kazungu healthcare

kazungu healthcare Tokomeza tatizo la Fangas Ukeni kea Siku Saba tu

*UGONJWA WA FANGASI UKENI (VAGINAL CANDIDIASIS)* Dr Onesmo.piga 0785759296✍🏼Fangasi ukeni ni miongoni mwa magonjwa ambay...
30/11/2022

*UGONJWA WA FANGASI UKENI (VAGINAL CANDIDIASIS)*
Dr Onesmo.piga 0785759296
✍🏼Fangasi ukeni ni miongoni mwa magonjwa ambayo hutesa wanawake kwa namna mbalimbali. Husababisha miwasho, harufu mbaya, maumivu, majimaji, homa nk kiasi cha kuingilia ratiba na ufanyaji kazi wa kila siku wa mtu. Huweza kuwakumba wanawake wa aina zote, ila wanawake wenye ujauzito huwa kwenye hatari zaidi. Ukikosa matibabu mazuri unawezaukahangaika nao kwa muda mrefu sana, lakini ukipata matibabu mazuri basi ndani ya muda mfupi tu unapona kabisa na kuweza kuwa vizuri.

*Maambukizi ya fangasi ukeni yamegawanyika katika sehemu KUU mbili nazo ni;*

⏩MAAMBUKIZI YASIYO MAKALI (UNCOMPLICATED THRUSH)
Katika aina hii mgonjwa hupatwa na maambukizi Mara moja hadi nne kwa
mwaka pia Dalili zake huwa si za kuogopesha na maambukizi haya husababishwa
na fangasi aina ya CANDIDA ALBICANS
▶️MAAMBUKIZI MAKALI (COMPLICATED THRUSH)
Katika kundi hili mgonjwa hupatwa na maambukizi Zaidi ya mara nne kwa mwaka.

*VISABABISHIVYA FANGASI UKENI*
Maambukizi ya fangasi katika sehemu za siri za mwanamke husababishwa na-
✍️✍️✍️✍️✍️✍️✍️✍️✍️

▶️MATUMIZI YA MADAWA YA ANTIBIOTICS k**a AMPICILLINE, CIPROFLAXINE,
AMOXYLINE, DOXYCYCLINE, ERTHROMYCINE, NK
▶️Mabadiliko ya mfumo wa homoni mwilini ambazo husababisha mabadiliko katika
sehemu za siri pia kuwa na historia ya kupata matibabu ya homoni.
▶️upungufu wa Kinga mwilin kutokana na magonjwa hatar ya saratani, kisukari,ugonjwa wa mononucleosis nk
▶️matumizi ya vidonge vya majira
▶️kujamiana kwa njia ya kawaida Mara tu baada ya kujamiiana kupitia haja kubwa
(a**l s*x)
▶️ matumizi ya glycerin wakati wa kujamiiana husababisha maambukizi
▶️ kuvaa nguo za ndani zisizo kauka vzur na kuvaa mavazi yanayoleta sana joto
sehem za siri n.k
👇👇👇👇
*DALILI ZA FANGASI UKENI*
Dalili zake huwa ni za kuogopesha k**a maambukizi yatakua yametokea kipindi cha
ujauzito, ugonjwa wa VVU, ugonjwa wa sukari nk
⏩kuwashwa sehem za siri
⏩kuhisi maumivu makali wakati wa kujamiiana (superficial dysapareunia)
⏩kuhisi kuwaka moto sehemu za siri Mara baada ya kutoka kufanya tendo la ndoa
au kutoka kukojoa (burning sensation)
⏩kupata vidonda ukeni (soreness)
⏩kuvimba na kuwa mwekundu katika mdomo wa nje wa uke (l***a minora)
⏩kupata maumivu wakati wa kukojoa
⏩kutokwa na uchafu wa rangi nyeupe au kijivu unaoweza kuwa MWEPESI au
MZITO, uchafu huu unakua k**a maziwa yaliyoganda na hauna harufu kali
⏩Kutokwa na harufu kali baada ya kushiriki tendo la ndoa
⏩Kuchafua chupi mara kwa mara n.k
👇👇👇👇👇👇👇
*MADHARA*
Tatizo la fangasi lisipotibiwa mapema huleta madhara makubwa sana k**a ifuatavyo
⏩Husababisha maambukizi katika viungo vya uzazi(pid)
⏩Huweza kusababisha kansa ya viungo vya uzazi
⏩Huweza kusababisha ugumba
⏩Husababisha maumivu kipindi cha kujamiana
⏩Kusababisha msongo wa mawazo
⏩Kupekea kuvunjika kwa mahusiano.

*MATIBABU SAHIHI NA JINSI YA KUJIKINGA NA UGONJWA HUU WA FANGASI UKENI*
✍️✍️✍️
Mara nyingi wanawake wengi wamekuwa wakipata matibabu ya ugonjwa huu hosptital baada ya kufanyiwa vipimo vya uchunguzi.tiba za hospitali siyo za uhakika kwasababu dawa za hospital hazitibu chanzo cha tatizo hivyo ndio maana baada ya mda mfupi tatizo linarudi hivyo unashauriwa kutumia virutubisho vya asilia ambavyo vitaenda kutibu chanzo cha ugonjwa wako na kutokujirudia tena.
Wasiliana nasi kupitia whatsapp 0785759296

*JE UNAFAHAMU MADHARA YA VIDONDA VYA TUMBO ISIPO TIBIWA HARAKA* Na Dr Onesmo laurent piga/whatsapp 0785759296✍️Vidonda v...
17/10/2022

*JE UNAFAHAMU MADHARA YA VIDONDA VYA TUMBO ISIPO TIBIWA HARAKA*
Na Dr Onesmo laurent piga/whatsapp 0785759296

✍️Vidonda vya tumbo ni majeraha au vidonda ndani ya kuta za tumbo.

✍️Majeraha au vidonda hivyo huleta maumivu yanayokera na hutokea mara nyingi tumboni na yanaweza kutibika lakini k**a hutachukuwa hatua mapema za kutibu yanaweza kukuletea majanga mengine mengi kiafya.
✍️Tumbo na utumbo mdogo vina kuta maalumu yenye ute ute wa ulinzi ambao hulilinda tumbo lako dhidi ya maadui wanaoleta shida tumboni mwako yaani bakteria wabaya, virusi na vijidudu nyemelezi vingine.
✍️Wakati kuna vitu vingi vinavyoweza kukusababishia vidonda vya tumbo ikiwemo kutumia dawa za kupunguza maumivu kwa muda mrefu bila ushauri wa kitaalamu, kuvuta sana sigara au kunywa pombe kupita kiasi; kuna bakteria ambaye anaweza kulaumiwa k**a mhusika mkuu wa vidonda vya tumbo.
✍️Bakteria huyo anajulikana k**a helicobacter pylori kwa kifupi H. pylori. Ni bakteria mwenye umbo la duara ambaye hushambulia ute ute wa ulinzi wa tumbo na sehemu ya juu ya utumbo mdogo.
✍️Matokeo ya mashambulizi hayo ya huyu bakteria ni kutokea kwa vidonda kwenye kuta za tumbo na kuweka uwazi (vidonda) ambavyo hutumika k**a njia ya kupitia bakteria wengine wabaya na kuongeza gesi tumboni.
✍️Wakati hakuna uelewa wa moja kwa moja ni jinsi gani huyu bakteria anaingia tumboni, bado ni bakteria wa kawaida anayepatikana tumboni mwa watu wengi pasipo wao wenyewe kujua.
✍️Tatizo la vidonda vya tumbo linalosababishwa na huyu bakteria ni kuwa anachelewa sana kukuonyesha dalili kwamba una vidonda vya tumbo.
Wakati unaweza kuishi na vidonda vya tumbo kwa muda zaidi ya miaka 3 bila kukuletea shida kubwa, kuviacha kwa muda mrefu bila kupata matibabu kunaweza kukuletea madhara yafuatayo:-

💉Kuvuja damu ndani ya mwili (Internal bleeding and serious blood loss)

💉Upungufu wa damu (Anemia) kutoka na damu inayo vuja tumboni

💉Kutapika damu

💉Kupata kinyesi cheusi k**a cha mbuzi inaweza kuchanganikana na damu au mak**asi k**asi

💉Kuvurugika kwa mfumo wa mmeng’enyo wa chakula (Obstructed digestion) na wakati flani upelekea ukienda haja kubwa ukila chakula ukienda chooni kinatokea bila kumeng'enywa au ukibeuwa unatoa chakula bila kumeng'enywa

💉Shida katika kupumua, hii inatokea baada ya baadhi ya mshipa kuathirika na wadudu hawa na kushindwa kusafisha damu vizur na kupelekea moyo kushindwa kupata hewa ya OXYGEN Vizur

💉Saratani ya tumbo (Stomach cancer)

💉Msongo wa mawazo (stress)

💉Kupungua kwa nguvu za kiume/ Nguvu za k**e kwa sababu ya kushusha Kinga ya mwili na vichochezi mwili kutokuwa sawa HOMON INBALANCE na kupoteza hisia kabisa
💉 Kufanyiwa upasuaji, hii ni baada ya Vidonda vilivyo tumboni kuoza Sana na kusababisha saratni ya tumbo itakupeleakea kukatwa nyama sehemu hiyo iliyo oza Sana
💉Kupoteza maisha kabisa, Huu ugonjwa sio wa kupuuzia hata kidgo kumbuka tumbo ndio injini ya mwili ikiathirika inaweza kuzima.kabisa utendaji Kazi wa mwili

Karibu kazungu healthcare
17/10/2022

Karibu kazungu healthcare

Address

Mwanza
Mwanza
00

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when kazungu healthcare posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to kazungu healthcare:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram