Dawa na tiba za kiswahili

Dawa na tiba za kiswahili Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Dawa na tiba za kiswahili, Medical and health, Liganga, Songea.

30/10/2024

KIOO

Kwanza ifahamike kuwa kioo ni moja ya madini yanayochimbwa ardhini na yana nishati na nguvu asilia na kiroho na kina faida na athari zake kulingana na matumizi ya mtumiaji

https://chat.whatsapp.com/EKimTwV032PBIo6FuGxkji

Kioo kina faida na athari mbalimbali acha tugusie chache kati ya faida na athari.

Kioo unaweza kukitumia katika kuona taarifa za mtu mwengine ama kutoa taarifa zako kwa watu wabaya.Kioo hutumika katika ramli ili kuonesha tatizo na chanzo cha tatizo.

Pia kioo hutumika k**a cctv camera katika kupeleka taarifa zako kwa wachawi ama kwa watu waliokuiba nyota yako ama walioweka vitu katika mwili ama katika nyumba yako ili kukufatilia ama kupata taarifa zako.

Kioo hutumika kuongea ama kuonesha nafsi zilizo mbaya ama njema kwa wakati maalum na funguo maalum kioo kinaweza kunasa matukio yaliyojificha hasa ya kiroho na mambo ya asili.

Kioo hutumika katika chuma ulete kuvuta pesa kulingana na funguo za siri za mali kwa kutumia nguvu za kiroho ama asili ya tiba ya mizimu,majini na code za siri kuvuta pesa

kioo hutumika kuendesha shuhuli za kiroho ama asili ya tiba kwa wataalamu wa tiba,kwa wachawi

Kioo hutumika kusafiria kwa waliowai kusikia kuhusu maswala ya watu wanaosafiri ndani ya wakati (Time travelers)nk

Matumizi na kazi zote hizi huwa na code zake ili kukipa nguvu kioo

https://chat.whatsapp.com/EKimTwV032PBIo6FuGxkji

1)Uijue asili yako
2)Nyota yako na sifa zake
3)code ya kukipa nguvu kioo chako
4)Code ya jambo husika,mfani lamri inakuwa na code yake ya kufungulia,Kuvuta pesa kunakuwa na code yake yani kila kazi inakuwa na code yake
5)Vifaa vitavyoambatana na kioo chako ili kukipa nguvu

Na kila matumizi yana faida na athari kwa namna moja ama nyengine inaweza kuwa na faida kwa mfanyaji ila ikawa na athari kwa mfanyiwa ama ikawa na faida kwa mfanyaji na mfanyiwa pia

Je unakitumia vipi kioo chako unatumia kujipodoa ama kuangalizia kifua ama kinatumika kutoa taarifa zako kwa wachawi

https://chat.whatsapp.com/EKimTwV032PBIo6FuGxkji

+255627960441

Mnanaa datura/tarumbeta la wachawi https://chat.whatsapp.com/CCEiMW5d3sX8xaraRZR2ExDawa/kinga ya kujikinga na kujitoa uc...
25/07/2024

Mnanaa datura/tarumbeta la wachawi

https://chat.whatsapp.com/CCEiMW5d3sX8xaraRZR2Ex

Dawa/kinga ya kujikinga na kujitoa uchawi mwilini hasa kwa watu waliologezwa upande wa kumbukumbu/limbwata yani kufungwa akili katika mahusiano ama katika kuwaza mambo ya msingi,

Yani kwa wale wanaokuwa kuna kitu anafanya ila moyo unakataa na unatamani kuacha au kufanya lakini katika utimilifu unakuwa mzito na unashindwa kufanya matakwa yako unajikuta ukifanya mambo ambayo mwisho wa siku unakuwa unajuta yani sio pendekezo wala kusudio ila unafanya tuu

https://chat.whatsapp.com/CCEiMW5d3sX8xaraRZR2Ex

Chukua unga wa mnanaa uliotengenezwa kitabibu changanya na kivumbasi chukua na majani ya kivumbasi kibichi chemsha katika maji ya kuoga oga kwa siku saba kwa uchawi ulio nnje ya mwili na kwa ulio ndani ya mwili chukua unga wa mnana changanya na chumvi ya mawe kunywa katika supu isiyotiwa limao wala kiungo chochote zaidi ya vumbi la mnanaa na chumvi ya mawe fanya kwa siku tatu tuu,

Inafungua mirija ya uzazi
Inatoa vitu ulivyolishwa kichawi mwilini
Inafukuza majini wachafu katika mwili
Inarudisha nguvu za kiume kwa aliechezewa kichawi na uume kuanguka

https://chat.whatsapp.com/CCEiMW5d3sX8xaraRZR2Ex

Inamkosesha nguvu ya kufanya kazi katika mwili jini mahaba na mikosi/laana za ukoo inafifisha aimalizi tatizo ili ila utakuwa na uauweni adi kupata njia mbadala ya tiba

+255627960441

https://chat.whatsapp.com/CCEiMW5d3sX8xaraRZR2Ex

Kwa waitaji wa dawa hii watachangia 22000 kila chupa moja tupo liganga songea na kwa wa mikoani tunatuma kwa njia ya mabasi
Pia maelekezo zaidi ya kutumia yapo kwa wateja wataopata mzigo

Kuna mtu amenifata na kuniomba niwape elimu kuhusu jicho la tatu katika masomo ya kiroho nitagusia kidogo manufaa na ish...
09/07/2024

Kuna mtu amenifata na kuniomba niwape elimu kuhusu jicho la tatu katika masomo ya kiroho nitagusia kidogo manufaa na ishara zake na nguvu iliyo ndani yake kidoogo

https://chat.whatsapp.com/CCEiMW5d3sX8xaraRZR2Ex

Jicho la tatu(the third eye)

Ni funguo mojawapo katika funguo saba kubwa za kiroho katika imani ama njia zozote za kitiba na ustawi wa kiroho.

Jicho la tatu ni mfumo ama mlango wa fahamu ambao unaleta na kutoa taarifa kifikra/mawazo na kutenda kwa njia ya nafsi ama maono ya kiroho ni mlango wa fahamu unaoweza kuona na kunasa taarifa za mahala husika ama kutabiri tukio flani/mambo yatayotokea siku zijazo ama siku zilizopita(Mambo yasiyotambulika baada ama kabla ya kutokea)

Usafiri na kuona mambo yaliyo nnje ya uwezo wa kimwili na ndio hutusaidia katika maono ya ndoto ama utabiri. kwa watu wanaotumia kawaida

Lakini pia kwa wataalamu wa saikoloj hutumia jicho la tatu kujua mtu anachowaza ndani yake Nk k**a mlivyosoma katila masomo mengine

Lakini pia jicho la tatu ni nuru /taa ya kuangaza na kionyesha njia katika mambo yako ya kiroho mfano katika imani za kidini wakristo uchorwa alama ya msalaba katika paji la uso k**a funguo na uashiria wa uwokovu katika imani ya dini ya kikristo.waislam nao utoka sin,gda katika paji la uso k**a ishara ama taa ya wokovu na ishara ya kuwa ni mtu mwenye imani na kuswali sana,Wahindu,buza na dini nyengine hupakwa sinduli ya rangi nyekundu katika paji la uso k**a taa ama ishara ya kuwa ni mtu wa ibada ama alieingia katika swala ama ndoa.Freemasons pia wamesomeka katika biblia ya kuwa watawapiga watu wao chapa katika paji la uso na kuwa ndio nembo ya utawala wao wa kula na kunywa.
Pia wachawi/waganga asilia huweka chale/muhuri wa kichawi katika paji la uso la mtu ili kuweza kupata taarifa zake ama kufifisha mambo yake yasiende

Hivyo ukisoma kwa kutuliza akili utaona kuwa jicho la tatu sio mlango wa fahamu tuu bali ni funguo mojawapo kubwa katika funguo saba za kiroho na inasimama katika pande zote za kiroho na imani zote na ina uhusiano ama inakaribiana kufanana na nyota pia tunaweza kulitumia katika maswala muhimu ya kimaisha hasa upande wa kiroho

Mfano uliwai kujiuliza kwanini mtoto anapokuwa mdogo huwa anapakwa wanja katika paji la uso hasa hasa anapokuwa anaweweseka wakati wa usiku ama ulishawai jiuliza kwanini mchungaji anapomuombea mtu lazima atashika sehemu zote lakini katika paji la uso ni lazima apashike

pigia mstari mambo mengi sana muda niliobaki nao ni mchache autoshani na wingi wa mambo ninayoitaji kuwajuza

Kwa mnaofanya mazoezi ya jicho la tatu ama mnaoitaji kujifunza na kuweza kulitumia na kulikontroo ninayo masomo maalum na pia yapo mafuta ya kuweka sawa na kuweza kuongoza mifumo ya jicho la tatu na kukuweka sawa.
Masomo ama mafunzo ya kiroho na tiba yanaiyaji uadilifu kujitoa na kuamini

+255627960441

Leo niwape faida chache za mti wa mbaazi katika tiba asili katika kinga na dawa.Mti wa mbaazi wengi wenu mnauhafahamu bi...
12/04/2024

Leo niwape faida chache za mti wa mbaazi katika tiba asili katika kinga na dawa.

Mti wa mbaazi wengi wenu mnauhafahamu bila kuujua faida za kitiba asilia asa katika mambo yasiyoonekana katika macho ya kawaida.

Kwanza ukiachilia matumizi k**a mboga mbaazi inaweza kutumika katika mambo haya yafuatayo.

Kinga dhidi ya wachawi/Fimbo ya wachawi

Mvuto/kiua kolomeo simba

Tiba ya mazongo/Uchawi wa machomacho

Na mengie mengine mengi

Katika kinga utachuma majani 7 ya mti wa mbaazi utakata fimbo moja na kuchimba mzizi mmoja uku ukinuia ulinzi unaoutaka

Hakikisha muda wa kufanya shuhuli hii iwe ni saa 7 mchana ama usiku isivuke muda huo.

Kisha utachukua chupa ya maji marashi utaweka majani yako 7 na mzizi wako katika chupa ya maji marashi na utatafuta kitambaa cheupe na chekundu kisha utavifunga kwa kuvilingita chupa kwa kitambaa cheupa na fimbo kwa kitambaa chekundu uku ukisema

Amani naiwe amani na ulinzi ukawe ndani kwangu wachawi ni watoto wanaojifunza mambo yaliyo katika siri na kujaribu katika miili na nyumba za baba zao.
Nawaosha na kuwachapa kwa maji na fimbo hii ya uchawi wasisubutu wala kujaribu na wakijaribu kiwakute chamoto.

Kisha weka fimbo yako chini ya godoro na chupa katika pembe moja ya nyumba au ufunge kwa kuning'iniza katika mlango wa nyumba yako

https://chat.whatsapp.com/CCEiMW5d3sX8xaraRZR2Ex

+255627960441

πŸ‘‹πŸ‘‹πŸ‘‹πŸ‘‹πŸ‘‹  Niwatakie kheri ya toba kwa wakristo na waislam.pia niwatakie sikukuu njema zakuitimisha toba zenu mkawe na amani...
09/03/2024

πŸ‘‹πŸ‘‹πŸ‘‹πŸ‘‹πŸ‘‹ Niwatakie kheri ya toba kwa wakristo na waislam.pia niwatakie sikukuu njema zakuitimisha toba zenu mkawe na amani na mkanyookewe mambo yenu na mkafanikiwe katika kila jambo la kiimani na katika kila jambo la kimaendeleo mkalindwe na malaika wenu na asili zenu zisafishwe nyayo zenu na hatua zenu zikawe za mafanikio katika maisha yenu yote yakawe ya furaha na amani tele mkafanikiwe na mkafarijike kwa mambo mema na muishi katika maisha ya baraka.
Kumbukizi msiitupe asili yenu wala kumkataa M MUNGU mumshirikishe katika kila jambo la maisha na naamini mtafanikiwa.

Kila la kheri ya kuonana tenaπŸ˜₯πŸ˜₯πŸ˜₯

πŸ‘‹πŸ‘‹πŸ‘‹πŸ‘‹πŸ‘‹

Kwa wenye watoto wadogo ambao wanasumbuliwa usiku na wachawi na wanaoisi kuwa wachawi wanapita katika miji yao usikuChuk...
07/03/2024

Kwa wenye watoto wadogo ambao wanasumbuliwa usiku na wachawi na wanaoisi kuwa wachawi wanapita katika miji yao usiku

Chukua mkaa ambao unaweza kuuvunja vipande kuanzia 7 ama zaidi kwa kulinganisha pembe nne za chumba uvungu wa kitanda na idadi ya watu mliopo ndani hakikisha iwe ni saa 5 na kuendelea usiku

vunja vipande vinne weka kila kona ya chumba vunja kipande kimoja tupa chini ya uvungu
kisha vunja vipande idasi ya watu waliolala katika chumba iko pamoja na wewe kisha mtoto mfunge kwenye tambala ama vingirisha katika pempasi aliyovaa mama katika pemba ya kanga au mtandio ataokuwa amevaa ama katika kofia la nywele na baba katika nguo aliyovaa iwe boksa ama taiti za kulalia viringisha kiasi kwamba ata ujigeuzegeuze vipi akiwezi kukutoka na hakikisha unawatukana matusi ya kuwa wewe ni mwenye nguvu na awakuwezi kisha omba dua ya ulinzi lala kisha uje utoe mrejesho k**a ni mtu wa karibu anakuchezea azitaisha siku 7 atakuja na kuongea kwamba wewe ni mchawi

Sababu mkaa utia kiza katika taa za kichawi na wataahindwa kuona
Mkaa uwasha moto na uunguza wachawi wakijaribu kupambana yapo mengi zaidi ila ili linamitosha

https://chat.whatsapp.com/CCEiMW5d3sX8xaraRZR2Ex

+255627960441

Kwa wasio na kauli/Nguvu ya manenoNilieleza katika post iliyopita kuwa tunaweza jifunga kauli kwa kutema mate chooni,kut...
07/03/2024

Kwa wasio na kauli/Nguvu ya maneno

Nilieleza katika post iliyopita kuwa tunaweza jifunga kauli kwa kutema mate chooni,kutema mate katika makaburi,nyumba za mizimu na hata maeneo waishio majini wachafu.

Tiba kwa watu walioathirika kwa tatizo hilo ni lazima upate mtaalamu wa tiba akufungue kauli na kukusafisha nyota pia.

Na ipo tiba ama dawa ya koromeo la simba iliyochanganywa na miti pamoja vito tiba mbalimbali.

Ipo hirizi ya kufunga
ipo hirizi ya kuweka katika mfuko wa suruali,shati ama katika pochi.
zipo chale 7 za kuchanja katika kifua,paji la uso na katika magoti.

Kazi zake
Hukupa amri ukufanya kuwa mtu wa kusikilizwa kazini,katika familia ama katika shuhuli za kila siku
Hufanya watu wakuogope na kukusikiliza
Ukufanya kuonekana mtu mwenye uwelewa na mwenye kustaili heshima
Ukukinga na wachawi ama majini wachafu.
Ukuongoza katika mawindo yako ya ridhiki za kila siku

Na ina maisha yasiyozidi wala kupungua miaka 5 katika utendaji kazi wake

Gharama inategemeana na mwili wako utavyokuwa umechezewa ili kuweka majambo sawa

+255627960441

https://chat.whatsapp.com/CCEiMW5d3sX8xaraRZR2Ex

Ndugu zangu wenye matatizo ya nguvu za kiume na maumbile madogo.Uume kutosimamaUume kukosa nguvuKuwai kufika kileleniWen...
05/03/2024

Ndugu zangu wenye matatizo ya nguvu za kiume na maumbile madogo.

Uume kutosimama
Uume kukosa nguvu
Kuwai kufika kileleni
Wenye maumbile madogo/kibamia

Nina dawa yenu ya mafuta ya kupaka pamoja na unga wakutia katika uji ama maziwa matumizi mara mbili kwa siku asubuhi na jioni na matokeo ni ndani ya siku 7 za mwanzoni utaanza kuona mabadiliko

Ni mchanganyiko wa miti 9 ya dawa za nguvu za kiume,ngiri pamoja na chango

05/03/2024

Jinsi tunavyojifunga kauli na kufanya tuwe atusikilizwi ata tuongeapo maneno ama ushauri wa maana.

Kutema mate chooni
Hii usababisha kujifunga kauli tokana na aina ya majini waishio chooni.(subiani,jini maiti,cheketu nk) ni moja ya aina ya majini wanaoishi katika vyoo uwepo wake utegemea na uhalisia wa maisha wapo wakutumwa na kufanya choo kuwa makazi yao na wapo wenye asili ya kuishi chooni.

Aina hizi za majini huweza kutufunga kauli kutokana na kutema mate chooni,kuimba ama kuongea kwa kupiga kelele ukiwa katika choo hasa katika nyakati za usiku majini hawa uik**ata kauli na kuichafua misiri ya kinyesi kilicho katika choo na hupelekea kukuchafua kauli ambapo ikishakukumba hali hii huwa unakuwa ni mtu usie na kauli yaani usikilizwi na mke/mume mtoto/ndugu,jamaa ama mtu wa aina yoyote unaweza kuwa ni mtu mwenye uwezo kifedha na mwenye ushauri mzuri lakini kila unapoutoa ushauri wako huwa hakuna mtu anaeusikiliza.

Pia usababisha ugonjwa wa matonses,kifafa ama strok ya mwili,wendawazimu,kuchafuka nyota,ata kupelekea kifo wakati mwengine endapo utawachukiza na kuwafanya wachukue jukumu la kukuadhibu au kutimiza kazi wanayokuwa wameagizwa kufanya.

Kutema mate katika makaburi.
kutema mate katika mibuyu ama mapango pamoja na nyumba za mizimu.
Kutema mate katika mito yenye asili ya maji kutembea nk

Yote haya yanaweza kukupelekea kujifunga kauli ama kujichafua nyota na kuwa mtu mwenye mikosi katika jamii inayokuzunguuka

https://chat.whatsapp.com/CCEiMW5d3sX8xaraRZR2Ex

+255627960441

Nyumba za kupanga zinavyohalibu uchumi wetu ama maisha yetu kiujumla.Watu wengi mmekuwa mkienda kwa wataalamu wa tiba na...
01/03/2024

Nyumba za kupanga zinavyohalibu uchumi wetu ama maisha yetu kiujumla.

Watu wengi mmekuwa mkienda kwa wataalamu wa tiba na kufanya tiba ila mwisho wa siku tiba ufeli na kutopata muafaka wa tiba mlizofanya bila kujua chanzo

Hii nayo huwa sababu nyumba za kupanga ama kuhishi nyumba ambazo hatuna nasaba nazo na ukoo ama kutambua matambiko na mazindiko ya nyumba tunazoishi.

%90 ya nyumba za kupanga huwa zinakuwa na matambiko/mazindiko ya ulinzi ambayo haya huwa yanaua ama kuvunja mila yoyote tofauti inayoingia ama kutaka kuingia katika nyumba husika.

Mara nyingi nyumba za kupanga huwa na ulinzi wa kulinda na kuua uchawi ama uganga wowote unaotaka kukatiza katika nyumba hyo ama kuingia na usababisha dawa kutokufanya kazi ama tiba kuharibika sababu ya kutokujua siri ya nyumba hyo kutokuja aina ya zindiko lililopo eneo ilo na pia simaanishi ila nagusia mara nyingi wenye nyumba ndio uwachezea wapangaji na kuwaharibia malengo na jambo ili ufanyika kuharibu mipango yako ya maendeleo hasahasa katika maswala ya ujenzi.
Wengi ushindwa na kujikuta wakizeekea katika nyumba za kupanga
Wenda ikatokea hali ngumu kipindi cha ukishalipa kodi ukajikuta unalala njaa ama unapata kiasi kidogo ambacho akikizi mahitaji lakini baada au inapokaribia wakati wa kulipa kodi milango hufunguka na mambo kwenda sawa bila kusitasita.

Nisigusie sana apo wala kueleza sana hapo

Lakini niwausie walio waelewa na wenye uchungu wa maisha na kutaka maendeleo ujipigania wao binafsi na ajengae nyumba huwa amejijenga kwanza mwili na ndio akajenga nyumba.

Nikimaanisha uwezi kuwa sawa k**a usipojiweka sawa binafsi mwili

Maswala ya mali,pesa,heshima,mvuto nk huja unapokuwa sawa kiulinzi usipojilinda hakuna utachovuna zaidi ya kurud nyuma na kuteseka kila.

Ipo kinga naitaji kutoa kwa ataeitaji ni ya gharama kubwa sana ila nataka kutoa k**a zawadi kwa wenye uitaji na waliochoka kuteseka na kuumizwa kila siku.

Hii unameza na yenyewe itaenda kaa katika mishipa ya damu itakwama mahala na itadumu adi siku ya mwisho wa kuishi katika dunia ndio itakutoka yenyewe binafsi.

Hii ukupa nguvu ulinzi na vyote k**a nilivyoeleza.ukupa machale yani unakuwa mtu wa kushtuka katika kila mipango mibaya na unakuwa na nguvu binafsi ya kustaajabisha watu .

Natoa kwa watu 7 tuu wenye uitaji

pia nitoe angalizo sio kwa wenye kuitaji kufanyia matukio ya kijambazi,utapeli ama kuitaji kuonea watu ina nguvu hiyo ila kwa mfumo niliouweka ni mateso makubwa yatamkuta mtu ataechukua akameza kisha akaenda tumia kinyume na matakwa

+255627960441

https://chat.whatsapp.com/CCEiMW5d3sX8xaraRZR2Ex

Natoa ofa kwa wadada na wakaka wanaoitaji na waliochoka kuwa wenyewe katika mahusiano.na wanaiataji kufunga ndoa kupata ...
14/02/2024

Natoa ofa kwa wadada na wakaka wanaoitaji na waliochoka kuwa wenyewe katika mahusiano.

na wanaiataji kufunga ndoa kupata mke au mume ili kutimiza moja ya hatua njema katika maisha ila kumekuwa na vizuizi pamoja na changamoto nyingi ya vifungo vya kichawi ama kimila kuchezewa na watu wenye chuki na wasiopenda mafanikio.

Ambapo kila siku mambo yanapangwa kisha yanakuja yanaishia njiani anakuja mtu anatoa posa wanakubaliana mali vzuri wanaingia mitini ama kaka unakwenda kuposa vzuri ukifika siku ya kuonekana mchumba anakukataa zipi siri nyingi nyuma ya pazia zilizoziba mlango wako wa maisha na mafanikio naitaji walio siriasi na waliochoshwa na wanaitaji kupika na kupikiwa ftari mwezi mtukufu wa ramadhan

Address

Liganga
Songea

Telephone

+255627960441

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Dawa na tiba za kiswahili posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram