Tiba za mkuchamba marijah

Tiba za mkuchamba marijah Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Tiba za mkuchamba marijah, Medical and health, Mombasa.

ASALAM ALEIKUM WARAHMA TULAHI WABARAKATU 👩‍🦰((DALILI ZA UVIMBE KWENYE KIZAZI))👩‍🦰👉1:))🤰Mimba kuharibika🤰Uvimbe kwenye ut...
24/10/2025

ASALAM ALEIKUM WARAHMA TULAHI WABARAKATU

👩‍🦰((DALILI ZA UVIMBE KWENYE KIZAZI))👩‍🦰

👉1:))🤰Mimba kuharibika🤰

Uvimbe kwenye uterus hupelekea ugumu wa ukuaji wa mtoto na hivyo kupelekea mimba kuharibika.

👉2:))🤰Tumbo kuvimba🤰

👩‍🦰Wanawake wenye Uvimbe kwenye Kizazi Mara nyingi hupelekea tumbo kuvimba🤰

👉3:))🩸Hedhi isiyo ya kawaida))🩸

✏️🤰Uvimbe kwenye Kizazi hupelekea mambo makuu matatu kwa mwanamke katika Mfumo wake wa mzunguko wa hedhi.🩸📌

🩸🩸Kutokwa damu nyingi siku ya hedhi kuliko kawaida ⏰📌

🩸🩸Hedhi kutoka kuzidi siku ya ukomo⏰📌

🩸🩸Kutokwa damu siku ambazo sio za hedhi yaani katikati ya mzunguko wa hedhi.📌

👉4:))😞Maumivu kwenye Kizazi*
Husababisha maumivu kutokana na ukubwa,idadi na eneo Uvimbe ulipo.mara nyingi husababisha maumivu katika tumbo la chini na Mgongo.🤒📌

👉5:))⏰Mabadiliko kwenye kibofu*
Uvimbe kwenye Kizazi unaweza kupelekea mgandamizo kwenye kibofu cha mkojo na kupelekea kukojoa Mara kwa Mara💦

👉6:))❄️MADHARA YA UVIMBE KWENYE KIZAZI❄️

🥨Uvimbe Aina ya submucosal unakua ndani chini ya safu ya ndani ya kizazi unaweza kuathiri ushikaji wa mimba.Uvimbe huu unaweza kuzuia yai kushik**ana na ukuta wa Kizazi au mirija ya uzazi.🥨

👉7:))🩸Upungufu wa Damu🩸

🤰Uvimbe kwenye Kizazi unaweza kupelekea utokaji wa hedhi nzito kwa muda mrefu jambo ambalo huweza kupelekea upotevu wa damu nyingi,na kusababisha uchovu katika mwili😒

👉8:))🩸😔Mvurugiko wa hedhi🩸😔

🤰Uvimbe kwenye Kizazi hupelekea kutokea kwa hedhi isiyokuwa na mpangilio wa siku maalumu za mzunguko.⏰

👩‍🦰Maumivu ya Mara kwa mara*
Wanawake wenye Uvimbe mkubwa Kizazi Mara nyingi hukubwa na tatizo la maumivu hasa ya tumbo la chini ,kiuno na Mgongo.📌

👉8:))🙊Tatizo la kukosa Choo🙊

👩‍🦰🥨Mara nyingi Wanawake wenye changamoto ya Uvimbe kwenye Kizazi wamekuwa wakipatwa na tatizo la kupata Choo katika hali ya kawaida kutokana na kushinikiza utumbo mpana ,hasa ukiwa upo nyuma ya Mfuko wa Kizazi na hivyo kusababisha Constipation kujisaidia kwa shida yaani kinyesi punje punje🥨👩‍🦰

NUNUA DAWA ZETU KUPITIA MPESA:!!

buy good till number

( 6722029 )

🤙📲🔥WASILIANA NA MWALIMU🤙 📲🔥

Call//whatsupp

0754 092791 airtel

0706 667399 safaricom

🔪⚡️((WAKANYAGENI MASHEITWANI NA WACHAWI NA MJII WA MOMBASA PEMBA TIBBA ZETU BAHARI YA CHUMVI MAWE HARUFU YA KARAFU WACHAWI LAZIMA TU WANYOE MAJINI TU WACHOMOE))⚡️🔪

💥🔪🔪((TIBBA ZA MKUCHAMBA MARIJAHN ))🔪🔪💥. !!

ASALAM ALEIKUM WARAHMA TULAHI WABARAKATU 👉🦠 ((Miwasho ukeni))💦👉🦠(vaginal itching))💦📌husababishwa na mambo mbalimbali. ya...
29/08/2025

ASALAM ALEIKUM WARAHMA TULAHI WABARAKATU

👉🦠 ((Miwasho ukeni))💦

👉🦠(vaginal itching))💦

📌husababishwa na mambo mbalimbali. ya visababishi vya kawaida😞

👉1)) : 🦠:Maambukizi ya fangasi 🦠((yeast infection))🦠 Huambatana na uchafu mweupe mzito na miwasho mikali 🦠 🤢

👉2)) : 🦠 Maambukizi ya bakteria 🦠((bacterial vaginosis))🦠 Husababisha harufu mbaya (k**a samaki), uchafu mwepesi kijivu, na miwasho.💦

👉3))💦 : Magonjwa ya zinaa 💦((STIs))💦Kama🦠((kisonono))🦠 ((chlamydia))🦠 au 🦠((trichomoniasis))🦠yanaweza kuleta miwasho na maumivu.😒

👉4))🫶 : ((Alerji))🫶kuvimba kutokana na sabuni, detergents, pads, au perfumes💄 Vitu hivi huweza kusababisha ukavu na muwasho.😓

👉5))🥵 : Ukavu wa uke* – Mara nyingi hutokea kwa wanawake waliokaribia au waliopo kwenye kipindi cha menopause.⏰

👉6))❄️ : Kujikuna au kushika sana ukeni kwa mikono michafu* – Huchangia kuingiza vimelea.❄️

👉7))🩲 : Nguo za ndani zisizoruhusu hewa (tight/synthetic)* – Huchangia joto na unyevu unaochochea bakteria.❄️

👉🗳️Ushauri:📌

👉 : kiwa miwasho🦠 ni ya mara kwa mara, kali, au ina ambatana na uchafu, harufu🤧au maumivu, ni tafute nkusaidie kabla shida haija kua kubwa 👍.

🤙📲🔥WASILIANA NA MWALIMU🤙 📲🔥

Call//whatsupp

0754 092791 airtel

0706 667399 safaricom

🔪⚡️((WAKANYAGENI MASHEITWANI NA WACHAWI NA MJII WA MOMBASA PEMBA TIBBA ZETU BAHARI YA CHUMVI MAWE HARUFU YA KARAFU WACHAWI LAZIMA TU WANYOE MAJINI TU WACHOMOE))⚡️🔪

💥🔪🔪((TIBBA ZA MKUCHAMBA. MARIJAHN))🔪🔪💥. !!

Asalam aleikum warahmatulahi wabarakatu 💦((Kuji cheuwa kwa mdaa mrefu ))❌👉💦Kwa ambaye amejichua kwa muda mrefu moja kwa ...
30/07/2025

Asalam aleikum warahmatulahi wabarakatu

💦((Kuji cheuwa kwa mdaa mrefu ))❌

👉💦Kwa ambaye amejichua kwa muda mrefu moja kwa moja ameenda you mfumo wa homoni za kiume, mfumo wa mishipa ya uume, pamoja na mfumo wa never za fahamu.🧠

🎤Na ndio maana 76% ya wanaume ambao wamejichua kwa muda mrefu wanapitia Tatizo la kuwahi kufika kileleni mapema, uume kuwa legevu, uume kuwa mdogo, pamoja na kukosa hisia wakati wa kushiriki tendo la ndoa💁

Ntb:! 📌Na ndio maana unashauriwa sana kutumia hii package ambayo inaenda kujenga upyaa mfumo mzima wa uzazi wa mwanaume💪

🌿Dawa hii Inamsaidia mwanaume kuwa na uwezo mkubwa wa kushiriki tendo la ndoa zaidi ya mara moja au zaidi bila kuchoka mapema, uwezo wa kuchelewa kufika kileleni mapema, kuongeza uume uliosinyaa kutokana na Kujichua kwa muda mrefu kikubwa zaidi inaenda kusaidia kuongeza Kiwango cha mbegu za kiume.💦

Pata dawa hi kwa 3500ksh

Offer ni 3000ksh

Wai na mapema mabla over haija isha

buy good till number

( 6722029 )

🤙📲🔥WASILIANA NA MWALIMU🤙 📲🔥

Call//whatsupp

0754 092791 airtel

0706 667399 safaricom

🔪⚡️((WAKANYAGENI MASHEITWANI NA WACHAWI NA MJII WA MOMBASA PEMBA TIBBA ZETU BAHARI YA CHUMVI MAWE HARUFU YA KARAFU WACHAWI LAZIMA TU WANYOE MAJINI TU WACHOMOE))⚡️🔪

💥🔪🔪((TIBBA ZA MKUCHAMBA MARIJAH))🔪🔪💥. !!

Asalam aleikum warahmatulahi wabarakatu vipi hali zenu  🤲📌Na am ba,ada ya kua kimya kipindi kirefu  ni kua na harakati z...
23/07/2025

Asalam aleikum warahmatulahi wabarakatu vipi hali zenu

🤲📌Na am ba,ada ya kua kimya kipindi kirefu ni kua na harakati za kazi nyingi zilizo nia ndama Ila alhamdhulilah tuko salama uhai wa afya bora kwa wale wagonjwa Allah awape shifa insha Allah na wale walio tuta ngulia Allah awa rehemu na awa semeh awape pepo katika pepo zake za janah amin 🤲

👉📔Tupate faida kidogo kwa kina mama na dada zetu .📌

💦((Faida ya uke kwa mwanamke))💦

👉📌Utokaji wa ute wenye afya ni ule usio na rangi au kwa mbali k**a maziwa na inaweza kuwa na harufu kidogo isiyo mbaya ya kukera.🤧

👉💦Ute Utakao Kuwezesha Kushika Ujauzito🫄

Huu kitalaam unaitwa

💦((cervical mucus)💦

👉💦 ni ute msafi k**a unavyo uona katika picha.📌 🖼

👉💦Hutokea kipindi cha hatari katika kila mzunguko wako ⌚

👉💦Ute huu unafaida nyingi zitazo kuwezesha kushika ujauzito 🫄

👉🫄Mojawapo ya faida yake ni kusaidia mbegu za kiume kusafirishwa kwa wepesi kwenda katika sehemu ya urutubishwaji wa kutengeza mimba (mtoto)🤱

👉💦Faida ya ute ni kuzilinda mbegu za kiume zisidhurike na bakteria au hali ya acid inayo kuwepo ukeni pia hulinda mfuko wa uzazi dhidi ya mashambulizi yoyote.❄️📌

ntb. 📌!! Ikiwa huwa hupati Ute huu katika mzunguko wako??📌

👉🤲Nifahamishe inbox ili niweze kukusaidia.in sha Allah.🤲

🤙📲🔥WASILIANA NA MWALIMU🤙 📲🔥

Call//whatsupp

0754 092791 airtel

0706 667399 safaricom

🔪⚡️((WAKANYAGENI MASHEITWANI NA WACHAWI NA MJII WA MOMBASA PEMBA TIBBA ZETU BAHARI YA CHUMVI MAWE HARUFU YA KARAFU WACHAWI LAZIMA TU WANYOE MAJINI TU WACHOMOE))⚡️🔪

💥🔪🔪((TIBBA ZA MKUCHAMBA MARIJAH))🔪🔪💥. !!

🎤  offer 🎤  offer. 🎤   offer. 🎤  offer. 🎤  offer.
17/07/2025

🎤 offer 🎤 offer. 🎤 offer. 🎤 offer. 🎤 offer.

Address

Mombasa

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Tiba za mkuchamba marijah posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram