Madam alde

Madam alde MSHAURI WA AFYA NA USAFI WA MAZINGIRA KUPITIA VIRUTUBISHO NA BIDHAA ZA USAFI ZILIZOTHIBITISHWA

Karibun sana  wapendwa zipo za kila aina bei nafuu pcmoj 20000 za jumla 17500
09/02/2024

Karibun sana wapendwa zipo za kila aina bei nafuu pcmoj 20000 za jumla 17500

FAIDA YA MAFUTA YA SAMAKI (OMEGA 3)Leo tuzijue faida chache za mafuta ya samaki katika mwili wa Binadamu kuanzia mtoto H...
12/06/2023

FAIDA YA MAFUTA YA SAMAKI (OMEGA 3)

Leo tuzijue faida chache za mafuta ya samaki katika mwili wa Binadamu kuanzia mtoto Hadi mtu mzima...
Faida zake Ni K**a ifuatavyo:-
Ni Kinga ya mwili, inasaidia mwili kupambana na maradhi yanayoshambulia afya ya mtoto, mama mjamzito na hata unayejiona Ni mzima.
Inaondoa tatizo la ukavu wa macho na kuimarisha afya yako ya macho.
Huimarisha mifupa( husaidia watoto wenye matege kunyooka na kuwa sawa).
Inaimarisha afya ya mfumo wa uzazi wa mwanamke (husaidia kuimarisha mayai ya mwanamke) na mwanaume (kuongeza afya ya mbegu na kufanya mwanaume awe na uwezo wa kurutubisha hasa kwa wenye tatizo la uzazi na wale wenye tatizo la premature ej*******on)
Huzuia mimba kuharibika kipindi Cha ujauzito (pre mature)
Huimarisha afya ya Ubongo wa mtoto...na ukumbuke mtoto usipompa vyakula vya kujenga Ubongo Ni shida baadae hata atakapokuwa shule. Jenga Ubongo wa mwanao Sasa kabla hajawa mkubwa maana kila kitu Ni msingi ukichelewa ndo Basi Tena.
Husaidia kuondoa tatizo la kusahau
Mtoto mdogo anahitaji Sana mafuta ya samaki sababu ya Uwezo wake wa kumkingana maradhi K**a ya moyo, cancer, pumu na miguu.
Ni vyema visikose ndani kwako nasi tumekuletea mafuta ya samaki yaliyo na ubora wa Hali ya juu.
Watoto wetu lazima wawe magenius🔥🔥🔥🔥
Kwa huduma bora na ya uhakika
Afya bora
Lishe bora
Mwasiliano :::0754477559
Whatsapp ;

UGONJWA WA BAWASIRI AU KUOTA KINYAMA SEHEMU YA HAJA KUBWA NA MATIBABU YA UGONJWA HUU    Whatsap- 0754477559●watu wengi w...
16/05/2023

UGONJWA WA BAWASIRI AU KUOTA KINYAMA SEHEMU YA HAJA KUBWA NA MATIBABU YA UGONJWA HUU
Whatsap- 0754477559
●watu wengi wanasumbuliwa na tatizo hili ambalo huwafanya kuwa na uoga na aibu wa kuelezea na kushindwa hata kwenda hospital kupata tiba

●Ni ugonjwa unaotokana na kuathirika kwa mishipa ya damu ya ndani na nnje ya sehemu ya haja kubwa na wakati mwingine mishipa hiyo huweza kupasuka/kuteleza na kuvuja damu kwenye njia ya haja kubwa na kasababisha kutoka kinyama au uvimbe

●chanzo halisi cha ugonjwa huu hakijapatikana ila Kuna vitu ambavyo huwa chanzo cha kupata ugonjwa wa bawasiri ambayo ni

👉WAKATI WA KUJIFUNGUA KWA WANAWAKE
👉KUHARISHA KWA MUDA MREFU
👉TATIZO LA KUPATA CHOO KIGUMU AU KUTOPATA CHOO KABISA
👉MATATIZO YA UMRI
👉KUKAA KITAKO KWA MUDA MREFU(MADEREVA & FUNDI CHEREHANI)
👉UZITO KUPITA KIASI
👉MATUMIZI YA VYOO VYA KUKAA KWA MUDA MREFU

DALILI ZA BAWASIRI

👉Ngozi kuwasha katika eneo la tundu la haja kubwa
👉kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia
👉kutokea uvimbe katika eneo la tundu la haja kubwa
👉kujitokeza kwa kinyama katika eneo la tundu Hilo
👉kinyesi kuwa na damu na kunuka harufu mbaya sana

MATIBABU YA BAWASIRI

●Kwa hospitali ni kufanyiwa upasuaji wa kuondoa uvimbe huo ambao ni gharama kubwa pia tatizo litajirudia kwa Sababu haujatibu chanzo cha tatizo

Nina tiba ya uhakika Inayotokana na VIDONGE LISHE
Dose hii hutibu tatizo hili kabisa bila madhara na kuondoa uwezekano wa kujirudia tena baadae

Kwa maelezo zaidi Njoo WhatsApp

0754477559

Njia ya uzazi huanza kutoa majimaji wakati wa balehe. Hii ni hali ya kawaida.Maji yanayotoka ukeni huwa yamechanganyika ...
16/05/2023

Njia ya uzazi huanza kutoa majimaji wakati wa balehe. Hii ni hali ya kawaida.

Maji yanayotoka ukeni huwa yamechanganyika na vimelea.

Maji maji haya husaidia kuondoa ngozi ya uke iliyokufa hivyo kufanya uke kuwa katika hali ya usafi na yenye afya.

Iwapo sehemu ya uke inatoa harufu kali au uchafu usiokuwa wa kawaida hali hiyo hutokana maambukizi au magonjwa mengine.

Hapa chini naonyesha aina ya uchafu unaotoka, Maana yake au chanzo chake na dalili ambazo zitatokea kwenye mwili

1⃣ UCHAFU WENYE DAMU AU RANGI YA KAHAWIA
• Hi ni dalili ya mzunguko wa mwezi wa mwanamke uliovurugika na Mara chache ni dalili ya cancer ya servix au aina nyingine ya cancer iitwayo endometrial cancer. Mwanamke mwenye tatizo hili atatoa damu nyingi uken na kuumwa nyonga.

2⃣UCHAFU WA NJANO AU KIJANI WENYE HARUFU MBAYA
• Endapo uchafu ukatoka k**a mapovu,wenye rangi ya kijani au njano ukiambatana na harufu mbaya ,Hi ni dalili ya Trichomoniasis .Maambukizo ya (parasitic) yanayotokana na Ngono zembe.dalili ingine ni kuwashwa wakati wa kutoa haja ndogo.

3⃣ UCHAFU MWEUPE ,WA NJANO AU KIJIVU WENYE HARUFU YA SAMAKI.
• Uchafu wa aina hii ni dalili ya maambukizi ya bacteria (vaginosis), P.ID n.k. Mwanamke mwenye tatizo hili atasikia miwasho au maumivu ,kuvimba kwa uke au sehemu ya nje ya uke (v***a)

4⃣ UCHAFU WENYE RANGI YA MAWINGU AU NJANO
• Hi ni dalili ya ugonjwa wa kisonono (Gonerhea) mwanamke atatokwa na damu katikati ya Siku zake, Atatokwa na mkojo bila kukusudia na kupata maumivu ya nyonga.

5⃣ UCHAFU MWEUPE MZITO K**A JIBINI
• Hi ni dalili ya maambukizi ya aina ya fungas (yeast infection)
Na dalili zingine atakazozisikia mwanamke huyu ni kuvimba na maumivu kwenye sehemu za nje za siri (v***a) Kuwashwa na maumivu wakati wa kufanya tendo la ndoa.

MUHIMU :Ukiona unatokwa na harufu au uchafu kwa kutoosha sehemu za ndani ya uke , basi ujue una magonjwa ya bacteria au fungus, na unatakiwa umuone daktari kwa hata ili upate ushauri Na tiba 🤝.

Kwa msaada zaidi, Zungumza nami kwa Whatsapp no: 0754477559
Calls:0754477559

K**A WEWE NI MHANGA WA KUPATA PERIOD MPAKA UTUMIE DAWA NDO UPATE PERIOD.TAMBUA KUWA CHANZO NI HORMONE IMBALANCE na ikien...
16/05/2023

K**A WEWE NI MHANGA WA KUPATA PERIOD MPAKA UTUMIE DAWA NDO UPATE PERIOD.

TAMBUA KUWA CHANZO NI HORMONE IMBALANCE na ikiendelea hivo ni rahisi hata kupelekea uvimbe kwenye kizazi.

Ili kumaliza tatizo hilo nakushauri uweze kutibu chanzo na kuacha kutumia dawa ili upate period.

Na k**a imeambatana na hizi dalili ujue kuna tatizo la mvurugikowa hormone.👇
Mfano;
⏩ukavu ukeni.
⏩Maumivu wakati wa tendo la ndoa.
⏩Kutoa jasho usiku kusiko kawaida.
⏩ Maumivu chini ya kitovu wakati wa hedhi.
⏩Kukosa hamu ya tendo la ndoa.
⏩Siku za hedhi kubadilika``` badilika.
⏩Kukosa hedhi kwa muda mrefu ikiwa bado hujafikia ukomo wa siku zako.
⏩Kutoa damu yenye mabonge mabonge wakati wa hedhi.
⏩Maumivu ya kichwa mara kwa mara.
⏩Hasira za mara kwa mara bila sababu za msingi.
⏩Homa za usiku na kizunguzungu cha mara kwa mara, hasa kwa waliotumia uzazi wa mpango wa kisasa
⏩Mzio wa vyakula(allergy) kuchagua chagua vyakula ka.a mjamzito
⏩Kuongezeka tumbo na nyama uzembe.
⏩Kuharibika kwa ngozi (chunusi na vipele).
⏩Upungufu wa nywele kichwani.
⏩Kuwa na hamu ya vyakula au vinywaji vya viwandani.
⏩Kupata hedhi wakati wa ujauzito.
⏩Kusinyaa au kupauka kwa ngozi.

K**a una changamoto hiyo wasiliana nasi kwa ushauri zaidi, ili kuepuka madhara yanayoweza kujitokeza k**a,
1. Kukosa ujauzito kwa mda mrefu

2. Uvimbe kwenye kizazi,

3. Michubuko wakati wa tendo kwasababu ya ukavu.
Karibu ofisini kwetu mwenge
Whattsap no: 0754477559
Calls no: 0754477559

Jamn jamn wale wote wanataka kupunguza manyama uzembe suluhisho hili apa chap kwa haraka  Wasilian  nami no 0754477559
16/05/2023

Jamn jamn wale wote wanataka kupunguza manyama uzembe suluhisho hili apa chap kwa haraka
Wasilian nami no
0754477559

Wale wote wanaosumbuliwa  na miguu magoti  kiungio cha mikino na vya miguu suluhisho lipo na utakuwa saw kabisa075447755...
16/05/2023

Wale wote wanaosumbuliwa na miguu magoti kiungio cha mikino na vya miguu suluhisho lipo na utakuwa saw kabisa
0754477559
Virutubisho vya asili kupitia nafaka mbalimbali
Karibu san popoteulipo tupo

Hili tatizo linaumiza wengi jamn jamn kwanini utesek wakat suluhisho lipo changamkia afya  yako nitafute kwa no 07114775...
11/05/2023

Hili tatizo linaumiza wengi jamn jamn kwanini utesek wakat suluhisho lipo changamkia afya yako nitafute kwa no
0711477551
0754477559

Hii ni kiboko ya kutoa sumu mwilin jamn kina dada kina mama tujitahid san katik kutunza afya zetu ni muhimu san yaani ni...
11/05/2023

Hii ni kiboko ya kutoa sumu mwilin jamn kina dada kina mama tujitahid san katik kutunza afya zetu ni muhimu san yaani ningependa kila mwanamke awe na katabia kakutumia hivi virutubisho jamn
Mawasiliano no 0754477559au
0711477551

11/05/2023

Karibu sana kwa mawasiliano yetu ni
0754477559
# Linda afya yako kwa maendeleo

Kwa wale wenye tatizo lq sukari na presha jamn suluhisho ndo hili apa  hautoteseka kabisa 0754477559
10/05/2023

Kwa wale wenye tatizo lq sukari na presha jamn suluhisho ndo hili apa hautoteseka kabisa

0754477559

Address


Telephone

+255754477559

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Madam alde posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Madam alde:

  • Want your practice to be the top-listed Clinic?

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram