Sports weak

Sports weak Media/news

Mzee wangu baba yangu wendo binadam pekee ulokuwaa ukinipa furaha duniani na kiburi umeondokaa kimy kimy paspo hata kuon...
04/03/2026

Mzee wangu baba yangu wendo binadam pekee ulokuwaa ukinipa furaha duniani na kiburi umeondokaa kimy kimy paspo hata kuongea neno mzee wangu basi bwana mwenyezi mungu akufanyiee wepesi kaburin kwako baba Ila umeondokaa

Wakati ambao atukutarajia mzee wetu hatuna budi kukubli Ila najua mungu umeruhusu kwakuwa unajua nayaweza hayaa maana huwezi ukanipa jarbu kubwa hivi k**a siliwezi

Maboresho ya ratiba NBC LEAGUE
01/03/2026

Maboresho ya ratiba NBC LEAGUE

RATIBA LEO IPO HIV (01/03/26)🇹🇿 TANZANIA 20:30 Yanga SC 🆚  Simba SC 🇪🇸 SPANISH LALIGA 16:00 Elche 🆚 Espanyol18:15 Valenc...
01/03/2026

RATIBA LEO IPO HIV (01/03/26)

🇹🇿 TANZANIA

20:30 Yanga SC 🆚 Simba SC

🇪🇸 SPANISH LALIGA

16:00 Elche 🆚 Espanyol
18:15 Valencia 🆚 Osasuna
20:30 Betis 🆚 Sevilla
23:00 Girona 🆚 Celta Vigo

🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 ENGLAND PREMIER LEAGUE

17:00 Brighton 🆚 Nottingham
17:00 Fulham 🆚 Tottenham
17:00 Manchester Utd 🆚 Crystal Palace
19:30 Arsenal 🆚 Chelsea

🇫🇷 FRENCH LIGUE 1

16:00 Paris FC 🆚 Nice
18:15 Lille 🆚 Nantes
18:15 Lorient 🆚 Auxerre
18:15 Metz 🆚 Brest
21:45 Marseille 🆚 Lyon

🇩🇪 GERMAN BUNDESLIGA

17:30 Stuttgart 🆚 Wolfsburg
19:30 Eintracht Frankfurt 🆚 Freiburg
21:30 Hamburger SV 🆚 RB Leipzig

🇮🇹 ITALIAN SERIE A

14:30 Cremonese 🆚 AC Milan
16:00 Sassuolo 🆚 Atalanta
20:00 Torino 🆚 Lazio
22:45 AS Roma 🆚 Juventus

🇳🇱 DUTCH EREDIVISIE

13:15 Zwolle 🆚 Ajax
15:30 FC Volendam 🆚 Groningen
15:30 Twente 🆚 Feyenoord
17:45 Utrecht 🆚 AZ Alkmaar
21:00 Excelsior 🆚 G.A. Eagles

🇦🇹 AUSTRIAN BUNDESLIGA

17:00 Altach 🆚 SK Rapid
17:00 Austria Vienna 🆚 LASK
17:00 BW Linz 🆚 Tirol
17:00 Grazer AK 🆚 Ried
17:00 Salzburg 🆚 Hartberg
17:00 Wolfsberger AC 🆚 Sturm Graz

🇧🇪 BELGIAN PRO LEAGUE

14:30 Genk 🆚 Gent
17:00 Westerlo 🆚 Royale Union SG
19:30 Charleroi 🆚 Club Brugge KV
20:15 Cercle Brugge KSV 🆚 Dender

🇦🇿 AZERBAIJAN PREMIER LEAGUE

14:30 Turan Tovuz 🆚 Imisli FK
17:00 Qarabag 🆚 Sabah Baku

🇨🇾 CYPRUS LEAGUE

16:00 Chloraka 🆚 Krasava
17:00 AEK Larnaca 🆚 Ol. Nicosia
19:00 Aris 🆚 Pafos

🇧🇬 BULGARIAN EFBET LEAGUE

17:15 Levski Sofia 🆚 Lok. Sofia

🇩🇰 DENMARK SUPERLIGAEN

18:00 FC Copenhagen 🆚 Randers FC
18:00 Fredericia 🆚 Silkeborg
18:00 Midtjylland 🆚 Brondby
18:00 Sonderjyske 🆚 Odense
18:00 Vejle 🆚 Aarhus
18:00 Viborg 🆚 Nordsjaelland

🇭🇷 CROATIAN HNL

16:00 Rijeka 🆚 Lok. Zagreb
18:15 Din. Zagreb 🆚 Gorica

🇩🇪 2. BUNDESLIGA

13:30 Braunschweig 🆚 Preussen Munster
13:30 Hertha Berlin 🆚 Nurnberg
13:30 Magdeburg 🆚 Karlsruher SC

🇵🇹 LIGA PORTUGAL

17:30 Tondela 🆚 Santa Clara
20:00 Casa Pia 🆚 Moreirense
22:30 Rio Ave 🆚 Famalicao

🇨🇿 CZECH REP CHANCE LIGA

14:00 Karvina 🆚 Slovacko
16:30 Zlin 🆚 Plzen
19:30 Sigma Olomouc 🆚 Bohemians

Ali komweee
23/02/2026

Ali komweee

MSIMAMO: Mtibwa Sugar bado wako ‘top 5’
23/02/2026

MSIMAMO: Mtibwa Sugar bado wako ‘top 5’

WAPIGA FILIMBI MSHAWAJUA?Maneno ya Kocha Mkuu wa Namungo, Juma Mgunda akizungumza baada ya kipigo cha bao 1-0 kutoka kwa...
23/02/2026

WAPIGA FILIMBI MSHAWAJUA?
Maneno ya Kocha Mkuu wa Namungo, Juma Mgunda akizungumza baada ya kipigo cha bao 1-0 kutoka kwa Yanga.
Mgunda amemtaja Abdallah Mwinyimkuu k**a ndiye mchezaji bora wa mchezo kwakuwa yeye ndiye aliyeamua matokeo yawe vile kwa kuwanyima penati ya kweli na kuwapa penati ya uongo Yanga.
Unakubaliana kwa asilimia ngapi na Kocha Juma Mgunda?
weak

KALAMU YA LEO 📝 | TZ Prisons Vs Simba SC3 POINTS ✅! Clean Sheet 🔥! 22 Points on Table ✅! Mnyamaa anashinda mechi zakeTZ ...
23/02/2026

KALAMU YA LEO 📝 | TZ Prisons Vs Simba SC

3 POINTS ✅! Clean Sheet 🔥! 22 Points on Table ✅! Mnyamaa anashinda mechi zake

TZ Prisons kwenye 4-4-2 / 5-4-1 mpango wao wa kuzuia ndio umewamaliza mbele ya Simba SC leo, walichagua kuzuia zaidi ila bado walipopata mpira hawakujua ni maeneo gani uende na wafanya nini! Hapa ndipo mpinzani wao alianzia kuwamaliza kwa sababu ya runners wengi alionao mstari wa juu

4-2-3-1 ya Simba build-up yao ilikuwa sahihi yenye muendelezo wenye mpangilio kupitia 2-3-4-1 yaani Kibabage & Kapombe wanapishana mstari wa pili au tatu then Chama, Loemba na Kagoma wanapita kati yao! Prisons hapa ndipo tatizo lilipoanzia kwao, Why?

1- Oura + Mwalimu + Gueye ile combination play yao ilivuruga sana back-line ya mpinzani wao na kuongeza hatari kwa M***a Mbisa! Muda mwingi Prisons wakawa hawakai kwenye shape yao sababu ya runners wengi wa Simba

2- Numerical Advantage: Simba hapa hata bila mpira walikuwa na wachezaji wengi kwenye nusu ya mpinzani wao(Kibabage + Kapombe waliongezeka karibu na 18 ya mpinzani wao, Prison ikakosa uhuru hata kwenye build-up)

2ND HALF! TZ Prisons ndio k**a walikuja kucheza na kupishana zaidi kisha Simba SC ikaamua kutulia na kuchagua nyakati ambazo zitafanya kuendelea kuushika mchezo hadi mwisho wa Dakika 90.

THIRD EYE. 📝

▪︎ Prinsons kipindi cha pili wamezuia vizuri sana ✅

▪︎ Kagoma 👊! Oura + Gueye + Doto 🔥! Sabyanka + Kimenya + Toure 💪

▪︎ Loemba that composure ✅! Chama that simplicity 🧠! Kapombe, great game today 🔥

▪︎ Kibabage ✅ kaamua kila siku kucheza mechi yake upande wake 🔥

▪︎ RUSHINE DE REUCK, Top Top Game 🙌! POTM no doubt 🔥

NB:Machi 1 wanauliza mbona hafiki😃

FT:TZ PRISONS 0-2 SIMBA SC.

Let’s Goo!!.

"Namungo walinyimwa penal=ti ya halali kabisa, penati ambayo ilionekana moja kwa moja kwamba hii ni penati, mchezaji wa ...
23/02/2026

"Namungo walinyimwa penal=ti ya halali kabisa, penati ambayo ilionekana moja kwa moja kwamba hii ni penati, mchezaji wa Namunhgo alishikwa na wachezaji wa Yanga, akabanwa kuingia kwenye kumi na nane, akashindwa kupata nafasi ya kufunga bao, kwa maana alinyimwa nafasi ya kufunga bao na walinzi wa Yanga."


Follow weak

Kiungo raia wa Senegal Mamadou Lamine Camara Mwenye Umri wa Miaka (23) rasmi jana ameanza safari mpya ya soka baada ya k...
23/02/2026

Kiungo raia wa Senegal Mamadou Lamine Camara Mwenye Umri wa Miaka (23) rasmi jana ameanza safari mpya ya soka baada ya kusaini Mkataba wa miaka miwili na nusu na klabu ya nchini Libya Al Ahli Tripoli, ambao utamuweka klabuni hapo hadi Agosti 21, 2028.

Camara atalipwa mshahara wa dola milioni 1.2 kwa mwaka, sawa na zaidi ya (Shilingi Bilioni 3.08 za Kitanzania), kiwango kinachomfanya kuwa mchezaji wa pili anayelipwa fedha nyingi zaidi barani Afrika katika ligi za ndani.

Al Ahli Tripoli walilazimika kulipa dola milioni 2.8 (takribani Bilioni 7.18 Tsh) kuvunja kipengele cha mkataba wake kutoka klabu ya nchini Morocco RS Berkane.

Katika orodha ya wachezaji wanaolipwa fedha nyingi zaidi barani Afrika ndani ya ligi za nyumbani, Camara anashika nafasi ya pili nyuma ya nyota wa Misri Ramadan Sobhi, anayelipwa dola milioni 2.4 kwa mwaka sawa na Bilioni 6.16 za Kitanzania.

Klabu ya Al Ahli Tripoli ambao sasa wanaongeza nguvu katikati ya uwanja kwa kumpata kiungo mwenye uwezo mkubwa wa kukaba, kusambaza mipira na kuongoza mashambulizi.

weak

Augustine Okejepha "Don Ok" kiungo wa zamani Simba SC amesaini miezi 6 klabu ya Welayta Dicha ya nchini Ethiopia.Nyota h...
23/02/2026

Augustine Okejepha "Don Ok" kiungo wa zamani Simba SC amesaini miezi 6 klabu ya Welayta Dicha ya nchini Ethiopia.

Nyota huyo kabla ya kutua Ethiopia ametokea Iraq ambapo alikuwa anacheza Ligi kuu nchini humo.

Okejepha amesema atacheza kwa muda mfupi ili dirisha kubwa apate ofa nzuri zaidi.

Sports weak

Ushindi wa jana haukuwa tu pointi tatu za kawaida  ulikuwa ni ujumbe mzito kwa wapinzani wao Arsenal. Manchester City wa...
23/02/2026

Ushindi wa jana haukuwa tu pointi tatu za kawaida ulikuwa ni ujumbe mzito kwa wapinzani wao Arsenal. Manchester City wameonyesha kwa mara nyingine kuwa wao ni timu inayojua kushinda katika nyakati muhimu zaidi za msimu.

Katika hatua hii ya ligi, kila mechi ni k**a fainali. Lakini tofauti kati ya mabingwa na washindani ni uwezo wa kubeba presha, kuamua mechi kwa utulivu, na kutumia makosa madogo ya wapinzani. Hilo ndilo City wamefanya jana wakionyesha uzoefu, nidhamu ya hali ya juu na falsafa ya ushindi iliyojengwa kwa miaka chini ya mwalimu wao.

Ushindi huu umeongeza imani ndani ya kikosi, umeongeza presha kwa wapinzani wao Arsenal, na umeimarisha nafasi yao juu ya msimamo. Hii si bahati ni matokeo ya mipango, kikosi kipana chenye ubora, na wachezaji wanaojua thamani ya kila dakika uwanjani.

City wana kitu kimoja kinachowatofautisha: mentaliti ya mabingwa. Wakiwa kwenye mbio za ubingwa, mara nyingi hawaangalii kelele za nje wanaangalia kazi yao tu. Wana kasi, wana uimara wa safu ya ulinzi, wana ubunifu katikati, na wana makali mbele ya lango. Huu ni mchanganyiko unaowapa nafasi kubwa ya kunyanyua kombe msimu huu.

K**a wataendelea na mwendo huu, wakidumisha nidhamu na njaa ya ushindi, basi njia yao kuelekea ubingwa inazidi kuwa wazi kwao. Ushindi wa jana unaweza kuwa turning point ya msimu ushindi unaoweza kukumbukwa k**a hatua muhimu kuelekea taji jingine.

# weak

Nyota wa Tanzania Charles M’mombwa na  timu yake ya Floriana FC wamepata ushindi wa mabao 4-1 dhidi ya Hibernians kwenye...
23/02/2026

Nyota wa Tanzania Charles M’mombwa na timu yake ya Floriana FC wamepata ushindi wa mabao 4-1 dhidi ya Hibernians kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya Malta
mmombwa10

Address

Bunda
Musoma

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Sports weak posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram