Afya Huru.

Afya Huru. Huduma za tiba asili,zimeandaliwa kitaalamu

18/05/2021
09/04/2020
ONGEZEKO LA SUKARI LA KUDUMU KATIKA DAMU.Baada ya kula chakula kwenye asili ya wanga mwili wako hukivunja kuwa sukari Ra...
03/09/2019

ONGEZEKO LA SUKARI LA KUDUMU KATIKA DAMU.

Baada ya kula chakula kwenye asili ya wanga mwili wako hukivunja kuwa sukari Rahisi(glucose).

°Mwili hutengeneza Homoni ya insulin ambayo husaidia matumizi na uhifadhi wa sukari iliyo katika damu.

°Pale unapokuwa na kisukari mwili wako hauna uwezo wa kutengeneza insulin ya kutosha,ama insulin iliyopo kutotumika vizuri.Hali hii hupelekea wewe kuwa na sukari ya kuzidi katika damu(Hyperglycemia).

SUKARI YA KUZIDI KATIKA DAMU(HYPERGLYCEMIA)
--------------------------------------------------------
Hutokea pale ambapo:-
1.Usipotumia Dawa za kisukari ama kuchoma insulin(Kwa wale walio na kisukari)

2.Pale unapotumia madawa mengine ambayo yanaongeza sukari kwenye damu.K**a vile Corticosteroids na Beta blockers

3.Kula vyakula vingi na vyenye asili ya wanga.

4.Kutofanya mazoezi ya kutosha,ama kutojishughulisha.

5.Kuugua,Kupata ajali au kupata upasuaji.Hii inatokana na kwamba Kwa sababu ya kuugua hutoacha kula japo utaacha kuwajibika.
Hii itakudhuru tu kwa sababu mwili una kanuni ya kubaki kwenye uwiano sahihi "Kiasi kinacho ingia kiwiane na Kiasi kinachotoka.

6.Msongo wa mawazo,mfadhaiko na mashaka.

7.Kubadikika kwa kiwango Cha Homoni (Hasa kwa wanawake)

DALILI ZA ZIDIO LA SUKARI KWENYE DAMU.
°Kiu Kali kupita Kiasi.
°Kukojoa Sana na mara kwa mara.
°Kuhisi uchovu muda wote.
°Kuona maluweluwe.

Usipotatia tatizo la zidio la sukari(Hyperglycemia) inaweza kupelekea kuwa katika hatari ya Kisukari,na matatizo mengine.

Hatua za mwanzo za kuchukua Ni Hizi.
°Kufahamu uwiano wa sukari yako katika usawa
°Unapokuta sukari imezidi ghafla-Kunywa maji ya kutosha.
°K**a una kisukari Fuata taratibu za Matibabu unayoendelea nayo(VIDONGE,Sindano,Dawa asili ?)
°Usiongeze Dawa bila ushauri wa mtoa Huduma wa afya.
°K**a una kisukari angalia sukari yako Kila Baada ya masaa 4 Tangu ilipopanda kwa awamu 3 Mfululizo.
°Fuata kanuni za mlo sahihi was kila siku.
°Ongeza uwajibishaji mwili(Mazoezi)
°Usifanye mazoezi K**a SUKARI yako Ni zaidi ya 11.

KISUKARI NA TIBA YAKEJINUSURU KWA SIKU 45-60 TU.Jambo hili Ni halisi na linawezekana Sana kwa Upande Huu.Kwa Muda usiozi...
03/09/2019

KISUKARI NA TIBA YAKE
JINUSURU KWA SIKU 45-60 TU.
Jambo hili Ni halisi na linawezekana Sana kwa Upande Huu.
Kwa Muda usiozidi miezi miwili unaweza kupona kabisa na ukaachana na habari za kunywa Dawa zisizokoma,ama kuchoma sindano bila kikomo.
NB: Vigezo na mashati kuzingatiwa.

Kwa kuwa Ni kitu ambacho kinatokana na kubadilika kwa Mfumo wa Homoni katika mwili wako unapaswa Kila wakati kufanya Jambo la tofauti na ulivyozoea.

Tumeanzisha Mpango wa Tiba ya kisukari kwa kutumia Dawa asili na Elimu ya lishe ambapo Baada ya miezi miwili Tunategemea utakuwa Huru DHIDI ya Tatizo ulilosafiri nalo kwa Miaka.Hii Ni habari njema Sana kwa Wagonjwa was kisukari ambapo,unachotakiwa kufanya Ni kuwa makini tu na Maelekezo bya kitaalamu yatakayobadilisha Upya maisha yako kwa kipindi chote unachoendelea na Matibabu.

K**a wewe Ni mhanga was kisukari usisite kunijulisha nami nitakueleza Kika Jambo unalotakiwa kufanya.

Address

Raha Leo
Mtwara
00000

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya Huru. posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Afya Huru.:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram