Twaib Herbal Products

Twaib Herbal Products Twaib Herbs ni wazalishaji na wasambazaji wa dawa za asili zinazotokana na miti,magome,majani,mizizi,mbegu/arabic medicines na virutubisho asili.

Dawa zetu hazina kemikali yoyote. Karibu upate huduma bora kwa jumla na rejareja
๐ˆ๐ง๐ฌ๐ก๐š'๐€๐ฅ๐ฅ๐š๐ก๐Ÿ™

13/02/2026

๐—•๐—”๐——๐—ข ๐—›๐—จ๐—๐—”๐—–๐—›๐—˜๐—Ÿ๐—˜๐—ช๐—” ๐—ช๐—”๐—›๐—œ ๐—ก๐——๐—”๐—ก๐—œ ๐—ฌ๐—” ๐—ฆ๐—œ๐—ž๐—จ ๐—›๐—œ๐—ญ๐—œ
Ili upate King Gobore yako,tunafahamu umetumia dawa nyingi hujapata matokeo ila karibu Twaib Herbal tukupatie dawa itakayokupa Heshima.๐Ÿ’ช
45 unakosaje bidhaa hii ya ukweli?
+255767607724
๐“๐ฎ๐ง๐š๐ฌ๐š๐Ÿ๐ข๐ซ๐ข๐ฌ๐ก๐š ๐ค๐ข๐ฅ๐š ๐ฌ๐ž๐ก๐ž๐ฆ๐ฎ ๐ง๐๐š๐ง๐ข ๐ง๐š ๐ง๐ฃ๐ž ๐ฒ๐š ๐“๐š๐ง๐ณ๐š๐ง๐ข๐š ๐ค๐ฐ๐š ๐ฎ๐š๐ฆ๐ข๐ง๐ข๐Ÿ๐ฎ ๐ฆ๐ค๐ฎ๐›๐ฐ๐š.๐Ÿ™

๐€๐‹๐‡๐€๐Œ๐ƒ๐”๐‹๐ˆ๐‹๐‹๐€๐‡๐Ÿ™๐—ง๐—จ๐—ก๐—”๐—˜๐—ก๐——๐—˜๐—Ÿ๐—˜๐—ญ๐—” ๐—ž๐—จ๐—ง๐—ข๐—” ๐—›๐—จ๐——๐—จ๐— ๐—” ๐—ญ๐—˜๐—ก๐—ฌ๐—˜ ๐—จ๐—”๐— ๐—œ๐—ก๐—œ๐—™๐—จ ๐—ž๐—ช๐—” %.โ–ช๏ธŽ Tunamshukuru M/Mungu kwa kutujalia ๐—ง๐˜„๐—ฎ๐—ถ๐—ฏ ๐—›๐—ฒ๐—ฟ๐—ฏ๐—ฎ๐—น ๐—ฃ๐—ฟ๐—ผ๐—ฑ๐˜‚๐—ฐ๐˜๐˜€...
12/02/2026

๐€๐‹๐‡๐€๐Œ๐ƒ๐”๐‹๐ˆ๐‹๐‹๐€๐‡๐Ÿ™
๐—ง๐—จ๐—ก๐—”๐—˜๐—ก๐——๐—˜๐—Ÿ๐—˜๐—ญ๐—” ๐—ž๐—จ๐—ง๐—ข๐—” ๐—›๐—จ๐——๐—จ๐— ๐—” ๐—ญ๐—˜๐—ก๐—ฌ๐—˜ ๐—จ๐—”๐— ๐—œ๐—ก๐—œ๐—™๐—จ ๐—ž๐—ช๐—” %.

โ–ช๏ธŽ Tunamshukuru M/Mungu kwa kutujalia ๐—ง๐˜„๐—ฎ๐—ถ๐—ฏ ๐—›๐—ฒ๐—ฟ๐—ฏ๐—ฎ๐—น ๐—ฃ๐—ฟ๐—ผ๐—ฑ๐˜‚๐—ฐ๐˜๐˜€ katika imani ya uaminifu.

โ–ช๏ธŽHakika tunajivunia kutoa huduma hii kwa uaminifu mkubwa na pia tunakuwa karibu na mteja wetu kwa kipindi chote anachotumia dawa zetu.

โ–ช๏ธŽTunatuma dawa popote pale na mteja anazipokea bila tabu.Iwe ndani na nje ya nchi!!

โ—Karibu tukupe huduma kikamilifu na kwepa matapeli wasio na imani ya ALLAH!!
Jiridhishe zaidi pale unapopokea bidhaa zetu iwe kutoka katika ofisi zetu ili upate halisi kwa tiba bora ya afya yako.

โœฆ TUPIGIE/SMS/WHATSAP.
+255767607724.

โ‡JITIBU FIZI ZINAZOUMA    โ—พChukua punje 3 za vitunguu thaum(swaum) na madonge 3 ya chumvi ya mawe.Ponda ponda mpaka vila...
12/02/2026

โ‡JITIBU FIZI ZINAZOUMA
โ—พChukua punje 3 za vitunguu thaum(swaum) na madonge 3 ya chumvi ya mawe.Ponda ponda mpaka vilainike kisha tia maji kidogo na usubiri chumvi iyeyuke.

Tumia kusukutua kwa dakika 5 kisha tema fanya hivyo kutwa mara 3(1x3)
โ—พTUMIA DOZI YAKO KWA SIKU 3 AU 5.
kwa ushauri na maelezo
โšซ+255767607724
ku like na ku share ili kusaidia wengine na Mungu atakubariki.Fuatilia huduma za Twaib Herbal Products zaidi

๐ƒ๐€๐‹๐ˆ๐‹๐ˆ  ๐‚๐‡๐€๐‚๐‡๐„  ๐™๐€  ๐Œ๐“๐”  ๐Œ๐–๐„๐๐˜๐„  ๐Š๐”๐’๐”๐Œ๐๐”๐‹๐ˆ๐–๐€  ๐๐€  ๐Œ๐€๐‘๐€๐ƒ๐‡๐ˆ  ๐˜๐€  ๐”๐‚๐‡๐€๐–๐ˆ  ๐๐€  ๐— ๐—”๐—๐—œ๐—ก๐—œ ๐—ช๐—”๐—–๐—›๐—”๐—™๐—จ(๐— ๐—”๐—ฆ๐—›๐—˜๐—ง๐—”๐—ก๐—œ)1.Matatizo na vurugu...
11/02/2026

๐ƒ๐€๐‹๐ˆ๐‹๐ˆ ๐‚๐‡๐€๐‚๐‡๐„ ๐™๐€ ๐Œ๐“๐” ๐Œ๐–๐„๐๐˜๐„ ๐Š๐”๐’๐”๐Œ๐๐”๐‹๐ˆ๐–๐€ ๐๐€ ๐Œ๐€๐‘๐€๐ƒ๐‡๐ˆ ๐˜๐€ ๐”๐‚๐‡๐€๐–๐ˆ ๐๐€ ๐— ๐—”๐—๐—œ๐—ก๐—œ ๐—ช๐—”๐—–๐—›๐—”๐—™๐—จ(๐— ๐—”๐—ฆ๐—›๐—˜๐—ง๐—”๐—ก๐—œ)
1.Matatizo na vurugu nyingi hutokea katika ndoa,kazi na kushindwa kuelewa nini chanzo au kipi kinakusumbua
2.Kwa akina mama kuumwa sana tumbo la hedhi pamoja na kutoa damu chache au nyingi sana.
3.Kwa mwanamke kupata maumivu sana wakati wa tendo la ndoa au kukosa hamu ya tendo hilo.
4.Kutembelewa na vitu mwilini.
5.Kuibiwa pesa pasina kujua au hata uzifiche vipi.
6.Kuota unafanya mapenzi au unaingiliwa kinyume na maumbile
7.Kuota ndoto za vitisho na kushtuka shtuka.
8.Chuki ndani ya ndoa hasa kutamania kuachwa au kuacha bila sababu za msingi.
9.Mtu kutoa maneno machafu kwa mwenzi wake na ikipita mda kidogo hujiwa na majuto.
10.Kufunga hedhi bila ya ujauzito au kutopata ujauzito bila sababu za msingi na kuumwa tumbo chini ya kitovu.
11.Kuota una ujauzito,unazaa,unanyonyesha au unabeba mtoto
12.Kuwa na hamu sana ya tendo la ndoa uwapo peke yako lakini ukutanapo na mwenzi wako hamu hutoweka,mwanaume nguvu hupotea.
13.Mwili kuwaka moto na miguu kushika ganzi.
14.Kuvurugika mipango ya kuoa au kuolewa mara kwa mara
15.Kuhisi uzito wa mwili k**a umebeba mzigo mzito.

Dalili hizi si mpaka mtu awe nazo zote hata baadhi tu hulenga tatizo hilo.
๐—œ๐—ž๐—œ๐—ช๐—” ๐—จ๐—ก๐—” ๐—›๐—œ๐—ญ๐—ข ๐——๐—”๐—Ÿ๐—œ๐—Ÿ๐—œ ๐—•๐—”๐—ฆ๐—œ ๐—ง๐—จ๐—ก๐—”๐—ž๐—จ๐—ฆ๐—›๐—”๐—จ๐—ฅ๐—œ ๐—จ๐—ง๐—จ๐— ๐—œ๐—˜ ๐—›๐—ญ๐—œ ๐——๐—”๐—ช๐—” ๐—›๐—”๐—ฃ๐—” ๐—ฃ๐—œ๐—–๐—›๐—”๐—ก๐—œ.
๐ŸŒฟโœ๏ธ๐—ฌ๐—” ๐—ฌ๐—จ๐—ง๐—”๐—ฅ๐—œ๐—— ๐—ฆ๐—œ๐—›๐—ฅ ๐— ๐—”๐—”๐—Ÿ๐—จ๐—  ๐—ž๐—ช๐—” ๐—ž๐—จ๐—Ÿ๐—” ๐—ก๐—”

๐ŸŒฟโœ๏ธ ๐— ๐—”๐—›๐—˜๐—ฅ ๐—ข๐—œ๐—Ÿ ๐—ž๐—ช๐—” ๐—ž๐—จ๐—ฃ๐—”๐—ž๐—”.
๐Š๐ฐ๐š ๐ฆ๐š๐ฐ๐š๐ฌ๐ข๐ฅ๐ข๐š๐ง๐จ ๐ณ๐š๐ข๐๐ข ๐ฐ๐ก๐š๐ญ๐ฌ๐€๐ฉ/๐๐ข๐ ๐š
+255767607724


KARIBU TUKUPATIE DAWA YA UHAKIKA ILI KUONDOSHA MATATIZO YAKO IWE MWILINI,KATIKA NDOA NA KAZINI KWA UWEZO WA MUNGU YATAKWISHA

TUMIA DAWA HIZI KWA AJILI YA 1.Mvuto wa mapenzi 2.Mvuto wa biashara 3.Kusafisha nyota   Tafuta dawa hizi๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡1.Mkonola2.Msu...
11/02/2026

TUMIA DAWA HIZI KWA AJILI YA
1.Mvuto wa mapenzi

2.Mvuto wa biashara

3.Kusafisha nyota

Tafuta dawa hizi๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡
1.Mkonola
2.Msulula
3.Msekela
4.Msikiwa
5.Kitachamwa
6.Kasera Bara
7.Itinginya
8.Igobangula.

UTAZICHANGANYA DAWA HIZO KWA KIPIMO SAWA.
KISHA
(A)K**a unataka kumrudisha mapenzi mke/mume.
utaanza kwa kuoga ili kusafisha mwili wako,baada ya kuoga utachoma kwa manuizi unayo yahitaji kwa mlengwa wako.

(B) Katika biashara tumia kuoga ingine weka katika mafuta ya kupaka na nyingine tumia kuchoma kwa mvuto wa biashara.

(C)Kusafisha nyota na mwili,Tia katika ndoo ya maji changanya na marashi jabali oga asubuhi na jioni kwa siku 14.

โœฆ๐—›๐—”๐—ž๐—œ๐—ž๐—œ๐—ฆ๐—›๐—” ๐—จ๐—ก๐—”๐—ฃ๐—˜๐—ช๐—” ๐——๐—”๐—ช๐—” ๐—›๐—œ๐—ญ๐—ข ๐—ญ๐—” ๐—จ๐—ž๐—ช๐—˜๐—Ÿ๐—œ ๐—ก๐—” ๐—›๐—”๐—Ÿ๐—œ๐—ฆ๐—œ.

KWA WENYE UHITAJI DAWA HIYO ILIYOKAMILIKA VIZURI AU KWA MAELEKEZO ZAIDI TUPIGIE AU WHATSAPP.
+255767607724
Twaib Herbal Products

10/02/2026

DAWA YA TEZI DUME KOPO 1 NI 20,000 Lenye ujazo mkubwa.
Na dozi chupa 4 kwa 80,000Tsh.

Ukipata dozi yake kamili hakika utafurahi kwa uwezo wa Mungu.
Hii ni nzuri sana kwa uwezo wa Allah itampa mgonjwa matokeo chanya๐Ÿ™.
0767607724.

๐—ฃ๐—ข๐—ก๐—” ๐—ง๐—˜๐—ญ๐—œ ๐——๐—จ๐— ๐—˜ ๐—•๐—œ๐—Ÿ๐—” ๐—จ๐—ฃ๐—”๐—ฆ๐—จ๐—”๐—๐—œ ๐—ž๐—ช๐—” ๐—ž๐—จ๐—ง๐—จ๐— ๐—œ๐—” ๐——๐—”๐—ช๐—” ๐—›๐—œ๐—œ ๐—ฌ๐—”:๐Ÿ‘‡   ๐—ฃ๐—ฅ๐—ข๐—ฆ๐—ง๐—”๐—ง๐—˜ ๐—–๐—”๐—ฅ๐—˜       ๐—ง๐—˜๐—ญ๐—œ ๐——๐—จ๐— ๐—˜: ๐—ก๐—ผ 1 Hii ni dawa maalum ya unga ...
10/02/2026

๐—ฃ๐—ข๐—ก๐—” ๐—ง๐—˜๐—ญ๐—œ ๐——๐—จ๐— ๐—˜ ๐—•๐—œ๐—Ÿ๐—” ๐—จ๐—ฃ๐—”๐—ฆ๐—จ๐—”๐—๐—œ ๐—ž๐—ช๐—” ๐—ž๐—จ๐—ง๐—จ๐— ๐—œ๐—” ๐——๐—”๐—ช๐—” ๐—›๐—œ๐—œ ๐—ฌ๐—”:๐Ÿ‘‡

๐—ฃ๐—ฅ๐—ข๐—ฆ๐—ง๐—”๐—ง๐—˜ ๐—–๐—”๐—ฅ๐—˜
๐—ง๐—˜๐—ญ๐—œ ๐——๐—จ๐— ๐—˜: ๐—ก๐—ผ 1
Hii ni dawa maalum ya unga kwa kutibu matatizo yote ya Tezi dume,na ni kinga na tiba ya maradhi ya tezi dume k**a vile:
1.Maumivu wakati wa kukojoa au baada ya tendo la ndoa

2.Maumivu katika uume, korodani, au eneo kati ya korodani na sehemu ya haja kubwa.

3.Damu kwenye mkojo na usumbufu mkali ndani ya tumbo

4.Kupata mkojo dhaifu au kutoka kwa shida.

5.Homa,baridi,au maumivu ya mwili

6.Shida ya kudhibiti kibofu pindi unapochelewesha kukojoa.

7.Kutokuwa na uwezo wa kibofu kuhifadhi mkojo.

8.Kupata mkojo wenye harufu isiyo ya kawaida au rangi.
MATUMIZI:
Tia kijiko 1 kikubwa cha chakula katika uji mwepesi au chai kutwa mara tatu.(1X3).
๐Š๐จ๐ฉ๐จ 1 ๐ง๐ข 20000 ๐ง๐š ๐๐จ๐ณ๐ข ๐ก๐ฎ๐š๐ง๐ณ๐ข๐š ๐ค๐จ๐ฉ๐จ 4.
๐ƒ๐จ๐ณ๐ข ๐ฒ๐š ๐œ๐ก๐ฎ๐ฉ๐š ๐ก๐ข๐ณ๐จ ๐ณ๐จ๐ญ๐ž ๐ง๐ข 80,000๐“๐ฌ๐ก

๐„๐ง๐ ๐ฅ๐ข๐ฌ๐ก
๐—ฃ๐—ฅ๐—ข๐—ฆ๐—ง๐—”๐—ง๐—˜ ๐—–๐—”๐—ฅ๐—˜ ๐—ก๐—ผ 1
Is the special powerful herbal prepared well as a powder formula for all prostate immune and treatment such as:
1.Pain while urinating or after ej*******on

2.Pain in the p***s, sc***um, or the area between the sc***um and a**s.

3.blood in the urine
and severe discomfort in the abdomen.

4.A weak urine stream or dribbling at the end of urinating

5.Fever, chills, or body aches.

6.Trouble controlling the bladder, such as stopping or delaying urination.

7.Inability to empty the bladder completely

8.Urine with an unusual odor or color
USAGE:
Put 1 tablespoon in porrigde or tea,third times a day(1x3)

๐—™๐—ฟ๐—ฒ๐—ป๐—ฐ๐—ต
๐—ฃ๐—ฅ๐—ข๐—ฆ๐—ง๐—”๐—ง๐—˜ ๐—ฆ๐—ข๐—œ๐—ก๐—ฆ ๐—ก๐—ผ 1
Le puissant ร  base de plantes est-il prรฉparรฉ par une formule de poudre pour toute la prostate immunitaire et traitement telles que:

1.Pain en urinant ou aprรจs l'รฉjaculation

2.Pain dans le pรฉnis, le sc***um ou la zone entre le sc***um et l'a**s.

3.blood dans l'urine
et inconfort sรฉvรจre dans l'abdomen.

4.Une flux d'urine faible ou dribble ร  la fin de l'urinant

5.frever, frissons ou douleurs corporels.

6.Trouvez contrรดler la vessie, telle que l'arrรชt ou le retardement de la miction.

7.abilitรฉ de vider complรจtement la vessie

8.Une avec une odeur inhabituelle ou une couleur

Utilisation:
Mettez 1 cuillรจre ร  soupe ร  Porrigde ou au thรฉ, troisiรจme fois par jour (1x3)

#๐‚๐Ž๐๐“๐€๐‚๐“ ๐–๐ˆ๐“๐‡ ๐”๐’:
0767 607 724

09/02/2026

Shamba na wenye shamba๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

๐€๐‘๐“๐‡๐‘๐ˆ๐“๐ˆ๐’ ๐ƒ๐€๐–๐€ ๐˜๐€ ๐๐€๐‘๐€๐ƒ๐ˆ ๐˜๐€๐๐ˆ๐’   0767607724 (๐œ๐š๐ฅ๐ฅ/๐ฐ๐ก๐š๐ญ๐ฌ๐€๐ฉ)
09/02/2026

๐€๐‘๐“๐‡๐‘๐ˆ๐“๐ˆ๐’
๐ƒ๐€๐–๐€ ๐˜๐€ ๐๐€๐‘๐€๐ƒ๐ˆ ๐˜๐€๐๐ˆ๐’
0767607724 (๐œ๐š๐ฅ๐ฅ/๐ฐ๐ก๐š๐ญ๐ฌ๐€๐ฉ)

๐™๐ˆ๐…๐€๐‡๐€๐Œ๐” ๐…๐€๐ˆ๐ƒ๐€ ๐™๐€ ๐Š๐”๐๐˜๐–๐€ ๐‰๐”๐ˆ๐’๐ˆ ๐˜๐€ ๐๐€๐Œ๐ˆ๐€(๐‘ถ๐’Œ๐’“๐’‚ ๐‘ฑ๐’–๐’Š๐’„๐’†)๐Ÿฅ’๐Ÿง‹ 1.  Huboresha usagaji chakula. 2. Inaweza kuboresha mwonekano wa n...
08/02/2026

๐™๐ˆ๐…๐€๐‡๐€๐Œ๐” ๐…๐€๐ˆ๐ƒ๐€ ๐™๐€ ๐Š๐”๐๐˜๐–๐€ ๐‰๐”๐ˆ๐’๐ˆ ๐˜๐€ ๐๐€๐Œ๐ˆ๐€(๐‘ถ๐’Œ๐’“๐’‚ ๐‘ฑ๐’–๐’Š๐’„๐’†)๐Ÿฅ’๐Ÿง‹

1. Huboresha usagaji chakula.
2. Inaweza kuboresha mwonekano wa ngozi.
3. Inaweza kusaidia juhudi za kupunguza uzito.
4. hupunguza cholesterol
5. Huweza kusawazisha homoni na kuongeza ute wa uke.
6. huongeza uwezo wa kuona
7. Ina vitamini na antioxidants nyingi (kuzuia kuzeeka)
8. kuboresha afya ya uke
9. Huweka usawa wa homoni
10. Huongeza furaha ya tendo la ndoa
11. kuboresha stamina ya tendo la ndoa kwa wanaume
12. huongeza uimala wa nyuzi nyuzi kwenye muscles pia huongeza kiwango cha ute ute kwenye joint pia kumfanya manaume awe na uwezo vizuri wa kuhimili tendo.
13. Kuzuia vidonda vya tumbo.
14. Nzuri kwa wajawazito kwa afya ya mtoto.
15. Kuzuia anemia kwa wenye matatizo ya sickle cell disease.
16. Ni chanzo kizuri cha amino asidi.
17. Huboresha mfumo wa hewa, kupata oxygen yakutosha.
18. Huboresha moyo, Mzunguko wa damu, Hii ni nzuri kwa wanaume wakati wa game.
19. Husaidia kwa wenye matatizo ya tumbo (Irritable Bowel syndromes).
20. Kurekebisha kiwango cha sukari kwenye damu.

๐‰๐ข๐ง๐ฌ๐ข ๐ฒ๐š ๐ค๐ฎ๐š๐ง๐๐š๐š ๐ฃ๐ฎ๐ข๐ฌ๐ข ๐ฒ๐š ๐›๐š๐ฆ๐ข๐š(๐จ๐ค๐ซ๐š๐ก ๐ฃ๐ฎ๐ข๐œ๐ž)

Okra water (Maji ya bamia) unachukua bamia mbili au tatu katakata , unaweka kwenye kikombe yenye maji , ziache zikae masaa 5 hadi 8 kisha kunywa , au unaweza loweka asb ukanywa jion yake, au ukaloweka usiku ukanywa asb yake .
๐‘ฉ๐’๐’‡๐’š๐’‚ ๐’Œ๐’–๐’•๐’†๐’Ž๐’ƒ๐’†๐’๐’†๐’‚ ๐‘ด๐’‚๐’”๐’๐’Ž๐’ ๐’›๐’‚๐’Š๐’…๐’Š ๐’Œ๐’˜๐’‚ ๐’๐’‹๐’Š๐’‚ ๐’š๐’‚ ๐‘พ๐’‰๐’‚๐’•๐’”๐‘จ๐’‘๐’‘.
+255767607724

ZIJUE FAIDA ZA TENDE KIAFYATunda hili la tende limesheheni utajiri wa kiafya ya binadam Baadh ya utajiri uliopo katika t...
06/02/2026

ZIJUE FAIDA ZA TENDE KIAFYA

Tunda hili la tende limesheheni utajiri wa kiafya ya binadam Baadh ya utajiri uliopo katika tende Wanga, Vitamin B1 B2 B3, Protini, nyuzi nyuzi (fibers), Magnesium, potassium na mafuta hizi ni baadh ya vilivyomo katika Tende

UANDAAJI

Viungo

โ€ข Tende
โ€ข Maziwa / tui zito la N**i
โ€ข Tunda parachichi / ndizi au lolote (optional)
โ€ข Karanga unaweza pia kutumia almonds(lozi),korosho

NB: Katika utengenezaji viungo ni ubunifu wako

Namna ya kutengeza.

โ€ข Toa tende makokwa
โ€ข Weka katika blender pamoja na viungo ulivyochagua
โ€ข Saga hadi iwe laini iwe k**a uji mzito kiasi
โ€ข Weka kwa friji ipate baridi kidogo

MATUMIZ: Utatumia asubuh na jioni usawa wa kikombe cha chai au glasi

(i) Unaweza ukatumia Juice ya tende kwa maana ya tende ulizosaga pamoja na tende ambayo haikusagwa zote ukatumia pamoja

(ii) K**a utashindwa kusaga loweka tende hizo kisha utakunywa maji yake na tende utakula

FAIDA ZAKE

โ€ข KWA WANAWAKE WAJAWAZITO.

Mwanamke mjamzito akila tende ni chakula kizuri sana kwake humfanya awe na afya nzuri yeye na mtoto alie tumboni .Mwanamama mjamzito anatakiwa kutumia tende k**a chakula katika kipindi chote cha ujauzito au ikiwa bado wiki au mwezi kabla ya kujifungua hii humsaidia kwa kumrahisishia kuzaa kwa wepesi lakini pia wakati anapokuwa na uchungu humsaidia kupunguza makali ya uchungu wa uzazu Ulaji wa tende kwa mama mjamzito humsaidia pia katika kukuza kizazi na kutomfanya amwage dam nyingi wakati wa kujifungua na hata baada ya kujifungua anatakiwa aendelea kula kwasabab ya kumuondolea maumivu ya uzazi pamoja na kusafisha kizazi

โ€ข MMENG'ENYO WA CHAKULA

Ulaji wa tende huimarisha na kuboresha mfumo wa usagaji chakula tumboni, hivyo utaondokana na matatizo ya ukosefu wa choo, au matatizo ya kupata choo kigumu kinachosababisha maumivu wakati wa kujisaidia. Pia ndani ya tende kuna virutubisho vya โ€˜amino acidsโ€™ ambavyo ni muhimu mwilini.

โ€ข UKOSEFU WA NGUVU ZA KIUME

Kwa matatizo ya ukosefu wa nguvu za kiume, mchanganyiko maalum wa tende, maziwa, asali na unga wa..........
๐ˆ๐ญ๐š๐ž๐ง๐๐ž๐ฅ๐ž๐š ๐ฆ๐š๐ค๐š๐ฅ๐š ๐ˆ๐ฃ๐š๐ฒ๐จโœ๏ธ
+255767607724

๐ŸŒฟ๐Œ๐…๐€๐‹๐Œ๐„ ๐–๐€ ๐๐†๐”๐•๐” ๐™๐€ ๐Š๐ˆ๐”๐Œ๐„ ๐๐ˆ ๐‡๐ˆ๐ˆ ๐ƒ๐€๐–๐€ ๐˜๐„๐๐˜๐„ ๐Š๐”๐“๐ˆ๐๐” ๐Œ๐Ž๐‰๐€ ๐Š๐–๐€ ๐Œ๐Ž๐‰๐€.๐—ฃ๐—”๐—ฅ๐—ง๐—ก๐—˜๐—ฅ ๐—›๐—ข๐—ก๐—˜๐—ฌ"๐—ฅ๐ž๐ฃ๐ž๐ฌ๐ก๐š ๐Ÿ๐ฎ๐ซ๐š๐ก๐š ๐ฒ๐š ๐ง๐๐จ๐š"Dawa hii ni mchang...
04/02/2026

๐ŸŒฟ๐Œ๐…๐€๐‹๐Œ๐„ ๐–๐€ ๐๐†๐”๐•๐” ๐™๐€ ๐Š๐ˆ๐”๐Œ๐„ ๐๐ˆ ๐‡๐ˆ๐ˆ ๐ƒ๐€๐–๐€ ๐˜๐„๐๐˜๐„ ๐Š๐”๐“๐ˆ๐๐” ๐Œ๐Ž๐‰๐€ ๐Š๐–๐€ ๐Œ๐Ž๐‰๐€.

๐—ฃ๐—”๐—ฅ๐—ง๐—ก๐—˜๐—ฅ ๐—›๐—ข๐—ก๐—˜๐—ฌ
"๐—ฅ๐ž๐ฃ๐ž๐ฌ๐ก๐š ๐Ÿ๐ฎ๐ซ๐š๐ก๐š ๐ฒ๐š ๐ง๐๐จ๐š"

Dawa hii ni mchanganyiko wa asali na mitishamba yenye nguvu kutoka india,asia na Afrika Mashariki,husaidia kurudisha nguvu zako zilizopotea na kujenga hisia yako iliyopotea katika kushiriki tendo la ndoa.

๐…๐š๐ข๐๐š ๐ณ๐š๐ค๐ž:
1.Huongeza nishati mwilini zenye kusaidia kurudia tendo hapo kwa hapo.
2.Husaidia kuboresha nguvu za kiume wakati wote.
3.Husaidia uume kusimama na kuongeza ubora wa mbegu za kiume.
4.Hutatua matatizo ya kufika kileleni mapema.
5.Huongeza hamu na kujiamini katika tendo la ndoa.
6.Huboresha mzunguko wa damu na ni nzuri pia kwa waliojichua(punyeto)
๐Œ๐€๐“๐”๐Œ๐ˆ๐™๐ˆ:
Kula vijiko vya chakula 2 x 3
*Kinywaji asili kwa Nguvu za kiume*

๐Ž๐…๐€ ๐‡๐ˆ๐ˆ ๐ˆ๐’๐ˆ๐Š๐”๐๐ˆ๐“๐„.
๐๐„๐ˆ ๐Š๐–๐€ ๐ƒ๐Ž๐™๐ˆ ๐๐™๐ˆ๐Œ๐€: 30000 ๐ญ๐ฌ๐ก ๐ง๐š ๐”๐ญ๐š๐ฉ๐š๐ญ๐ข๐ฐ๐š ๐œ๐ก๐ฎ๐ฉ๐š 3 ๐ค๐ฐ๐š ๐ ๐ก๐š๐ซ๐š๐ฆ๐š ๐ก๐ข๐ฒ๐จ.
โœฆTunasafirisha ndani na nje ya Nchi kwa uwaminifu mkubwa.

TUNAPATIKANA ARUSHA.
๐–๐ก๐š??๐ฌ๐€๐ฉ๐ฉ/๐‚๐š๐ฅ๐ฅ ๐Ÿ“ž
+255767607724

Address

Https://maps. App. Goo. Gl/ZKQWWn4jDZtaHRKZ 6
Arusha
23122

Website

http://www.instagram.com/twaibherbal, https://wa.me/c/25576760772

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Twaib Herbal Products posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Twaib Herbal Products:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram