Dr. Ebby Herbal

Dr. Ebby Herbal Nawasaidia watu wenye changamoto za ki afya Kwa Tiba na Ushauri kwa kutumia mimea Asili matunda na mboga mboga za majani,. ASILI HUPONYA..

MIMI NINATIBU NA MUNGU ANAPONYA /Whatsapp_0757991560_Dr. Ebby 🤝

*ifanye Leo kuwa ya furaha kwako, OFA hii imebeba tumaini la uponyaji na mwisho wa mateso yako, pengine gharama ya dawa ...
15/12/2025

*ifanye Leo kuwa ya furaha kwako, OFA hii imebeba tumaini la uponyaji na mwisho wa mateso yako, pengine gharama ya dawa ilikua ni mtihani kwako sasa nufaika na punguzo hili la bei* Sisi tunatibu na Mungu anaponya,... Uwe na JUMAPILI njema mpendwa 🤝

Dr. Ebby 0757991560

NIKUTAKIE KUMBUKIZI NJEMA YA SIKU HII MUHIMU YA KUSHEREHEKEA KUMBUKIZI YA UHURU WA TANZANIA BARA, IKAWE KHERI NA BARAKA ...
09/12/2025

NIKUTAKIE KUMBUKIZI NJEMA YA SIKU HII MUHIMU YA KUSHEREHEKEA KUMBUKIZI YA UHURU WA TANZANIA BARA, IKAWE KHERI NA BARAKA KWAKO KWA PAMOJA TUENDELEE KULINDA AMANI NA TUNU YA TAIFA LETU PENDWA🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 Na Dr. Ebby 📞 0757991560 NAOMBA SOMA SOMO HILI LENYE FAIDA NYINGI KWAKO KWA WATU WA KARIBU YAKO👇

Rafiki yangu, hebu nitumie dakika chache nikuonyeshe kitu ambacho kitaabadilisha maisha yako.

Ninakuandikia hili si kwa sababu ya biashara,
bali kwa sababu nataka uamke siku moja bila maumivu, bila hofu, bila presha, bila kukurukuka kila asubuhi.
Kwa muda mrefu umekuwa ukila chakula “kwa mazoea”… lakini leo nakufundisha kula “kwa uponyaji”.

1️⃣ 75% — Mafuta Mazuri (Hapa ndipo mwili wako unapata tiba ya kweli)

Rafiki yangu, mwili wako umechoka kutumia sukari k**a chanzo cha nguvu.
Ndiyo maana unachoka haraka, unapata kizunguzungu, usingizi unakukimbia, presha inapanda kwa ghafla.

Lakini unapoweka mafuta mazuri kwenye sahani yako—
mwili wako unawaka upya k**a2 injini mpya iliyofanyiwa service.

Nataka sahani yako iwe na:

1. parachichi

2. mafuta ya n**i

3. mafuta ya olive (cold press)

4. mafuta ya samaki

5. ghee

Haya mafuta ndiyo tiba.
Yanasafisha mishipa, yanatuliza moyo, yanayeyusha uvimbe unaosababisha presha kupanda.

2️⃣ 20% — Protini Halisi (zinajenga mishipa, zinatuliza mwili)

Rafiki yangu, nataka uchague protini zilizo “hai”—zinajenga, zinatengeneza, na zinaponya.

Chagua:

1. kuku wa kienyeji

2. mayai

3. samaki fresh3

4. maini / nyama ya kupika

Protini hizi:
• zinapunguza njaa,
• zinajenga misuli,
• zinapunguza uzito bila mateso,
• hazipandishi sukari—kwa hiyo zinashusha presha.

Ukila protini sahihi kila siku,
mwili wako unaanza kutulia polepole…
mapigo yanakuwa ya kawaida…
usingizi unarudi…
na unahisi nguvu mpya.

3️⃣ 5% — Vyakula Mbadala wa Low GI (Bila kuumiza mwili)

Mboga zisizo na wanga:

sukuma

spinach

cauliflower

broccoli

kabeji

matango

nyanya

bamia

karoti

hoho

vitunguu maji, saumu

Zero-carb fillers:

mayai

supu ya mifupa

kachumbari2

supu ya mboga zilizochemshwa

Vinywaji vya kushusha presha:

chai ya tangawizi

maji ya uvuguvugu + limao (unaweza kuweka chumvi ya mawe kidogo)

chai ya kijani bila sukari

maji ya moto

Hivi havikuumizi, havipandishi sukari, havibani mishipa ya damu.
Ni k**a “moto mdogo wa uponyaji” ndani ya mwili.

Rafiki yangu, sahani yako ndiyo tiba yako.
Hakuna dawa yoyote hospitalini inayoweza kukupa matokeo ambayo sahani sahihi inaweza kukuletea.

Kwa ushauri, matibabu na hata program maalum ya kuondokana na adui huyu mkorofi kwa sasa basi Karibu na piga simu 0757991560 Dr. Ebby.. Tunapatikana Mwanza eneo linaitwa Mkolani jirani na Ghorofa la Family corner 🤝

KWA DALILI HIZI WEWE MWANAUME TAMBUA UNA NGIRI, HII NI KIKWAZO KITANDANI 1. Ukienda chooni unatoa upepo tu badala ya kil...
07/12/2025

KWA DALILI HIZI WEWE MWANAUME TAMBUA UNA NGIRI, HII NI KIKWAZO KITANDANI

1. Ukienda chooni unatoa upepo tu badala ya kile kilichokupeleka
2. Tumbo kuunguruma na kujaa gesi
3. Hamu kukosa ghafla wakati ukiendelea na tendo
4. Kushindwa kuendelea baada ya kumaliza mara moja
5. Maumivu ya korodani wakati wote au hasa wakati wa baridi
6. Kuhisi maumivu wakati unafika kileleni
7. Kuvimba kwa korodani

Mpaka hapo, wewe unatakiwa KUTIBU NGIRI chapu kwani utendaji kazi wako kitandaniko unaelekea mashakani

Gharama ya package ya dawa ya Ngiri & TEZI SOLUTION ni 160,000 kwa pack61 ya mwezi mmoja ila k**a tatizo ni la muda mrefu basi Package 3 ndizo zinaweza kumaliza tatizo lako...

Ofisi ni Mwanza peke yake, ukifika mkolani mataa kwa mbele utaona Ghorofa limeandikwa Family corner hapo ukifika basi piga simu

Ukiwa mkoa mwingine hasa makao makuu ya mkoa ni vizuri zaidi hapo tunakuagizia bila shida kabisa

Lakini k**a una hofu, mtafute ndugu au jamaa yako aliyepo Mwanza aje ofisini akuchukulie

Simu || Whatsapp 0757991560 Dr. Ebby 🤝

JE, UNGA WA MAJANI YA MPERA UNAFAA KWA AFYA YA UZAZI YA MWANAUME?JIBU => NDIYOMajani ya mpera yana msaada mkubwa mno kwa...
03/12/2025

JE, UNGA WA MAJANI YA MPERA UNAFAA KWA AFYA YA UZAZI YA MWANAUME?

JIBU => NDIYO

Majani ya mpera yana msaada mkubwa mno kwa afya ya uzazi ya mwanaume kwani yanabeba viua sumu vyenye uwezo wa kukinga mbegu za uzazi za mwanaume

Baadhi ya tafiti zilizofanywa kwa wanyama zilionyesha uwezo mkubwa mno wa kuongeza uzalishwaji wa mbegu, mbegu zenye mwendo, mbegu zenye uwezo wa kuishi na kubaki katika hali nzuri na yanasaidia kuongeza uzalishwaji wa homoni za kiume kwa ujumla

👆👆👆👆👆
Kupitia hizo sababu basi tambua kuwa majani ya mpera ni lulu, unga wake una vitu kibao kwa afya ya mwanaume

Utumie unga wako k**a chai kwani pia ni mazuri kwa:
▪️Presha
▪️Kisukari
▪️Moyo
▪️Vidonda vya tumbo

Ukifanikiwa kuandaa unga wake ufanye uwe ndiyo majani yako ya chai

Kwa masomo k**a haya jitahidi kufuatilia page yetu kila siku ili ufaidi nondo hizi

ASILI HUPONYA, ENDELEA KUJIFUNZA USICHOKE KUJIFUNZA! WENGI TUNAANGAMIA KWA KUKOSA MAARIFA

Dr. Ebby _Call//Whatsapp 0757991560 Karibu kwa ushauri na matibabu, Tunapatikana Mwanza eneo linaitwa Mkolani jirani na Ghorofa la Family corner 🤝

*HILI SOMO LINA MAANA KUBWA NA FAIDA MNO, JITAHIDI ULISOME MPAKA MWISHO KISHA NIAMBIE UMEJIFUZA NINI* na Dr. Ebby 📞 0757...
30/11/2025

*HILI SOMO LINA MAANA KUBWA NA FAIDA MNO, JITAHIDI ULISOME MPAKA MWISHO KISHA NIAMBIE UMEJIFUZA NINI* na Dr. Ebby 📞 0757991560👇

(Kulijua Tatizo ni Tatizo, Lakini Kulipuuza Tatizo Ndiyo Tatizo Zaidi)

Kuna hekima kubwa sana kwenye namna tunavyokabiliana na matatizo. Watu wengi hutambua kuwa wana tatipo lakini si wote wanaothubutu kulishughulikia. Na hapa ndipo penye hatari, maana kutambua tatizo ni hatua ya kwanza, lakini kulipuuza ni chanzo cha matatizo makubwa zaidi.

1. Tatizo Lisipotiliwa Maanani Hubadilika Kuwa Janga

Matatizo mengi hayaji kwa ghafla; huanza k**a kitu kidogo. Afya inapokuwa sio nzuri, dalili zinapoanza, tabia isiyofaa inapojitokeza, au changamoto ya kifamilia inapoonekana—kila tatizo huja likiwa dogo.
Lakini tatizo dogo lisipotazamwa, hutafuta nafasi ya kukua.
Na linapokua, gharama yake huwa kubwa kuliko ule uamuzi wa mapema wa kuliweka sawa.Kulijua Tatizo ni Tatizo, Lakini Kulipuuza Tatizo Ndiyo Tatizo Zaidi”

Kuna hekima kubwa sana kwenye namna tunavyokabiliana na matatizo. Watu wengi hutambua kuwa wana tatizo, lakini si wote wanaothubutu kulishughulikia. Na hapa ndipo penye hatari, maana kutambua tatizo ni hatua ya kwanza, lakini kulipuuza ni chanzo cha matatizo makubwa zaidi.

1. Tatizo Lisipotiliwa Maanani Hubadilika Kuwa Janga

Matatizo mengi hayaji kwa ghafla; huanza k**a kitu kidogo. Afya inapokuwa sio nzuri, dalili zinapoanza, tabia isiyofaa inapojitokeza, au changamoto ya kifamilia inapoonekana—kila tatizo huja likiwa dogo.
Lakini tatizo dogo lisipotazamwa, hutafuta nafasi ya kukua.
Na linapokua, gharama yake huwa kubwa kuliko ule uamuzi wa mapema wa kuliweka sawa.

2. Watu Wengi Hawaogopi Tatizo, Wanaogopa Kulishughulikia

Hofu, aibu, uvivu, na kujifariji kwamba “bado si mbaya sana” ndio huchangia watu kulipuuza tatizo.
Lakini ukweli ni kwamba:
Hakuna tatizo linalopona kwa kupuuzwa.
Ukimya hauponyi shida.
Kuahirisha hakumalizi maumivu.
Kujifanya huoni hakubadilishi ukweli.

3. Ukikubali Tatizo, Unafungua Mlango wa Mabadiliko

Kukiri kuwa kuna changamoto ni hatua ya ushindi wa kwanza.
Ni k**a kutambua kuwa nyufa kwenye ukuta zinaweza kuharibu nyumba nzima.
Mara unaposema “Ndiyo, nina tatizo,” tayari umeanza safari ya kutatua.
Kwa sababu kukiri kunaleta ujasiri, kunatoa mwanga, na kunakupa nguvu ya kuchukua hatua.

4. Tatizo Lililopuuzwa Hutafuta Nafasi ya Kukutawala

Tatizo halikai kimya.
Hujirudia, huongezeka, hupanuka na hatimaye hukufanya kuwa mateka wa hali uliyoiwacha ikue.
Matatizo ya afya huongezeka.
Matatizo ya tabia huimarika.
Matatizo ya kiroho hukausha moyo.
Matatizo ya kifamilia hujenga ukuta wa maumivu.
Na yote haya hutokea kwa sababu mtu aliamua kupuuzia tatizo badala ya kulikabili.

5. Ukichukua Hatua Mapema, Unajipunguzia Machungu ya Kesho

Kuwa jasiri leo ni kuokoa kesho yako.
Tatizo lolote—kifedha, kiafya, kimahusiano, kisaikolojia ama kiroho—likitazamwa mapema linakuwa rahisi kulitatua.
Ndiyo maana hekima ya leo ni moja:
Tatizo likionekana, litazamwe. Likigunduliwa, litafutiwe suluhisho. Likijulikana, lisiachwe lipumue.

6. Kuhitimisha: Tatizo Sio Adui, Kupuuzia Tatizo Ndiyo Adui

Tatizo ni mwalimu—lakini ukilipuuza linakuwa mwuaji wa matumaini yako.
Chagua ujasiri kuliko visingizio.
Chagua hatua kuliko hofu.
Chagua mabadiliko kuliko kupuuza.

Kwa sababu matatizo hayapungui kwa kuyapuuza—yanapungua kwa kukumbatia ukweli na kuchukua hatua.

2. Watu Wengi Hawaogopi Tatizo, Wanaogopa Kulishughulikia

Hofu, aibu, uvivu, na kujifariji kwamba “bado si mbaya sana” ndio huchangia watu kulipuuza tatizo.
Lakini ukweli ni kwamba:
Hakuna tatizo linalopona kwa kupuuzwa.
Ukimya hauponyi shida.
Kuahirisha hakumalizi maumivu.
Kujifanya huoni hakubadilishi ukweli.

3. Ukikubali Tatizo, Unafungua Mlango wa Mabadiliko

Kukiri kuwa kuna changamoto ni hatua ya ushindi wa kwanza.
Ni k**a kutambua kuwa nyufa kwenye ukuta zinaweza kuharibu nyumba nzima.
Mara unaposema “Ndiyo, nina tatizo,” tayari umeanza safari ya kutatua.
Kwa sababu kukiri kunaleta ujasiri, kunatoa mwanga, na kunakupa nguvu ya kuchukua hatua.

4. Tatizo Lililopuuzwa Hutafuta Nafasi ya Kukutawala

Tatizo halikai kimya.
Hujirudia, huongezeka, hupanuka na hatimaye hukufanya kuwa mateka wa hali uliyoiwacha ikue.
Matatizo ya afya huongezeka.
Matatizo ya tabia huimarika.
Matatizo ya kiroho hukausha moyo.
Matatizo ya kifamilia hujenga ukuta wa maumivu.
Na yote haya hutokea kwa sababu mtu aliamua kupuuzia tatizo badala ya kulikabili.

5. Ukichukua Hatua Mapema, Unajipunguzia Machungu ya Kesho

Kuwa jasiri leo ni kuokoa kesho yako.
Tatizo lolote iwe kifedha, kiafya, kimahusiano, kisaikolojia ama kiroho, likitazamwa mapema linakuwa rahisi kulitatua.
Ndiyo maana hekima ya leo ni moja:
Tatizo likionekana, litazamwe. Likigunduliwa, litafutiwe suluhisho. Likijulikana, lisiachwe lipumue.

6. Kuhitimisha: Tatizo Sio Adui, Kupuuzia Tatizo Ndiyo Adui

Tatizo ni mwalimu lakini ukilipuuza linakuwa muuaji wa matumaini yako.
Chagua ujasiri kuliko visingizio.
Chagua hatua kuliko hofu.
Chagua mabadiliko kuliko kupuuza.

Kwa sababu matatizo hayapungui kwa kuyapuuza—yanapungua kwa kukumbatia ukweli na kuchukua hatua.

Health community care.. Tunajali na kuthamini afya yako, Tunapatikana Mwanza eneo linaitwa Mkolani Karibu kwa Ushauri na matibabu ya magonjwa mbali mbali kwa mtindo sahihi wa maisha na hata tiba m badalia na asili, piga simu//Whatsapp 0757991560🤝🫶

“K**a hujui unapokwenda, njia yoyote itakufikisha.” — Lewis CarrollUnajua huu msemo unagonga kweli, hasa ukiuangalia kwa...
21/11/2025

“K**a hujui unapokwenda, njia yoyote itakufikisha.” — Lewis Carroll

Unajua huu msemo unagonga kweli, hasa ukiuangalia kwa macho ya tiba.
Watu wengi leo wanatibu bila hata kujua wanatibu nini.

Mtu anaamka asubuhi, tumbo linauma.
Haraka anatuma mtu pharmacy: “niletee dawa ya vidonda.”

Lakini hajui k**a ni gastritis, acid reflux, ulcer, au stress.

Anakunywa dawa. Dalili zinapungua kidogo.
Wiki ijayo zinabadilika, anarudia dawa nyingine.
Na safari ya mateso inaendelea — bila ramani.

Ukweli ni huu:
K**a hujui ugonjwa wako vizuri, hakuna dawa itakayokusaidia kwa kudumu.

Ni k**a kupanda basi bila kujua unakoenda — unaweza kufika, lakini sio unakotaka.

Kabla ya kutibu, elewa.
Jua kinachosababisha, elewa mwili wako, tafsiri dalili zako.

Tiba ya kweli inaanza pale unapoelewa chanzo, sio unapozima dalili.

Na ndio maana nasema:

“Tiba bora si dawa, ni uelewa.”

Kwa hiyo kabla hujameza kidonge kingine, jiulize —
Najua kweli ninatibu nini?

K**a jibu ni hapana, basi bado hujaanza safari ya uponyaji wa kweli.

Community Care.... Tunajali na kuthamini afya yako, Tunapatikana Mwanza eneo linaitwa Mkolani jirani na Ghorofa la Family corner
Mawasiliano 0757991560//0785039309

MWANAUME UNAPOTEZA MUDA KUJITIBU NGUVU, BADALA YAKE TIBU NGIRI ONA HAPA DALILI ZA NGIRI👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻1. Korodani moja au...
19/11/2025

MWANAUME UNAPOTEZA MUDA KUJITIBU NGUVU, BADALA YAKE TIBU NGIRI

ONA HAPA DALILI ZA NGIRI
👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻
1. Korodani moja au zote kuvimba

2. Kuvimba juu ya kinena kushoto au kulia

3. Tumbo linaunguruma kila mara

4. Hisia za tendo kukata ghafla wakati ukifanya

5. Korodani kupotea zote au moja

6. Korodani kujaa maji

7. Kuvimba kwa korodani uvimbe wenye kujaa k**a nyama

8. Kuwa na uvimbe unaotelemka kuingia ndani ya korodani

9. Kuwa na uvimbe unaojitokeza tumboni na kutelemka hadi ndani ya korodani

10. Mashine yako kuingia ndani na kupungua k**a ya mtoto

Bila kusahau kwa wale wenyewe Changamoto ya tezi Dume, ikiwa ni pamoja na kushindwa kuzuia mkojo

Dozi tunayotoa ni NGIRI&TEZI SOLUTION na utatumia Package 1 ambayo ni 165,000 gharama na itatumika mwezi mmoja
K**a tatizo lina zaidi ya miaka miwili utatumia Package 3

Ofisi || Mwanza || Mkolani

Ukifika mkolani jirani na Ghorofa la Family corner ndipo ilipo ofisi yetu

K**a upo nje ya Mwanza muagize ndugu yako aliyepo Mwanza aje ofisini akuchukulie, lakini pia unaweza kulipia usafiri tu halafu tunakutumia dawa, ukiipokea ndipo unailipia

Simu || Whatsapp Dr. Ebby 0757991560//0785039309

Wenye uzoefu na maswala ya ndoa hii imo au mchumba anatokea Sodoma na Gomora!!? 🤔 TUMSHAURI HUYU NDUGU YETU TAFADHALI🤝 D...
10/11/2025

Wenye uzoefu na maswala ya ndoa hii imo au mchumba anatokea Sodoma na Gomora!!? 🤔 TUMSHAURI HUYU NDUGU YETU TAFADHALI🤝

Dr. Ebby 0757991560//0785039309

Habari yako friend.....Taifa letu limepitia kipindi kigumu — wengine wamepoteza ndugu, mali, na amani ya moyo. Tunatoa p...
08/11/2025

Habari yako friend.....

Taifa letu limepitia kipindi kigumu — wengine wamepoteza ndugu, mali, na amani ya moyo. Tunatoa pole za dhati kwa wote.🙏

Tunaamini kwamba Mungu bado yuko kazini, na atatupatia tena nguvu mpya, uponyaji, na umoja k**a Watanzania. 🇹🇿

Tunafurahi kukujulisha kuwa huduma zote za Dr Ebby zimeanza tena rasmi. Tupo hapa kukuunga mkono katika safari ya afya, matumaini na maisha mapya mpendwa,..🤝

Dr Ebby Team at Health community care, Tunaopatikana Mwanza Mkolani jirani na Ghorofa la Family corner na huduma zetu za matibabu zinaweza kukufikia popote ulipo Tanzania na Africa mashiriki bila shida..

Kuna wale wagonjwa wangu ambao Nina dawa zao na sikuweza kuwaagizia naomba tuwasiliane ili tuone namna kwani nimekuwa na mitihani ya hapa na pale kabla ya janga la Taifa kujili🙏🏿

Tuwasiliane kwa namba 0785039309 namba yangu ya Voda ina changamoto na ni k**a week 2 sasa ila kuanzia jumatatu itakuwa hewani tena pole k**a ulinitafuta kule pasi na mafanikio🙏🏿

HII INAUMIZA SANA😭  Kuna magonjwa yanayotupata si kwa sababu tulipenda…Si kwa sababu Mungu ametukasirikia…Bali kwa sabab...
14/10/2025

HII INAUMIZA SANA😭

Kuna magonjwa yanayotupata si kwa sababu tulipenda…
Si kwa sababu Mungu ametukasirikia…
Bali kwa sababu ya UMASKINI.

Umaskini huchagua kwa siri
– Chakula tunachokula ni kile tu tunachoweza kununua…
– Mara nyingi si bora, si safi, si salama.
– Kinga ya mwili hushuka, mwili hudhoofika, na magonjwa hutuvaa k**a kanzu.

Mifano iko wazi:
• Mtoto anakosa chakula chenye protini → anakua na udumavu.
• Mama anakosa lishe ya kutosha ujauzito → mtoto huzaliwa dhaifu.
• Familia haina hela ya matibabu → ugonjwa mdogo hugeuka janga.

Umaskini sio tu ukosefu wa hela mfukoni…
Ni ukosefu wa chaguo la afya.
Na hilo ndilo hutufanya wagonjwa.
Tukipigana na umaskini, tunapigana pia na magonjwa.
Kila hatua ya kuongeza kipato – ni hatua ya kuongeza afya.

Mungu aibariki kazi na michongo yako!🤲🙏🏿

Take care!
Dr Ebby 📞 0757991560

🌿 *Leo ni Siku Yangu ya kuzaliwa ndugu zangu muda k**a huu* 🌿Leo ni siku yangu ya kuzaliwa — siku ninayoukumbuka upendo ...
10/10/2025

🌿 *Leo ni Siku Yangu ya kuzaliwa ndugu zangu muda k**a huu* 🌿

Leo ni siku yangu ya kuzaliwa — siku ninayoukumbuka upendo wa Mungu, malezi ya wazazi wangu, na mchango wa ndugu na marafiki katika safari yangu ya maisha. 🙏

Ninatoa shukrani za dhati kwa wazazi wangu waliokuwa chanzo cha uhai na malezi, kwa ndugu zangu waliokuwa bega kwa bega nami, na kwa marafiki wote waliogusa maisha yangu kwa upendo, msaada na maneno ya kutia moyo.

Safari ya maisha inanifundisha kuwa kila mwaka ni neema, na kila pumzi ni nafasi mpya ya kuwa bora zaidi. Leo si sherehe tu ya umri, bali ni kumbukumbu ya baraka na changamoto zilizonilea.

Namrudishia Mungu utukufu wote kwa kunipa nafasi hii ya kuona mwaka mwingine nikiwa hai, mwenye matumaini na amani ya moyo. 💖

HappyBirthdayToMe . Ebby🎂

*🌿 SOMO KWA WOTE WANAOTESWA NA TUMBO! 🌿* Dr. Ebby 📞 0757991560Watu wengi wanahangaika na gesi tumboni, kuunguruma, maumi...
07/10/2025

*🌿 SOMO KWA WOTE WANAOTESWA NA TUMBO! 🌿* Dr. Ebby 📞 0757991560

Watu wengi wanahangaika na gesi tumboni, kuunguruma, maumivu ya ndani na sumu mwilini bila kujua tatizo la msingi ni uchafu unaojikusanya taratibu mwilini.
Lakini sasa suluhisho limepatikana! 💚

Dawa hii mpya imetengenezwa mahsusi kusafisha mwili, kuondoa gesi, kutuliza tumbo, na kurejesha utulivu wa ndani.
Ni tiba ya asili yenye nguvu kubwa inayofanya kazi ndani ya siku chache tu!

Dozi: Punje za siku 10 pekee
Bei: 75,000/= tu

Tunapatikana Mwanza eneo linaitwa Mkolani jirani na Ghorofa la Family corner, lakini unaweza kumugiza mtu wako wa Karibu alieko Mwanza akaja kukuchukulia, kwa mikoani tunakuagizia kwa basi au kwa ndege bila shida 🤝 📞0757991560 Dr. Ebby

Address

Mwanza
33110

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Dr. Ebby Herbal posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram