Yunusu AFYA Clinic

Yunusu AFYA Clinic NAWASAIDIA WATU WENGI WENYE CHANGAMOTO ZA MIFUPA NA MAUNGIO.

07/10/2025

Dose ni siku 30- 90

07/10/2025

TIBA YA UHAKIKA PIGA SIMU :0764222104
Cervical arthritis inatibika.

25/09/2025

ARTHRITIS-Ni ugonjwa unaotokea kwenye maungio baadaya ya matokeo ya kuchoka au kuchakaa kwa kiungo husika,kutokana na sababu tofauti tofauti.kabla ya kuangalia sababu tuangalie Aina za ugonjwa huu.
• gout Arthritis,hii hutokea kutokana na kuzidi kwa Uric acid mwili.
• Rheumatoid arthritis,ni Aina ya arthritis inayotokea baada ya shambulio la kinga ya mwili au historia ya familia.
• Osteoarthritis,hii ni aina ya arthritis ambayo ndio inasababu nyingi sana k**a vile,uzito mkubwa,Ajali,aina za kazi,umri mkubwa,lishe duni nk.
K**a upo hapa na umesumbuka na maumivu haya muda mrefu NIPIGIE SIMU NIKUSAIDIE.0764222104

23/09/2025

Moja ya dalili za mtu mwenye tatizo la bawasili ni kupata maumivu ya nyonga, mgongo na
kukak**aa kwa misuli ya nyonga,hii inawafanya
watu wengi sana kuendelea kutibu tatizo la maumivu bila kupata MATOKEO yoyote,k**a
changamoto hii imekusumbua muda mrefu tafadhali chukua namba yangu bio,niweze
kukusaidia.
|-| -

21/09/2025

K**a Unafanya Kazi zifuatazo chukua hatua mapema
• mwalimu
•HR
• secretary
• wakala wa miamala ya fedha.
• Dereva wa masafa
• Fundi cherehani.
chukua hatua mapema ya kujikinga na matatizo ya maumivu makali ya shingo na mgongo.
K**a tayar una changamoto hii chukua namba yangu bio kwa ushauri na suluhisho.

-l

21/09/2025



Piga simu : 0764222104

21/09/2025

Sigara na tumbaku ni Aina ulevi unapendwa na watu wengi, bila kujali kuhusu madhara, Matumizi makubwa ya sigara na tumbaku ni Atari kwa Afya mifupa kutokana na kiwango kikubwa cha ni****ne,
Ni****ne ina athiri Mifupa k**a ifuatavyo.
• inadhoofisha mifupa kwa kupunguza Gonzalo wa calcium
• inapungiza density ya mifupa hivyo huweza kusababisha osteoporosis.
•Hupunguza ukuaji wa mifupa
• Hupunguza uwezo wa damu na oxygen kufikia
cell za mifupa.
K**a unataman kuacha kuvuta sigara na tumbaku pia unapitia maumivu ya mifupa na viungo au
madhara mengine, chukua namba yangu kwenye bio nikupe tiba sahihi. •l

20/09/2025

Uric Acid ni kemikali ya asilia ambayo inapatikana katika mwili wa binadamu. Kemikali hii hupatikana baada ya kuvunjwa vunjwa kwa vyakula ambavyo
ndani
yake kuna kundi la kemikali aina ya "Purine" ambayo baada ya kuvunjwa ndipo huzalisha kitu
kinachojulikana k**a "Uric Acid".
Kiwango hiki kikizidi mwilini, kinapelekea
magonjwa ya maungio (GOUT ARTHRITIS) vile vile
unaweza kusababisha make kwenye figo (KIDNEY
STONE).
K**a umesumbuka na tatizo hili kwa muda mrefu nipigie simu nikusaidie dawa zitakazo kuponesha
ndani ya siku 30 tu.
|-l

20/09/2025

JE UNAFAHAMU NINI KUHUSU MLENDA,?watu wenye changamoto za maumivu ya viungo
wanashauriwa kutumia zaidi mboga hii mara kwa mara Angalau miezi mitatu mfululizo,
Kwa ushauri zaidi chukua namba yangu bio, nipigie nikusaidie. 4m

18/09/2025

pain
Call 0764222104 for treatment.

18/09/2025

BAMIA, Zina uwezo mkubwa sana wa kusaidia kuzalisashwa kwa ute ute kwenye
maungio, hususani wale watu wenye shida za maumivu makali ya viungo, fanya program hil Angalau ndani ya wiki 2, na k**a muda wako unakubana na huwezi kuandaa Au umetumia bila matokeo mazuri, basi inawezekana tatizo lako ni kubwa na linahitaji usaidizi wa matibabu.nipigie simu niweze kukusaidia.

18/09/2025

Tumia mchanganyiko huu angalau week 1, kwa watu wenye changamoto za mifupa na viungo unaweza kutumia mchanganyiko angalau miezi 6-9, ukiwa mazingira hayaruhusu au umetumia bila matokeo mazuri, nitafute nikupe dawa ya kumaliza tatizo.


Address

Arusha/ARUSHA MALL , (makao Mapya)
Arusha

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00
Sunday 09:00 - 17:00

Telephone

+255766786266

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Yunusu AFYA Clinic posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Yunusu AFYA Clinic:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram