Nael homecare product

Nael homecare product Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Nael homecare product, Medical and health, Mwanza.

08/11/2025
Happy Sabbath Day Brethren 🥰
08/11/2025

Happy Sabbath Day Brethren 🥰

NAEL HAND WASH 500MLLeo tuangalie : FAIDA ZA KUNAWA MIKONO KWA KUTUMIA PRODUCT  SAHIHI - Kuua bakteria wanaoweza kusabab...
07/09/2025

NAEL HAND WASH 500ML
Leo tuangalie :

FAIDA ZA KUNAWA MIKONO KWA KUTUMIA PRODUCT SAHIHI

- Kuua bakteria wanaoweza kusababisha maambukizi kutoka sehemu moja ya mwili kwenda ingine mfano : sehemu ya haja kubwa kwenda mdomoni
- Kuondoa uchafu
- Kuondoa harufu mbaya na mafuta mafuta mikononi kutokana na kushika shika vitu mbali mbali mfano : nyama, samaki, dagaa nk
- Kulainisha mikono yako na kuiweka katika hali nzuri
- Kuacha mikono yako ikiwa na harufu nzuurii sana 🥰
- Inaongeza kujiamini pale utakaposalimiana na watu na kukupa tabasamu muda wote 😘

HASARA ZA KUNAWA MIKONO KWA KUTUMIA PRODUCTS ISIYOKUWA SAHIHI

- Kutokuua vimelea wanaoweza kusababisha maambukizi kutoka sehemu moja kwenda ingine mfano :
Vitu : kutoka kwenye vitasa vya milango,kalamu, mafail nk kwenda mdomoni,

Mwilini : kutoka sehemu ya haja kubwa kwenda mdomoni nk.
Mtu mmoja hadi mwingine : kusalimiana kwa kushikana mikono, kumhudumia mgonjwa nk.
- Kukak**aza mikono : hii ni kutokana na PRODUCT kutokuwa na viambata vinavyofanya kazi ya kulainisha ngozi.

- Kutokujiamini : hii itatokana na baada ya kunawa mikono ikabaki migumu kulingana na aina ya product uliyotumia.

- Kutokuondoa harufu mbaya katika mikono yako mfano : pale unapokuwa umekula aina fulani ya chakula k**a nyama, samaki nk

NI WAKATI GANI UNAWE MIKONO YAKO?

- Wakati unapoamka kabla ya kuanza shughuli yoyote :
kituo cha kwanza kiwe katika Sink lako la kunawia mikono, au unawe kwa maji tiririka, hii ni kutokana na kushika shika sehemu za mwili wako wakati wa usiku kwa kujua / kutokujua mfano : nywele, ngozi ya mwili yenye mafuta na joto la usiku.

- Baada ya kutoka chooni :
:- hii itakusaidia kuondoa bakteria ( enterobius ) wanaoweza kusababisha magonjwa ya tumbo k**a Amoeba.
:- itasaidia pia kuua bakteria ( Escherichia Coli) wanaoweza kupelekea maambukizi katika njia ya mkojo mfano UTI ( Urinary Tract Infection)

- Kabla na baada ya kula chakula, bites au kitu chochote kinachoingia kinywani kwako

- Kabla ya kumbeba / kumhudumia/ kumnyonyesha mtoto wako mchanga / mdogo ( hapa mama unatakiwa uoshe/ usafishe maziwa yako pia )

- Mara baada tu ya kutoka kazini / Katika majukumu / mizunguko yako ya kila siku

Address

Mwanza

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Nael homecare product posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram