Zamzam supplement

Zamzam supplement AFYA IMARA tunatatua changamoto mbalimbali za kiafya ,mfano bawasiri tezi dume pia changamoto za uzazi kwa ujumla n.k

Karibu sanaa nikuhudumia kwa namba 0626428962
19/09/2022

Karibu sanaa nikuhudumia kwa namba 0626428962

TIBA YA VIDONDA VYA TUMBO BILA MADHARAVidonda vya tumbo(peptic ulcers)ni michubuko au vidonda vinavyoweza kutokea sehemu...
15/09/2022

TIBA YA VIDONDA VYA TUMBO BILA MADHARA

Vidonda vya tumbo(peptic ulcers)ni michubuko au vidonda vinavyoweza kutokea sehemu yoyote katika mfumo wa usagaji wa chakula (digestive system),zipo Aina Kuu Mbili Za Ulcers
1.Gastric ulcers(tumboni)
2.Doudenal ulcers (utumbo mwembamba)

SABABU ZA VIDONDA VYA TUMBO
■Helicobacter pylori, huyu ni bacteria ambae kwa asilimia kubwa husababisha vidonda vya tumbo kwa kuharibu kuta za tumbo(layers) na kusababisha vidonda.
Pia kuna mazingira ambayo yanaweza kufanya mtu akaugua vidonda vya tumbo k**a
▪️stress
▪️kutozingatia mda wa kula
▪️kula vyakula vyenye Acid nyingi
▪️uvutaji wa sigara
▪️unywaji wa pombe
▪️madawa ya hospitalini (Antibiotics)

DALILI ZA VIDONDA VYA TUMBO
●Kuhisi Maumivu Makali Tumboni,Kuhisi Tumbo Linawaka Moto
●Kupata Gesi tumboni(kuvimbiwa)Ukila vyakula Fulani
●Kukosa/Kupata Choo Kigumu chenye rangi nyeusi na harufu mbaya
●Kupata Kiungulia karibu na chembe ya moyo,Kuchoka bila sababu maalum
●Kuumwa mgongo au kiuno,Kupungukiwa nguvu za kiume
●Kizunguzungu,Kukosa Usingizi,Kutapika nyongo,
Kichefuchefu
●Kutapika damu au kuharisha,Sehemu za mwili kupata ganzi
●Kukosa hamu ya kula,Kusahausahau na hasira bila sababu

SULUHISHO
Uonapo dalili hizo ni vyema kufanya vipimo kujua ni aina gani ya Ulcers,
K**a Umeshapima Na kutumia dawa Za Aina Mbalimbali bila Mafanikio...NINA HABARI NJEMA KWAKO

Tunatibu kwa Tibalishe Zenye Ubora Zilizofanyiwa Utafiti(Sio Za Hospitali, Pia Sio Za Kienyeji) hivyo kukupa uhakika kupona bila kuleta madhara kwenye mifumo mingine ya mwili. Watu Niliowapa Tiba Hii Wamepona Kabisa,Wewe pia Unaweza Kupona.
Hata hivyo ukubwa wa dose unategemea na ukubwa wa tatizo lenyewe

Wasiliana Nami WhatsApp👇👇👇
0626428962

Jee unasumbuliwa na vidonda vya tumbo mda mrefu au ndo nimeanza? Usichelewee karibu nikutatulie changamoto hiyo pasina m...
10/09/2022

Jee unasumbuliwa na vidonda vya tumbo mda mrefu au ndo nimeanza? Usichelewee karibu nikutatulie changamoto hiyo pasina madhara yoyote . Tusikariri sanaa , siku zoteeeeeee mwili unahitaji virutubishoo na sio kemikali ,.
Kwa mawasiliano zaidi piga no.
0626428962

Hii inaitwa EXTRAPOWERMAN PLUS capsules...Ni bidhaa adimu kutoka los angels,marekani imetengenezwa kwa viambata vinne vi...
07/09/2022

Hii inaitwa EXTRAPOWERMAN PLUS capsules...

Ni bidhaa adimu kutoka los angels,marekani imetengenezwa kwa viambata vinne vifuatavyo na Kazi Zake

●MACCA ROOTS-kazi yake ni kuongeza kiwango cha homoni ya kiume(testosterone),huongeza hamu ya tendo,huongeza ubora na wingi wa mbegu za kiume,

●EPIMEDIUM -kwa jina lingine huitwa "h***y goat w**d" hufungua mishipa ya damu katika uume na sehemu nyingine za mwili hivyo kuruhusu damu kusambaa vizuri na kusaidia kusimamisha kwa muda mrefu

●TONGKAT ALI-huu ni mmea ambao mizizi yake imethibitishwa kuimarisha misuli ya uume na kuufanya kuwa mgumu k**a msumari ukisimama hivyo kuongeza ukubwa wa uume

●BLACK GINGER-hii ni tangawizi nyeusi,utafiti umeonesha inasaidia kuupa mwili nguvu ya hivyo husaidia kudumu kwenye tendo kwa muda mrefu bila kuchoka,pia inasaidia kuweza kurudia tendo zaidi ya mara tatu

●VYOTE HIVYO unavipata ndani ya kidonge cha xpower man capsules plus
chupa moja ni dose ya siku 30,yaani mwezi mzima
ukitumia dose hii tatizo hili litakuwa historia kwako
Nitafute kwa namba
0626428962

Tatua changamoto ya uvimbe wa aina yoyote kwenye mwili wako pasina uparesheni wowote mfano tezi dume ,bawasiri , vimbe z...
06/09/2022

Tatua changamoto ya uvimbe wa aina yoyote kwenye mwili wako pasina uparesheni wowote mfano tezi dume ,bawasiri , vimbe za uzazi nakadhalika

Nicheki namba 0626428962

Nicheki namba 0626428962
03/09/2022

Nicheki namba 0626428962

Address

Arusha

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00

Telephone

+255626428962

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Zamzam supplement posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram