Gilgil ANNEX Hospital

Gilgil ANNEX Hospital Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Gilgil ANNEX Hospital, Hospital, Gilgil market Street, Gilgil.

We are a hospital located in Gilgil town CBD ,next to freshcuts carwash,where posta was previously located,near the Soko mjinga market , opposite Gilgil DCC's office.

BACTERIAL VAGINOSIS (BV)🦠💬Wasee, BV (Bacterial Vaginosis) ni infection ya uke ambayo ni very common, lakini wengi huogop...
19/01/2026

BACTERIAL VAGINOSIS (BV)🦠💬

Wasee, BV (Bacterial Vaginosis) ni infection ya uke ambayo ni very common, lakini wengi huogopa ku-talk about it 😅

BV hutokea wakati good bacteria wa uke wanapungua na bad bacteria wana-overgrow. Sio STI, lakini inahappen sana kwa s*xually active wanawake.

Dalili zake ni gani?

🔹 Uchafu wa uke wenye harufu kali k**a samaki 🐟
🔹 Discharge inaweza kuwa white, grey ama watery
🔹 Itch kidogo ama discomfort
🔹 Wengine hawana symptoms kabisa

BV inatoka wapi?

💥 Douching (kuosha uke ndani)
💥 Changing s*xual partners mara mingi
💥 Using harsh soaps
💥 S*x bila protection (sometimes)

👉 Note: BV sio uchafu na sio laana 😂 Ni medical condition tu.

BV ikiachwa bila treatment?

❌ Inaweza cause pelvic infections
❌ Inaongeza risk ya kupata STIs
❌ Kwa wajawazito, inaweza cause complications

Solution ni gani?

✔️ BV inatibika kabisa na dawa
✔️ Avoid kujitreat na antibiotics za random
✔️ Visit hospital, fanya test, upate proper treatment

📍 Gilgil Annex Hospital
Tunachunguza, tunatreat BV, na tunakushauri vizuri—no judgement, total privacy 💙

Bottom line:
K**a uke yako inasmell tofauti ama discharge imechange, usi-ignore.
Chunguza mapema, treat mapema.

KUONA MAVITU  (HYPNAGOGIC HALLUCINATIONS 😳🛌🏽Ushaiwai kuona mtu kwa room, kusikia mtu anakuita, ama kuhisi mtu amekushika...
19/01/2026

KUONA MAVITU (HYPNAGOGIC HALLUCINATIONS 😳🛌🏽
Ushaiwai kuona mtu kwa room, kusikia mtu anakuita, ama kuhisi mtu amekushika wakati unaingia sleep?
Ukaamka ukiwa sure kabisa si ndoto… ukablame village people 😅

Relax.
Hii inaitwa Hypnagogic Hallucinations.

🧠 Hutokea katikati ya kuwa macho na kulala
👀 Unaweza kuona shadows, watu, au vitu
👂 Kusikia sauti, footsteps, ama jina yako
✋ Kuhisi k**a mtu amekaa juu yako

Ni common sana — watu wengi hupitia at least once or twice kwa maisha.

📌 Huongezeka na:

Stress & anxiety

Kukosa usingizi

Kulala ovyo ovyo (irregular sleep)

🚫 Si uchawi
🚫 Si madness
🚫 Si attack ya kiroho

💡 When to check?
K**a inarudi mara mingi, inakuletea hofu kali, ama unakuwa sleepy sana mchana — get checked.

📍 Gilgil Annex Hospital
Using science, not superstition 🧠✨
Tunachunguza sleep issues, stress & anxiety — before ublame village people 😄

Warembo hebu tuambiane ukweli…😅*  Unajua kuna female condom? Na si ati tu kusikia — do you actually know how to use one?...
19/01/2026

Warembo hebu tuambiane ukweli…😅*
Unajua kuna female condom? Na si ati tu kusikia — do you actually know how to use one?🤔

Wasee wengi Kenya hawajui. Na hiyo ni gap kubwa kwa protection.Kulinda afya si kazi ya mwanaume pekee bana! 👏

👉 Challenge yenu leo:Taja jina ya female condom yoyote unajua.
(No cheating, no Google 😜)

Let’s normalize kujua na kutumia protection zote — si condoms za wanaume peke yake. Knowledge ni power, na hapa Gilgil Annex Hospital tuko ready kukusaidia ujue zaidi.

*xualHealth

Boil kwa va**na? Could be Bartholin’s Abscess! 😣Hii ni boil painful upande wa va**na, huja na swelling, redness na somet...
19/01/2026

Boil kwa va**na? Could be Bartholin’s Abscess! 😣

Hii ni boil painful upande wa va**na, huja na swelling, redness na sometimes fever. Husababishwa na kuziba kwa Bartholin gland.

⚠️ Inaweza kurudi tena (recurrent) if haijashughulikiwa vizuri!
DON’T pop it kwa nyumba — infection huweza kuenea.

✅ Matibabu ni drainage & antibiotics
✅ Kwa cases zingine, minor surgery hufanywa

Gilgil Annex Hospital tuko ready kukusaidia — no shame, reproductive health matters! 🩺💪

KUKULANA NA MTU AKO NA HIV SI DEATH SENTENCE ANYMORE , KUNA U=UHIV si k**a zamani. With the right treatment, mtu akiishi...
19/01/2026

KUKULANA NA MTU AKO NA HIV SI DEATH SENTENCE ANYMORE , KUNA U=U

HIV si k**a zamani. With the right treatment, mtu akiishi na HIV anaweza kuishi maisha normal, marefu na yenye afya.

U=U (Undetectable = Untransmittable) ina maana gani?
👉 Mtu aki-take ARVs vizuri, viral load ikishuka na isiwe detectable,
👉 hawezi ku-transmit HIV kwa partner wake, hata wakikulana Bila CD.

Hii imethibitishwa kisayansi. Sio story, ni ukweli wa medicine ya leo.

Muhimu kujua:

Kukulana na mtu ako na HIV sio automatic kuambukizwa

Treatment + adherence = hakuna transmission

Couples wengi wako discordant na wanaishi poa kabisa

PrEP iko kwa partner asiye na HIV k**a extra protection

Ukweli mtupu:

HIV sio kifo,
sio mwisho wa love,
sio mwisho wa s*x,
sio mwisho wa maisha.

📍 Gilgil Annex Hospital
HIV testing | ARVs | PrEP | Couple counselling | Viral load monitoring.

Kuna Perfect Body kweli? 🤔Let’s be real—hakuna kitu k**a “perfect body.” Kila mtu ako na body type yake. Wengine wameumb...
18/01/2026

Kuna Perfect Body kweli? 🤔

Let’s be real—hakuna kitu k**a “perfect body.” Kila mtu ako na body type yake. Wengine wameumbwa na hips, wengine flat tummy, wengine na belly kidogo—na wote wako sawa tu!

Kuwa na belly haimaanishi uko mgonjwa, na flat tummy pia si guarantee ya health. Unaweza kuwa na six-pack lakini uko na pressure au high sugar. Mwingine ako na ka-belly lakini ako fit, anakula poa, na health yake iko sawa.

Health sio juu ya vile unaonekana kwa mirror. Ni juu ya vile mwili wako unafanya kazi ndani, BP yako, sugar, akili yako, energy yako — hizo ndizo zinahesabu.

So wachana na hiyo pressure ya social media na “body goals.” Focus on eating well, moving your body, na kupenda mwili wako.

At Gilgil Annex Hospital, tuko hapa kukusaidia kubaki healthy—no matter your shape or size. Health haina shape, na beauty haina standard. ❤️🔥

KUCHOMEKA NA SANITARY PAD 🔥K**a unafeel kuchomeka, kuwashwa au discomfort ukitumia sanitary pad, usijilaumu—ni common sa...
18/01/2026

KUCHOMEKA NA SANITARY PAD 🔥

K**a unafeel kuchomeka, kuwashwa au discomfort ukitumia sanitary pad, usijilaumu—ni common sana.

Sababu zake: 🔹 Friction ya pad
🔹 Chemicals/perfume kwa pads zingine
🔹 Heat + moisture (damu & sweat)
🔹 Sensitive skin
🔹 Kuchelewa kubadilisha pad

Ufanye nini? ✅ Change pad kila 3–4 hours
✅ Tumia non-perfumed, cotton pads
✅ Osha na maji safi, kausha vizuri
✅ K**a inarudia au ina pain/discharge → ona clinician

👉 Mara nyingi ni irritation, sio lazima infection.
Lakini ikizidi, chunguzwa mapema.

📍 Gilgil Annex Hospital – tunakusaidia.

NARCISSIST – WANAWEZA FANYA UJICHUKIE 🧠💥Wasee, umewahi ku-meet mtu ambaye kila kitu lazima kiwe juu yake, feelings zako ...
18/01/2026

NARCISSIST – WANAWEZA FANYA UJICHUKIE 🧠💥

Wasee, umewahi ku-meet mtu ambaye kila kitu lazima kiwe juu yake, feelings zako hazina value, na anaposhindwa… wewe ndiye problem? 😅

Au umewahi encounter mtu ambaye haamini anaweza kukosea? 😬
Yeye hufeel daima anakosewa, akikukosea wewe… anaku-turn blame, anafanya ujione wewe ndio una-shinda!

Hii ni narcissism (personality disorder)

🔹 Kujiona superior, need praise kila time
🔹 Hana empathy – ha-feel shida zako
🔹 Entitlement & ku-exploit wengine
🔹 Hypersensitive kwa criticism

Ukiwa in a Relationship na yeye utaishi kuapologize ” 😬

Ukikosea kidogo ata maramoja, mara zote blame inaku-turn kwako, na yeye hujiona daima k**a victim.

🧠 Reality check: ego yao hua rigid, hawa-process emotions zako(they don't care how you feel).
Huwa wanapona? ;Therapy inaweza kusaidia, lakini only k**a anakubali help.

🚫 Love, patience, au understanding haziwezi kumponya narcissist.

✔️ Protect mental health yako
✔️ Set boundaries
✔️ Seek counseling/support

❓ Umewahi ku-meet narcissist? Una experience k**a hii? Share kwa comments!

“Ako kimya = anafikiria wanawake wengine?” 🤔😅 — TUWACHE STORYThis is NOT a medical condition, lakini ni common relations...
18/01/2026

“Ako kimya = anafikiria wanawake wengine?” 🤔😅 — TUWACHE STORY

This is NOT a medical condition, lakini ni common relationship misunderstanding.

Kwa psychology inaitwa misinterpretation of male withdrawal au projection.

Nini huwa inaendelea kwa mwanaume akiwa kimya?

Wasee wengi wakikaa kimya: 🧠 Wanaprocess stress
💸 Wanawaza pesa, job, responsibilities
😔 Wanachoka mentally
🔧 Wanajaribu “kujirekebisha” internally

👉 Silence = coping mechanism, sio cheating thoughts.

Kwa nini wake hu-assume worst?

🔹 Anxiety & insecurity
🔹 Past trauma (cheating history)
🔹 Overthinking
🔹 Society ime-normalize idea ati mwanaume akikaa kimya lazima anaenda nje

So akili inasema:

> “Mbona ako quiet? Kuna mtu mwingine?”

Lakini mara nyingi ukweli ni:

> “Ako overwhelmed, hajui ataaanzia wapi kuongea.”

Reality check 💡

Men:

Hufunga akili wakishikwa na pressure

Hupendelea kunyamaza kuliko kulalamika

Hawaongei mpaka wajipange mentally

Women:

Huprocess emotions kwa kuongea

Silence huonekana k**a rejection

👉 Different coping styles, not betrayal.

Solution ni gani?

💬 Communicate bila accusations
❌ “Unafikiria nani?”
✅ “Unaonekana uko quiet, uko sawa?”

🤝 Give space bila drama
🧠 Normalize men talking about stress
❤️ Don’t punish silence — understand it

Bottom line:
Kimya ya mwanaume mara nyingi ni mzigo wa maisha, sio mwanamke mwingine.

KUNG’OROTA (SNORING) 😴💤 – tuongee ukweli wakeWasee, kung’orota sio tu kelele ya kulala 😅Ni sound hutokea hewa ikipita kw...
18/01/2026

KUNG’OROTA (SNORING) 😴💤 – tuongee ukweli wake

Wasee, kung’orota sio tu kelele ya kulala 😅
Ni sound hutokea hewa ikipita kwa koo imebana, tissues zinatetemeka zikatoa hiyo noise.

Kwa nini mtu anang’orota?

🔹 Uzito imepanda – mafuta shingoni inabana airway
🔹 Kulala chali – ulimi inaangukia nyuma
🔹 Pombe & sigara – zina-relax misuli ya koo sana
🔹 Mafua / allergies – pua imeziba
🔹 Tonsils kubwa
🔹 Age – misuli hulegea kadri miaka inaenda

Je, ni normal?

👉 Kung’orota kidogo inaweza kuwa normal,
lakini k**a: ⚠️ Pumzi inakatika ukiwa usingizini
⚠️ Unaamka umechoka despite kulala
⚠️ Morning headaches
⚠️ Unasinzia mchana hata job

Hapo tunaweza kuwa tunaongelea Sleep Apnea — condition serious sana, inaongeza risk ya BP, stroke, heart disease.

Solution ni gani?

✅ Punguza weight
✅ Lala ubavu badala ya chali
✅ Avoid pombe before kulala
✅ Treat mafua & allergies
✅ Fika hospitali ufanyiwe evaluation

📍 Gilgil Annex Hospital
Tunacheki k**a ni snoring ya kawaida ama sleep apnea, then tunakupatia treatment proper.

👉 Kung’orota sio jokes — ni warning sign.
Usingoje ianze kukuharibia afya ama relationship 😅

Aphrodisiac Foods 🔥🍓(Vyakula vinavyosaidia kuongeza libido, energy, na performance)🥑 Avocado – Huongeza blood flow & sta...
18/01/2026

Aphrodisiac Foods 🔥🍓

(Vyakula vinavyosaidia kuongeza libido, energy, na performance)

🥑 Avocado – Huongeza blood flow & stamina
🦪 Oysters – Zinc nyingi → boosts testosterone
🍫 Dark chocolate – Improves mood & circulation
🍉 Watermelon – Natural vasodilator (huongeza blood flow)
🌶️ Ginger & Garlic – Huamsha circulation
🥜 Nuts & Seeds – Hormone support
🍌 Bananas – Energy + potassium
🍯 Honey – Natural libido booster

🧠 Lakini ukweli ni huu:
S*x ni more psychological kuliko physical.
Ukona stress, pressure, ama overthinking, hata aphrodisiac kali haitafanya kazi vizuri. Mind ikue relaxed, desire huja naturally.

📍 Gilgil Annex Hospital
Tunaangalia mwili + akili — tunachunguza hormone levels, stress-related issues, circulation problems, na tunakusaidia kupata solution bila aibu.

Kula poa, think poa, perform poa.

18/01/2026

Huwezi kuzuia kuzeeka, lakini unaweza kupunguza speed yake.
Huwezi kuishi milele, lakini unaweza kuongeza miaka yako ya kuishi ukiwa healthy.
Good morning everyone. ☀️

Address

Gilgil Market Street
Gilgil
20116

Telephone

+254715412388

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Gilgil ANNEX Hospital posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Gilgil ANNEX Hospital:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram

Category