21/10/2016
Source:(www.Neemaherbalist.com)
Bamia ni mboga maarufu hapa Tanzania. Mbali na kuwa na ladha nzuri, lakini pia bamia ina faida mbalimbali za kiafya kwa mwili wa mwanadamu.
Zifuatazo ni faida ishirini ( 20 ) za kiafya za mboga mboga aina ya bamia.
1. Inapunguza kolestrol
2. Inasaidia kuondoa vimelea vya sumu kwenye ngozi.
3. Inasaidia katika kutibu magonjwa mbalimbali ya zinaa k**a vile kaswende, kisonono.
4. Vilevile inaponya tatizo la kwenda hedhi mara kwa mara na chango la k**e
5. Inasaidia kutibu pumu ( asthma)
6. Inaongeza kinga ya mwili
7. Ina utajiri mkubwa wa virutubisho aina ya fibre
8. Ina utajiri mkubwa wa virutubisho mwili aina ya protini ( hamirojo )
9. Ina saidia kuimarisha afya ya nywele
10. Inasaidia kupambana na tatizo la uchovu wa mwili, na msongo wa mawazo.
11. Inasaidia kutibu tatizo la kukosa choo.
12. Inawasaidia wanao sumbuliwa na tatizo la kisukari
13. Inasaidia kusafisha damu
14. Inasaidia kuponya mafua
15. Inasaidia kuondoa sumu mwilini
16. Inasaidia kutibu vidonda vya tumbo
17. Inasaidia kukinga tatizo la anemia
18. Ina kinga dhidi ya utapiamlo (unene uliopitiliza )
19. Inasaidia kuimarisha mifupa
20. Inasaidia kuimarisha mfumo wa uonaji