TIBA ZA UZAZI

TIBA ZA UZAZI Tunawahudumia wenye matatizo yote ya UZAZI kwa wakina MAMA.

๐“๐จ๐Ÿ๐š๐ฎ๐ญ๐ข kati ya ๐ฎ๐ญ๐ž wa ๐จ๐ฏ๐ฎ๐ฅ๐š๐ญ๐ข๐จ๐ง na ๐ฎ๐ญ๐ž unaosababishwa na ๐๐ˆ๐ƒ (๐๐ž๐ฅ๐ฏ๐ข๐œ ๐ˆ๐ง๐Ÿ๐ฅ๐š๐ฆ๐ฆ๐š๐ญ๐จ๐ซ๐ฒ ๐ƒ๐ข๐ฌ๐ž๐š๐ฌ๐ž) ni mkubwa.Hapa kuna maelezo ...
13/02/2026

๐“๐จ๐Ÿ๐š๐ฎ๐ญ๐ข kati ya ๐ฎ๐ญ๐ž wa ๐จ๐ฏ๐ฎ๐ฅ๐š๐ญ๐ข๐จ๐ง na ๐ฎ๐ญ๐ž unaosababishwa na ๐๐ˆ๐ƒ (๐๐ž๐ฅ๐ฏ๐ข๐œ ๐ˆ๐ง๐Ÿ๐ฅ๐š๐ฆ๐ฆ๐š๐ญ๐จ๐ซ๐ฒ ๐ƒ๐ข๐ฌ๐ž๐š๐ฌ๐ž) ni mkubwa.
Hapa kuna maelezo kwa urahisi:

๐ŸŒธ ๐”๐“๐„ ๐–๐€ ๐Ž๐•๐”๐‹๐€๐“๐ˆ๐Ž๐๐’
Huu ni ute wa kawaida unaotokea wakati wa siku za rutuba.
Sifa zake:
Rangi: wazi au mweupe k**a yai bichi

Muundo: unateleza, unanyumbulika (unavutika k**a gundi)
Harufu: hauna harufu mbaya
Maumivu: hakuna au maumivu madogo ya tumbo
Muda: hutokea katikati ya mzunguko wa hedhi
Maana: huonyesha siku za kupata mimba
โœ… Huu ni ute mzuri na wa afya.

โš ๏ธ ๐”๐“๐„ ๐–๐€ ๐๐ˆ๐ƒ
๐๐ˆ๐ƒ ni maambukizi kwenye via vya uzazi (mfuko wa uzazi, mirija ya uzazi, ovari).
Sifa zake:
Rangi: njano, kijani, kijivu au mchanganyiko
Muundo: mzito, wa usaha au majimaji
Harufu: mbaya au kali
Maumivu: maumivu ya tumbo la chini, mgongo au wakati wa tendo la ndoa

Dalili zingine:
Homa
Kutokwa damu bila mpangilio
Maumivu wakati wa kukojoa
Maana: ni ugonjwa, huhitaji matibabu ya haraka

โŒ *Ukichelewa kutibiwa, PID inaweza kusababisha utasa (kushindwa kupata mimba)*
*Kansa ya kizazi*
*Mirija ya uzazi kuziba*
*Na mengine mengi*

02/02/2026

Before/kabla ya kuanza dozi

Soma hapa chini

1 chukua Manjano vipande vitatu (mbichi )

2 .chukua limao nne

3 chukua kitunguu swaum .punje 15

4 maji lita 2 .

Osha vizuri vyote

Then chukua limao kata kata vipande vidogo vidogo,usitoe maganda wala kukamua maji yake.

Chukua Manjano kata vipande vidogo vidogo/blendi,iwe laini

Chukua kitunguu swaum kata kata vipande vidogo vidogo /blendi

Then mix pamoja chemsha had ibadirike rangi dkk 15 had 20 .

Then epua funika masaa 6 baada ya hapo chuja weka kwenye chupa

Matumiz.

Tumia kikombe asubh mchana na jioni

Kwa muda wa siku 5 .

Baada ya hapo endeleaa na dozi yako .

Hapo utakuwa umetibu tatizo lako .

Dr.enock +225754037407.

Karibu Karibu Ujifunze Jinsi Ya Kujitibu tatizo la *UVIMBE* *MVURUGIKO WA HORMONES*  *PID*  *FUNGAS*  *UTI*  *MIRIJA KUZ...
15/01/2026

Karibu Karibu Ujifunze Jinsi Ya Kujitibu tatizo la
*UVIMBE*
*MVURUGIKO WA HORMONES*
*PID*
*FUNGAS*
*UTI*
*MIRIJA KUZIBA*
*UGUMBA*
*BAWASIRI*
*MADONDA YA TUMBO* n.k*
*KWA KUTUMIA JUICE TU UKIWA NYUMBANI KWAKO*
Pia Karibu Ushuhudie Mwenyewe Wapendwa Wanavyoondokana Na Hizi Changamoto Zote Kwa Njia Hizi Rahisi Kabisa Bila Kuhangaika Sana.

Iwapo unapenda kujifunza Bonyeza Neno Learn moreโžก๏ธโžก๏ธโžก๏ธ

*Learn More*

31/12/2025
Ndugu Mteja wetu, tunapomaliza mwaka huu, tungependa kutoa shukrani zetu za dhati kwako kwa kuwa nasi mwaka mzima. Asant...
31/12/2025

Ndugu Mteja wetu,

tunapomaliza mwaka huu, tungependa kutoa shukrani zetu za dhati kwako kwa kuwa nasi mwaka mzima.

Asante sana kwa kuendelea kutuamini na kutupa nafasi ya kukuhudumia. Tunathamini sana ushirikiano wako na tunatazamia kuendelea kukupa huduma bora zaidi katika mwaka mpya. .

Heri ya Mwaka Mpya!"

Kumbuka kesho ndio siku pekee nitatoa ofa ya kipekee na kuwasaidia watu 10 pekee wenye changamoto mbali sugu k**a vile PID, kutokwa na uchafu ukeni, fangas ( miwasho ukeni) na uti sugu ,na homoni imbalance (kukosa hedhi) kwa TSH 25 000. ofa hii itatumika kwa siku ya lesho tu na baada ya hapo bei zitakuwa kuanzia laki moja na kuendelea
Bonyeza neno chart +255754037407

30/12/2025

*Namna AmbavyoAnafurahia Kupona PID Na Kubeba Ujauzito Na Kufanya Ndoa Yake Kuwa Na Amani*

โญ๏ธNakumbuka Ilikua Mwaka Huu Mwezi Wa Pili Nikiwa Katika Majukumu Yangu Nikapigiwa Simu Na Dada Moja Akajitambulisha Naitwa Ester Niko Mtwara Naomba Kuongea Nawewe Nina Shida Sana Huku Analia๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ.

โญ๏ธNikamwambia Kwa Sasa Nina Majukumu Sitakusikiliza Vizuri Ila Jioni Nitakupigia Mwenyewe, Akasema Dada Usisahau Kunipigia.

โญ๏ธJioni Nilimpigia Simu Nkamwambia Karibu Ester, Basi Akaanza Kujielezea M Niko Kwenye Grup Lako La Afya Naona Huduma Zako, Naomba Unisaidie Namimi Nateseka Sana Mwanamke Mwenzio Lakini Akawa Bado Analia๐Ÿ˜ญ.

โญ๏ธNikamwambia Ili Nikusaidie, Amini Kila Tatizo Lina Jawabu Lake Na Umshukuru Mungu Bado Wewe Unaongea, Nyamaza Ongea Tuelewane.

โญ๏ธEster Akajibu Sawa Dada Rahel Mimi Nina PID Sugu, Nmeolewa Mwaka Wa Tatu Sipati Mimba, Mwanaume Kanirudisha Kwetu Hataki Hata Kuniona๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ Nmetibiwa Sana Hospitali Lakini Sijapona, Nmeenda Mpaka Kwa Waganga Wa Kienyeji Lakini Hamna Kitu Mpaka Nmekata Tamaa Naona Nmeachika Mimi๐Ÿฅน Hata Mumewangu Nikimwambia Kuhusu Matibabu Hawezi Kunipa Hela Mana Katumia Hela Nyingi Kunitibu Sijapona.

โญ๏ธ Nikamuulza Unataka Nikusaidieje Ester Na Umesema Umekataa Tamaa? Akajibu Naona Wenzangu Unaowasimamia Wanapata Matokeo Naomba Unisaidie Na Mimi Nipone. Kuna Dada Moja Alitoa Shuhuda Kwenye Grup Nmempigia Simu Akasema Amepona Ndo Nimeanza Kuamini Mana Mtandaoni Kuna Matapeli.

โญ๏ธNkamwambia Sawa K**a Upo Tayari Taratibu Za Programu Zetu Unazijua Lipia, Akasema Dada M Sina Kazi Nilikua Namtegemea Mwanaume Naomba Nilipie Robo Dozi Nianze Nitakua Naongeza Mpaka Nipone.

โญ๏ธAkalipia Package Ikafika Mtwara Nikaanza Kumsimamia Kwa Miongozo Maalumu, Akaanza Kupata Matokeo.

โญ๏ธMwezi Huu Amenipigia Simu Analia Tena, Nkamuulza Shida Nini Kipenz Akanijibu Leo Nalia Kwa Furaha Nmekutafuta Sana Ile Namba Ya Halotel Hupatikan Nkapewa Hii Ya Tigo, Sina Simu Kubwa Iliharbika Nngekutumia Ujumbe Watsap, Akasema Dada Nimepona PID Sio Kupona Tu Nina Ujauzito Rahel Natetemeka Siamini, Nina Furaha Isiyoelezeka, Mumewangu Yupo Njiani Ananifata Na Ananiletea Simu Kubwa Nije Kushea Namimi Shuhuda Yangu๐Ÿ˜Š.

โญ๏ธIlikua Saa Nne Asubuhi Kiukwel Siku Yangu Ilikua Nzuri Nilimshukuru Mungu Kwa Baraka Zake๐Ÿ™.

Inawezekana Nawewe Upo K**a Ester Umeteseka, Umetumia Garama Nyingi, Ndoa Haina Amani, Umekata Tamaa.

โญ๏ธMagonjwa Ya Afya Ya Uzazi Yanatibika Chukua Hatua Mapema Pata Usimamizi Mzuri Utapona.

*Leo Natoa Nafasi Tatu Kwa Wanawake Siriazi Ambao Wanahitaji Usimamizi Wetu Ili Wapone Na Kurejesha Furaha Zao*

Bonyeza Kitufe Cha Whatsap Kuingia Kwenye Grup
Nitakupigia Simu Kuongea Nawewe Nione K**a Una VIGEZO Vya Kujiunga Na Usimamizi Wetu

*Ofa Hii Inadumu Ndani Ya Masaa 24 Tu Kuanzia Sasa*

*Habari na karibu sana Dr.enock health care@ โ€” Tafadhali nieleze changamoto yako ili niweze kukusaidia Au bonyeza link h...
28/12/2025

*Habari na karibu sana Dr.enock health care@ โ€” Tafadhali nieleze changamoto yako ili niweze kukusaidia
Au bonyeza link hii uingie kwenye *Group letu* upate *ELIMU na MASOMO BURE* kuhusu afya ya uzazi na safari ya mimba:
๐Ÿ‘‡๐Ÿป
https://chat.whatsapp.com/GmMsqrg3arOEUcCVFqoUZx

Kwa msaada wa haraka zaidi, wasiliana nasi kupitia:
๐Ÿ“ž *0754 037 407

24/12/2025

Tunaendelea na Funguzo la bei mwisho wa mwaka wasiliana nasi tukusaidie 0754 037 407

Address

Mwanza
MWANZA

Telephone

+255754037407

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when TIBA ZA UZAZI posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to TIBA ZA UZAZI:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram

Category