JALI AFYA YAKO

  • Home
  • JALI AFYA YAKO

JALI AFYA YAKO 💊Fertility doctor.

(Mtabibu wa Changamoto za Uzazi).

🩺" Nasaidia wanaume na wanawake kutatua changamoto zao za uzazi kwa kutumia Tibalishe zilizothibitishwa".

💡"Kila mtu ana nafasi ya kuitwa Mama au Baba,usikate tamaa tupo kwa ajili yako".

06/02/2026

Shout out to my newest followers! Excited to have you onboard! Happy Ngogo, Salma Kimbavala, Volka Chriss, Fred Kimimbi

✍️Naongea na wewe mwanamke ambae umekusudia kubeba Ujauzito siku za Karibuni Au unampango wa kubeba ujauzito.🪄Kabla ya  ...
06/02/2026

✍️Naongea na wewe mwanamke ambae umekusudia kubeba Ujauzito siku za Karibuni Au unampango wa kubeba ujauzito.

🪄Kabla ya yote kitaalamu unashauriwa kuanza kutumia vidonge vya folic miezi mitatu kabla ya kubeba ujauzito wako. Ambapo utaendelea kuvitumia mpaka ujauzito utakapafikisha miezi mitatu ,Japo wengine huendelea kutumia hadi wanapojifungua (sio mbaya).

👉Na k**a hukutumia vidonge hivyo miezi mitatu kabla basi anza kuvitumia mara tu utakapogundulika ni mjamzito ,Usisubiri hadi uanze kiliniki ndio unaze kumeza.

🪢Folic ni muhimu sana katika miezi mitatu ya mwanzo ya ujauzito katika ukuaji wa ubongo,uti wa mgongo pamoja na utengenezwaji wa viungo mbalimbali vya mtoto akiwa tumboni.

🫄Mjamzito asipotumia folic anaweza kujifungua mtoto mwenye hitilafu k**a mtoto kua na kichwa kisicho na ubongo,kua na uwazi katika uti wa mgongo nk

✍️ Sambamba na Hilo, pia ni muhimu kula vyakula vyenye madini ya folic Kwa wingi k**a vile:-

- Mboga za majani (spinach, broccoli, kale)
- Matunda (machungwa, ndimu, strawberry)
- Maharage (maharage ya njano, maharage ya kijani)
- Nyama, maini nk).

✍️Kwa hiyo, ni muhimu kwa mama mjamzito kula vyakula vyenye madini ya folic acid ili kuhakikisha afya ya mtoto na mama 😊.

02/02/2026

Wanawake wapunguzieni Waume zenu Stress, maana maisha yao yote ni Stress Tosha.
Jitahidini katika Hilo.

31/01/2026

The way your Relatives treat you when you don't have money, is the way they'll treat your children when you're gone😀.

🪄JE, UTAJUAJE K**A UMEFIKIA KATIKA HALI MBAYA ZAIDI YA UPUNGUFU  WA NGUVU ZA KIUME?1️⃣.Pindi unaposhiriki tendo la ndoa ...
29/01/2026

🪄JE, UTAJUAJE K**A UMEFIKIA KATIKA HALI MBAYA ZAIDI YA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME?

1️⃣.Pindi unaposhiriki tendo la ndoa Mashine yako inasimama kwa ulegevu .

2️⃣Ukishaenda raundi moja tu huwezi kurudia tena.

3️⃣.Unakosa hamu kabisa ya tendo la ndoa.
4️⃣.Unawahi sana kufika mshindo! Sekunde kadhaa tu umeshamaliza!

5️⃣.Unashindwa kabisa kumridhisha Mwenza wako.

✍️Matatizo Ya Ukosefu au Upungufu Wa Nguvu Za Kiume pamoja Matatizo mengine ya Afya Uzazi Hutokana Na Kupuuzia Dalili Za Mwanzo kabisa.

✨Mfano Mtu umekaa zaidi ya wiki 3 Mashine yako Asubuhi Haiamki (wewe unaona sawa tu), au kila ukiwa faragha tendoni dakika 1 tu Chwaa Na huwezi kuendelea tena mpaka Ijumaa, lakini Bado TU unapuuzia,,, Hatimae Tatizo linakuwa kubwa na Unatumia Gharama Kubwa sana kulitatua.

🗓️ 2026 Usikubali kuwa Goigoi nakufedheheka, Chukua Hatua haraka sana kutibu Tatizo lako.

✍️Kwa zaidi ya Miaka mitano tumewasaidia Mamia ya wanaume Mbalimbali kuweza kutatua changamoto za Afya Uzazi Kwa Tiba za kibingwa na weledi mkubwa kabisa, Tiba hizi zinalenga kutatua mzizi na Tatizo la mtu na sio kutuliza Tatizo, hivyo huwafanya watu wapone vizuri changamoto zao na kufurahia Mahusiano Yao.

🪄Kwa msaada wa Tiba na Ushauri Nakushauri wasiliana nasi Kwa msaada wa utatuzi wa Changamoto zako ☎️+255717920637/Whatspp.

Siku hizi nasikia wanabugia P2 K**a Ivory vile 😀.
28/01/2026

Siku hizi nasikia wanabugia P2 K**a Ivory vile 😀.

Haaaaaahaaaaaa! Kimeumana huko!
27/01/2026

Haaaaaahaaaaaa! Kimeumana huko!

✨2026 Ukizingatia Ujumbe huu na kuufanyia kazi, basi nakuhakikishia kwamba utaona mabadaliko Makubwa Katika Afya yako na...
26/01/2026

✨2026 Ukizingatia Ujumbe huu na kuufanyia kazi, basi nakuhakikishia kwamba utaona mabadaliko Makubwa Katika Afya yako na Pia Huenda ukapona baadhi ya Maradhi.

✍️ Ukitaka Afya njema, nguvu za kiume imara, mwili wenye kinga Madhubuti, kuondosha changamoto za mmeng'enyo wa Chakula, kuondosha changamoto za Inflammation Kupungua Uzito mkubwa, Afya Bora ya Uzazi Kwa ujumla Nk ......Basi kanuni ni Moja Tu.

🪄👉Zingatia kwanza Sahani yako ya Chakula unachokula kila siku Kisha mengine yafuatie k**a mazoezi , dawa Tiba nk. Kurekebisha sahani yako ya Chakula ni jambo la lazima.

🪢Maradhi mengi ya sasa unayoyaona Yanayotokana na Mtindo mbaya wa Maisha hasa hasa ikiwemo Ulaji mbaya . Chakula unachokula kila siku ndicho huamua kujenga Afya yako au kuharibu Afya yako.

✍️Nb:-Tunajua hakuna Ambae ataishi milele hapa duniani ila Ukweli ni kwamba Ni Bora ule Kiafya Na Uishi maisha mafupi yenye Raha, kulikoni kula hovyo na ukaishi maisha marefu yenye mashaka mashaka, mara Leo umeumwa Kisukari, mara kesho pressure, haujakaa sawa mara Mifupa na Viungo nk.

🫵Rekebisha sahani yako ya Chakula ,uone maajabu katika Afya yako.

Sababu hizi ndizo hupelekea Uke wako kutoa Harufu Mbaya🤧...!✍️Kila Mwanamke hua na bacteria walinzi ukeni ambao wapo kim...
25/01/2026

Sababu hizi ndizo hupelekea Uke wako kutoa Harufu Mbaya🤧...!

✍️Kila Mwanamke hua na bacteria walinzi ukeni ambao wapo kimaumbile kwa ajili ya afya njema ya uke wako, Lakini k**a ikitokea hawa 'Bacteria' wakazidi na kuwa wengi kupita kiasi ambacho uke wako unaweza kuhimili ndio hapo hiki kitendo kinaitwa (Bacterial Vaginosis). Sababu zinazosababisha "Bacterial Vaginosis" hazijulikani kwa usahihi lakini madaktari wanasema tendo '"zembe" la ndoa na wanaume wengi au na mwanaume asietulia inalete tatizo hili. Mara nyingine inatokea kimaumbile bila sababu.

🪢DALILI ZAKE:-

✅ Uke kutoa maji maji mazito au mepesi yenye rangi ya njano(yellow) au Brown yenye harufu mbaya🤧
✅Maumivu kwenye maeneo ya kiuno au nyonga.
✅Unaweza usipate au ukapata maumivu ya kichwa.
✅ Uke wako unaweza ukawa unawashwa au usiwashwe.

2️⃣.YEAST INFECTION(FANGASI)
Lipo k**a 'Bacterial Vaginosis' ila tofauti yake ni kuwa kwenye 'Bacterial Vaginosis' waliokuwa wamezidi ni 'Bacteria' lakini huku wanaozidi ni 'Fungu inajulikana k**a 'Candida Albicans'. Ni wanawake wachache huwa wanapata ''Bacterial Vaginosis'' lakini wanawake wengi lazima wapate ''Yeast Infection'' japo mara moja katika maisha yao.

Mara nyingi 'Yeast Infection' hutokea kimaumbile au inaweza kusababishwa na aina ya vyakula au vinywaji unavyokula au vinywaji k**a vimejaa 'yeast' (vyakula vyote vinavyotengenezwa na hamira,mikate, baadhi ya energy drinks, pombe Nk.)

🪢DALILI ZAKE:-

✅ Uke wako Unaweza ukawa unawasha au usiwashe | Maumivu k**a uke unaungua pale unapokuwa unajisaidia haja ndogo.

✅ Uke kutoa maji maji mazito yenye rangi nyeupe k**a jibini.

3️⃣.(MAGONJWA YA NGONO)SEXUALLY TRANSMITTED DISEASES (STDs)
Kuna baadhi ya magonjwa ya ngono k**a vile 'Chlamydia' na 'Gonorrhea' (kaswende na kisonono), k**a ukiyapata huwa yanasababisha Uke kutoa harufu mbaya kwa sababu dalili zake zinahusiana na kutokwa na maji maji yenye harufu mbaya.🤧

4️⃣.(KANSA YA UKE/ MLANGO WA KIZAZI )VAGINAL OR CERVICAL CANCER.

Unapokuwa una kansa ya uke au kansa ya mlango wa kizazi (cervical cancer), kutokwa na maji maji yenye harufu mbaya ni sehemu ya dalili zake. Unapojiona kuwa una tatizo la uke kutoa harufu mbaya, ni heri na itakuwa busara ukienda hospitali, k**a ni kansa ya mlango wa kizazi itakuwa sio ngumu kuitibu k**a ukiwahi mapema.

👉Busara njema ni pale uonapo Dalili hatarishi au ambazo sio Nzuri ukawahi kituo Cha Afya Kwa ajili ya Uchunguzi kabla Tatizo halijawa kubwa. Usijitibie kiholela bila kupata muongozo wa Wataalamu wa Afya Kwa Sababu yapo baadhi ya maradhi Dalili zake zinafana.

✍️Kwa msaada wa Tiba na Ushauri wa Tatizo k**a Hili na mengineyo basi wasiliana nasi Ili kutatuliwa Tatizo. ☎️+255717920637.

✨Hua kuna ile raha Mtu unaipata hasa pale  umeenda hospital au kituo Cha Afya unaumwa au umempeleka mtoto wako, mke wako...
21/01/2026

✨Hua kuna ile raha Mtu unaipata hasa pale umeenda hospital au kituo Cha Afya unaumwa au umempeleka mtoto wako, mke wako, au ndugu yako nk, Mkapokelewa na kupatiwa matibabu mapema na kurudi nyumbani kwa wakati, ni Raha sana.

🪄Sasa Kuna ile umeenda unakuta Kuna foleni ndefu, Unafika asubuhi saa 2 unatoka saa 8 mchana, Aloo! Unarudi nyumbani hoi🙌🤒

✍️Niambie kwenye comment umeshawahi kukaa masaa mangapi kwenye foleni ukingojea huduma ya Afya?

19/01/2026

Mtu aliedekezwa sana Utotoni kupitiliza hugeuka kuwa mzigo ukubwani,Kwa Sababu hukuachia Kila kitu mwenza ukifanye.

Address

Ilala Boma

Telephone

+255717920637

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when JALI AFYA YAKO posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to JALI AFYA YAKO:

  • Want your practice to be the top-listed Clinic?

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram