Afya na uzima

Afya na uzima ithamini afya yako usingoje kuugua ndipo utumie virutubisho

17/06/2025
Je, unapata dalili hizi? Inawezekana ni U.T.I!1. Maumivu wakati wa kukojoa 🚽2. Kukojoa mara kwa mara (hata bila haja san...
28/05/2025

Je, unapata dalili hizi? Inawezekana ni U.T.I!

1. Maumivu wakati wa kukojoa 🚽

2. Kukojoa mara kwa mara (hata bila haja sana)

3. Mkojo kuwa na harufu kali au rangi ya ajabu

4. Maumivu ya tumbo la chini au kiuno

5. Homa au kujisikia kuchoka bila sababu

6. Mkojo wenye damu (wakati mwingine)

👉 Usikae kimya. Tibu mapema ili kuepuka madhara makubwa k**a maambukizi kufika kwenye figo.

Mawasiliano 0793995517

Madhara ya U.T.I (Maambukizi ya Njia ya Mkojo):U.T.I inaweza kuleta maumivu wakati wa kukojoa, mkojo kuwa na harufu kali...
26/05/2025

Madhara ya U.T.I (Maambukizi ya Njia ya Mkojo):
U.T.I inaweza kuleta maumivu wakati wa kukojoa, mkojo kuwa na harufu kali au kuwa na damu, na kuumwa na tumbo la chini. Ikiwa haitatibiwa mapema, inaweza kusambaa hadi kwenye figo na kusababisha maumivu makali, homa kali, na hata uharibifu wa figo.

Linda afya yako kwa kunywa maji ya kutosha na kujisaidia mara kwa mara.

Wasiliana nasi 0793995517

UNASUMBULIWA NA UTI?Maumivu ya chini ya tumbo? Kukojoa mara kwa mara au kwa maumivu? Harufu kali kwenye mkojo? Hii ni da...
26/05/2025

UNASUMBULIWA NA UTI?
Maumivu ya chini ya tumbo? Kukojoa mara kwa mara au kwa maumivu? Harufu kali kwenye mkojo? Hii ni dalili ya UTI – maambukizi kwenye njia ya mkojo. Usipuuzie!

Habari njema ni kwamba dawa yetu ya asili imeshathibitishwa kusaidia:

Kuondoa maambukizi

Kupunguza maumivu na kuchoma

Kusafisha njia ya mkojo

Kuimarisha kinga ya mwili

Tiba ni ya asili kabisa, haina madhara ya kemikali!

Wahi sasa!
Tunatuma popote ulipo.
Inbox au WhatsApp kwa maelezo na oda.
0793995517

Pata Suluhisho kwakutumia virutubisho vyetu karibu call 0781745517 what'sApp  number 0793995517 karibu sana
23/05/2025

Pata Suluhisho kwakutumia virutubisho vyetu karibu call 0781745517 what'sApp number 0793995517 karibu sana

27/02/2025

U.T.I (Urinary Tract Infection) ni maambukizi kwenye mfumo wa mkojo. Ili kujikinga na U.T.I, fuata mambo haya:

1. Kunywa maji ya kutosha

Husaidia kusafisha mfumo wa mkojo na kuondoa bakteria wabaya.

2. Usibane mkojo kwa muda mrefu

Kukojoa mara kwa mara husaidia kuondoa bakteria kabla hawajaongezeka.

3. Osha sehemu za siri kwa usahihi

Kwa wanawake, jisafishe kutoka mbele kwenda nyuma ili kuepuka kupeleka bakteria kutoka sehemu ya haja kubwa kwenda kwenye njia ya mkojo.

4. Epuka kutumia sabuni kali kwenye sehemu za siri

Sabuni zenye harufu kali zinaweza kusababisha muwasho na kubadilisha mazingira ya asili ya uke, jambo linalowapa bakteria nafasi ya kuzaliana.

5. Kojoa baada ya tendo la ndoa

Hii husaidia kuondoa bakteria walioweza kuingia kwenye njia ya mkojo wakati wa tendo.

6. Vaa nguo za ndani safi na zinazopitisha hewa

Epuka chupi za nailoni na zisizobadilishwa mara kwa mara, kwani joto na unyevunyevu huongeza hatari ya maambukizi.

7. Tumia tiba ya asili kwa kinga

Juisi ya cranberry au bidhaa zenye probiotics (k**a maziwa mgando) husaidia kuzuia kuzaliana kwa bakteria wabaya.

8. Epuka matumizi ya bidhaa za kemikali ukeni

Douching na manukato kwenye uke vinaweza kuharibu uwiano wa bakteria wa asili na kuongeza hatari ya maambukizi.

Ukiona dalili k**a maumivu wakati wa kukojoa, mkojo wenye harufu kali au rangi isiyo ya kawaida, unahitaji kupata tiba mapema.

https://wa.link/1eczjk

25/02/2025

Watch, follow, and discover more trending content.

22/01/2025

Je? U.T.I sugu Fangasi sugu P.I.D imekuwa nichangamoto kwako miwasho sehemu ya uke Harufu mbaya kutokwa namaji yenye Harufu mbaya usiofu vunja ukimya zungumza na mi kwa ufumbuzi watatizo lako call 0793995517 📞 karibu sana

Karibu kwa ushauri na matibabuWhat's app namba 0626197662 call me 0793995517
15/01/2025

Karibu kwa ushauri na matibabu
What's app namba 0626197662 call me 0793995517

Address

Dar Es Salaam

Telephone

+255621581434

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya na uzima posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram