwanamke kabisa.

Kwahiyo unaposikia Mtu Tasa ni yule ambaye hana tena uwezo wa kupata mtoto tena, via vyake vya uzazi havina uwezo kabisa, labda kwa uwezo wa Mungu pekee.

😢MGUMBA
*Mgumba ni mtu yule ambaye ana tatizo ambalo linasababisha ashindwe kupata mtoto lakini ana uwezo wa kuja kupata mtoto iwapo tatizo litaondolewa au kutibiwa .

NINI HUSABABISHA UGUMBA?

Kuna sababu mbalimbali ambazo hupelekea ugumba kutokea kwa mwanaume au mwanamke.

WANAUME
Ugumba kwa wanaume hutokana na tatizo katika mbegu za kiume, manii kuwa kidogo, manii kushindwa kutembea, manii kuwa na umbo lisilo la kawaida au kuziba kwa mijira ya mbegu za kiume.

Tatizo kwenye mbegu za kiume linaweza kutokana na;-

– Uvutaji wa sigara,
– Dawa za kulevya k**a matumizi ya bangi kwa wingi,
– Mionzi (radiations),
– Unywaji wa pombe,
– Kemikali k**a DDT na risasi (lead),
– Kufanya kazi mazingira yenye joto kali k**a viwanda vya chuma.
– Kuziba kwa mirija ya mbegu za kiume kutokana na magonjwa ya zinaa nk

WANAWAKE
Kwa upande wa wanawake tatizo la ugumba husababishwa na sababu kuu mbili
👇
1⃣Kuziba kwa mijrija ya kupitisha mayai
2️⃣Ovari kushindwa kutoa mayai ya uzazi au kutoa mayai isiokuwa na nguvu (lazy egg).

👉Mirija ya kupitisha mayai inaweza kuziba kutokana na;
*⃣Ugonjwa wa Pelvic Inflammatory Disease (PID) ambao unatokana na magonjwa ya zinaa yasiyotibiwa k**a kisonono na klamidia, Na maambukizi ya fangasi na bacteria.
*⃣Mirija ya mayai kujaa maji
*⃣Utoaji mimba usio salama (unsafe abortions)
*⃣Upasuaji maeneo ya kiunoni
*⃣Ugonjwa wa endometriosis kuvimba kwa kuta za ndani za kizazi

👉Ovari kushindwa kutoa mayai ya uzazi inaweza kutokana na;-
*⃣Umri mkubwa wa mwanamke, hasa miaka 35 – 40 na kuendelea.
*⃣Uvutaji wa sigara,
*⃣ Saratani ya Ovari,
*⃣Mionzi (radiations),
*⃣ Ugonjwa wa Polycystic ovarian disease (Ovarian Cyst)

Sababu nyingine za ugumba kwa mwanamke zinaweza kuwa;-
👉Makovu katika mji wa uzazi kutokana na kutoa mimba.
👉 Mabonge/Uvimbe wa kizazi (uterine fibroids)
👉Kuziba kwa shingo ya uzazi
👉Kulegea shingo ya uzazi
👉 Kisukari
👉Matatizo ya tezi ya shingo (hyperthyroidism)
👉 Kufanya mazoezi ya kupitiliza (excessive exercising)

JE, UNA TATIZO LA UGUMBA?

Ugumba unatibika k**a una tatizo hili na umeshindwa kulipatia ufumbuzi, huna budi kuonana na wataalamu wa Afya mapema ili kujua sababu ni nini

K**a umesumbuka na tatizo hili kwa muda mrefu bila kupata ufumbuzi nipigie kwa msaada wa kudumu juu ya shida hiyo

0682351073

PUNGUZO.  Msimu wa Valentine  LIZY NA AFYA YA UZAZI Tunakuletea punguzo la bei kwa huduma ya matibabu kwa 10% wahi sasa ...
12/02/2024

PUNGUZO.

Msimu wa Valentine LIZY NA AFYA YA UZAZI Tunakuletea punguzo la bei kwa huduma ya matibabu kwa 10% wahi sasa kupata huduma kwa bei punguzo kuanzia tarehe 12/2/2024 ___ 15/2/2024

Tupo MANYARA _HAYDOM Mikoa yote tunatuma na nchi jirani.
usafiri ni bureee popote ulipo

0682351073

*Faida za limao au ndimu kilishe na afya* Zifuatazo ndizo faida zitokanazo na utumiaji wa limao na ndimu kilishe na kiaf...
30/01/2024

*Faida za limao au ndimu kilishe na afya*

Zifuatazo ndizo faida zitokanazo na utumiaji wa limao na ndimu kilishe na kiafya;
Kusaidia uwiano sahihi wa pH ya mwili kuuwezesha kufanya shughuli mbalimbali.

Ina vitamin C na kemikali mimea ambayo husaidia kutibu mafua na mfumo wa upumuaji. Pia kuboresha afya ya ngozi, fizi (kuzuia fizi kutoka damu, ukavu wa ngozi ikiwemo kuchanika midomi na pua kavu), moyo, figo, misuli, maini na ubongo kwa kupambana na sumu mbalimbali mwilini. Pia husaidia kukata uchovu wa mazoezi au marathon.

Husaidia mfumo wa mmeng'enyo wa chakula, kunywa sharubati yenye mchanganyiko wa limao au ndimu, au bilauli ya maji ya limao au ndimu nusu saa kabla ya kula.

Pia tindikali zilizonazo husaidia kuzuia au kupambana na vijiwe vya figo, gout (mlundiknoi wa uric acid kwenye viungo na mwili). Husaidia kufyonzwa na kubadilisha madini ya chuma kwenye vyakula jamii ya mimea na kufanya iweze kutumika kutengeneza damu (ferrous iron).

Ganda la limao pia lina virutubisho, kemikali mimea na mafuta kwa wingi. Ganda lake au mafuta husaidia kutibu mafua, kuchua misuli au hutumika kwenye vinywaji kuleta ladha au k**a tiba mvuke kwa magonjwa ya msongo wa mawazo, au magonjwa ya mifumo ya fahamu.

Matumizi ya mara kwa mara Husaidia kupambana na kisukari, shinikizo la damu (kutokana na wingi wa potassium) na ulemavu wa macho.

Matumizi ya kila siku kwa muda mrefu Husaidia kuzuia saratani mbalimbali mwilini.
Husaidia mchakato wa kuzalisha nguvu mwilini.

Mambo muhimu ya kuzingatia.
Inashauriwa kuongeza limao/ndimu kwenye mboga za majani k**a tembele na chai ili kusaidia ufyonzwaji na utumiwaji wa madini ya chuma mwilini toka kwenye mboga hizo.

Faida hizi pia zafanana na jamii zote za malimao yakiwemo machungwa, madalansi, machenza nk japo baadhi ya faida zinaweza kuwa kwa wingi au kidogo kwa kila tunda

Inashauriwa kutumia moja ya matunda hayo kila siku ili kuboresha lishe na afya zetu.

Angalizo
Wapo wanaotumia limao kuondoa kichefuchefu au kuzuia kutapika, ila limao halizuii kutapika, bali inapelekea kutapika kutokana na uchachu wake. Hivyo waweza tumia parachichi au tunda baridi (lisilo chachu) kuzuia kutapika.

Mtu anaweza kutoka uchafu akadai ameambiwa ni UTI na ametumia sana madawa lakini haponi.~ Tambua kwamba mwanamke ana vis...
24/01/2024

Mtu anaweza kutoka uchafu akadai ameambiwa ni UTI na ametumia sana madawa lakini haponi.

~ Tambua kwamba mwanamke ana vishimo viwili, cha juu ni njia ya mkojo ni mkojo tu hupita,

Na shimo la chini ni uke na hapa ndipo uume hupita, mtoto hupita wakati wa kuzaliwa lakini pia mwanamke akiwa period damu hupita

UTI inahusiana na njia ya juu tu, yaani njia ya mkojo, na dalili zake ni kuumia wakati wa kukojoa, kukojoa mara kwa mara mkojo kidogo pamoja na kutoa mkojo wenye harufu kali sana

Kutoka uchafu unaonuka sana, kuwashwa ukeni kwa ndani, maumivu wakati wa s*x, chanzo ni njia hiyo ya chini, Vagina...inaweza kuwa ni fungus, PID au hata vaginosis lakini sio UTI

Kiufupi uke umegawanyika katika sehemu kuu mbili nazo ni:-

1.UKE (VA**NA)/ njia ya uzazi.
Uke ni ile sehemu (tundu) inayopitisha mtoto wakati wa kuzaliwa, pia ndiyo sehemu ambayo uume huingia wakati wa kujamiiana.

Kwa maana rahisi kabisa, uke ni sehemu ya ndani inayotengeneza sehemu za siri za mwanamke.

2.VULVA
V***a ni sehemu ya nje ya uke ambayo ndiyo hugusana na nguo za ndani anazovaa mwanamke.

Hii inahusisha mashavu makubwa ya nje ya uke, mashavu madogo ya ndani ya uke, tundu la mkojo pamoja na sehemu zote zilizo nje (isipokuwa tundu lenyewe la uke).

Sehemu ya haja kubwa japo siyo mojawapo ya sehemu zinazounda mfumo wa uzazi wa mwanamke tunaweza kuikaribisha pia kuwa sehemu ya v***a kwa kuwa matatizo yoyote yanayohusisha v***a huathiri pia sehemu ya haja kubwa.

Unaweza kusave pia kushare kwa wengine na wao wajifunze hili

K**a una changamoto yoyote ya uzazi niambie sasahivi mimi ni sehemu ya suluhisho kwako!

Whatsapp au piga 0682351073

Feedback kwa wale ambao wametumia package yetu  🥰🥰🍏Package hii inapatikana kwa gharama nafuuu kabisa   🍅hakuna gharama z...
15/01/2024

Feedback kwa wale ambao wametumia package yetu 🥰🥰

🍏Package hii inapatikana kwa gharama nafuuu kabisa

🍅hakuna gharama zozote za usafiri ni juu yetu.

🍓Tunatuma mikoa yote Tanzania na nchi jirani kwa uaminfu mkubwa.

🍈 Tunapatikana babati _ manyara

Je unahitaji nikusaidie kutatua changamoto yako?? Ushauri ni buree

Call 📞 message 📲 WhatsApp
0682351073

K**a una changamoto hii tuna package ya infection itakayokusaidia kutatua changamoto yako kwa ufanisi wa hali ya juu ......
15/01/2024

K**a una changamoto hii tuna package ya infection itakayokusaidia kutatua changamoto yako kwa ufanisi wa hali ya juu ...

1. Huondoa UTI sugu, fangus za kujirudia rudia
2. Huondoa tatizo la harufu mbaya na miwasho ukeni
3. Huzuia na kuondoa bacteria wanaosababisha magonjwa kwa wanawake
4. Husafisha mirija ya uzazi hivyo kuweka urahisi kwenye kunasa ujauzito
5. Hufanya uke kuwa msafi na wenye harufu nzuri
6. Hubalance Hormone

🍏Package hii inapatikana kwa gharama nafuuu kabisa sh. 70,000 tu.

🍅hakuna gharama zozote za usafiri ni juu yetu.

🍓Tunatuma mikoa yote Tanzania na nchi jirani kwa uaminfu mkubwa.

🍈 Tunapatikana babati _ manyara

Je unahitaji nikusaidie kutatua changamoto yako?? Ushauri ni buree

Call 📞 message 📲 WhatsApp
0682351073

UCHAFU WENYE DAMU AU RANGI YA KAHAWIA 👉 Hi ni dalil ya mzunguko wa mwezi wa mwanamke uliovurugika na Mara chache ni dali...
10/01/2024

UCHAFU WENYE DAMU AU RANGI YA KAHAWIA

👉 Hi ni dalil ya mzunguko wa mwezi wa mwanamke uliovurugika na Mara chache ni dalili ya cancer ya servix au aina nyingine ya cancer iitwayo endometrial cancer. Mwanamke mwenye tatizo hili atatoa damu nyingi uken na kuumwa nyonga.



MATIBABU / JITIBU UKIWA NYUMBANI

unaweza kutumia dawa za asili zifuatazo:

1. Kitunguu Swaumu na mtindi

Kitunguu swaumu ndiyo dawa ya asili nzuri kuliko zote kwa ajili ya maambukizi ya bakteria kwa wanawake. Kitunguu swaumu ni antibiotiki ya asili na hufanya kazi ya kuua bakteria wasababishao huu uchafu ukeni bila shida yoyote.

Menye punje 6 za kitunguu swaumu na uzikate vipande vidogo vidogo (chop) na unywe na maji nusu lita asubuhi ukiamka au usiku unapoenda kulala kwa wiki mbili mpaka tatu.

Pia kunywa huu mtindi kikombe kimoja mara moja kwa siku Ili kuongeza kinga ya mwili wako kwa ujumla dhidi ya magonjwa mbalimbali


2. Maziwa fresh na binzari ya manjano

Changanya kijiko kimoja cha chai cha binzari (manjano) ya unga na kikombe kimoja cha maziwa ya moto na unywe yote. Fanya hivi mara mbili kila siku mpaka tatizo litakapoisha.

3. Mdalasini, limao na asali mbichi pure

*Chukua asali mbichi nusu Lita

*Chukua limau kubwa 12 au zaidi, zikate katikati kila moja. Zikamuwe moja baada ya nyingine kupata maji maji ya limau mpaka umepata ujazo wa nusu lita.

*Kwenye sufuria nyingine kubwa changanya mdalasini ya unga vijiko vikubwa 10 na maji lita 2 na nusu na uchemshe k**a chai kisha ipua na uchuje na usubiri ipowe iwe ya uvuguvugu kidogo.

*Sasa changanya pamoja asali nusu lita, juisi au maji maji ya limau nusu lita, maji ya uvuguvugu ya mdalasini lita 2 na nusu ongeza na ya maji ya kawaida lita 1 kupata lita 5, chuja vizuri. Ihifadhi katika friji isiharibike.

Kunywa robo lita (ml 250) kutwa mara 2.

0682351073

https://chat.whatsapp.com/KTQbtQF8e5Z7H1MnG3sUCp

Fahamu Madhara ya Kufanya Mapenzi Kipindi cha Hedhi kwa MwanamkeMADHARA KWA MWANAUME1️⃣Kupata maambukizi katika njia ya ...
10/01/2024

Fahamu Madhara ya Kufanya Mapenzi Kipindi cha Hedhi kwa Mwanamke

MADHARA KWA MWANAUME

1️⃣Kupata maambukizi katika njia ya mkojo hadi kwenye kibofu.

2️⃣Maambukizi katika tezi dume (Prostetits) hii inaweza kuathiri mfumo wa uzazi wa mwanaume.
3️⃣Kuziba kwa njia ya mkojo.
4️⃣Utasa au ugumba.

5️⃣Ulegevu wa misuli ya uume na upungufu wa nguvu za kiume.

6️⃣Athari mbaya ya kisaikolojia kwa kuwa anafanya tendo katika mazingira machafu hali itakayompelekea kutolifurahia tendo kutokana na hali ya umaji maji,utelezi, au harufu kali na mbaya na hivyo kuona kuwa mwanamke ni mchafu. Pia hali hii ikizidi inaweza kuathiri hata ufanyaji wa tendo katika siku za kawaida sio za hedhi.

MADHARA KWA MWANAMKE

1️⃣Kupatwa na mambukizi viungo vya ndani vya uzazi k**a vile shingo ya kizazi, mirija ya uzazi kwa ujumla wake anaweza kuwa na tatizo la PID ( PELVIC INFLAMATORY DISEASES) tatizo ambalo linaweza kuathiri mfumo wake wa uzazi.

2️⃣Maumivu makali ya tumbo hasa kwa wale wanaopatwa na maumivu wakati wa hedhi. (Dysmenorrhea).

3️⃣Utokaji wa damu unaweza ukaongeza kuliko vile inavyotoka kwa kawaida yake.

4️⃣Utasa au Ugumba.

5️⃣Kuvimba kwa kuta za ndani za uke kwa kuwa wakati wa hedhi zenyewe huwa tayari zimevimba au kutanunuka hali pia itamsababishia maumivu kwenye uke wakati wa tendo la ndoa.

6️⃣Athari mbaya ya kisaikolojia: Mwanamke atahisi kuwa mumewe hamjali wala mpendi bali anajali hisia zake za kingono na kwamba yeye anatumika kingono tu.Pia kuona kuwa mumewe ajali afya yake pamoja na maumivu anayoyapata lakini bado huyu mume anataka tendo muda wote.

NB;

Hali hii ikizidi inaweza kuathiri hata ufanyaji wa tendo katika siku za kawaida anbazo sio za hedhi

0682351073

https://chat.whatsapp.com/KTQbtQF8e5Z7H1MnG3sUCp

Je unachangamoto yoyote ya uzazi?? 0682351073
05/01/2024

Je unachangamoto yoyote ya uzazi??

0682351073

Check out Lizy na afya ya uzazi's video.

FAIDA  ZA JUISI YA TANGAWIZI AMBAZO ULIKUWA HUZIJUWI 1. Huondoa sumu mwilini haraka sana2. Huua bakteria wa aina nyingi ...
05/01/2024

FAIDA ZA JUISI YA TANGAWIZI AMBAZO ULIKUWA HUZIJUWI
1. Huondoa sumu mwilini haraka sana
2. Huua bakteria wa aina nyingi mwilini hata salmonella ndani ya mwili hata juu ya ngozi
3. Kuna viua vijasumu (antibiotics) vya asili viwili kwenye tangawizi
4. Huondoa uvimbe mwilini
5. Huondoa msongamano mapafuni
6. Tangawizi inayo ‘zingibain’ ambayo huua vimelea mbalimbali vya magonjwa na mayai yake
7. Huondoa maumivu ya koo
8. Huua virusi wa homa
9. Huondoa maumivu mbalimbali mwilini
10. Huondoa homa hata homa ya baridi (chills)
11. Hutibu saratani ya tezi dume. Tangawizi huua kimeng’enya ambacho ni chakula cha seli za kansa ya tezi dume kiitwacho ‘5-LO enzymes’ na seli hizo za kansa hufa ndani ya masaa mawili au manne bila hicho kimeng’enya.
12. Tangawizi ina kiinilishe mhimu sana ambacho huzuia kuongezeka kwa seli za kansa ya kongosho kiitwacho kwa kitaalamu k**a ‘gingerol”
13. Hutibu kansa zinazoweza kusababishwa na kupata choo kigumu muda mrefu (constipation-r
elated cancer)
14. Ni dawa nzuri kwa kansa ya kwenye damu (leukemia)
15. Ni dawa nzuri dhidi ya kansa ya mapafu (lung cancer)
16. Huzuia kujizalisha kwa bakteria aitwaye ‘Helicobacter pylori’, bakteria huyu ndiye husababisha vidonda vya tumbo mwilini, pia hutibu kiungulia, na kanza mbalimbali za tumbo
17. Ni msaada sana katika kuzuia na kutibu kansa ya t**i
18. Hutibu kanza za kwenye kizazi na kanza za kwenye mirija ya uzazi
19. Huongeza msukumo wa damu
20. Husaidia kuzuia shambulio la moyo
21. Huzuia damu kuganda
22. Hushusha kolesto
23. Husafisha damu
24. Husaidia watu wenye kukak**aa kwa mishipa
25. Hutibu shinikizo la juu la damu
26. Husafisha utumbo mpana
27. Hupunguza mishtuko kwenye utumbo mpana na tumbo kuunguruma
28. Huondoa GESI TUMBONI KIRAHISI ZAIDI
29. Husaidia mfumo wa mmeng’enyo wa chakula
30. Dawa nzuri ya kuondoa uchovu
31. Husaidia kuzuia kutapika. Husaidia hata wale wanaosafiri baharini wasipatwe na kichefuchefu
32. Husaidia kuondoa maumivu kutokana na mkao mmoja wa mrefu ama kusimama au kukaa
33. Husaidia uzalishwaji wa juisi vimeng’enya kwa ajili ya kumeng’enya chakula
34. Husaidia kuzuia kuharisha
35. Husaidia mfumo wa upumuaji na kutuliza dalili za pumu
36. Hutibu tatizo la miguu kuwaka moto

MAANDALIZI
👉👉Andaa tangawizi kubwa mbili zioshe vizuri kisha zisage kwenye blenda au tumia kikwangulio cha nyanya cha nyumbani.

👉👉Weka maji nusu lita kwenye tangawizi yako, chuja na chujio ili kuondoa zile kambakamba upate juice yake.

👉👉Tumia kunywa glass moja kila siku

NB: k**a una tatizo la vidonda vya tumbo usitumie

Karibu ujipatie BOOSTER PRO ni dawa ya asili yenye kutibu changamoto k**a 1. Uke kuwa mkavu2. Kuongeza uteute3. Kutibu h...
26/12/2023

Karibu ujipatie BOOSTER PRO ni dawa ya asili yenye kutibu changamoto k**a
1. Uke kuwa mkavu
2. Kuongeza uteute
3. Kutibu harufu ukeni
4. Ham ya tendo
5. BOOSTER ikiwa na ANT_FANGUS kwa pamoja hutibu fangas za sirini

Bei yake ni 8,000 tu
Tunapatikana manyara_ Haydom
Mikoa yote tunatuma

Kwa elimu, ushauri pamoja na tiba
0682351073

Unaweza join kwenye group letu kwa tips mbalimbali za kiafya
Ushauri ni bure kabisaa

https://chat.whatsapp.com/KTQbtQF8e5Z7H1MnG3sUCp

  Mbegu na Yai Hukutana Kwenye Mirija ya UzaziKwenye mfumo wa uzazi wa mwanamke, urutubishaji wa yai au utungaji wa mimb...
20/12/2023



Mbegu na Yai Hukutana Kwenye Mirija ya Uzazi

Kwenye mfumo wa uzazi wa mwanamke, urutubishaji wa yai au utungaji wa mimba unafanyika kwenye mirija ya uzazi. Hapa ndipo mbegu inapokutana na yai lililopevuka na kiumbe kufanyikwa. Baada ya hapo kiumbe hiki husafiri mpaka kwenye ukuta wa kizazi na kujipachika ili kikue.

Endapo mrija mmoja umeziba, bado chansi ya kushika mimba ipo kupitia yai kutoka upande mwingine wa mfuko wa mayai. Japo k**a mirija yote ya uzazi kushoto na kulia imeziba, itakuwa ngumu kwa mwanamke kushika mimba mpaka pale mirija itakapozibuliwa.

*Nini Kinasababisha Kuziba kwa Mirija ya Uzazi*

Kuziba kwa mirija ya uzazi kunaweza kusababishwa na

1.kukua kupita kiasi kwa tishu za ndani za kizazi mpaka kuziba kwa mirija(endometriosis)

2.maambukizi kwenye njia ya uzazi yaani (PID)

3.Uvimbe kwenye kizazi ( fibroids)

4. Michubuko au majeraha kwenye mirija ya uzazi kutokana na utoaji mimba, upasuaji, mimba liyotunga nje ya kizazi n.k

5.Baadhi ya magonjwa ya zinaa k**a kisonono, kaswende, pangusa nk

K**a unatafuta mimba kwa muda mrefu bila mafanikio na mirija yako imeziba, unaweza kuwa unahitaji sana tiba asili za kukusaidia kuzibua mirija yako.

*jinsi ya kujitibia kuzibua mirija ya uzazi*

MAHITAJI

1.Ndimu/limao 4
2.Karafuu viganja viwili
3.vitunguu saumu punje viganja viwili
4. Maji lita 3

Viblend/ visage kwa pamoja kisha chemsha mchanganyiko huo kwenye moto mdogo ndani ya dk 15 kisha epua.

MATUMIZI
Anza wiki ya kwanza kunywa vijiko viwili vya chakula asubuhi, mchana na jioni siku saba.

Kisha acha Usitumie kwa wiki moja. Baada ya wiki anza tena kwa kunywa vijiko vitatu vya chakula asubuh, mchana, na jioni mpaka utakapopata hedhi yako endelea kutumia mpaka utakapo maliza hedhi kipindi cha hedhi.

Baada ya kutoka hedhi, Chukua karafuu na uzitwange ili kupata unga wake

Utachukua unga wa karafuu kijiko kimoja cha chai, utatia kwenye kikombe cha maji ya moto au kwenye kikombe cha chai ya moto na kukoroga

Utakunywa kinywaji hiki asubuhi na usiku mpaka utapofika siku za hatari. Utakutana na mumeo kisha utaskilizia mwezi ujao k**a mambo yametiki

Karafuu ina viambata muhimu vyenye kukusaidia kuondoa majimaji na vivimbe vinavyoziba njia ya mirija na pia husaidia katika upevushaji mayai

Muhimu mwanamke mwenye changamoto za kukosa ujauzito 👇
Usisahau kuzingatia mlo wako, ikumbuke kachumbari, parachichi, bamia na mboga za majani
Usisahau kutumia iliki, mdalasini, tangawizi, mchaichai, manjano, pilipili manga, kotimiri n.k kwenye mapishi yako

Usiogope Kujaribu Tiba Asili Kuzibua Mirija ya uzazi endelea kufatilia masomo, zingatia kisha leta mrejesho hapa pia Usisahau kumuomba mungu atajibu hitaji lako kwa wakati

Mwenyezi mungu atufanyie wepesi kila mmoja wetu kupata hitaji la mioyo yetu🙏🙏

https://chat.whatsapp.com/KTQbtQF8e5Z7H1MnG3sUCp

Follow LIZY AFYA UZAZI
K**a utahitaji nikusaidie kutatua changamoto yako 0682351073

19/12/2023

Address

HAYDOM
Manyara

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when LIZY AFYA UZAZI posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to LIZY AFYA UZAZI:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram