30/10/2024
KIOO
Kwanza ifahamike kuwa kioo ni moja ya madini yanayochimbwa ardhini na yana nishati na nguvu asilia na kiroho na kina faida na athari zake kulingana na matumizi ya mtumiaji
https://chat.whatsapp.com/EKimTwV032PBIo6FuGxkji
Kioo kina faida na athari mbalimbali acha tugusie chache kati ya faida na athari.
Kioo unaweza kukitumia katika kuona taarifa za mtu mwengine ama kutoa taarifa zako kwa watu wabaya.Kioo hutumika katika ramli ili kuonesha tatizo na chanzo cha tatizo.
Pia kioo hutumika k**a cctv camera katika kupeleka taarifa zako kwa wachawi ama kwa watu waliokuiba nyota yako ama walioweka vitu katika mwili ama katika nyumba yako ili kukufatilia ama kupata taarifa zako.
Kioo hutumika kuongea ama kuonesha nafsi zilizo mbaya ama njema kwa wakati maalum na funguo maalum kioo kinaweza kunasa matukio yaliyojificha hasa ya kiroho na mambo ya asili.
Kioo hutumika katika chuma ulete kuvuta pesa kulingana na funguo za siri za mali kwa kutumia nguvu za kiroho ama asili ya tiba ya mizimu,majini na code za siri kuvuta pesa
kioo hutumika kuendesha shuhuli za kiroho ama asili ya tiba kwa wataalamu wa tiba,kwa wachawi
Kioo hutumika kusafiria kwa waliowai kusikia kuhusu maswala ya watu wanaosafiri ndani ya wakati (Time travelers)nk
Matumizi na kazi zote hizi huwa na code zake ili kukipa nguvu kioo
https://chat.whatsapp.com/EKimTwV032PBIo6FuGxkji
1)Uijue asili yako
2)Nyota yako na sifa zake
3)code ya kukipa nguvu kioo chako
4)Code ya jambo husika,mfani lamri inakuwa na code yake ya kufungulia,Kuvuta pesa kunakuwa na code yake yani kila kazi inakuwa na code yake
5)Vifaa vitavyoambatana na kioo chako ili kukipa nguvu
Na kila matumizi yana faida na athari kwa namna moja ama nyengine inaweza kuwa na faida kwa mfanyaji ila ikawa na athari kwa mfanyiwa ama ikawa na faida kwa mfanyaji na mfanyiwa pia
Je unakitumia vipi kioo chako unatumia kujipodoa ama kuangalizia kifua ama kinatumika kutoa taarifa zako kwa wachawi
https://chat.whatsapp.com/EKimTwV032PBIo6FuGxkji
+255627960441