06/04/2026
๐ ๐ฉ๐จ๐ง๐ (๐๐ฎ๐ป๐๐ฎ๐ป๐ฎ ๐๐ฎ๐บ๐ฎ๐ฟ๐ฎ)
Huu ni mmea wa asili unaotibu maradhi mengi zaidi,yakitumika maua,majani na mizizi yake.
Leo tutaelezea hili moja tu la
๐ ๐๐ง๐๐ง๐ ๐ ๐๐๐/๐ ๐๐ง๐๐ง๐ ๐๐จ๐ช๐๐ก๐๐.
Tetekuwanga husababisha homa na mwasho wa vipele vidogo, malengelenge yaliyovimba au alama za magamba
Tetekuwanga husambaa kirahisi kutoka kwa mtu mmoja hadi mwingine
Kwa kawaida tetekuwanga huwa si kali sana kwa watoto wenye afyaโna mara nyingi hupata ahueni pasipo shida yoyote
Kwa watu wenye mfumo dhaifu wa kingamwili, tetekuwanga inaweza kuwa kali na yenye kutishia maisha
Hata baada ya kupata ahueni, virusi vya tetekuwanga hubaki mwilini mwako
Miaka mingi baada ya kupona tetekuwanga, virusi hao hao wanaweza kusababisha mkanda wa jeshi, vipele uchungu vya malengelenge yaliyojaa majimaji
๐๐๐ก๐ฆ๐ ๐ฌ๐ ๐๐จ๐ง๐๐๐จ ๐ง๐๐ง๐๐๐จ๐ช๐๐ก๐๐
Chemsha mmea huu wa mvuti kwa kukata matawi na majani yake.
โฆ๐๐๐๐๐๐๐๐
๐๐ค๐ฎ๐๐ฐ๐๐
Tumia kujifukiza na kuoga maji yake asubuhi na jioni.
-kisha kunywa ujazo wa kikombe cha chai kutwa mara 2.
๐๐ญ๐จ๐ญ๐จ
-Chini ya miaka 5 atanyweshwa kijiko 1 cha chakula na kuogeshwa kutwa mara 2.
-Zaidi ya miaka 5 atapewa vijiko 2,kufukizwa kidogo na kuogeshwa hayo maji kutwa mara 2.
โฆ๐๐๐๐ ๐๐ ๐๐๐๐ 3.
๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐
๐๐๐ฎ ๐บ๐ฎ๐ฒ๐น๐ฒ๐๐ผ ๐๐ฎ๐ถ๐ฑ๐ถ ๐ช๐ต๐ฎ๐๐๐๐ฝ/๐ +255767607724