Afya ni mtaji

Afya ni mtaji karibu katika huduma za afya

UNATAKA KUPUNGUA/ KUONDOA KITAMBI NA KUWA NA MWONEKANO MZURI.⠀⠀⠀⠀Jaribu Program yetu ya Siku 9 ambayo itakusaidia kuondo...
16/08/2020

UNATAKA KUPUNGUA/ KUONDOA KITAMBI NA KUWA NA MWONEKANO MZURI.⠀⠀
⠀⠀
Jaribu Program yetu ya Siku 9 ambayo itakusaidia kuondoa sumu na uchafu mwilini, Kuyayusha mafuta .⠀⠀
⠀⠀
1. Sio dawa ni virutubisho vya chakula.⠀⠀
2. Hazina madhara kiafya.⠀⠀
3. Unapata matokeo ndani ya siku 9.⠀⠀
4. Utapewa Mwongozo wa bure kabisa.⠀⠀
5. Delivery Bure kote Ndani na nje ya Mkoa⠀⠀
⠀⠀
KWA MAWASILIANO ZAIDI:⠀⠀
DM / SIMU au WhatApp .....0620368830

07/01/2020

Tezi dume ni sehemu mojawapo ya mfumo wa uzazi wa kiume. Inaundwa na sehemu mbili, lobes, ambazo zimeunganishwa na kufunikwa kwa nje kwa utando wa tishu. Tezi hii ipo mbele kidogo ya puru (re**um) na na chini kidogo ya kibofu cha mkojo. Tezi dume inauzunguka mrija unaounganisha kibofu cha mkojo na uume (urethra).
Dalili za Kuvimba kwa Tezi Dume
-Kukojoa mara kwa mara
-Kubakiza mkojo kwenye kibofu
-Kukujoa sana usiku
-Maumivu wakati wa kukojoa
-Kupungukiwa nguvu za kiume
-UTI ya mara kwa mara
-Mawe kwenye kibofu kutokana na mrundikano wa mkojo.
Figo kujaa maji. Hii sababu mkojo huo unarudi nyuma kuelekea figo (hydronephrosis)
-Kupoteza fahamu(uremia)
Madhara ya Tezi Dume
-Kutokuwa na hamu ya tendo la ndoa
-Kupungua kwa nguvu za kiume
-Kukaa mda mkubwa kwa uume bila ya kusimama
-Kuhisi maamuvu makubwa katika uume
-Kukojoa damu
-Kifo
Kwa suluhisho la ugonjwa huu no zetu 0620 368 830

Imarisha mfumo mzima wa uzazi ambao utakufany kutoa mbegu mara moja kwa wote mwanamme na mwnmke no zetu 0620 368 830
07/01/2020

Imarisha mfumo mzima wa uzazi ambao utakufany kutoa mbegu mara moja kwa wote mwanamme na mwnmke no zetu 0620 368 830

Kwa kweli FOREVER LIVING PRODUCTS ni njia sahihi ya kujiunga
29/12/2019

Kwa kweli FOREVER LIVING PRODUCTS ni njia sahihi ya kujiunga

Kuwa mnene mno kunaleta hatari ningi kwa afya na kusababisha au kuongeza uwezekano wa magonjwa k**a vile:Shinikizo la ju...
26/12/2019

Kuwa mnene mno kunaleta hatari ningi kwa afya na kusababisha au kuongeza uwezekano wa magonjwa k**a vile:

Shinikizo la juu la damu
Ugonjwa wa kisukari
Maradhi ya moyo
Ugonjwa wa kupooza
Shida za kupumua na pumu[5][3]
Matatizo ya viungo vya miguu na ya uti wa mgongo
Maradhi ya mishipa,
Apnea pingani ya usingizi
Osteoathritisi[3].
Watu wakinenepa mno hufa mapema na kuwa na magonjwa mengi kuliko watu wembamba wanaokula kiasi tu, jinsi wanavyohitaji chakula. Tatizo la unene duniani hukumba wanaume zaidi ya wanawake.

Unene wa kupindukia mara nyingi husababishwa na ujumuisho wa kula chakula kilicho na nguvu nyingi, ukosefu wa mazoezi ya mwili, na urithi wa jeni maalumu, ingawa visa vichache vina msingi wa jeni, matatizo ya kiendrosini, matibabu au maradhi ya akili.
Vihatarishi vya tatizo la unene wa kupitiliza
Aidha yapo mambo kadhaa ambayo yanaweza kumuhatarisha mtu kupata unene wa kupitiliza. Mambo haya ni pamoja na
v Kukua kwa uchumi wa nchi - Wananchi wengi wanaoishi kwenye nchi zilizoendelea au wenye kipato kikubwa ndio wanaopata tatizo hili kutokana na kuishi mfumo wa maisha ya kivivu na hali ya kutokufanya mazoezi (sedentary lifestyle).
v Historia ya kuongezeka uzito uliopitiliza kwenye familia nayo yaweza kuhatarisha mtu kupata tatizo hili. Aidha, si jambo la kushangaza kuona karibu familia nzima au wengi wa wanafamilia kuwa wanene kupitiliza.
v Kutojishughulisha na chochote (inactive).
v Kupenda kula sana kuliko kawaida (overeating).
v Kula vyakula vya mafuta mengi
v Kutumia dawa zenye madhara ya kuongeza uzito uliopitiliza.
v Kuwa na ugonjwa wa vichocheo mwilini (hormonal disorders) k**a cushing syndrome, hypothyroidism.
v Kuwa na msongo wa mawazo au kuathirika kisaikolojia.

Magonjwa yanaoweza kuambatana na tatizo la unene uliopitiliza
Ø Kisukari
Ø Shinikizo la damu (hypertension)
Ø Kiharusi (Stroke)
Ø Magonjwa ya moyo
Ø Tatizo la kutopumua vizuri wakati mtu yupo usingizini (Sleep apnea)
Ø Vijiwe katika mfuko wa nyongo (Gallstones)
Ø Kiwango cha juu cha lijamu kwenye damu (cholesterol ikiwemo triglycerides)
Ø Ugonjwa wa mifupa k**a yabisi (osteoarthritis).
Ø Saratani ya matiti
Ø Saratani ya tezi dume (prostate cancer)
Ø Saratani ya utumbo mpana pamoja na maeneo ya haja kubwa (Colorectal cancer)
Ø Matatizo ya mzunguko na mishipa ya damu k**a vile kuvimba kwa vena za miguuni (varicose veins)
Suluhisho lake la no zetu ni 0620 368 830i

Address

Kiembe Samaki
Zanzibar

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya ni mtaji posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Afya ni mtaji:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram