03/12/2025
ASALAM ALEIKUM WARAHMA TULAHI WABARAKATU
👉🤒((MADHARA MAKUBWA YA PRESHA YA KUSHUKA)) 🤒
👉🤒((LOW BLOOD PRESSURE HYPOTENSION))🤒
👉🫀Kwa watu wengi, presha ikishuka chini sana husababisha hatari kubwa kwa mwili kwa sababu damu haitoshi kufika kwenye ubongo, moyo, figo na viungo vingine🫀
👉1)):🌡KUZIMIA AU KUANGUKA GHAFLA (FAINTING)🌡
🌡Presha inaposhuka mno, ubongo unakosa damu ya kutosha, hivyo mtu huona giza, kusikia kizunguzungu, kisha kuanguka.🌡
😞Hii ni hatari sana ikiwa unatokea kuanguka sehemu ngumu.😞
👉2))😵💫:KISUNGUZUNGU KIKALI / KUONA VIZUNGU VIZUNGU😵💫
🧠Ubongo hutumia damu kila sekunde. Presha ikishuka, mtu huhisi🧠
😵💫Kizunguzungu😵💫
🔅Sehemu inazunguka🔅
🧘♂Maono kuwa hafifu🧘♂
🧏♂Masikio kusikia kelele🧏♂
👉3))🫀:MAPIGO YA MOYO KWENDA TARATIBU AU KUINGIWA NA WASIWASI (SHOCK)⚡️⚡️
👉🩸Presha ya chini mno inaweza kupelekea moyo kushindwa kusukuma damu vizuri, na kusababisha🩸
👉1)):Mapigo kwenda taratibu ⌚
👉2)):Baridi mwilini🥶
👉3)):😶Ngozi kuwa k**a ya rangi hafifu😶
👉4)):🫁Kupumua haraka🗣
👉🌡Hii huitwa Low Blood Pressure Shock → ni hali ya dharura.🫀
👉4)):🧠UBONGO KUKOSA HEWA YA OXYGEN🫁
👉🌡Ikiwa presha inashuka ghafla, ubongo unaweza kuathirika, kusababisha🌡
👉1)):🤪Kuchanganyikiwa🤪
👉2)):🧠Kushindwa kufikiri🧠
👉3)):🤮Kichefuchefu🤮
👉🤕Maumivu ya kichwa (Ikiwa hali,inaendelea muda,mrefu huathiri,kumbukumbu.🧠
👉5)):👁️KUONA UKUNGU / KUPOTEA KWA MFUMO WA MAONO😔
👉🌡Presha ya chini hulifanya jicho kukosa mtiririko wa damu → kuona ukungu, kuona vitu mara mbili au giza🤪
👉6)):🦵UDHAIFU WA MISULI NA KUTETEMEKA💪
👉🦵Misuli haina nguvu kwa sababu haina damu ya kutosha.*
*Mtu hushindwa kusimama muda mrefu, miguu kuwa dhaifu au mikono kutetemeka💪
👉7)):🥨FIGO KUSHINDWA KUFANYA KAZI (ACUTE KIDNEY INJURY)🥨
👉🥨Figo zinahitaji shinikizo la damu la kutosha ili kusafisha damu.
*Presha ikiwa chini🌡
👉💦Mkojo hupungua💦
👉💦Mwili hujaza maji💦
👉❄️Sumu mwilini huongezeka
Hali ikiendelea bila matibabu → figo zinaweza kushindwa kufanya kazi.🥨
👉8)):🫁KUPUMUA HARAKA NA KUKOSA HEWA🗣
👉🫀Moyo unapoanza kupunguza kasi, mwili hulazimika kuongeza pumzi nyingi ili kupata oksijeni🗣
👉9)):🥶BARIDI MWILINI NA JASHO JINGI😰
👉🩸Dalili ya mwili kupoteza uwezo wa kusambaza damu vizuri.
👉10)):💀HATARI YA KIFO (IKIKUA SHOCK)⚡️
👉🌡Ikiwa presha ya chini inatokana na🌡
👉1)):🩸Upungufu mkubwa wa damu🩸
👉2)):😳Msh*tuko wa mzio😳
😳((anaphylaxis))😳
👉3)):❄️Maambukizi makubwa❄️
❄️ (sepsis)❄️
👉4)):🫀Moyo kushindwa🫀
👉NTB:📌Basi mtu anaweza kufika kwenye hali hatari inayoitwa Circulatory Collapse → inaweza kupelekea kifo ndani ya muda mfupi bila matibabu☠📌
👉🌡PRESHA YA CHINI NI HATARI IWAPO🌡
👉1)):😵💫Unazimia mara kwa mara😵💫
👉2)):😵💫Unasikia kizunguzungu kila siku😵💫
👉3)):🫀Mapigo ya moyo ni 40–50 BPM🫀
👉4)):💪Miguu inakosa nguvu🦵
👉5)):🤪Unaona ukungu🤪
👉6)):💦Una mkojo mdogo sana💦
👉1)):🌡 JINSI YA KUZUIA PRESHA YA KUSHUKA🌡
👉2)):💦Kunywa maji ya kutosha kila siku💦
👉3)):🌯Kula chumvi kidogo zaidi (kwa ushauri wa daktari)🏩
👉4)):🚶Epuka kusimama ghafla kutoka kwenye kitanda 🛏️
👉5)):🍝Kula milo midogo midogo mara nyingi🍝
👉6)):🍻Epuka pombe🍺
👉7)):🧦Vaeni soksi maalum za “compression stockings🧤
🧦((ikiwa umeshauriwa))🧦
👉8)):💊Tumia dawa k**a daktari amekuandikia💊
👉9)):🫀MAPIGO YA MOYO KWENDA MBIU KUHISI UZITO MKUBWA😞
👉10)):😵💫KUHISI KIZUNGU ZUNGU*
KUPOTEZA ,KUMBU,KUMBU🧠
👉NTB:📌Pata dawa Na sindano za presha upate Ku linda afya yako 💊💉📌
buy good till number
( 6722029 )
🤙📲🔥WASILIANA NA MWALIMU🤙 📲🔥
Call//whatsupp
0754 092791 airtel
0706 667399 safaricom
🔪⚡️((WAKANYAGENI MASHEITWANI NA WACHAWI NA MJII WA MOMBASA PEMBA TIBBA ZETU BAHARI YA CHUMVI MAWE HARUFU YA KARAFU WACHAWI LAZIMA TU WANYOE MAJINI TU WACHOMOE))⚡️🔪
💥🔪🔪DR::((SHEKYASSIN BALLKUSS JEILAN AZADHIHIL KIRAMI SHAMKHAYARUHIN MAULANA UWESO MARIJAHN ALL SURTAN JIBRILL KAIMU MWAKAYA))🔪🔪💥. !!