Dr. Ebby Herbal

Dr. Ebby Herbal Nawasaidia watu wenye changamoto za ki afya Kwa Tiba na Ushauri kwa kutumia mimea Asili matunda na mboga mboga za majani,. ASILI HUPONYA..

MIMI NINATIBU NA MUNGU ANAPONYA /Whatsapp_0757991560_Dr. Ebby 🤝

SAFARI YA MAPUNGUFU YA MWANAUME HUANZA HIVI SOMA UJIFUNZE NA UJUE NAMNA YA KUSAIDIKA..... na Dr. Ebby 07579915601. Uliku...
10/02/2026

SAFARI YA MAPUNGUFU YA MWANAUME HUANZA HIVI SOMA UJIFUNZE NA UJUE NAMNA YA KUSAIDIKA..... na Dr. Ebby 0757991560

1. Ulikuwa na uwezo wa kufanya mara 2 au zaidi(kurudia), taratibu unaanza kushindwa kurudia

2. Ulikuwa ukiona baadhi ya sehemu nyeti za mwanamke unaanza kusisimkwa na kusimamisha, lakini taratibu hali hiyo inaanza kukosekana kwako

3. Ulikuwa na uwezo kufanya mzigo wa kwanza kwa zaidi ya dakika 10, lakini taratibu unaanza kuwa mzee wa chini ya dakika 3

4. Ulikuwa mzee ukiguswa na mwanamke tu baadhi ya sehemu zako unakuwa k**a umepigwa shoti ya umeme, lakini sasa ukiguswa na mwanamke ni k**a umeguswa na mti tu😅

5. Ulikuwa kila siku alfajili au usiku wa manane ukiamka unakuta mashine yako imesimama balaa k**a mti mkavu, lakini saivi hata ile asubuhi imekuwa holaa

6. Ulikuwa ukiwa kwenye show ukianza ni mpaka umalize, lakini saivi unajikuta wakati unafanya mashine yako inalala hata hujamaliza

Kwa hizo dalili 6 tambua tayari una mapungufu, na shida ni kwenye NGIRI pamoja na HOMONI ZIMESHUKA MNO

Mwanaume tuambie hapa chini je una dalili hizi au changamoto hii na unahitaji msaada wa ushauri na matibabu????

Health Community care tunajali na Kuthamini afya yako Tunapatikana Mwanza eneo linaitwa Mkolani jirani na Ghorofa la Family corner

Call//Whatsapp 0757991560 Dr. Ebby

SOMA: KWANI HUU NI UGONJWA HATARI NA UNASUMBUA WENGU KWA SASA, NA WENGI HUJIKUTA WAKITESEKA BILA KUJUA NINI KINAWASUMBUA...
03/02/2026

SOMA: KWANI HUU NI UGONJWA HATARI NA UNASUMBUA WENGU KWA SASA, NA WENGI HUJIKUTA WAKITESEKA BILA KUJUA NINI KINAWASUMBUA HIVYO HUPOTEZA PESA NYINGI BILA KUJUA NINI WANAUMWA👇

*DALILI ZA MTU ANAYESUMBULIWA NA KUZIDI KWA ACID TUMBONI (GERD-Acid Reflux*

Dr. Ebby ☎️ 0757991560

👉👉Zipo dalili nyingi ambazo huashiria mtu kusumbuliwa na tatizo la kuzidi kwa Acid tumboni,dalili hizo ni zifuatazo:

1️⃣. Kuwaka moto kifuani(Kiungulia) hasa wakati wa usiku au unapolala,hali hii hutokea pia mara baada ya kula.
2️⃣. Mapigo ya moyo kwenda mbio/kushtuka kwa moyo baadhi ya nyakati. Hali hii hupelekea baadhi ya watu kuhisi wana matatizo ya moyo.
3️⃣. Kuhisi k**a kichwa kimevurugika na kuhusi kuchanganyikiwa.
4️⃣ Kusahau mara kwa mara hata vitu vya kawaida kabisa/Kupungua kwa kumbukumbu.
5️⃣. Kujisaidia choo kigumu k**a cha mbuzi.
6️⃣. Kuwa na wasiwasi na khofu kubwa na hufikia hatua hata ukipigiwa simu hasa nyakati za usiku moyo huanza kwenda mbio na kujawa na wasiwasi mkubwa.
7️⃣. Kukosa usingizi ama kushtuka mara kwa mara kutoka usingizini.
8️⃣. Kupumua kwa tabu baadhi ya nyakati.
9️⃣ Kupata maumivu ya kichwa ya mara kwa mara kwa baadhi ya watu wenye tatizo hili.
🔟. Kupata kikokozi kisichoisha
1️⃣1️⃣. Kuvimba Tonsillitis/mafidofido mara kwa mara.
1️⃣2️⃣. Mdomo kuwa mchachu na huwez kupelekea kutoa harufu mbaya ya kinywa.
1️⃣3️⃣. Kuhisi k**a kuna kitu kimekwama kooni lakin kila unavyojaribu kukitoa hakitoki
1️⃣4️⃣. Kupata fangasi mdomoni(mdomo huanza kutoa ute mweupe ambao una harufu mbaya).
1️⃣5️⃣. Huweza kupelekea ukaanza kuota ndoto za kutisha pindi ulalapo na kuhisi umerogwa.
1️⃣6️⃣. Kupata maumivu ya mgongo hasa sehemu ya mabega,maumivu makali kana kwamba umenyanyua vitu vizito.
1️⃣7️⃣. Mwili kuwa na uchovu usioisha utadhani unafanyakaz ngumu kila siku.
1️⃣8️⃣. Macho kupunguza uwezo wa kuona vizuri.
1️⃣9️⃣. Kupungua uwezo wa kufanya tendo la ndoa.
2️⃣. Mwili kupata baridi na wakat mwingine kuhisi homa kabisa.
2️⃣1️⃣. Maumivu ya tumbo kati ya kifua na tumbo.
2️⃣2️⃣. Kichefuchefu na kutapika.

*MAMBO YANAYOWEZA KUCHOCHEA TATIZO LA KUZIDI KWA ACID TUMBONI*

👉. Uvutaji wa sigara
👉. Unywaji wa pombe
👉. Utumiaji wa vyakula au vinywaji vywenye Caffeine k**a vile Kahawa,Chocolate, Soda nk
👉. Kula vyakula vyenye mafuta mengi/vyakula vilivyokaangwa
👉. Kula chakula kingi kupita kiasi ama kula usiku sana. Nk

Kwa msaada wa matibabu ya changamoto hiivau ushauri wasiliana nasi kwa Call & Whatsapp 0757991560 Dr. Ebby

Health community care tunajali na Kuthamini afya yako,Tunapatikana Mwanza eneo linaitwa Mkolani jirani na Ghorofa la Family corner, kwa mikoani tunakuagizia bila shida kabisa 🤝

Subira huzaa ushindi 🙏
14/01/2026

Subira huzaa ushindi 🙏

*SOMO 👉UPENDO, HESHIMA NA MAJUKUMU KATIKA NDOA* na Dr. Ebby 0757991560Maisha ya ndoa si hadithi laini kila siku. Kuna wa...
11/01/2026

*SOMO 👉UPENDO, HESHIMA NA MAJUKUMU KATIKA NDOA* na Dr. Ebby 0757991560

Maisha ya ndoa si hadithi laini kila siku. Kuna wakati mwanamke anabeba majukumu mengi sana, anasubiri, anajali, anavumilia. Mume anaondoka asubuhi, anarudi usiku. Muda ni mchache, nguvu zinapungua, lakini bado anatarajiwa kuwa mke kamili kwa kila hali.

Jamii imetufundisha sana wanawake kupenda, kuvumilia na kujitoa, lakini mara chache inawafundisha wanaume kuthamini, kuelewa na kulinda mioyo ya wake zao.

Upendo hauishi kwa kutoa pesa tu, wala haujengwi kwa mahitaji ya mwili pekee. Unajengwa kwa uwepo, maneno mema, heshima na kujali hali ya mwenzako.
Mwanamke akijitahidi kujipendeza, si kwa sababu hana kazi nyingine, bali ni kwa sababu anathamini ndoa yake. Lakini jitihada hizo zikipuuzwa mara kwa mara,

moyo huchoka kabla hata mwili haujachoka.
Upendo ni darasa la ajabu; unaingia ukiwa na nia njema, lakini ukikosa hekima unaweza kutoka ukiwa umejeruhiwa moyoni.
Ndiyo maana ni muhimu sana:
Bro, mtunze mwanamke anayekupa moyo na kukuangalia kwa upendo.
Kwa sababu mwanamke anaweza kupenda sana, lakini akichoka moyoni, hubadilika hautokaa uamini kabisa.

Ukipendwa, shukuru.
Ukithaminiwa, linda.
Usifanye mchezo na moyo wa mtu aliyekuchagua kwa dhati, maana maumivu ya kumpoteza anayekupenda huuma kuliko unavyodhani.
Heshima, upendo na uelewa ndivyo msingi wa ndoa yenye amani..

K**a umeielewa hii nondo sema neno hapo chini.....

Dr. Ebby mtaalamu wa Afya kwa tiba asilia na lishe lakini pia usisahau ushauri tunatoa bure🤝 📞Dr. Ebby 0757991560

*HILI NI SOMO MUHIMU SANA NA KUNA KITU UTAJIFUNZA* na Dr. Ebby 📞 0757991560Kuwashwa sehemu ya haja kubwa (mkundu), hasa ...
07/01/2026

*HILI NI SOMO MUHIMU SANA NA KUNA KITU UTAJIFUNZA* na Dr. Ebby 📞 0757991560

Kuwashwa sehemu ya haja kubwa (mkundu), hasa wakati wa usiku, ni dalili ambayo watu wengi huipuuza.
Hata hivyo, hali hii mara nyingine inaweza kuhusishwa na maambukizi ya minyoo aina ya PINWORM (Enterobius vermicularis) — tatizo linalozuilika na kutibika kabisa endapo litagunduliwa mapema.
📌 Dalili za kawaida za pinworm ni pamoja na:
Kuwashwa mkundu sana, hasa usiku
Kukosa usingizi au kusinzia mchana
Maumivu ya tumbo mara kwa mara
Kichefuchefu au hamu ndogo ya kula
Kwa watoto: kuwashwa sehemu za siri au tabia ya kujikuna sana
📌 Kwa nini kuwashwa huongezeka usiku?
Minyoo hawa hutoka usiku kwenda kutaga mayai kuzunguka mkundu, hali inayosababisha kuwashwa sana.
📌 Njia za kujikinga:
Kunawa mikono mara kwa mara kwa sabuni na maji tiririka
Kukata kucha fupi na kuepuka kujikuna
Kuosha nguo za ndani na mashuka mara kwa mara
Kunywa dawa za minyoo kwa ushauri wa mtaalamu wa afya
👉 Kujua dalili mapema hukusaidia kuchukua hatua kwa wakati na kulinda afya yako pamoja na ya familia.
💡 Usipuuze kuwashwa mkundu, hasa kunapotokea usiku.
Hakikisha unapimwa au kupata ushauri wa kitaalamu.
📲 Hifadhi na ushiriki ujumbe huu ili kuwasaidia wengine kujilinda.

HEALTH COMMUNITY CARE Tunajali na kuthamini afya yako,

📍 Tunapatikana Mwanza eneo linaitwa Mkolani jirani na Ghorofa la Family corner Karibu kwa ushauri na matibabu ya magonjwa mbali mbali 📞 0757991560🤝

*USIKURUPUKE KUTIBU NGUVU BILA KUTIBU NGIRI... UTALAUMU WAUZA DAWA BUREEE* na Dr. Ebby 0757991560Wanaume tunafeli sana k...
04/01/2026

*USIKURUPUKE KUTIBU NGUVU BILA KUTIBU NGIRI... UTALAUMU WAUZA DAWA BUREEE* na Dr. Ebby 0757991560

Wanaume tunafeli sana kitandani na shida kubwa huanzia kwenye NGIRI, ukiwa na ngiri hufanya homoni zako za kiume zipungue uwezo..

Ona hizi dalili za NGIRI hadi TEZI DUME...
👇👇👇👇👇

1. Korodani moja au zote kuvimba

2. Kuvimba juu ya kinena kushoto au kulia

3. Tumbo linaunguruma kila mara

4. Hisia za tendo kukata ghafla wakati wa mechi

5. Korodani kupotea zote au moja

6. Korodani kujaa maji

7. Kuvimba kwa korodani uvimbe wenye kujaa k**a nyama

8. Kuwa na uvimbe unaotelemka kuingia ndani ya korodani

9. Kuwa na uvimbe unaojitokeza tumboni na kutelemka hadi ndani ya korodani

10. Mashine yako kuingia ndani na kupungua k**a ya mtoto

11. Unapata mkojo mara kwa mara, hasa usiku

12. Mkojo unatoka kwa shida

13. Ukikojoa mkojo hauendi mbali, yaani we ni mtu mzima ila huwezi kuupeleka mbali mkojo wakati unakojoa

14. Maumivu wakati wa kukojoa

15. Mkojo kubakia baada ya kukojoa. Yaani unakojoa mkojo unahisi umemaliza lakini kuna mkojo umebakia(mkojo hauishi wote)

Shida za mkojo zinawapata zaidi wanaume wenye umri kuanzia miaka 40+

GHARAMA ya Dawa hii ni 165,000 tu! Hii imesaidia wanaume wengi

Ofisi || Mwanza || Mkolani

Ni jirani na Ghorofa la Family Corner ndipo ilipo ofisi yetu

Ukiwa makao Makuu ya Mkoa wowote tunaweza kukutumia ukihitaj, na malipo ya dawa ni baada ya kupokea, lakini utalipia kwanza gharama za kusafirisha

Simu//Whatsapp 📞 0757991560

Sisi tunatibu na Mungu anaponya 🤝

♥️ HERI YA MWAKA MPYA 2026 na Dr. Ebby 0757991560(NEEMA MBELE YETU)♥️Kadiri tunavyopokea mwaka mpya, tunajikumbusha jamb...
31/12/2025

♥️ HERI YA MWAKA MPYA 2026 na Dr. Ebby 0757991560
(NEEMA MBELE YETU)♥️
Kadiri tunavyopokea mwaka mpya, tunajikumbusha jambo moja,..
Mungu ndiye Mwanzo wetu, Mungu ndiye Mwisho wetu.
Kila hatua tuliyoipiga, kila machozi yaliyokaushwa, kila nafuu tuliyoipata—ni kwa neema, rehema na ulinzi wa Mungu aliye hai.

Katika safari ya afya na maisha, tumeshuhudia mengi:
✍️ Wapo waliopata matibabu na leo wanatabasamu.
✍️Wapo waliopona na sasa wanashuhudia.
✍️ Wapo ambao safari bado inaendelea—hawajapata majibu ya mwisho, lakini tumaini lao halijakufa.
Tunawapokea nyote kwa heri:
🔹 Walioanza safari nasi zamani,
🔹 Waliojiunga nasi mwaka huu,
🔹 Na hata waliokuja kwa hatua ya mwisho ya matumaini, bado tupo pamoja.
Hakuna aliyechelewa mbele ya Mungu; kila mmoja ana wakati wake.

Mwaka mpya ni mlango wa uponyaji mpya, maamuzi mapya, na fursa mpya.
Tukiingia 2026, tumuombe Mungu atutangulie mbele kwa hekima, hofu ya Mungu, na afya bora.
📌 Tafakari ya kuanza mwaka:
“Ee Bwana, utuongoze mwaka huu mpya.
Tupe akili ya kuchagua kilicho sahihi,
nguvu za kutafuta nafuu,
upole wa kukubali mabadiliko,
na amani ya kukabiliana na magumu.
Ubariki familia zetu, kazi zetu, na miili yetu.
Tufunge milango ya maumivu,
tufungue milango ya neema.
Tuishi kwa shukrani.
Tuwe watu wa nuru.
Amen..

📌 OFA MAALUM YA MWAKA MPYA
K**a hukuwahi kufanikiwa kupata ofa ya mwisho wa mwaka usiogope wala usione aibu.
Tunafungua OFA MAALUM YA MWAKA MPYA kwa wanaohitaji msaada wa kiafya:
👉 Tuma ujumbe inbox
📝 Andika neno: “OFA”

Tutazungumza kwa upole na kuangalia namna ya kukusaidia kibajeti na kiafya, kulingana na hali yako.
(Malipo baada ya kupokea mzigo kwa utaratibu maalumu.)
MALIZO KUU YA BARAKA
Kukosa leo sio kufeli.
Kuchelewa si kushindwa.
Mungu hachelewi — huja kwa wakati wake ulio kamili.
Huu uwe mwaka wa:
✍️Amani
✍️ Afya
✍️ Maamuzi sahihi
🤲🏽 Ushindi wa kimwili na kiroho
Mungu atutangulie. Mungu atatufanikisha. Mungu atatufunika.

HERI YA MWAKA MPYA 2026
Karibuni kwenye safari ya uponyaji, matumaini na baraka.
NEEMA MBELE YETU!

“Wanaume wenzangu jamani, mmeshindwa hata kusubiri arubaini? 🤣  Wiki tatu tu tayari mnawaka k**a umeme wa TANESCO kabla ...
29/12/2025

“Wanaume wenzangu jamani, mmeshindwa hata kusubiri arubaini? 🤣

Wiki tatu tu tayari mnawaka k**a umeme wa TANESCO kabla ya mvua! Hata mafundi wanakupa ‘service period’, sembuse mama kajifungua na kushonwa njia mpya! 😅

Hii mi shauku mnaitolea wapi wazee?”
*“Halafu mkitaka kusubiri kidogo tu mnanuna k**a watoto mliokosa peremende! 😂 Kweli mwanaume ni viumbe wa ajabu bana kasoro mimi tuh!… kwa nini hamuwezi tu kusubiri arubaini kwanza???????🤔 Dr. Ebby 0757991560

25/12/2025

🌲 HERI YA CHRISTMAS na Dr. Ebby 📞 0757991560

Mwanga wa siku hii ulete
uponyaji kwenye mwili, utulivu
kwenye akili, na pumziko kwenye roho.

K**a ulikuwa unaumia, upone.

K**a umechoka, upumzike.

K**a umevunjika, ujengeke upya.

K**a ulijisahau, ujikumbuke.

NIANDIKIE TU NENO 'AMEN' ILI NI0NE WANGAPI TUMEFIKA NAO LEO YENYE NEEMA NA BARAKA NA TUKO PAMOJA🤝

NINASUBIRIA MIALIKO YENU TAFADHALI 🫶🫶🫶🫶

🌲 HERI YA CHRISTMAS na Dr. Ebby 📞 0757991560Mwanga wa siku hii ulete uponyaji kwenye mwili, utulivu kwenye akili, na pum...
25/12/2025

🌲 HERI YA CHRISTMAS na Dr. Ebby 📞 0757991560

Mwanga wa siku hii ulete
uponyaji kwenye mwili, utulivu
kwenye akili, na pumziko kwenye roho.

K**a ulikuwa unaumia, upone.

K**a umechoka, upumzike.

K**a umevunjika, ujengeke upya.

K**a ulijisahau, ujikumbuke.

NIANDIKIE TU NENO 'AMEN' ILI NI0NE WANGAPI TUMEFIKA NAO LEO YENYE NEEMA NA BARAKA NA TUKO PAMOJA🤝

NIKASUBIRIA MIALIKO YENU TAFADHALI 🫶🫶🫶🫶

FAHAMU HILI WEWE MWENYE ACID REFLUX AU VIDONDA VYA TUMBO. na Dr. Ebby 📞 0757991560Vidonda vya tumbo na acid vina uhusian...
20/12/2025

FAHAMU HILI WEWE MWENYE ACID REFLUX AU VIDONDA VYA TUMBO. na Dr. Ebby 📞 0757991560

Vidonda vya tumbo na acid vina uhusiano wa karibu sana.
Acid ikizidi au ikikaa muda mrefu, huanza kuumiza ukuta wa tumbo na hatimaye kusababisha vidonda.
Usipuuze kiungulia, maumivu ya juu ya tumbo au kichefuchefu, mara nyingi ni ishara za mwanzo hivyo ni busara kufuata KANUNI na maelekezo ya Daktari na hata kutafuta matibabu sahihi

Karibu kwa ushauri na matibabu ya magonjwa mbali mbali ikiwemo Acid reflux na vidonda vya tumbo,

Health community care tunajali na kuthamini afya yako, Tunapatikana Mwanza eneo linaitwa Mkolani jirani na Ghorofa la Family corner lakini kwa mikoani tunakuagizia bila shida🤝

*ifanye Leo kuwa ya furaha kwako, OFA hii imebeba tumaini la uponyaji na mwisho wa mateso yako, pengine gharama ya dawa ...
15/12/2025

*ifanye Leo kuwa ya furaha kwako, OFA hii imebeba tumaini la uponyaji na mwisho wa mateso yako, pengine gharama ya dawa ilikua ni mtihani kwako sasa nufaika na punguzo hili la bei* Sisi tunatibu na Mungu anaponya,... Uwe na JUMAPILI njema mpendwa 🤝

Dr. Ebby 0757991560

Address

Mwanza
33110

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Dr. Ebby Herbal posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram