AFYA Salama NI Y£TU

AFYA Salama NI Y£TU Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from AFYA Salama NI Y£TU, Medical and health, Zanzibar.

K**A UNACHAMOTO YOYOTE YA AFYA UNAWEZA KUWASILIANA NASI KUPATA HUDUMA ZETU WHAT'S APP NUMBER 0626277945 HUDUMA ZETU NI Z...
24/07/2022

K**A UNACHAMOTO YOYOTE YA AFYA UNAWEZA KUWASILIANA NASI KUPATA HUDUMA ZETU WHAT'S APP NUMBER 0626277945 HUDUMA ZETU NI ZA UHAKIKA ZINAPATIKANA TAKRIBANI MIKOA YOTE NDANI YA NCHI TANZANIA NA NJE YA NCHI " AFYA Salama NI Y£TU".......

10/07/2022
*🌷Maana ya Pelvic inflammatory  Diseses.(PID)* PID- Ni Ugonjwa kwenye mfumo wa uzazi yaani uterus, mirija ya uzazi, ovar...
28/06/2022

*🌷Maana ya Pelvic inflammatory Diseses.(PID)*

PID- Ni Ugonjwa kwenye mfumo wa uzazi yaani uterus, mirija ya uzazi, ovari na kuta za pelvic ( pelvic peritoneum)

*~Kinacho sababisha PID*

1: Neisseria gonorreah( huyu ni bacteria anaye enezwa kupitia kujamiiana na mtu mwenye Gono)

2: chlamydia Trochmatis

3:Anaerobic Bacteria( uyu ni bacteria anaye ishi kwa mwanadamu kwenye apendex sehem isiyo na oxygen akitoka sehem moja kwenda nyinge anasababisha madhara)

*Viashilia vitakavyo tokae baada ya kuwa umepata maambukizi ya ugonjwa huo* ( *clinical manifestation of PID)*

🌑maumivu chin ya kitovu

🌑maumivu wakati wa tendo la ndoa(peinful during coitus)

🌑 kutokwa na maji maji yasiyo ya kawaida yenye rangi ya yellow au green( abnormal vigainal discharge)

🌑 Fever

🌑 kichefuchefu na kutapika

🌑 kutoa damu nyingi na kwa kipind kirefu wakati wa hedhi(menorrhagia)

🌑 Kutokwa na uchafu mweupe K**a maziwa
ya mtindi,

*Jinsi ya kujikinga na PID*

🔵 Epuka kutumia kutumia madawa ya viwandan yenye kemikali mfano" Antibiotics,

🔵 matumizi sahihi ya condomu

🔵 kuwa na mpenzi mmoja

🔵kupima mara kwa mara magonjwa yanayo ambukizwa na kujamiiana ( Sexually transmitted infections)

🔵 Epuka ngono zembe( mwanamke na mwanaume bila kujali magonjwa ya zinaa na hususani (UKIMWI)

*Madhara ya kudumu kutokana na Ugonjwa was PID (Complications)*

🛑Utasa

🛑Mumivu ya tumbo kwa hali isiyo ya kawaida,

🛑Mimba kutungwa nje ya mfuko wa uzazi ( ectopic pregnacy)

🛑Kuota majipu kwenye pelvics

🛑Maumivu kipindi unakaribia tareh ya hedhi na na wakati ukiwa kwenye Hedhi (Chango)

*Note*
Hapa Utapata Tiba ya kudumu dhida ya PID na kuimarisha mfumo wa uzazi kwa ujumla, KWA Msaada zaidi wsiliana nasi kupitia What's app +255627277945

💫TEZI DUME SIO BUSHA ZIJUWE DALILI ZA TEZI DUME :           Watu wengi wamekuwa wakidhania kuwa tezi dume ni busha ama n...
24/06/2022

💫TEZI DUME SIO BUSHA ZIJUWE DALILI ZA TEZI DUME :
Watu wengi wamekuwa wakidhania kuwa tezi dume ni busha ama ngiri maji kwa jina jengine. Hapana hii sio sahihi kabisa. Mpenzi msomaji unaye soma nakala hii tumbuwe kuwa tezi dume sio busha na haifanani kabisa na busha. Tezi dume isipotibiwa kwa haraka inaweza kuwa hatari sana Kwa nini ina maumivu makali sana. Sasa nini hasa hii tezi dume ? Katika makula hii nitakwenda kukupa mwangaza kuwa tezi dume, dalili za tezi dume na athari za tezi dume Kwa afya yako.
▶️NINI MAANA YA TEZI DUME :
Tezi hii kitaalamu hufahamika k**a prostate gland. Hii ni tezi inayopatikana katika mfumo wa uzazi wa kiume. Tezi hii inapatikana jirani na kipofu cha mkojo na mirija ya mkojo. Tezi hii ina kazi ya kuzalisha maji maji ambayo hubeba mbegu za kiume.
Maji maji haya ndio yote anayotoa mwanaume anapofikia kilele.Hivyo tezi hii ni muhimu sana katika mfumo wa kizazi wa mwanaume. Tezi hii si kubwa saana inapata sentimita zisizo zidi tano 5 lakini tezi hii hukuwa kadiri umri unavyoenda.
Kwa ufupi wa maneno ni kuwa tezi dume ipo chini ya kipofu karibu na shingo ya kipofu. Na imezunguka mrija unaotoa mkojo kutoka kwenye kibofu kuja nje (Urethra) hivyo mkojo unapotoka kwenye kibofu hupitia katikati kwenye tezi dume ukiwa kwenye mrija wa urethra. Urethra ndio mrija unaotoa mkojo kutoka kwenye kibofu.
▶️VIPI UGONJWA WA TEZI DUME HUTOKEA ?
K**a ulivyojifunza hapo juu mkojo ukiwa kwenye mrija hupita katikati ya tezi dume. Sasa tezi hii ina kawaida ya kukuwa kadiri mtu unavyopata umri zaidi. Hivyo basi kadiri tezi hii inapoongezeka ukubwa ndivyo inavyoanza kuminya mirija ya kupitisha mkojo na hatimaye huanza tatizo la ugonjwa wa tezi dume. Tatizo hili kitaalamu hufahamika k**a Benign Prostatic Hyperplosia (BPH).

▶️NINI SABABU ZA KUTOKEA KWA TEZI DUME ?
K**a ilivyokwisha kutajwa hapo juu, tezi hii hukuwa kadiri mtu anavyokuwa, kwa baadhi ya watu inapokuwa huwa kubwa kiasi cha kuanza kuminya mirija

*🌷Maana ya Pelvic inflammatory  Diseses.(PID)* PID- Ni Ugonjwa kwenye mfumo wa uzazi yaani uterus, mirija ya uzazi, ovar...
22/06/2022

*🌷Maana ya Pelvic inflammatory Diseses.(PID)*

PID- Ni Ugonjwa kwenye mfumo wa uzazi yaani uterus, mirija ya uzazi, ovari na kuta za pelvic ( pelvic peritoneum)

*~Kinacho sababisha PID*

1: Neisseria gonorreah( huyu ni bacteria anaye enezwa kupitia kujamiiana na mtu mwenye Gono)

2: chlamydia Trochmatis

3:Anaerobic Bacteria( uyu ni bacteria anaye ishi kwa mwanadamu kwenye apendex sehem isiyo na oxygen akitoka sehem moja kwenda nyinge anasababisha madhara)

*Viashilia vitakavyo tokae baada ya kuwa umepata maambukizi ya ugonjwa huo* ( *clinical manifestation of PID)*

🌑maumivu chin ya kitovu

🌑maumivu wakati wa tendo la ndoa(peinful during coitus)

🌑 kutokwa na maji maji yasiyo ya kawaida yenye rangi ya yellow au green( abnormal vigainal discharge)

🌑 Fever

🌑 kichefuchefu na kutapika

🌑 kutoa damu nyingi na kwa kipind kirefu wakati wa hedhi(menorrhagia)

🌑 Kutokwa na uchafu mweupe K**a maziwa
ya mtindi,

*Jinsi ya kujikinga na PID*

🔵 Epuka kutumia kutumia madawa ya viwandan yenye kemikali mfano" Antibiotics,

🔵 matumizi sahihi ya condomu

🔵 kuwa na mpenzi mmoja

🔵kupima mara kwa mara magonjwa yanayo ambukizwa na kujamiiana ( Sexually transmitted infections)

🔵 Epuka ngono zembe( mwanamke na mwanaume bila kujali magonjwa ya zinaa na hususani (UKIMWI)

*Madhara ya kudumu kutokana na Ugonjwa was PID (Complications)*

🛑Utasa

🛑Mumivu ya tumbo kwa hali isiyo ya kawaida,

🛑Mimba kutungwa nje ya mfuko wa uzazi ( ectopic pregnacy)

🛑Kuota majipu kwenye pelvics

🛑Maumivu kipindi unakaribia tareh ya hedhi na na wakati ukiwa kwenye Hedhi (Chango)

*Note*
Hapa Utapata Tiba ya kudumu dhida ya PID na kuimarisha mfumo wa uzazi kwa ujumla, Kwa msaada zaidi wasiliana nasi Whats app kupata huduma zetu inbox; 0658232878

03/05/2022

MADHARA YA MVURUGIKO WA HOMONI.
Pamoja na dalili nyingi tulizoziona tungependa wanawake waelewe vitu vifuatavyo
hutokea iwapo atatumia njia za kisasa za uzazi wa mpango. Njia hizo husababisha
saratani ya kizazi, CD4 kushuka, sehemu ya uke kuwa baridi, huchangia kwa 50%
kufanyiwa upasuwaji (operation) wakati wa kujifungua, huathiri mtoto atakayezaliwa,
huathri ubongo (inapunguza uwezo wa kufikiria), kutokwa na majimaji yenye harufu
mbaya ukeni na magonjwa ya mara kwa mara. Ukiendelea kubaki na dalili tajwa hapo
awali kwa muda mrefu, kinga ya mwili itashuka kwa kiasi kikubwa na kusababisha
madhara mengi k**a yafuatayo:
 Kutoshika ujauzito kwa muda mrefu
 Mimba kuharibika mara kwa mara
 Kukosa mtoto au Ugumba
 Maumivu wakati wa tendo la ndoa
 Kuwa na tabia na maumbile ya kiume
 UTI (Urinary Tract Infection)
 Kuzeeka mapema
 Kuziba kwa mirija ya uzazi
 Uvimbe (Fibroids and Cysts)
SULUHISHO
Wanawake wengi baada ya kujifahamu kuwa homoni zao haziko sawa huenda
mahospitalini ambako hupewa madawa (bioidentical or synthetic hormones) na
wengine hufanyiwa hormone replacement therapy.
Tiba hii huandaliwa kwa ajili ya kuzifanya homoni zifanye kazi zake k**a kawaida.
Lakini hupelekea madhara k**a:
 Kuongeza uwezekano wa shinikizo la damu.
 Madhara katika mfumo wa uzazi.
 Saratani na mengineyo.
Mvurugiko wa homoni unasababishwa na upungufu wa lishe, msongo wa mawazo, na
uwepo wa sumu mwilini. Sumu zikizidi mwilini mwanamke huzeeka kabla ya wakati na
kupatwa na changamoto mbalimbali za kiafya ikiwemo; vimbe zinazo jipachika kwenye
uzazi wa mwanamke, vidonda vya tumbo, n.k.
Tunatoa tiba za Asili ya Virutubisho lishe niya weza kutibu chanzo cha tatizo na kupowa moja kwa moja InshaAllah Kwa msaada zaidi wa ushauri na tiba kamili Whats App 0626277945 Na Call: 0658232878.

Address

Zanzibar

Telephone

+255658232878

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when AFYA Salama NI Y£TU posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram