23/10/2025
BAWASIRI/KIKUNDU (HAEMORHOIDS)
BAWASIRI NI NINI?
Ni mkusanyiko wa damu ndani ya njia ya haja kubwa (mkundu na puru) katika sinusoid za ateri na vena za njia ya haja kubwa. Ikumbukwe kwamba mifumo hii ya damu ni ya kawaida na kila binadamu anazo. Mifumo hio ya damu ya ndani ya njia ya haja kubwa ikijaa damu ndipo inavimba na inakua bawasiri au vijivimbe laini ndani ya njia hiyo. Watu wengi sana wana bawasiri na kwa kua hazinaga dalili basi hata watu wengi hawajijui k**a wana hali hii.Bawasiri huwapata sana watu kuanzia miaka 30 hadi 65;chini ya miaka 20 au juu ya miaka 70 ni ngumu sana kupata bawasiri. Ikumbukwe kwamba bawasiri zipo sana na k**a hazikupi shida yeyote wala hazihitaji matibabu ya aina yeyote
AINA ZA BAWASIRI
👉BAWASIRI ZA NDANI(INTERNAL HAEMORHOIDS)
👉BAWASIRI ZA NJE(EXTERNAL HAEMORHOIDS)
👉BAWASIRI MCHANGANYIKO(MIXED HAEMORHOIDS)
WALIOPO KWENYE HATARI YA KUPATA BAWASIRI
👉Wanaoharisha sana(diarrhea)
👉Wajawazito( pregnancy)
👉Wanaopata choo kigumu kwa muda mrefu(chronic constipation)
👉Wanaokaa muda mrefu kwenye kiti( prolonged sitting)
👉Watu wenye kiribatumbo(obesity)
👉Wanaofanya mapenzi ya njia ya haja kubwa(a**l in*******se)
👉Wanaonyanyua vitu vizito(Regular heavy lifting)
👉Watu wenye maisha mazuri na wasomi(Higher socioeconomic status)
👉Waliofanyiwa operesheni ya aina yeyote ya mkunduni(Rectal surgery)
👉Wenye magonjwa ya ini(Hepatic disease)
👉Watu wenye saratani ya utumbo mpana(Colon malignancy)
👉Wenye presha ya puru(Elevated a**l resting pressure)
👉Wenye presha ya Ini(Portal hypertension
ATHARI ZA BAWASIRI
🔹Upungufu wa damu mwilini
🔹Kutokwa na kinyesi bila kijitambua
🔹kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa
🔹kupungukia nguvu za kiume (kwa wanaume)
🔹kupungukiwa na uwezo wa kufanya kazi kutokana na maumivu
🔹Kupata tatizo la kisaikolojia
NJIA ZA KUJIKINGA DHIDI YA BAWASIRI
🔹Kula mboga za majani na nafaka zisizo kobolewa kwa wingi
🔹kunywa maji mengi lita sita hadi kumi na mbili kwa siku
🔹Acha kufanya ngono kwa kutumia tundu la haja kubwa (kulawitiwa)
🔹Punguza kukaa chooni kwa muda mrefu, kunaweza kuongeza shinikizo katika njia ya haja kubwa.
TUPIGIE 0750666774