Ourhealth /afyayetu

Ourhealth /afyayetu TIBU .t.i .i.d # Uvimbe dume ya tumbo

09/11/2025

H. PYLORI NA VIDONDA VYA
TUMBO

H. Pylori (Helicobacter Pylori) ni aina ya bakteria wanaopatikana tumboni mwa binaadamu, Bakteria hawa wanaweza kuuishi kwenye ute wa tumbo na kusababisha maambukizi yanayoweza kupelekea vidonda vya tumbo (peptic ulcers) na hata saratani ya tumbo kwa baadhi ya watu.

Dalili ya Maambukizi ya H.pyroli

Dalili za maambukizi ya H. Pylori zinaweza kutofautiana kati ya watu na wengine huweza kuwa na maambukizi bila kuonyesha dalili za kawaida ni pamoja na ;

Dalili kuu za H. pyroli.

1) Maumivu ya tumbo - Hasa unapokuwa na njaa au kati ya mlo
2) Kuhisi kiungulia - Hisia ya moto kwenye kifua au koo.

3) Kichefuchefu - wakati mwingine kunaweza kuwa na kutapika.

4) Kuvimba tumbo - Hisia ya kushiba haraka au tumbo kujaa gesi.

5) Kupungua uzito bila sababu - Kutokana na kupungua hamu ya kula .

6) Kukosa hamu ya kula -Unaweza kujisikia kutopenda kula.

7) Kinyesi Cheusi au kilicho na damu - Inaweza kuwa ni ishara ya vidonda vya tumbo.

Athari za H. Pylori

Maambukizi ya H. Prolific yanaweza kuwa na athari mbalimbali mwilini, hasa ikiwa hayatatibiwa kwa muda mrefu, Athari zake ni zinaweze kuwa za kawaida au mbaya zaidi, kulingana na kiwango cha maambukizi.

Athari za H. Pyroli

i) Vidonda vya tumbo Peptic Ulcers.
~ h.pyroli huharibu utando wa kinga na tumbo na utumbo mdogo hivyo kuruhusu asidi ya tumbo kudhuru kuta za tumbo na kusababisha vidonda.

- dalili: maumivu ya tumbo, kichefuchefu, kiungulia na kutapika.

ii) Kuvimba kwa Tumbo (Gastritis)
~Bakteria hawa huweza kusababisha kuvimba kwa kuta za tumbo, hali inayojulikana k**a Gastritis.

- dalili: maumivu makali ya tumbo, kichefuchefu na hisia ya tumbo kujaa haraka.

iii) SARATANI ya tumbo (Stomach Cancer).
~maambukizi ya muda mrefu yanaweza kuongeza hatari ya kupata saratani ya tumbo hasa ikiwa kuna vidonda vya muda mrefu Gastritis sugu.

-dalili: Dalili za awali za saratani ya tumbo ni pamoja na kupungua uzito bila sababu, kukosa hamu ya kula, na maumivu ya tumbo yasiyo isha.
(iv) Upungufu wa damu (Anemia) ya upungufu wa chuma.

~H.pyroli inaweza kusababisha kutokwa na damu pole pole tumboni jambo linaloweza kusababisha Anaemia.

- dalili: uchovu mwingi, udhaifu ngozi kuwa na rangi hafifu (pale)
(V) Kudhoofisha kinga ya mwili.
Maambukizi ya muda mrefu yanaweza kuchochea mwili kutoa kemikali za vichocheo, ambazo zinaweza kudhoofisha kinga na kusababisha magonjwa mengine ya mfumo wa chakula.

Tutakusaidia kupata suluhisho la kudumu kuondoa H.Pyroli, Minyoo sugu walioshindikana, kutibu vidonda vya tumbo kikamilifu ,matatizo ya gesi tumboni.
Kwa mawasiliano wasiliana nami kwa

0765 163 943

Whatsapp tupo Daresalaam, utapata huduma mkoa wowote Tanzania na nchi jiraani delivery kwa daresalaam ipo.

 # # # **UJUE UGONJWA WA BAWASILI (HEMORRHOID)**  **Dalili, Madhara na Suluhisho Bila Upasuaji****Bawasili** ni hali ya ...
09/11/2025

# # # **UJUE UGONJWA WA BAWASILI (HEMORRHOID)**

**Dalili, Madhara na Suluhisho Bila Upasuaji**

**Bawasili** ni hali ya kuvimba kwa mishipa midogo ya damu (vena) inayozunguka eneo la tundu la haja kubwa. Mishipa hii inapovimba, husababisha vimbe au vinyama kuota katika eneo hilo, na mara nyingine kupasuka na kutoa damu. Hali hii huweza kusababisha maumivu, usumbufu mkubwa na hata kuathiri maisha ya ndoa au afya ya akili.

---

# # # **AINA ZA BAWASILI**

1. **Bawasili ya Ndani** – Hutokea ndani ya tundu la haja kubwa.
2. **Bawasili ya Nje** – Huonekana k**a uvimbe au kinyama nje ya tundu la haja kubwa.

---

# # # **CHANZO CHA BAWASILI**

- Kukaa kwa muda mrefu bila kusimama (madereva, maofisini)

- Kutumia nguvu nyingi wakati wa kujifungua

- Kufanya ngono kinyume na maumbile

- Choo kigumu (constipation) mara kwa mara

- Kutumia vyoo vya kukaa bila kujisaidia kikamilifu

- Kunyanyua vitu vizito au kufanya mazoezi mazito

- Lishe duni isiyo na nyuzi nyuzi (fiber)

---

# # # **DALILI ZA BAWASILI**

- Kuwashwa mara kwa mara sehemu ya haja kubwa

- Maumivu makali wakati wa kujisaidia

- Kutoka damu wakati wa haja kubwa

- Kuota kinyama ndani au nje ya tundu la haja kubwa

- Kukosa hamu ya tendo la ndoa, kushindwa kukaa vizuri, au kupungua nguvu za kiume

---

# # # **MADHARA YA BAWASILI**

- Upungufu wa damu kutokana na kutokwa na damu mara kwa mara

- Kudhoofika kwa mwili na kinga ya mwili

- Kukosa hamu ya tendo la ndoa au nguvu za kiume

- Kuathirika kisaikolojia (msongo, huzuni)

- Kupoteza uwezo wa kujizuia kujisaidia
- Hatari ya kupata saratani ya utumbo mpana

---

# # # **SULUHISHO SALAMA BILA UPASUAJI**
Watu wengi hupelekwa hospitali kwa ajili ya upasuaji wa bawasili, lakini ukweli ni kwamba ugonjwa huu mara nyingi hurudi tena hata baada ya upasuaji.

**Habari njema ni kwamba sasa kuna bidhaa asilia, salama na zenye nguvu ya kuondoa kabisa uvimbe wa bawasili bila haja ya upasuaji.** Bidhaa hizi husaidia:

- Kupunguza uvimbe kwa haraka
- Kuponya mishipa iliyopasuka
- Kupunguza maumivu na kuwashwa
- Kurudisha afya ya mfumo wa haja kubwa

---

# # # **JE UNASUMBULIWA NA BAWASILI?**
Usikubali kuishi na maumivu au aibu. Wasiliana nasi kwa ushauri na tiba salama.

**Dr Nicky**
**Mawasiliano: 0765 163 943**

06/11/2025
*DALILI KUU:*  🔸 Maumivu ya tumbo la chini mara kwa mara  🔸 Kutokwa na uchafu usio wa kawaida ukeni  🔸 Maumivu wakati wa...
22/10/2025

*DALILI KUU:*

🔸 Maumivu ya tumbo la chini mara kwa mara
🔸 Kutokwa na uchafu usio wa kawaida ukeni
🔸 Maumivu wakati wa tendo la ndoa
🔸 Kukosa hamu ya tendo la ndoa
🔸 Mzunguko wa hedhi kuwa wa shida au kutofautiana
🔸 Harufu mbaya ukeni
🔸 Kukosa uzazi (infertility)

*MADHARA YA KUTOPONA MAPEMA:*

⚠️ Kuathiri uzazi (kukosa mtoto)
⚠️ Maumivu sugu ya nyonga
⚠️ Fangasi wa mara kwa mara
⚠️ Msongo wa mawazo na mabadiliko ya homoni
⚠️ Maambukizi kuenea hadi kwenye kizazi au mirija ya uzazi

---

✅ *SULUHISHO:*

Tunayo *tiba ya virutubisho lishe (supplements)* zinazosaidia:
🔹 Kusafisha kizazi
🔹 Kuondoa uchafu na sumu
🔹 Kurekebisha homoni
🔹 Kuimarisha afya ya uzazi
🔹 Kuondoa maumivu na fangasi

📞 *Piga au WhatsApp:* *0765 163 943*
👉 *Afya ya mwanamke ni msingi wa familia bora!*

---

**







**

💬 UJUMBE WA USHAURI KUHUSU MATUMIZI YA PRO'STREUKIONA DALILI HIZI, JUA TEZI DUME YAKO IPO HATARINI 👇• Kukojoa mara kwa m...
20/10/2025

💬 UJUMBE WA USHAURI KUHUSU MATUMIZI YA PRO'STRE

UKIONA DALILI HIZI, JUA TEZI DUME YAKO IPO HATARINI 👇

• Kukojoa mara kwa mara hasa usiku 🕓
• Maumivu au kuchoma wakati wa kukojoa 🚻
• Mkojo kutoka kwa shida au kwa matone
• Maumivu chini ya tumbo au kiuno
• Kushuka kwa nguvu za kiume au hamu ya tendo la ndoa

⚠️ Ukianza kuona dalili hizi, ni ishara kuwa tezi dume yako (Prostate) inavimba au imeanza kuwa na matatizo.
Usipuuzie! Hakikisha unatumia kirutubisho cha ProstatRelax (Pro’s) kwa ajili ya kutibu na kulinda tezi dume yako mapema kabla hali haijawa mbaya.

KWANINI UTUMIE PRO'STRE

1. Hutibu uvimbe na maumivu ya tezi dume.
2. Kusaidia mkojo kutoka vizuri bila maumivu wala kubanwa.
3. Kupunguza kukojoa mara kwa mara, hasa usiku.
4. Kuongeza nguvu za kiume na hamu ya tendo la ndoa.
5. Kuboresha afya ya mfumo wa mkojo na figo.
6. Kulinda tezi dume dhidi ya maradhi ya baadaye.

💪 FAIDA ZA PRO'STRE

✅ Ni ya asili 100%, haina kemikali wala madhara.
✅ Hurejesha nguvu za kiume na stamina.
✅ Huimarisha afya ya tezi dume kwa muda mrefu.
✅ Huongeza mzunguko mzuri wa damu mwilini.
✅ Hutoa amani ya akili kwa kupunguza usumbufu wa kukojoa mara kwa mara.

Usisubiri maumivu yaanze — kinga afya yako leo kwa kutumia ProstatRelax!
Afya yako ni mtaji wako. 🩵

☎️0765 163 943

DALILI 9 ZA HOMA YA INI ✓Manjano✓Mkojo mweusi✓Kutapika Mara kwa Mara✓Homa Kali na za Mara kwa Mara✓Kukosa hamu ya kula✓K...
03/10/2025

DALILI 9 ZA HOMA YA INI

✓Manjano

✓Mkojo mweusi

✓Kutapika Mara kwa Mara

✓Homa Kali na za Mara kwa Mara

✓Kukosa hamu ya kula

✓Kuharisha

✓Maumivu ya tumbo hasa ubavu wa kulia

✓Mwili kuchoka

✓Maumivu ya viungo

MADHARA YA HOMA YA INI ( hepatitis B )

• Saratani ya Ini

• Figo zote kufeli ( ini Kushindwa kufanya kazi zake )

• Kifo

HATUA NNE ZA KUTIBU HOMA YA INI 100%

• Homa ya ini inaweza kutibiwa kwa kutumia virutubisho lishe pekee hivyo hukinza na virus

1. KUONGEZA KINGA ZA MWILI
Virutubisho lishe pekee ndivyo vinaweza kukuongezea Kinga za mwili ( body immunity )

2. KUZUIA ONGEZEKO LA VIRUS
Virutubisho hivi husaidia kuongeza steroids ambazo hupambana na virus

3. KUFANYA VIRUS KUWA DORMANT
Kawaida virus anaweza kubadilika kuwa kiumbe kisicho hai kwa kutumia kiwambo chake ( Cell membrane with protein coat ) hali hii hupelekea urahisi wa kuviondoa virus hivyo kwa PHAGOCYTOSIS

4. PHAGOCYTOSIS
Hii ni hatua ya mwisho ambayo virusi vya hepatitis B huondolewa mwilini kwa kutumia Kinga za mwili, na hivi ndio huondolewa baada ya kuwa dormant ( non living state ) na hapa mtu hutoka kuwa POSITIVE Hadi NEGATIVE kwa kipindi Cha miezi sita mfululizo ya matumizi ya dose uhakika 100%

Wasiliana nami kwa 0765 163 943

26/09/2025

Usiogope suluisho limepatikana ipo Tiba inauwezo WA kutoa Uvimbe WA Tezi dume bila upasuaji lakin pia ni ant kansa

Tupigie Sasa Kwa Ushauri na Tiba Zaidi
0765 163 943

🩺 MAGONJWA YA WANAWAKE – DALILI, MADHARA NA SULUHISHO**DALILI KUU:*  🔸 Maumivu ya tumbo la chini mara kwa mara  🔸 Kutokw...
25/09/2025

🩺 MAGONJWA YA WANAWAKE – DALILI, MADHARA NA SULUHISHO*

*DALILI KUU:*
🔸 Maumivu ya tumbo la chini mara kwa mara
🔸 Kutokwa na uchafu usio wa kawaida ukeni
🔸 Maumivu wakati wa tendo la ndoa
🔸 Kukosa hamu ya tendo la ndoa
🔸 Mzunguko wa hedhi kuwa wa shida au kutofautiana
🔸 Harufu mbaya ukeni
🔸 Kukosa uzazi (infertility)

*MADHARA YA KUTOPONA MAPEMA:*
⚠️ Kuathiri uzazi (kukosa mtoto)
⚠️ Maumivu sugu ya nyonga
⚠️ Fangasi wa mara kwa mara
⚠️ Msongo wa mawazo na mabadiliko ya homoni
⚠️ Maambukizi kuenea hadi kwenye kizazi au mirija ya uzazi

---

*✅ TIBA YA ASILI:*
Tunayo *tiba ya virutubisho lishe (supplements)* zinazosaidia:
🔹 Kusafisha kizazi
🔹 Kuondoa uchafu na sumu
🔹 Kurekebisha homoni
🔹 Kuimarisha afya ya uzazi
🔹 Kuondoa maumivu na fangasi

📞 *Piga au WhatsApp:* *0765 163 943*
👉 *Afya ya mwanamke ni msingi wa familia bora!*

-

*Pure and Broken*:---🦠 *Unajua kwanini tunaugua mara kwa mara?*  Sababu kubwa ni *kupungua kwa kinga ya mwili (immune sy...
20/09/2025

*Pure and Broken*:

---

🦠 *Unajua kwanini tunaugua mara kwa mara?*
Sababu kubwa ni *kupungua kwa kinga ya mwili (immune system)*. Hii hutokana na msongo wa mawazo, lishe duni, uchovu mwingi, au matumizi ya kemikali nyingi.

Dalili za kinga kuwa chini ni pamoja na:
❌ Kuumwa kila mara (mafua, homa, kikohozi)
❌ Vidonda kutopona haraka
❌ Uchovu wa mara kwa mara
❌ Mzio wa kila kitu na hata fangasi kurudi-rudi

🌿 *PURE AND BROKEN* ni bidhaa ya asili inayosaidia:
✅ Kuimarisha kinga ya mwili haraka
✅ Kufuta sumu (detox) kwenye mwili
✅ Kulinda mwili dhidi ya magonjwa sugu
✅ Kuboresha seli na kuongeza nguvu mwilini

Ni salama kwa watu wa rika zote — *wanaume, wanawake, wazee na hata wagonjwa waliopona au waliopata upasuaji.*

📞 *Wasiliana nami sasa ujipatie PURE AND BROKEN*
*Simu/WhatsApp: 0765 163 943*

👉 Afya yako ni kinga yako!




Address

Kalolen
Arusha

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:30
Tuesday 09:00 - 17:30
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:30
Friday 09:00 - 17:30
Saturday 09:00 - 17:30

Telephone

+255765163943

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Ourhealth /afyayetu posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram