AFYA BORA

AFYA BORA Karibu sana
Eternal clinic kwa huduma za afya
Vipimo ushauri na matibabu
Huduma zetu zipatina mikowa

UNAJARIBU KUPATA MTOTO… LAKINI KILA SIKU INAPITA BILA MATOKEO?Kuna ukweli ambao watu wengi hawauambiwi mapema…Changamoto...
11/04/2026

UNAJARIBU KUPATA MTOTO… LAKINI KILA SIKU INAPITA BILA MATOKEO?
Kuna ukweli ambao watu wengi hawauambiwi mapema…
Changamoto za uzazi huanza na dalili ndogo ambazo wengi huzipuuzia.
Maumivu wakati wa tendo, hedhi kuvurugika, uchafu usio wa kawaida au kukosa hamu ya tendo—hizi si hali za kawaida k**a zinavyochukuliwa.
Kitaalamu, hizi ni ishara kuwa kuna tatizo ndani ya mfumo wa uzazi ambalo linahitaji uchunguzi sahihi, sio kubahatisha dawa.
Watu wengi wanachelewa kuchukua hatua…
Na mwisho wanakuja wakati tatizo limeshaendelea.
Swali la msingi:
Wewe unasubiri mpaka lini ndipo uchukue hatua?
K**a unapitia hali hii au unahisi kuna kitu sio sawa,
andika “NISAIDIE” inbox au wasiliana moja kwa moja: 0626650765
Afya ya uzazi ni maamuzi—anza leo, sio kesho.

Huduma Ya Vipimo Vya Mwili MzimaJe,Unajiuliza Wapi,Utapata Huduma Ya Upimaji Wa Mwili Mzima kwa haraka Na gharama Rahisi...
11/04/2026

Huduma Ya Vipimo Vya Mwili Mzima

Je,Unajiuliza Wapi,Utapata Huduma Ya Upimaji Wa Mwili Mzima kwa haraka Na gharama Rahisi Zaidi
Kumbuka Afya Yako Ndio Msingi Wa Mambo Yote....

Tumekuandalia OFA Maalumu Ya Upimaji Wa Mwili Mzima Kuelekea mwisho wa mwezi

utalipia TSH 20,000/= tu k**a nawe Utakuwa Miongoni Mwa Watu 50 Wa Mwanzo

Gharama Halisi za Vipimo ni 150,000/= Lakini k**a Utakuwa Miongoni Mwa Watu Hawa 50 Utalipia 20,000/= tu na utaokoa Zaidi Ya Tsh 130,000/= Nzima

Natumaini k**a ni Miongoni Mwa Watu wanaopenda Afya Zao Basi Huwezi Kukosa OFA hii

KIPIMO KINAONYESHA;

1.Tatizo husika
2.Chanzo Cha tatizo
3.Viashiria Vya tatizo lingine
Kipimo kinahusika zaidi na magonjwa sugu ambayo hayaambukizi

Tunafanya Vipimo vya Mwili mzima Katika Mifumo ifuatavyo;

1.Mfumo wa Ubongo
2.Mfumo wa Upumuaji
3.Mfumo wa Tumbo
4.Mfumo wa Ngozi
5.Mfumo wa Mifupa na Misuli
6.Mfumo wa Uzazi Kwa wanawake na wanaume
7.Mfumo wa Macho

Pia Tunatoa huduma ya MATIBABU Kwa Magonjwa sugu k**a Ifuatavyo
_Vidonda Vya Tumbo, Presha, Kisukari,
Moyo, Figo, INI, Cholesterol, Bawasili,
_Tezi dume, fangasi , Uzazi Kwa wanawake na wanaume, Figo, Macho, Allergy, Mifupa, Ngozi
Tunatibu Uvimbe Aina zote bila upasuaje, stroke (Kupooza),Miguu, Magoti, Ganzi,Uzito mkubwa na UneneUvimbe kwenye vyia vya Uzazi, Ukuaji mbovu Kwa watoto n.k

Ili OFA Hii Isikupite basi fanya hivi Piga Simu/Tuma Sms au WhatsApp inbox kwenda namba
0626560765

Address

Tanzania
Zanzibar
0626650765

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when AFYA BORA posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share