Lubonji Wa Lubonji

Lubonji Wa Lubonji L.W.L MUSIC INTERNATIONAL

22/10/2025
SHOW YA FALLY IPUPA KWENYE UWANJA WA STADE DE FRANCE CONCERT HISTORIQUE DE FALLY IPUPA AU STADE DE FRANCE Tarehe 2 Mei 2...
14/10/2025

SHOW YA FALLY IPUPA KWENYE UWANJA WA STADE DE FRANCE
CONCERT HISTORIQUE DE FALLY IPUPA AU STADE DE FRANCE

Tarehe 2 Mei 2026, sauti kutoka mto Kongo itatikisa nguzo za Uwanja wa Stade de France.

Zaidi ya tiketi 40,000 zimeuzwa kwa muda mfupi, ishara ya kwamba msisimko unaovuka mipaka, lugha na simulizi za ukandamizaji ili sauti ya Africa izidi kufifia.

Takwimu hii si ya kawaida tu ni dalili ya wimbi la kihistoria linaloelekea kwenye tukio la kipekee.

Uwanja wa Stade de France, wenye uwezo wa kuchukua watu 80,000, si ndoto tena kwa Wasanii wa Kiafrika : ni eneo lililodhibitiwa, jukwaa ambamo Afrika inaimba fahari yake bila hofu.

FALLY IPUPA, mrithi wa Maguiji wa rumba na mtunzi wa mitindo ya kisasa, haji tuu kutoa burudani. Anakuja kuwakilisha zama, kuunganisha kumbukumbu, na kutoa sauti kwa wale waliotaka kunyamazisha Rumba kwa muda mrefu.

Usiku huo, jukwaa halitakuwa la Ufaransa, bali litakuwa la Afrika ndani ya Ufaransa.
Kila hatua, kila sauti itakayopaa angani mwa Saint-Denis, itakuwa tamko la uhuru wa kitamaduni, jibu la kifahari kwa historia iliotakwa kufutwa.

"Usiku Mmoja. Mfalme Mmoja. Jukwaa Moja." hiyo siotuu kauli ya kibiashara, bali ni tamko la kishairi, alama ya kudumu katika kumbukumbu ya pamoja.

L.W.L
Le 2 mai 2026, une voix venue du fleuve Congo s’apprête à faire vibrer les gradins du Stade de France.

En quelques jours, plus de 40 000 billets ont trouvé preneurs, signe d’un engouement qui dépasse les frontières, les langues et les récits dominants. Ce chiffre, loin d’être anecdotique, annonce une marée humaine en marche vers un rendez-vous historique.

Le Stade de France, avec ses 80 000 sièges, n’est plus un rêve lointain pour les artistes africains : il devient un espace conquis, un théâtre où l’Afrique chante sa grandeur sans complexe.

Fally Ipupa, dans la lignée des géants de la rumba et des bâtisseurs de rythmes modernes, ne vient pas simplement donner un concert. Il vient incarner une époque, réconcilier les mémoires, élever les voix longtemps tues.

Ce soir-là, la scène ne sera pas francilienne, elle sera panafricaine. Chaque pas sur le podium, chaque note lancée dans le ciel de Saint-Denis, sera une affirmation de souveraineté culturelle, une réponse élégante à l’effacement historique.

"One Night. One King. One Stage." ce n’est pas un slogan, c’est une proclamation poétique, une inscription dans le marbre de la mémoire collective.

L.W.L

12/10/2025

Franco Luambo Makiadi : Sauti ya Bara Linaloamka

Tarehe 12 Oktoba 1989, Afrika ilinyamaza kwa muda.
Kama vile Mto Kongo ulisimamisha mkondo wake kusikiliza kwa mara ya mwisho sauti nzito na ya kifalme ya "Franco Luambo Makiadi".

Siku hiyo, gwiji wa OK Jazz aliaga duniani, lakini kazi yake iliingia katika umilele.

"Franco Luambo Makiadi" hakuwa Msanii wa kawaida.
Alikuwa ni dhamiri ya muziki, mfasiri wa roho ya jamii ya Kibantu, na mjumbe wa kihistoria aliyeandika simulizi za watu wake kwa ala na sauti.

Gitaa lake mara laini, mara kali lilibeba huzuni na furaha za watu waliotafuta heshima na utu.

Kupitia midundo ya rumba ya Kongo, alichonga kumbukumbu ya pamoja, akisimulia mapenzi, usaliti, umaskini, umalaya, utajiri, umaskini, siasa, hekima za jadi na kejeli za maisha ya kila siku.

Kwa OK Jazz si bendi tu, bali taasisi alijenga urithi mkubwa, wenye mizizi ya Kiafrika na upeo wa kimataifa.

Alifanya Léopoldville icheze, Brazzaville ilie, Abidjan iote ndoto, Dar Es Salaam iamke, Nairobi ikubali, Brussels itambe na Paris itikisike.

Sauti yake nzito na ya kifalme ilibeba uzito wa mzee wa jadi wa kisasa, aliyeweza kuunganisha mitaa ya watu wa kawaida na kumbi za mabalozi.

Lakini nyuma ya midundo ya furaha, kulikuwa na macho ya kisiasa yaliyoamka.

"Franco Luambo Makiadi" alijua kuwa rumba si burudani tu bali ni silaha. Aliitumia kwa ustadi wa daktari na ufasaha wa mshairi.

Nyimbo zake, ndefu na wakati mwingine zilizopigwa marufuku, zilikuwa ni ramani za kijamii, mahakama za watu, vioo vya jamii inayobadilika.

Miaka thelathini na sita baada ya kifo chake, "Franco Luambo Makiadi" bado anasikika kwenye teksi za Kinshasa, kwenye redio za bara zima, kwenye kumbukumbu za walioko ughaibuni muziki wake bado unaishi, Unagusa, unafundisha, unaunganisha. Unakumbusha kuwa Afrika, hata ikiwa na majeraha, imezaa sauti zinazovuka mipaka na karne.

"Franco Luambo Makiadi " hajafa :
Amegeuka kuwa midundo !
Amegeuka kuwa maneno !
Amegeuka kuwa kumbukumbu.

Aendelee kupumzika kwa Amani.

L.W.L

Franco Luambo Makiadi : La voix d’un continent qui s’éveille

Le 12 octobre 1989, l’Afrique suspendit son souffle.
Comme si le fleuve Congo lui-même avait interrompu son cours pour écouter, une dernière fois, la voix grave et souveraine de Franco Luambo Makiadi.

Ce jour-là, le maître de l’OK Jazz quittait la scène terrestre, mais son œuvre entrait dans l’éternité.

Franco Luambo Makiadi n’était pas un artiste ordinaire.
Il était la conscience musicale d’un peuple, l’interprète de l’âme bantoue, le messager d’une histoire collective transmise par les cordes et les mots.

Sa guitare tantôt douce, tantôt tranchante portait les douleurs et les joies d’une société en quête de dignité.

À travers les rythmes de la rumba congolaise, il sculptait une mémoire partagée, racontant l’amour, la trahison, la pauvreté, la prostitution, la richesse, la politique, la sagesse ancestrale et les ironies du quotidien.

L’OK Jazz n’était pas une simple formation musicale : c’était une institution.
Franco y bâtit un héritage immense, enraciné dans l’Afrique profonde et ouvert sur le monde.

Il fit danser Léopoldville, pleurer Brazzaville, rêver Abidjan, éveiller Dar Es Salaam, convaincre Nairobi, rayonner à Bruxelles et faire vibrer Paris.

Sa voix grave et majestueuse portait le poids d’un ancien devenu moderne, capable de relier les ruelles populaires aux salons diplomatiques.

Mais derrière les rythmes festifs, veillaient des yeux politiques.
Franco savait que la rumba n’était pas qu’un divertissement : c’était une arme.
Il la maniait avec la précision d’un chirurgien et l’éloquence d’un poète.

Ses chansons, longues et parfois censurées, étaient des cartographies sociales, des tribunaux populaires, des miroirs tendus à une société en mutation.

Trente-six ans après sa disparition, Franco Luambo Makiadi résonne encore.
Dans les taxis de Kinshasa, sur les ondes du continent, dans les souvenirs de l’exil sa musique vit.
Elle touche, elle enseigne, elle rassemble.
Elle rappelle qu’une Afrique meurtrie peut enfanter des voix qui transcendent les frontières et les siècles.

Franco Luambo Makiadi n’est pas mort :
Il est devenu rythme.
Il est devenu verbe.
Il est devenu mémoire.

Qu’il repose en paix.

L.W.L

10/10/2025

PHÉNOMÈNE WERRASON
SHOW EXCEPTIONNEL
C'ÉTAIT LE SAMEDI 15 FÉVRIER À L'ARÉNA GRAND PARIS.

L.W.L

LES ANCIENS DE QUARTIER LATINPROFESSEUR MODOGO ABARAMBWAGIPSON BUTUKONDOLOPRESIDENT SAM TSHINTUMBOSHI LIPASA
05/10/2025

LES ANCIENS DE QUARTIER LATIN
PROFESSEUR MODOGO ABARAMBWA
GIPSON BUTUKONDOLO
PRESIDENT SAM TSHINTU
MBOSHI LIPASA

Adresse

Avenue D'ORADOUR SUR GLANE
Bonneuil-sur-Marne
94380

Téléphone

33668312952

Site Web

Notifications

Soyez le premier à savoir et laissez-nous vous envoyer un courriel lorsque Lubonji Wa Lubonji publie des nouvelles et des promotions. Votre adresse e-mail ne sera pas utilisée à d'autres fins, et vous pouvez vous désabonner à tout moment.

Contacter La Pratique

Envoyer un message à Lubonji Wa Lubonji:

Partager

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram