Dr. Ebby Herbal

Dr. Ebby Herbal Nawasaidia watu wenye changamoto za ki afya Kwa Tiba na Ushauri kwa kutumia mimea Asili matunda na mboga mboga za majani,. ASILI HUPONYA..

MIMI NINATIBU NA MUNGU ANAPONYA /Whatsapp_0757991560_Dr. Ebby 🤝

USHAURI WA CHAKULA AMBAO AKIUTUMIA MWENYE KISUKARI,  PRESHA NA UZITO MKUBWA BASI ATAKUWA NA AFYA NZURI MNO... na Dr. Ebb...
31/03/2026

USHAURI WA CHAKULA AMBAO AKIUTUMIA MWENYE KISUKARI, PRESHA NA UZITO MKUBWA BASI ATAKUWA NA AFYA NZURI MNO... na Dr. Ebby ☎️ 0757991560

Mwongozo rahisi, wa vitendo kwa mgonjwa wa Kisukari, Presha na uzito mkubwa ili kudhibiti hatari kila siku.

Kumbuka makala hii imeandaliwa nasi MASHA HERBAL STORE tunaopatikana Mwanza - Mkolani

LENGO KUU
Kuepuka kupanda kwa sukari ghafla, presha na uzito kupitiliza.
➖ Kula kwa ratiba nzuri
➖Kuchagua vyakula sahihi

ASUBUHI
✅ Vyakula vinavyofaa:
➖Mayai ya kuchemsha au kukaanga kwa mafuta mazuri ya Mzeituni au ya n**i asili(usitumie mafuta mengine)
➖Parachichi
➖Karanga, almond au korosho kidogo

❌ Epuka:
Chai yenye sukari,
Maandazi, chapati, juice za viwandani

➖Unaweza kunywa:
Chai bila sukari

MCHANA
✅ Vyakula vinavyofaa:
➖Samaki
➖Kuku au nyama
➖Maharage
➖Dengu au Kunde
➖Mchicha
➖Spinach
➖Sukuma wiki
➖Broccoli

USIKU
➖Supu ya mboga
➖Supu ya kuku
➖ Supu ya samaki
➖Maharage
➖Mboga za majani

✅ Kula mapema (saa 1–2 usiku ikiwezekana)

VITAFUNWA NA MATUNDA
➖Tufaha(Apple)
➖Karanga
➖Mtindi usio na sukari

MAMBO MUHIMU YA KUZINGATIA
➖Kula mara 3 – 5 kwa siku ila tumia vyakula vilivyoelekezwa tu
➖Usiruke mlo
➖Kunywa maji mengi
➖Fanya mazoezi kidogo (kutembea dakika 30)

NB: STAILI HIYO YA VYAKULA INAWAFAA HAWA
1. Mgonjwa wa Kisukari
2. Mgonjwa wa Presha
3. Mgonjwa wa kupooza/ganzi
4. Mtu anayehitaji kupunguza uzito
5. Mtu anayehitaji kuwa na ngozi nzuri
6. Mtu anayehitaji kujilinda asiwe na mwili wa kuzeeka

Makala hii inamhitaji mtu aliye serious tu kwa hayo mambo, pia ni vizuri kufuata kilichoandikwa bila kutafuta washauri wengine wanaoweza kukupoteza

Kutoka Mwanza eneo la Mkolani Jirani na Ghorofa la Family corner

Tunaandaa virutubisho tiba vya Kisukari, Presha, uzazi kwa jinsia zote pamoja na tiba zingine mbalimbali ikiwemo maswala ya uzazi kwa jinsia zote

Tupigie simu: 0757991560 Dr. Ebby

🔥 OF A MAALUM YA Eid al-Fitr – AFYA YAKO NI THAMANI YAKO! 🔥Katika kuelekea siku hii njema ya Eid, tunakuletea fursa ya k...
17/03/2026

🔥 OF A MAALUM YA Eid al-Fitr – AFYA YAKO NI THAMANI YAKO! 🔥
Katika kuelekea siku hii njema ya Eid, tunakuletea fursa ya kipekee kabisa ya kujali afya yako kwa gharama nafuu zaidi!
✨ Leo hii usikose nafasi ya kujitibu na kurejesha afya yako kwa utulivu wa mwili na akili.
💊 DAWA ZINAZOPATIKANA:
✅ Stomach Care – Vidonda vya tumbo (Ilikuwa 150,000)
✅ Acid Solution – Acid reflux (Ilikiwa 185,000)
✅ Diabetic Package – Kisukari (Ilikiwa 200,000)
✅ Pressure Balance – Presha (Ilikuwa 200,000)
✅ Chai Care – Changamoto za kina mama (PID, UTI, uzazi, homoni) (Ilikuwa 185,000)
✅ Man Care – Nguvu za kiume & uzazi (Ilikuwa 160,000)
✅ Ngiri & Tezi Solution – Ngiri + Prostate gland (Ilikiwa 165,000)
✅ Bawasiri Care – Bawasiri ya ndani & nje (Ilikuwa 185,000)
🎁 OF A YA AJABU KABISA: 👉 Dawa yoyote kati ya hizi leo ni TSH 58,000 tu
🚚 Kwa waliopo nje ya Mwanza – Gharama hii inajumuisha na usafiri! Na Dawa kukufikia popote ulipo
🎁 Utapata pia DAWA YA KUONDOA SUMU MWILINI BURE
⏳ MUDA WA OFA: MASAA 24 TU!
Usikubali kuingia Eid ukiwa na maumivu, presha, kisukari au changamoto za mwili…
✨ Jipe zawadi ya AFYA NJEMA leo!
📞 Wahi sasa kuagiza: 0757 991 560 (Dr. Ebby)
📍 Mwanza – Mkolani jirani na Ghorofa la Family corner
👉 Afya yako ni uwekezaji, sio gharama. Usichelewe!🤝

 Zipo njia na dawa kadha wa kadha Mujarrabu kwa ajili ya kukufanya uwe kidume haswa unaposhiriki tendo la ndoa k**a iliv...
11/03/2026



Zipo njia na dawa kadha wa kadha Mujarrabu kwa ajili ya kukufanya uwe kidume haswa unaposhiriki tendo la ndoa k**a ilivyokwisha elezwa huko nyuma.
Zipo pia sababu mbalimbali zinazoweza kupelekea ukosefu wa nguvu za kiume, sitozielezea sana kwani nimekwishazielezea katika makala za nyuma.
Hivyo hapa tutaelekezana dawa hii mujjarabu katika kutatua tatizo la nguvu za kiume hata k**a una miaka 100.

MAHITAJI:
Mayai ya kienyeji mawili
Habbat Soda (Unga) Kijiko kimoja
Kitunguu saum

KUANDAA
Vunja mayai mawili kisha koroga vizuri
Weka kijiko kikubwa kimoja cha unga wa habbat Soda.
Saga kitunguu swaumu aghalabu punje 12 na uchanganye katika mchanganyiko
Koroga hadi vichanganyike hasa.
MATUMIZI
Kunywa kutwa mara mbili Asubuhi kabla hujala chochote na wakati wa kulala kipimo vijiko viwili vya Chakula..
Tumia ndani ya siku 30 pekee hakika utaona maajabu ya dawa hii ni 🔥🔥🔥🔥🔥

07/03/2026

Ukweli Mchungu lakini Iko hivyo! Ukiona hali hii imekuganda basi usikubaliane nayo tafuta Daktari uweze kupata ushauri na baadae VIPIMO Kisha suluhisho, utapoteza kujiamini lakini pia utapoteza wenza kwa tatizo ambalo linatibika, usijifiche shirikisha watu sahihi🤝

SOMA HII MWANAMKE UJIFUNZE KITU, LENGO NI ELIMU NA SIO KUKASHIFU MTU.. na Dr. Ebby 0757991560Mwanamke hebu tafakari hili...
07/03/2026

SOMA HII MWANAMKE UJIFUNZE KITU, LENGO NI ELIMU NA SIO KUKASHIFU MTU.. na Dr. Ebby 0757991560

Mwanamke hebu tafakari hili, Naandika k**a Daktari wako

1. Huna bikra

2. Huna akili wala maono ya maisha

3. Huna heshima

3. Umezalishwa ukiwa nyumbani kwenu zaidi ya mtoto mmoja wanaume tofauti todauti

4. Umechezewa na kila mwanaume mradi tu akuhonge.

Kitu pekee unachojivunia nacho ni urembo wako, makalio makubwa, hips kubwa na maziwa makubwa.

Halafu bado bila aibu unakuja na vigezo 1000 za mwanaume unayetaka akupe. Utasikia:

1. Nataka mume handsome

2. Nataka mume mwenye funguo tatu

3. Nataka awe mweusi mrefu halafu awe na six pack.

4. K**a ana kitambi ahakikishe ana pesa ndefu

5. Kwanza mahari yangu ni milioni 15

6. Sitaki mwanaume asiye na malengo na mipango ya maisha

Sikiliza nikueleze my dear

Wanaume wamebadilika sana zama hizi, kuwa mrembo au kuwa na kalio kubwa si kivutio tena cha mwanaume linapokuja suala la kuoa.

Mwanaume anapoamua kuoa anaangalia kwanza kiwango cha HESHIMA yako na kiwango cha akili yako.

K**a salio lako la heshima na akili umefilisika au halitoshi sahau kuhusu kuolewa au kudumu kwenye ndoa.

Ni ama utazeekea nyumbani kwenu wanaume wakikuchezea tu au utaachika.

Wanaume wanao beauty with brain.

Mwanamke Usipambane kujiremba tu, pambana pia kupiga msasa akili na heshima yako.

Haiwezekani umekula ujana wako hovyo huko ukichezewa halafu leo unakuja ukiwa umeshachakazwa kila sehemu umekuwa scraper (chuma chakavu) halafu unataka mtoto wa mwanamke mwenzako aje ule naye uzee ukiwa umeshatumika vibaya sana, ni vile tu haina mita maana hizo mileage zingekuwa hatari sana.

Mwanamke ukishajiachia ukatumika hovyo hadi ukachakaa, wacha kuwekea wanaume vigezo.

Wewe subiri mwanaume yeyote atakayekuja ili mradi tu anapumua na ana nguvu za kiume akusitiri na kukufichia aibu zako atakazokutana nazo huko ndani.

Mwanamke mwenye heshima, mwenye akili, mwenye maono na mwenye bikra ndiye anatakiwa kuja na vigezo vya mwanaume anayetaka amuoe na mwanaume akasikiliza. Sio wewe mtumba uliyechakaziwa hapo kwenu.

Dr. Ebby ☎️ 0757991560

Ruksa kuweka Maoni🤝

MWENYE USHUHUDA ATUAMBIEKaranga poli/Habbat Murk... hii ni kiboko ya kuondoa mafuta mabaya na uchafu tumboni yaan wewe k...
24/02/2026

MWENYE USHUHUDA ATUAMBIE

Karanga poli/Habbat Murk... hii ni kiboko ya kuondoa mafuta mabaya na uchafu tumboni yaan wewe k**a una uzito kupitiliza basi chuma hii hapa🔥

yaani utakuwa na mwili unaoutaka mbona! Tumia kimbegu kimoja tu ila kaa Karibu na choo😂 na usidesh ukijua utatoa ushuzi tu wehhhh!!!!

Maelekezo zaidi uliza hapa au piga simu ☎️0757991560
Dr. Ebby

Health community care tunajali na kuthamini afya yako 🙏

LEO NINA MADA NJE YA AFYA ILA INASOMO KUBWA SANA NDANI YAKE... Dr. Ebby ☎️ 0757991560Siku Baada ya Kifo:Siku ya 3: Kucha...
17/02/2026

LEO NINA MADA NJE YA AFYA ILA INASOMO KUBWA SANA NDANI YAKE... Dr. Ebby ☎️ 0757991560

Siku Baada ya Kifo:

Siku ya 3: Kucha huanza kudondoka.
Siku ya 4: Nywele huanza kuoza.
Siku ya 5: Ubongo huyeyuka kwa kasi.
Siku ya 6: Tumbo huchuruzika kutoka mdomoni na sehemu za siri.
Siku ya 60: Nyama hutengana na mifupa na kuwa tindikali.
Hata wanyama hawatataka kusimama karibu na kaburi kwa sababu ya harufu isiyovumilika ya maiti iliyooza.

Majivuno Mengi!
Uchoyo Mwingi!
Hasira Nyingi!
Uovu Mwingi!
Kwa nini?

Pesa zako ziko wapi?

Uwezo wako uko wapi?

Kiburi chako kiko wapi?

Urembo wako uko wapi?

Uvutiaji wako uko wapi?

Upako wako uko wapi?

Majumba yako yako wapi?

PhD yako iko wapi?

Nguvu zako za kisiasa ziko wapi?

Nguvu zako za kijeshi ziko wapi?

Jaji Mkuu wako yuko wapi?

Kipaji chako kiko wapi?

“Unajua mimi ni nani?” kiko wapi?

“Nitakutumia pesa zangu kukuharibu” kiko wapi?

Kiburi chako kiko wapi?

“Bila mimi hakuna wa kufanya hiyo kazi,” kiko wapi?

“Bila mimi hutakula,” kiko wapi?

Magari yako, yako wapi?

Jiulize Maswali Haya:
Utakuwa wapi miaka 80 ijayo?

Tumia Dakika Moja Tu ya Muda Wako na Sema:

MUNGU NISAIDIE🙏
Yote yamekwisha.

Mwisho uko karibu.

Furahia maisha yako, lakini weka mipaka na uwe mnyenyekevu kila wakati.
Kwa sababu siku moja, hakutakuwa na njia ya kurudi tena Duniani kusawazisha ulipokosea..

MUNGU atusamehe dhambi zetu.
MUNGU awasamehe wapendwa wetu...
Ameen🤲🙏

K**a umelielewa somo hili basi sema neno hapa chini🙏

SAFARI YA MAPUNGUFU YA MWANAUME HUANZA HIVI SOMA UJIFUNZE NA UJUE NAMNA YA KUSAIDIKA..... na Dr. Ebby 07579915601. Uliku...
10/02/2026

SAFARI YA MAPUNGUFU YA MWANAUME HUANZA HIVI SOMA UJIFUNZE NA UJUE NAMNA YA KUSAIDIKA..... na Dr. Ebby 0757991560

1. Ulikuwa na uwezo wa kufanya mara 2 au zaidi(kurudia), taratibu unaanza kushindwa kurudia

2. Ulikuwa ukiona baadhi ya sehemu nyeti za mwanamke unaanza kusisimkwa na kusimamisha, lakini taratibu hali hiyo inaanza kukosekana kwako

3. Ulikuwa na uwezo kufanya mzigo wa kwanza kwa zaidi ya dakika 10, lakini taratibu unaanza kuwa mzee wa chini ya dakika 3

4. Ulikuwa mzee ukiguswa na mwanamke tu baadhi ya sehemu zako unakuwa k**a umepigwa shoti ya umeme, lakini sasa ukiguswa na mwanamke ni k**a umeguswa na mti tu😅

5. Ulikuwa kila siku alfajili au usiku wa manane ukiamka unakuta mashine yako imesimama balaa k**a mti mkavu, lakini saivi hata ile asubuhi imekuwa holaa

6. Ulikuwa ukiwa kwenye show ukianza ni mpaka umalize, lakini saivi unajikuta wakati unafanya mashine yako inalala hata hujamaliza

Kwa hizo dalili 6 tambua tayari una mapungufu, na shida ni kwenye NGIRI pamoja na HOMONI ZIMESHUKA MNO

Mwanaume tuambie hapa chini je una dalili hizi au changamoto hii na unahitaji msaada wa ushauri na matibabu????

Health Community care tunajali na Kuthamini afya yako Tunapatikana Mwanza eneo linaitwa Mkolani jirani na Ghorofa la Family corner

Call//Whatsapp 0757991560 Dr. Ebby

SOMA: KWANI HUU NI UGONJWA HATARI NA UNASUMBUA WENGU KWA SASA, NA WENGI HUJIKUTA WAKITESEKA BILA KUJUA NINI KINAWASUMBUA...
03/02/2026

SOMA: KWANI HUU NI UGONJWA HATARI NA UNASUMBUA WENGU KWA SASA, NA WENGI HUJIKUTA WAKITESEKA BILA KUJUA NINI KINAWASUMBUA HIVYO HUPOTEZA PESA NYINGI BILA KUJUA NINI WANAUMWA👇

*DALILI ZA MTU ANAYESUMBULIWA NA KUZIDI KWA ACID TUMBONI (GERD-Acid Reflux*

Dr. Ebby ☎️ 0757991560

👉👉Zipo dalili nyingi ambazo huashiria mtu kusumbuliwa na tatizo la kuzidi kwa Acid tumboni,dalili hizo ni zifuatazo:

1️⃣. Kuwaka moto kifuani(Kiungulia) hasa wakati wa usiku au unapolala,hali hii hutokea pia mara baada ya kula.
2️⃣. Mapigo ya moyo kwenda mbio/kushtuka kwa moyo baadhi ya nyakati. Hali hii hupelekea baadhi ya watu kuhisi wana matatizo ya moyo.
3️⃣. Kuhisi k**a kichwa kimevurugika na kuhusi kuchanganyikiwa.
4️⃣ Kusahau mara kwa mara hata vitu vya kawaida kabisa/Kupungua kwa kumbukumbu.
5️⃣. Kujisaidia choo kigumu k**a cha mbuzi.
6️⃣. Kuwa na wasiwasi na khofu kubwa na hufikia hatua hata ukipigiwa simu hasa nyakati za usiku moyo huanza kwenda mbio na kujawa na wasiwasi mkubwa.
7️⃣. Kukosa usingizi ama kushtuka mara kwa mara kutoka usingizini.
8️⃣. Kupumua kwa tabu baadhi ya nyakati.
9️⃣ Kupata maumivu ya kichwa ya mara kwa mara kwa baadhi ya watu wenye tatizo hili.
🔟. Kupata kikokozi kisichoisha
1️⃣1️⃣. Kuvimba Tonsillitis/mafidofido mara kwa mara.
1️⃣2️⃣. Mdomo kuwa mchachu na huwez kupelekea kutoa harufu mbaya ya kinywa.
1️⃣3️⃣. Kuhisi k**a kuna kitu kimekwama kooni lakin kila unavyojaribu kukitoa hakitoki
1️⃣4️⃣. Kupata fangasi mdomoni(mdomo huanza kutoa ute mweupe ambao una harufu mbaya).
1️⃣5️⃣. Huweza kupelekea ukaanza kuota ndoto za kutisha pindi ulalapo na kuhisi umerogwa.
1️⃣6️⃣. Kupata maumivu ya mgongo hasa sehemu ya mabega,maumivu makali kana kwamba umenyanyua vitu vizito.
1️⃣7️⃣. Mwili kuwa na uchovu usioisha utadhani unafanyakaz ngumu kila siku.
1️⃣8️⃣. Macho kupunguza uwezo wa kuona vizuri.
1️⃣9️⃣. Kupungua uwezo wa kufanya tendo la ndoa.
2️⃣. Mwili kupata baridi na wakat mwingine kuhisi homa kabisa.
2️⃣1️⃣. Maumivu ya tumbo kati ya kifua na tumbo.
2️⃣2️⃣. Kichefuchefu na kutapika.

*MAMBO YANAYOWEZA KUCHOCHEA TATIZO LA KUZIDI KWA ACID TUMBONI*

👉. Uvutaji wa sigara
👉. Unywaji wa pombe
👉. Utumiaji wa vyakula au vinywaji vywenye Caffeine k**a vile Kahawa,Chocolate, Soda nk
👉. Kula vyakula vyenye mafuta mengi/vyakula vilivyokaangwa
👉. Kula chakula kingi kupita kiasi ama kula usiku sana. Nk

Kwa msaada wa matibabu ya changamoto hiivau ushauri wasiliana nasi kwa Call & Whatsapp 0757991560 Dr. Ebby

Health community care tunajali na Kuthamini afya yako,Tunapatikana Mwanza eneo linaitwa Mkolani jirani na Ghorofa la Family corner, kwa mikoani tunakuagizia bila shida kabisa 🤝

Subira huzaa ushindi 🙏
14/01/2026

Subira huzaa ushindi 🙏

Address

Mwanza
33110

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Dr. Ebby Herbal posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram