TIBA ZA UZAZI

TIBA ZA UZAZI Tunawahudumia wenye matatizo yote ya UZAZI kwa wakina MAMA.

USITESEKE MWANAMKE SOMA HAPADAWA YA P.I.D NA UVIMBEP.I.D (Pelvic Inflammatory Disease) ni maambukizi katika mfumo wa uza...
21/11/2025

USITESEKE MWANAMKE SOMA HAPA

DAWA YA P.I.D NA UVIMBE

P.I.D (Pelvic Inflammatory Disease) ni maambukizi katika mfumo wa uzazi wa mwanamke

PID huenezwa na vimelea jamii ya Neisseria, Gonorrhea pamoja na Chlamydia.

MWANAMKE HUPATAJE P.I.D
*Japo kuna sababu nyingi zinazosababisha PID, lakini Mara nyingi mwanamke hupata PID baada ya kushiriki tendo bila kinga

DALILI ZA PID
*Kutoka uchafu sehemu za Siri k**a maziwa mgando, mara nyingi uchafu huu huambatana na harufu mbaya
*Kupata maumivu wakati wa tendo na kukosa ute
*Kupata maumivu ya tumbo hasa chini ya kitovu

MADHARA YA P. I.D
*Mwanamke kushindwa kubeba mimba
*Ujauzito kutoka hasa katika miezi mitatu ya mwanzoni
*Maumivu wakati wa period, damu kutoka mabonge meusi
*Harufu mbaya

MATIBABU
Tafadhali tembelea hospital kwa matibabu, au tumia dawa za asili
Kwa dawa za asili tumia dawa yetu PRE CARE "ni dawa ya asili iliyothibitika kutibu na kumaliza tatizo la PID, uvimbe katika kizazi, inazibua mirija ya uzazi, Inarudisha uwezo wa kutungisha mimba
*Dozi ni siku 25
*Bei sh 45,000 matokeo ya dawa ni siku 03 hadi tano

OFFICE KUU IPO MWANZA ,
DAR WAKALA YUPO NA DELIVERY NI BURE KWA WATEJA WA DAR

MIKOA MENGINE NAAGIZA NA UNALIPIA BAADA YA KUPOKEA KUEPUSHA UTAPELI WA PESA ZA WATU

WASILIANA NA ME KWA +255754037407 .

AU GUSA LINK KUJIFUNZA ZAIDI KWENYE GROUP LA WHATSAPP BURE .
https://chat.whatsapp.com/CXnmHam7aGI9g5q2ypSWPg?mode=wwt

16/11/2025
Jinsi Ya Kusafisha Uke: Mambo 10 Muhimu Ya Kuzingatia.Usafi wa uke ni muhimu kwa afya ya kila mwanamke na inapaswa kufan...
15/11/2025

Jinsi Ya Kusafisha Uke: Mambo 10 Muhimu Ya Kuzingatia.

Usafi wa uke ni muhimu kwa afya ya kila mwanamke na inapaswa kufanywa kwa uangalifu ili kuzuia maambukizi na matatizo mengine ya afya ya uke.

uke
Yafuatayo ni mambo 10 ya kuzingatia wakati wa kusafisha uke ambayo ni pamoja na:

1) Tumia Maji Safi.
Safisha uke kwa kutumia maji safi tu. Hakuna haja ya kutumia sabuni au kemikali nyingine mara kwa mara. Maji yatatosha kuondoa uchafu wa kawaida.

2) Usafishe Kila Siku.
Safisha ukeni kwa kawaida kila siku wakati wa kuoga au kuoga kwa kuyarudisha maji kutoka mbele ya uke kwenda nyuma (front to back).

Hii inasaidia kuzuia bakteria kutoka njia ya haja kubwa kuingia ukeni na kusababisha maambukizi.

3) Sabuni Maalum Ya Ukeni.
Ikiwa unahisi unahitaji kutumia sabuni, chagua sabuni ya ukeni iliyoundwa kwa ajili hiyo. Sabuni hizi zina pH inayofanana na uke na zinafaa zaidi kuliko sabuni za kawaida.

4) Usifanye Do**he.
Epuka kutumia douches au maji ya kuosha ukeni, kwani zinaweza kusababisha mabadiliko ya pH na kusababisha maambukizi.

5) Kauka Vizuri.
Baada ya kusafisha uke, kauka vizuri kwa kutumia taulo laini na kavu. Hakikisha eneo la ukeni halijabaki na unyevu.

6) Kuepuka Matumizi Ya Vifaa Vya Kusafisha Ukeni.
Epuka kutumia vitu k**a tamponi, wati, au vitu vingine vyenye vifaa vya kusafisha ukeni, kwani vinaweza kusababisha mabadiliko ya pH na kusababisha maambukizi.

7) Kusafisha Mara Baada Ya Tendo La Ngono.
Baada ya tendo la ngono, ni muhimu kujisafisha uke ili kuondoa majimaji na kuzuia maambukizi. Hii inaweza kufanywa kwa kutumia maji safi.

8) Kuvaa Chupi Za Pamba.
Chagua nguo za ndani zenye vitambaa vya pamba, kwani hupunguza joto na unyevu ukeni na hivyo kuzuia ukuaji wa bakteria.

9) Kula Lishe Bora.
Lishe yenye afya inaweza pia kusaidia kudumisha afya ya uke. Kula matunda na mboga, na kunywa maji ya kutosha.

10) Uchunguzi Wa Afya Ya Ukeni.
Kwa wanawake wanaovunja ungo au wana matatizo ya afya ya uke, ni muhimu kupata uchunguzi wa mara kwa mara kutoka kwa daktari wa wanawake au mtaalamu wa afya.

HITIMISHO:
Kumbuka kwamba uke (va**na) una mfumo wa kujisafisha asilia (va**na is self cleansing) unaohusisha uke kujitunza.

Kusafisha uke kwa bidii au kutumia kemikali nyingi kunaweza kusababisha mabadiliko ya pH na kusababisha

Haya ndiyo magonjwa yanayotesa wanawake kwenye mfumo wa uzazi pia kuathiri uwezo wa kupata mimba.1. PID (Pelvic Inflamma...
13/11/2025

Haya ndiyo magonjwa yanayotesa wanawake kwenye mfumo wa uzazi pia kuathiri uwezo wa kupata mimba.

1. PID (Pelvic Inflammatory Disease)
- Maambukizi kwenye kizazi, mirija ya uzazi na mayai
- Husababisha maumivu ya tumbo, utokaji wa uchafu ukeni, na ugumba

2. PCOS (Polycystic O***y Syndrome)
- Homoni kutobalansi, mayai kutokomaa
- Husababisha hedhi kuvurugika, chunusi, unene, na ugumba

3. Endometriosis
- Tishu za mji wa mimba hukua nje ya sehemu yake
- Husababisha maumivu makali wakati wa hedhi, na kuathiri uzazi

4. Fibroids (Uvimbengu kwenye mji wa mimba)
- Uvimbe wa nyama kwenye kizazi
- Huweza kusababisha kutoshika mimba au mimba kuharibika

5. Uambukizi sugu (chronic infections)
- K**a vile Chlamydia na Gonorrhea zisipotibiwa mapema
- Huweza kuharibu mirija ya mayai (fallopian tubes)

6. Saratani ya mfumo wa uzazi
- K.m. ya shingo ya kizazi (cervical cancer) au ya mji wa mimba
- Huathiri mimba au hata kuhitaji kizazi kuondolewa

7. Ovulation disorders
- Mwili hushindwa kutoa yai kila mwezi
- Huathiri uwezo wa kushika mimba.
-
8- Chango la uzazi ,na maambukizi ya mara kwa mara k**a vile fangas na UTI za kujirudia.

Hizo hapo ni baadhi ya sababu zinazoweza kusababisha mwanamke asipate ujauzito .

Basi matatizo yote hayo yanatatuliwa na kupona kabsa bila shida yeyote na ukaweza kushika mimba

KWA USHAURI AU KUPATA HUDUMA ZETU TUPIGIE call ๐Ÿ“ž O7 54 03 74 07 .

Au Bonyeza neno WHATSAPP hapo https://chat.whatsapp.com/H8d0Y06uVtkHemqjd8TH9x?mode=wwtchini

Haya ndiyo magonjwa yanayotesa wanawake kwenye mfumo wa uzazi pia kuathiri uwezo wa kupata mimba.1. PID (Pelvic Inflamma...
13/11/2025

Haya ndiyo magonjwa yanayotesa wanawake kwenye mfumo wa uzazi pia kuathiri uwezo wa kupata mimba.

1. PID (Pelvic Inflammatory Disease)
- Maambukizi kwenye kizazi, mirija ya uzazi na mayai
- Husababisha maumivu ya tumbo, utokaji wa uchafu ukeni, na ugumba

2. PCOS (Polycystic O***y Syndrome)
- Homoni kutobalansi, mayai kutokomaa
- Husababisha hedhi kuvurugika, chunusi, unene, na ugumba

3. Endometriosis
- Tishu za mji wa mimba hukua nje ya sehemu yake
- Husababisha maumivu makali wakati wa hedhi, na kuathiri uzazi

4. Fibroids (Uvimbengu kwenye mji wa mimba)
- Uvimbe wa nyama kwenye kizazi
- Huweza kusababisha kutoshika mimba au mimba kuharibika

5. Uambukizi sugu (chronic infections)
- K**a vile Chlamydia na Gonorrhea zisipotibiwa mapema
- Huweza kuharibu mirija ya mayai (fallopian tubes)

6. Saratani ya mfumo wa uzazi
- K.m. ya shingo ya kizazi (cervical cancer) au ya mji wa mimba
- Huathiri mimba au hata kuhitaji kizazi kuondolewa

7. Ovulation disorders
- Mwili hushindwa kutoa yai kila mwezi
- Huathiri uwezo wa kushika mimba.
-
8- Chango la uzazi ,na maambukizi ya mara kwa mara k**a vile fangas na UTI za kujirudia.

Hizo hapo ni baadhi ya sababu zinazoweza kusababisha mwanamke asipate ujauzito .

Basi matatizo yote hayo yanatatuliwa na kupona kabsa bila shida yeyote na ukaweza kushika mimba

KWA USHAURI AU KUPATA HUDUMA ZETU TUPIGIE /call ๐Ÿ“ž O7 54 03 74 07 .

Au Bonyeza neno WHATSAPP hapo https://chat.whatsapp.com/H8d0Y06uVtkHemqjd8TH9x?mode=wwtchini

13/11/2025

Habari karibu Dr.enock health care@ nieleze changamoto Yako niweze kukusaidia๐Ÿซƒ๐Ÿฝ๐Ÿ™๐Ÿผ__au Bonyeza link kuingia kwenye Group kupata ELIMU,na MASOMO BURE ๐Ÿ‘‡๐Ÿป
https://chat.whatsapp.com/H8d0Y06uVtkHemqjd8TH9x?mode=ems_copy_t

Kwa mawasiliano zaidi piga namba 0754 037 407 kupata huduma ya haraka.

Haya ndiyo magonjwa yanayotesa wanawake kwenye mfumo wa uzazi pia kuathiri uwezo wa kupata mimba.1. PID (Pelvic Inflamma...
12/11/2025

Haya ndiyo magonjwa yanayotesa wanawake kwenye mfumo wa uzazi pia kuathiri uwezo wa kupata mimba.

1. PID (Pelvic Inflammatory Disease)
- Maambukizi kwenye kizazi, mirija ya uzazi na mayai
- Husababisha maumivu ya tumbo, utokaji wa uchafu ukeni, na ugumba

2. PCOS (Polycystic O***y Syndrome)
- Homoni kutobalansi, mayai kutokomaa
- Husababisha hedhi kuvurugika, chunusi, unene, na ugumba

3. Endometriosis
- Tishu za mji wa mimba hukua nje ya sehemu yake
- Husababisha maumivu makali wakati wa hedhi, na kuathiri uzazi

4. Fibroids (Uvimbengu kwenye mji wa mimba)
- Uvimbe wa nyama kwenye kizazi
- Huweza kusababisha kutoshika mimba au mimba kuharibika

5. Uambukizi sugu (chronic infections)
- K**a vile Chlamydia na Gonorrhea zisipotibiwa mapema
- Huweza kuharibu mirija ya mayai (fallopian tubes)

6. Saratani ya mfumo wa uzazi
- K.m. ya shingo ya kizazi (cervical cancer) au ya mji wa mimba
- Huathiri mimba au hata kuhitaji kizazi kuondolewa

7. Ovulation disorders
- Mwili hushindwa kutoa yai kila mwezi
- Huathiri uwezo wa kushika mimba

โœ๏ธWewe lipi limewahi kukutesa au linakutesa unataka upone kabisa tuanze matibabu haraka.

Tuandikie hapa chini tukupe tiba na ushauri au tupigie simu moja kwa moja kupata mwongozo kamili wa kutatua changamoto yako.

Dr enock ๐Ÿคณ O754037407

Address

Mwanza
MWANZA

Telephone

+255754037407

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when TIBA ZA UZAZI posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to TIBA ZA UZAZI:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram

Category