JENGA AFYA BORA

JENGA AFYA BORA NINASAIDIA WANAWAKE WOTE KUONDOKANA NA CHANGAMOTO ZA MFUMO WA UZAZI


https://wa.me/+255784354296

*🦠IJUE PID KWA KINA🦠* 👉PID (Pelvic Inflammatory Disease) ni maambukizi kwenye mfuko wa uzazi, mirija ya uzazi na ovari. ...
02/01/2026

*🦠IJUE PID KWA KINA🦠*
👉PID (Pelvic Inflammatory Disease) ni maambukizi kwenye mfuko wa uzazi, mirija ya uzazi na ovari. Dalili zake zinaweza kuwa hafifu au kali, na wakati mwingine mwanamke anaweza kuwa na PID bila dalili wazi.
*🚨 Dalili za PID*
👉Maumivu ya tumbo la chini / nyonga (hasa upande mmoja au zote)
👉Uchafu ukeni usio wa kawaida
– rangi ya njano/kijani, harufu mbaya
👉Maumivu wakati wa tendo la ndoa
👉Kutokwa damu isiyo ya kawaida
– damu baada ya tendo au katikati ya mzunguko
👉Maumivu au kuungua wakati wa kukojoa
👉Homa na kutetemeka
👉Kichefuchefu au kutapika
👉Maumivu makali wakati wa siku za hedhi
Kuhisi uchovu mwingi

⚠️ Madhara ya PID isipotibiwa mapema
🙆Ugumba (kutopata mimba)
🙆Mimba nje ya mfuko wa uzazi (ectopic pregnancy)
🙆Maumivu ya kudumu ya nyonga
🙆Maambukizi kujirudia mara kwa mara hata baada ya kutumia dawa

K**a ukigundua una tatizo hilo au una dalili zinazofanana na hizo *"USIOGOPE"* , *LIPO TUMAINI Kwani WALIOKUWA NA TATIZO K**A HILO LEO WANAFURAHIA MAISHA*

Wasiliana nami kwa 0784354296 au bofya
👇👇
https://wa.me/+255784354296
Viral Reels Rafiki Wa Mwanamke

*Maambukizi ya njia ya mkojo na kizazi kwa mwanamke (k**a UTI na PID – Pelvic Inflammatory Disease) yanaweza kusababisha...
17/05/2025

*Maambukizi ya njia ya mkojo na kizazi kwa mwanamke (k**a UTI na PID – Pelvic Inflammatory Disease) yanaweza kusababisha matatizo makubwa kiafya endapo hayatatibiwa kwa wakati. Hatua mbaya (au athari za muda mrefu) zinaweza kujumuisha:*

*1. Ugonjwa wa PID (Pelvic Inflammatory Disease)*

**Maambukizi yanapoenea hadi kwenye mirija ya uzazi, mfuko wa uzazi, na ovari.*

*Dalili: Maumivu makali ya tumbo la chini, homa, uchafu uliyokojoa harufu kali, maumivu wakati wa tendo la ndoa.**

*Athari za PID zisipotibiwa:*

*Ugonjwa sugu wa nyonga (chronic pelvic pain)*

*Kuwa tasa (kutopata mimba) –* kwa sababu ya uharibifu wa mirija ya uzazi.

*Mimba nje ya mfuko wa uzazi (ectopic pregnancy) –* hali hatari inayohitaji matibabu ya dharura.

Uambukizaji wa kudumu au kuenea kwa maambukizi hadi kwenye damu (sepsis) – inaweza kuhatarisha maisha.

*2. Maambukizi ya Njia ya Mkojo (UTI)*

Huanza kwenye kibofu, lakini k**a hayatatibiwa yanaweza kuenea hadi figo (pyelonephritis).

*Athari za UTI zisipotibiwa:*

*Maambukizi ya figo* – huweza kusababisha uharibifu wa figo au kushindwa kwa figo.

Sepsis (uchafuzi wa damu) – husababisha hatari ya kifo ikiwa haitatibiwa haraka.

*Maumivu ya mara kwa mara na mkojo kuwa na damu.*

*3. Athari Kijamii na Kisaikolojia*

Aibu au huzuni kutokana na dalili k**a uchafu au harufu.

Wasiwasi katika mahusiano ya ndoa kutokana na maumivu au maambukizi ya mara kwa mara.

*USHAURI NA TAHADHARI*
Ni muhimu sana mwanamke kupata uchunguzi wa mapema na matibabu ya haraka anapohisi dalili k**a maumivu wakati wa kukojoa, uchafu wa uke, maumivu ya tumbo la chini, au homa. Matibabu ya mapema huokoa afya ya uzazi na maisha kwa ujumla

17/05/2025
Maumivu ya tumbo chini ya kitovu mara nyingi huwa unaashiria kuwa ndani kuna mchubuko au kidondaHali hii inaweza kuleta ...
08/02/2025

Maumivu ya tumbo chini ya kitovu mara nyingi huwa unaashiria kuwa ndani kuna mchubuko au kidonda

Hali hii inaweza kuleta madhara makubwa kwenye mfumo wa uzazi wa mwanamke

https://wa.me/+255784354296

Essy Queen Menstrual Cycle Menstruation Cycle Understanding your menstruation & ovulation Dada Sarah Page JENGA AFYA BORA Highlanders

Usipotibu PID kwa muda mrefu upo hatarini kuwa Mgumba..Itakosa uwezo wa kushika ujauzito au ukishika unachoropoka.. TIBU...
08/02/2025

Usipotibu PID kwa muda mrefu upo hatarini kuwa Mgumba..

Itakosa uwezo wa kushika ujauzito au ukishika unachoropoka..

TIBU PID ILI UJITOE KWENYE HATARI HII..

https://wa.me/+255784354296

Highlanders JENGA AFYA BORA Dada Sarah Page Understanding your menstruation & ovulation Menstruation Cycle Menstrual Cycle Essy Queen

Je, unajua tendo la ndoa ni sehemu ya starehe???UNAPOTOKWA NA HARUFU MBAYA WAKATI WA TENDO LA NDOA HAUTAFURAHIA TENDO LA...
08/02/2025

Je, unajua tendo la ndoa ni sehemu ya starehe???

UNAPOTOKWA NA HARUFU MBAYA WAKATI WA TENDO LA NDOA HAUTAFURAHIA TENDO LA NDOA KWA SABABU INAKUCHEFUA

K**a wewe ni Mihanga wa tatizo hilo au unamfahamu mtu yeyote anayesumbuliwa na tatizo hilo ninajua njia ya kumsaidia

https://wa.me/+255784354296

Highlanders Dada Sarah Page JENGA AFYA BORA Understanding your menstruation & ovulation Menstruation Cycle Menstrual Cycle Essy Queen

Je, unapata maumivu makali ukiwa period?Je, umekaa nayo kwa muda gani?Anatamani kuondokana na hiyo hali?Wasiliana nasi ☎...
27/01/2025

Je, unapata maumivu makali ukiwa period?
Je, umekaa nayo kwa muda gani?
Anatamani kuondokana na hiyo hali?

Wasiliana nasi ☎️ 0784354296
https://wa.me/+255784354296

https://wa.me/+255784354296Je,  wewe ni mwanamke Unasumbuliwa na changamoto za mfumo wa uzazi k**a zifuatazo?√Maumivu ma...
27/01/2025

https://wa.me/+255784354296
Je, wewe ni mwanamke Unasumbuliwa na changamoto za mfumo wa uzazi k**a zifuatazo?

√Maumivu makali chini ya kitovu wakati wa period.

√Maumivu wakati wa tendo na kukosa hamu ya tendo

√Utoko wa uchafu wenye rangi nyeupe au njano au vinginevyo ulioambatana na harufu mbaya

√Miwasho kwenye katikati ya mapaja na sehemu za siri

√Kukosa hedhi au kupata period bila mpangilio unaoeleweka

√Umetafuta ujauzito bila mafanikio au ukipata ujauzito unatoka? Pengine unahisi k**a ni mjamzito lakini hamna kitu

Jygahealthcare0784354296 tukishirikiana na Bright future company
Tupo kwa ajili ya kukusaidia kuondokana na kukuepusha na tatizo hilo

Usisite kuwasiliana nasi kwa namba0784354296 au WhatsApp
Link https://wa.me/+255784354296

Tuma neno " *SULUHISHO* " mimi nitakusikiliza

Kumbuka
"AFYA NI MTAJI"

UJUMBE KWA KILA MWANAMKE  *SIYO KILA UKIONA UTOKO UKENI UNAUMWA. NO!!!Uke huwa na tabia ya kujisafisha wenyewe ili uwe n...
27/01/2025

UJUMBE KWA KILA MWANAMKE

*SIYO KILA UKIONA UTOKO UKENI UNAUMWA. NO!!!

Uke huwa na tabia ya kujisafisha wenyewe ili uwe na afya...

Ukitokwa na uchafu usio na rangi,(colour less) unaovutika angalia una ujauzito?.. k**a hapana ujue yai lako liko tayari kurutubishwa au uke unajisafisha wenyewe

Uke ukishindwa kujisafisha wenyewe utakuwa mkavu na unavutia Maambukizi ya bacteria pamoja na fungus

TENGA MUDA WAKO KUJIFUNZA KUPITIA PICHA HAPO JUU 👆👆👆

Ukigundua Rangi ya utoko wa ushafu na kiashiria chake...
Jichunguze je,
✓Uchafu unaotoka una harufu?
✓Mzunguko wako wa mwezi uko sawa?
✓Unapata maumivu ya tumbo chini ya kitovu? Wakati wa period? Wakati wa tendo? Wakati wa haja ndogo?
✓Unapta miwasho sehemu za siri?
✓Unakosa hamu ya kushiriki tendo la ndoa?

K**a unapitia hali k**a hii au tofauti na hii

Wasiliana nasi kwa 0784354296
https://wa.me/+255784354296

Kumbuka
AFYA NI MTAJI...

Address

Moshi

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when JENGA AFYA BORA posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram