Dr. Ebby Herbal

Dr. Ebby Herbal Nawasaidia watu wenye changamoto za ki afya Kwa Tiba na Ushauri kwa kutumia mimea Asili matunda na mboga mboga za majani,. ASILI HUPONYA..

MIMI NINATIBU NA MUNGU ANAPONYA /Whatsapp_0757991560_Dr. Ebby 🤝

MWANAUME UNAPOTEZA MUDA KUJITIBU NGUVU, BADALA YAKE TIBU NGIRI ONA HAPA DALILI ZA NGIRI👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻1. Korodani moja au...
19/11/2025

MWANAUME UNAPOTEZA MUDA KUJITIBU NGUVU, BADALA YAKE TIBU NGIRI

ONA HAPA DALILI ZA NGIRI
👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻
1. Korodani moja au zote kuvimba

2. Kuvimba juu ya kinena kushoto au kulia

3. Tumbo linaunguruma kila mara

4. Hisia za tendo kukata ghafla wakati ukifanya

5. Korodani kupotea zote au moja

6. Korodani kujaa maji

7. Kuvimba kwa korodani uvimbe wenye kujaa k**a nyama

8. Kuwa na uvimbe unaotelemka kuingia ndani ya korodani

9. Kuwa na uvimbe unaojitokeza tumboni na kutelemka hadi ndani ya korodani

10. Mashine yako kuingia ndani na kupungua k**a ya mtoto

Bila kusahau kwa wale wenyewe Changamoto ya tezi Dume, ikiwa ni pamoja na kushindwa kuzuia mkojo

Dozi tunayotoa ni NGIRI&TEZI SOLUTION na utatumia Package 1 ambayo ni 165,000 gharama na itatumika mwezi mmoja
K**a tatizo lina zaidi ya miaka miwili utatumia Package 3

Ofisi || Mwanza || Mkolani

Ukifika mkolani jirani na Ghorofa la Family corner ndipo ilipo ofisi yetu

K**a upo nje ya Mwanza muagize ndugu yako aliyepo Mwanza aje ofisini akuchukulie, lakini pia unaweza kulipia usafiri tu halafu tunakutumia dawa, ukiipokea ndipo unailipia

Simu || Whatsapp Dr. Ebby 0757991560//0785039309

Wenye uzoefu na maswala ya ndoa hii imo au mchumba anatokea Sodoma na Gomora!!? 🤔 TUMSHAURI HUYU NDUGU YETU TAFADHALI🤝 D...
10/11/2025

Wenye uzoefu na maswala ya ndoa hii imo au mchumba anatokea Sodoma na Gomora!!? 🤔 TUMSHAURI HUYU NDUGU YETU TAFADHALI🤝

Dr. Ebby 0757991560//0785039309

Habari yako friend.....Taifa letu limepitia kipindi kigumu — wengine wamepoteza ndugu, mali, na amani ya moyo. Tunatoa p...
08/11/2025

Habari yako friend.....

Taifa letu limepitia kipindi kigumu — wengine wamepoteza ndugu, mali, na amani ya moyo. Tunatoa pole za dhati kwa wote.🙏

Tunaamini kwamba Mungu bado yuko kazini, na atatupatia tena nguvu mpya, uponyaji, na umoja k**a Watanzania. 🇹🇿

Tunafurahi kukujulisha kuwa huduma zote za Dr Ebby zimeanza tena rasmi. Tupo hapa kukuunga mkono katika safari ya afya, matumaini na maisha mapya mpendwa,..🤝

Dr Ebby Team at Health community care, Tunaopatikana Mwanza Mkolani jirani na Ghorofa la Family corner na huduma zetu za matibabu zinaweza kukufikia popote ulipo Tanzania na Africa mashiriki bila shida..

Kuna wale wagonjwa wangu ambao Nina dawa zao na sikuweza kuwaagizia naomba tuwasiliane ili tuone namna kwani nimekuwa na mitihani ya hapa na pale kabla ya janga la Taifa kujili🙏🏿

Tuwasiliane kwa namba 0785039309 namba yangu ya Voda ina changamoto na ni k**a week 2 sasa ila kuanzia jumatatu itakuwa hewani tena pole k**a ulinitafuta kule pasi na mafanikio🙏🏿

HII INAUMIZA SANA😭  Kuna magonjwa yanayotupata si kwa sababu tulipenda…Si kwa sababu Mungu ametukasirikia…Bali kwa sabab...
14/10/2025

HII INAUMIZA SANA😭

Kuna magonjwa yanayotupata si kwa sababu tulipenda…
Si kwa sababu Mungu ametukasirikia…
Bali kwa sababu ya UMASKINI.

Umaskini huchagua kwa siri
– Chakula tunachokula ni kile tu tunachoweza kununua…
– Mara nyingi si bora, si safi, si salama.
– Kinga ya mwili hushuka, mwili hudhoofika, na magonjwa hutuvaa k**a kanzu.

Mifano iko wazi:
• Mtoto anakosa chakula chenye protini → anakua na udumavu.
• Mama anakosa lishe ya kutosha ujauzito → mtoto huzaliwa dhaifu.
• Familia haina hela ya matibabu → ugonjwa mdogo hugeuka janga.

Umaskini sio tu ukosefu wa hela mfukoni…
Ni ukosefu wa chaguo la afya.
Na hilo ndilo hutufanya wagonjwa.
Tukipigana na umaskini, tunapigana pia na magonjwa.
Kila hatua ya kuongeza kipato – ni hatua ya kuongeza afya.

Mungu aibariki kazi na michongo yako!🤲🙏🏿

Take care!
Dr Ebby 📞 0757991560

🌿 *Leo ni Siku Yangu ya kuzaliwa ndugu zangu muda k**a huu* 🌿Leo ni siku yangu ya kuzaliwa — siku ninayoukumbuka upendo ...
10/10/2025

🌿 *Leo ni Siku Yangu ya kuzaliwa ndugu zangu muda k**a huu* 🌿

Leo ni siku yangu ya kuzaliwa — siku ninayoukumbuka upendo wa Mungu, malezi ya wazazi wangu, na mchango wa ndugu na marafiki katika safari yangu ya maisha. 🙏

Ninatoa shukrani za dhati kwa wazazi wangu waliokuwa chanzo cha uhai na malezi, kwa ndugu zangu waliokuwa bega kwa bega nami, na kwa marafiki wote waliogusa maisha yangu kwa upendo, msaada na maneno ya kutia moyo.

Safari ya maisha inanifundisha kuwa kila mwaka ni neema, na kila pumzi ni nafasi mpya ya kuwa bora zaidi. Leo si sherehe tu ya umri, bali ni kumbukumbu ya baraka na changamoto zilizonilea.

Namrudishia Mungu utukufu wote kwa kunipa nafasi hii ya kuona mwaka mwingine nikiwa hai, mwenye matumaini na amani ya moyo. 💖

HappyBirthdayToMe . Ebby🎂

*🌿 SOMO KWA WOTE WANAOTESWA NA TUMBO! 🌿* Dr. Ebby 📞 0757991560Watu wengi wanahangaika na gesi tumboni, kuunguruma, maumi...
07/10/2025

*🌿 SOMO KWA WOTE WANAOTESWA NA TUMBO! 🌿* Dr. Ebby 📞 0757991560

Watu wengi wanahangaika na gesi tumboni, kuunguruma, maumivu ya ndani na sumu mwilini bila kujua tatizo la msingi ni uchafu unaojikusanya taratibu mwilini.
Lakini sasa suluhisho limepatikana! 💚

Dawa hii mpya imetengenezwa mahsusi kusafisha mwili, kuondoa gesi, kutuliza tumbo, na kurejesha utulivu wa ndani.
Ni tiba ya asili yenye nguvu kubwa inayofanya kazi ndani ya siku chache tu!

Dozi: Punje za siku 10 pekee
Bei: 75,000/= tu

Tunapatikana Mwanza eneo linaitwa Mkolani jirani na Ghorofa la Family corner, lakini unaweza kumugiza mtu wako wa Karibu alieko Mwanza akaja kukuchukulia, kwa mikoani tunakuagizia kwa basi au kwa ndege bila shida 🤝 📞0757991560 Dr. Ebby

K**A NI WEWE UNA PRESHA AU NDUGU YAKO BASI SOMA UJUMBE HUU👇 na Dr. Ebby 📞 0757991560Rafiki yangu mpendwa…Najua maisha ya...
02/10/2025

K**A NI WEWE UNA PRESHA AU NDUGU YAKO BASI SOMA UJUMBE HUU👇 na Dr. Ebby 📞 0757991560

Rafiki yangu mpendwa…

Najua maisha yako kila siku yamekuwa k**a vita isiyoisha.
Kila asubuhi unapoamka, mara ya kwanza kufikiria ni vidonge vyako.
Kila mara unapoona mashine ya kupimia presha, moyo wako unadunda kwa hofu.
Na mara nyingine unajiuliza kimoyomoyo:
“Je, kweli nitaishi hivi maisha yangu yote?”

Lakini hebu nikushirikishe siri ambayo wagonjwa wachache tu wameigundua:
Siri ya kupona haipo tu kwenye dawa unazomeza, ipo kwenye alignment ya maisha yako.

Ni nini maana ya Alignment?

Alignment ni pale ambapo mawazo yako, imani yako na matendo yako yanakuwa sambamba, vinakubaliana kwa mwelekeo mmoja.

K**a moyoni unasema: “Nataka kupona”, lakini mawazo yako bado yanaamini “Presha haiwezi kupona”, huo ni mgongano.

K**a unasema: “Nataka afya bora”, lakini kwenye sahani yako bado kuna sukari, mikate na mafuta yasiyo na faida, mwili wako unapokea ujumbe tofauti na ndoto zako.

👉 Hapo mwili unashindwa kukupa matokeo unayotamani.

Siri ya Kupona

Wagonjwa wengi waliopona presha walipata mabadiliko si kwa dawa pekee, bali walipoamua kuingia kwenye alignment:

Waliamini moyoni kuwa presha inaweza kupona.

Walichukua hatua za mabadiliko: kula sahihi, kunywa maji ya kutosha, kupunguza msongo wa mawazo.

Waliendelea kutumia dawa yetu ya *PRESSURE BALLANCE* kwa nidhamu.

Na matokeo?
Presha zao zilianza kushuka, nguvu zikarudi, na maisha yakaendelea kubadilika.

Rafiki yangu…

Unachohitaji leo si dawa zaidi pekee, bali kubadilisha imani na mtazamo wa ndani.

👉 Kile unachokiamini, ndicho mwili wako unakifuata.
👉 Ukijiona mgonjwa maisha yako yote, mwili wako utafuata hiyo amri.
👉 Lakini ukianza kujiambia: “Mimi ninaishi maisha ya afya. Presha yangu inapona. Mwili wangu unapata nguvu mpya kila siku,” basi mwili wako utaanza kutii hiyo sauti.

Nakuomba leo uingie kwenye alignment ya kweli:

Moyoni mwako -> amini kupona kunawezekana.

Akilini mwako -> jione ukiishi maisha bila presha.

Matendo yako -> kula sahihi, pumzika na fuata muongozo utakapo kuwa kwenye Alignment, dawa yako itafanya kazi vizuri zaidi, mwili wako utashirikiana na ndoto zako za afya bora zitaanza kujidhirisha taratib, rafiki yangu kumbuka Presha si hukumu ya maisha yako✍️

K**a utakuwa umesoma na kunielewa vyema basi ndani yako umeingiza kitu kikubwa sana na Nina Imani utafanyia kazi ujumbe huu, Karibu kwa ushauri na matibabu ya changamoto mbali mbali ikiwemo hili la Presha🤝 Tunapatikana Mwanza eneo linaitwa Mkolani jirani na Ghorofa la Family corner, dawa kwa mikoani tunakuagizia kwa basi au kwa ndege bila shida...

"Wakati mwingine ukali wa uso unaonyesha uzito wa mawazo."🧠✍️
30/09/2025

"Wakati mwingine ukali wa uso unaonyesha uzito wa mawazo."🧠✍️

SOMO LA LEO NI MUHIMU SANA JITAHIDI KUSOMA MPAKA MWISHO na Dr. Ebby 📞 0757991560Kumekuwa na imani kubwa kwamba presha na...
29/09/2025

SOMO LA LEO NI MUHIMU SANA JITAHIDI KUSOMA MPAKA MWISHO na Dr. Ebby 📞 0757991560

Kumekuwa na imani kubwa kwamba presha na kisukari hayana tiba. Wengi wameambiwa dawa walizopewa ni za kutumia maisha yao yote. Ukweli ni kwamba mfumo wa kidawa cha kisasa unategemea wagonjwa kuendelea kutumia dawa kila siku – hapo ndipo faida yao inapatikana.

Lakini jiulize, kwa nini kuna watu wanapona na kuachana kabisa na dawa? Ni kwa sababu waliamua kutafuta njia sahihi zinazolenga kutibu chanzo cha tatizo, si dalili pekee. Njia hizo nyingi hupatikana kwenye matibabu na dawa asilia.

🌿 Dawa asilia huimarisha mwili, kurejesha usawa na kupunguza mizizi ya magonjwa.
🌿 Hazikulazimishi kuishi kwenye utegemezi wa kudumu.

Kumbuka: Afya yako ni thamani kubwa kuliko biashara ya mtu mwingine.
👉 Usikubali kuishi maisha ya dawa kila siku bila kuuliza maswali.
👉 Tafuta tiba ya kweli – dawa asilia ni mkombozi.

*Afya ni uhuru… chagua uhuru wako leo!*

Karibu kwa ushauri na matibabu ya changamoto mbali mbali🤝 Tunapatikana Mwanza eneo linaitwa Mkolani jirani na Ghorofa la Family corner...

*UJUMBE WA MATUMAINI KWA WENYE KUTAMANI WATOTO* na Dr. Ebby 📞 0757991560K**a bado haujabarikiwa kupata mtoto, kumbuka ja...
24/09/2025

*UJUMBE WA MATUMAINI KWA WENYE KUTAMANI WATOTO* na Dr. Ebby 📞 0757991560

K**a bado haujabarikiwa kupata mtoto, kumbuka jambo hili:
Mungu hajaandika mwisho wa safari yako.

🔹 Kila kilio chako hakijapotea bure.
🔹 Kila sala yako imehifadhiwa mikononi mwa Baba wa mbinguni.

Kumbuka mifano ya Biblia:

Sara alicheka akiwa mzee, lakini bado akashika mimba.

Hana alilia kwa machozi makali, hatimaye akakumbukwa.

Elizabeth alidhani amechelewa, lakini Mungu akamfanya kuwa mama.

👉 Hivyo basi, usiache kuamini.
Tunda la tumbo ni baraka kutoka kwa Mungu, na wakati wake ukifika hakuna atakayezuilia.

🌹 Usikate tamaa.
🙏 Endelea kushikilia imani.
👶 Kesho yako inaweza kuwa ndiyo siku ya muujiza wako.

Na k**a una changamoto ya kia afya ambayo ndio kikwazo usiache kutafuta matibabu na kwa Mwanamke sisi tunayo dawa mujarabu ya maswala ya uzazi nayo ni CHAI CARE hii ni dawa iliyoleta furaha kwa wanawake wengi, gharama yake ni 185,000 Dozi

Kwa WANAUME basi mkombozi ni dawa iitwayo MAN CARE hii ina uwezo mzuri wa kufanya Shemeji akatema mate....😅 Gharama yake ni 160,000 Dozi

🙏 NAOMBA PAMOJA NA HAYO TUFANYE MAOMBI PAMOJA— Tuombe👇

Naomba tuombe pamoja nami:
🤲
Mungu Mwenye rehema, tunakuja mbele zako kwa unyenyekevu. Tunakuomba ujaze nyumba hizi mbegu za matumaini; ubariki mbegu za uzazi, uamzishe nafsi zetu kwa nguvu na tumaini, na utoe muujiza wako kwa wakati wako. Uweke amani mioyoni mwetu katika safari hii. Amina.

HEALTH COMMUNITY CARE Tunajali na kuthamini afya yako Tunapatikana Mwanza eneo linaitwa Mkolani jirani na Ghorofa la Family corner kwa mikoani tunakuagizia kwa basi au kwa ndege bila shida k**a una ndugu yako anaweza kuja ofisini kwetu kukuchukulia dawa pia🤝

*KWA DALILI HIZI BAADHI, TAYARI UNA VIDONDA VYA TUMBO*👇1. Kuhisi k**a unakwanguliwa tumboni ukikaa muda mrefu kabla ya k...
19/09/2025

*KWA DALILI HIZI BAADHI, TAYARI UNA VIDONDA VYA TUMBO*👇

1. Kuhisi k**a unakwanguliwa tumboni ukikaa muda mrefu kabla ya kula au usiku
2. Kuna muda unahisi tumbo k**a linawaka moto
3. Kuna muda unahisi maumivu ya mgongo
4. Kutapika damu au kinyesi kuwa cheusi (dalili ya kutokwa na damu ndani ya tumbo).
5. Kuhisi kuvimbiwa kila siku
6. Kuna muda ukinywa soda au vitu vichachu unaanza kusikia tumbo linauma
7. Kupatwa na choo kigumu
8. Kukosa hamu ya kula na kupungua uzito
9.Kuhisi kichefuchefu na wakati mwingine kutapika.
10.Kuvimbiwa au gesi nyingi (bloating).

Kwa dalili hizo 10 tu ukiwa nazo zote au baadhi, basi kuna uwezekano mkubwa ukawa tayari una vidonda vya TUMBO

KUHUSU DAWA TUNAYOTOA..
✅Dozi ni ndani ya siku 28
✅Ni ya unga na maji
✅Unatumia kunywa na maji ya kawaida tu siyo moto
✅Bei ipo kwenye Tsh 150,000 Dozi yake ambayo hii sio kutuliza bali ni kupona kabisa

Ofisi || Mwanza || Mkolani Jirani na Ghorofa la Family corner

Mikoa mingine yote tunatuma au k**a una ndugu yako aliyepo Mwanza mtume aje ofisini akuchukulie

Simu || Whatsapp 0757991560🤝

USITIBU NGUVU K**A UNA  NGIRI LAZIMA ITAKUGHARIMU, TIBU NGIRI CHAPU👇Lundo la wanaume lipo kwenye kisababishi cha kukosa ...
17/09/2025

USITIBU NGUVU K**A UNA NGIRI LAZIMA ITAKUGHARIMU, TIBU NGIRI CHAPU👇

Lundo la wanaume lipo kwenye kisababishi cha kukosa nguvu sababu ya ngiri.

Ukisoma haya kwa umakini utaelewa dalili za NGIRI k**a:
1. Tumbo kuunguruma na kujaa gesi
2. Kutoa upepo tu ukienda chooni
3. Kukata hamu/mashine kulala wakati wa shughuli
4. Korodani kuvimba
5. Korodani kuuma, hasa wakati wa baridi au wakati wote

Dalili zipo nyingi tu ila hizo ni baadhi

Kupitia hizo sababu/dalili ndo utajua kuwa una ngiri

Jitahidi upate dawa ya kutibu NGIRI&Tezi Solution pamoja na KUPANDISHA HOMONI ZA KIUME kwa gharama ya Tsh 165,000 kwa package moja na hii inamfaa ambae tatizo si la muda mrefu ila k**a ni la muda mrefu basi itakugharimu package tatu..

Ofisi: Mwanza - Mkolani

Ukifika mkolani Kuna Ghorofa kimeandikwa family corner basi ukifika hapo umefika Ofisini

K**a upo mkoa mwingine, wewe lipia usafiri tu halafu pesa ya dawa utailipa ukishapokea dawa.

Pia k**a una ndugu yako yupo Mwanza mtume aje ofisini akuchukulie

Simu 0757991560

Address

Mwanza
33110

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Dr. Ebby Herbal posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram