JENGA AFYA YAKO SASA

JENGA AFYA YAKO SASA EMANUELY MSHAURI WA AFYA NA MTOA HUDUMA WA CHANGAMOTO MBALIMBALI ZA AFYA;!?MFANO TEZ DUME BILA UPASUAJI BAWASIRI UTI PID 0672518275

AFYA YA NGOZI YAKO HUTEGEMEA SANA VITU VIFUATAVYO1. CHAKULA UNACHOKULA2. VITU UNAVYOILISHA NGOZI YAKO (mafuta ,sabuni, m...
12/09/2022

AFYA YA NGOZI YAKO HUTEGEMEA SANA VITU VIFUATAVYO

1. CHAKULA UNACHOKULA
2. VITU UNAVYOILISHA NGOZI YAKO (mafuta ,sabuni, maji na rosheni)
3. MAZINGIRA UNAYOISHI (vumbi, jua kali, hewa chafu, uwepo wa vijidudu na bakteria ) 4. MAZOEZI (kuondoa mafuta yaliyizidi na sumu ) 5. KINGA ZA MWILI
6. DAWA UNAZOTUMIA CHAKULA CHA NGOZI KWA AFYA YAKO
👉 ASALI
👉 huhifadhi unyevunyevu wa ngozi na kuzuia kukauka kwa ngozi
👉 hukarabati majeraha na vidonda kwenye ngozi huzuia mashambulizi ya vijidudu vya magonjwa ya ngozi na kulinda afya ya ngozi yako

B. VYAKULA VYA BAHARINI (SAMAKI), maana vina utajiri wa madini ya zinc na OMEGA3
👉 hivi husaidia kuondoa chunusi,harara
👉 hufufua seli hai za mwili na kukufanya ngozi inga'e na kuwa na mvuto C,MATUNDA( machungwa,limao,karoti,parachichi yana vitamin c kwa wingi na cirtrus acid ) 👉 hutengeneza collageni K**a protini inayokarabati na kuunda ngozi upya. MBOGAMBOGA ZA MAJANI NA MAYAI. yana wingi wa vitamini A, B
👉 huondoa mafuta ya sebum ambayohusababisha chunusi na vipele
0072518275
https://wa.me/message/RPQINHKASRXKF1

*FAHAMU UGONJWA WA BAWASIRI AU KUOTA KINYAMA SEHEMU YA HAJA KUBWA NA MATIBABU YA UGONJWA HUU* Dawa Ninayo Mimi njoo upat...
06/09/2022

*FAHAMU UGONJWA WA BAWASIRI AU KUOTA KINYAMA SEHEMU YA HAJA KUBWA NA MATIBABU YA UGONJWA HUU*

Dawa Ninayo Mimi njoo upate suluhisho la kudumu 0672518275

~watu wengi wanasumbuliwa na tatizo hili ambalo huwafanya kuwa na uoga na aibu wa kuelezea na kushindwa hata kwenda hospital kupata tiba

JE, UNAJUA BAWASIRI/HEMORRHOIDS NI NINI????!!

~Ni ugonjwa unaotokana na kuathirika kwa mishipa ya damu ya ndani na nnje ya sehemu ya haja kubwa na wakati mwingine mishipa hiyo huweza kupasuka/kuteleza na kuvuja damu kwenye njia ya haja kubwa na kasababisha kutoka kinyama au uvimbe

~ugonjwa huu wa bawasiri kwa lugha ya kitaalamu tunauita HEMORRHOIDS ilhali kwa lugha ya kingereza unafahamika k**a piles

~tatizo hili huwaathiri watu wote ila zaidi huwaathiri watu wazima kuliko watoto na inakadiriwa kuwa karibu 50%ya watu wote wako katika hatari ya kupata tatizo hili katika umri wa miaka 30-50

~chanzo halisi cha ugonjwa huu hakijapatikana ila Kuna vitu ambavyo huwa chanzo cha kupata ugonjwa wa bawasiri ambayo ni ÷

👉WAKATI WA KUJIFUNGUA KWA WANAWAKE
👉KUHARISHA KWA MUDA MREFU
👉TATIZO LA KUPATA CHOO KIGUMU AU KUTOPATA CHOO KABISA
👉MATATIZO YA UMRI
👉KUKAA KITAKO KWA MUDA MREFU
👉UZITO KUPITA KIASI
👉MATUMIZI YA VYOO VYA KUKAA KWA MUDA MREFU

DALILI ZA BAWASIRI

👉Ngozi kuwasha katika eneo la tundu la haja kubwa
👉kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia
👉kutokea uvimbe katika eneo la tundu la haja kubwa
👉kujitokeza kwa kinyama katika eneo la tundu Hilo
👉kinyesi kuwa na damu na kunuka harufu mbaya sana

MATIBABU YA BAWASIRI

Kwa hospitali ni kufanyiwa upasuaji wa kuondoa uvimbe huo ambao ni gharama kubwa,hivyo basi kuna tiba ya uhakika na ufanisi inayoitwa NOVEL DEPILE CAPSULE(hii NOVEL DEPILE NINAYO MIMI) ambayo imetengenezwa kwa virutubisho asilia kutoka kwenye mimea na matunda(citrus extract and derivates).
Product hii hutibu tatizo hili kabisa bila madhara na kuondoa uwezekano wa kujirudia tena baadae

NB; Hizi ni bidhaa za virutubisho lishe(nutritional supplements)na hazipaswi kutumika k**a mbadala wa dawa za hospitali(not to be used as substitute of drug)

Kwa maelezo zaidi Njoo WhatsAppSMS 0672518275/0621512155

TIBA YA MATATIZO YA MIFUPA NA JOINTS(MAUMIVU,KUSAGIKA N.K)0672518275/0621512155 (piga/whatsup)Bila shaka umesha msikia n...
30/08/2022

TIBA YA MATATIZO YA MIFUPA NA JOINTS(MAUMIVU,KUSAGIKA N.K)

0672518275/0621512155 (piga/whatsup)

Bila shaka umesha msikia ndugu yako,wewe mwenyewe, rafiki au mtu wako wa karibu wakilalamika kuugua tatizo la GAUTI, kuuma kwa MAUNGIO k**a MAGOTI(Knee Joint), NYONGA, BEGA(Shoulder Joint) KIUNO na MGONGO. Wako pia wanaolalamika maumivu ya maungio ya kisigino(Ankle Joint)
nne duniani wana sumbuliwa na matatizo ya viungo( MAUNGIO)
Ambapo wanawake ni 18% na wanaume ni 9.6%
Kawaida katika MAUNGIO huwa kuna ute ute uitwao synonvial fluid ambao kazi yake ni kulainisha joints, pia kuna kitu k**a sponji kiitwacho cartilage (gegedu) ambayo Kazi yake ni kufanya mfupa na mfupa visisagane hivyo sponji hii na ute ute juu ndio vinavyofanya MAUNG0I yawe salama salimini
TATIZO hili kitaalamu huitwa OSTEOARTHRITIS(OA) hutokea pale ambapo gegedu(cartilage) kuanza kulika pole pole na kusababisha mifupa ya kwenye MAUNGIO kusagana hii husababisha maumivu

CHANZO_CHA_TATIZO
•kula sana vyakula vyenye uric acid k**a nyama nyekundu
•Umri mkubwa
•Uzito mkubwa
•Kuumia Kwa Kupata ajali
•Kurithi (genesis)
•Wafanya mazoezi/wana michezo

Endapo_usipotibu_tatizo_hili_kuna_uwezekano_mkubwa_wa_kufanyiwa_upasuaji na kuwekewa cartilage za bandia ambapo kimsingi ni gharama kubwa sana na si njia sahihi kwani unaweza kujihisi kilema

Hizi_ni_bidhaa_za_asili_zilizopita kiwandani kutengenezwa katika nchi ya marekani kwa kutumia madini na virutubisho muhimu yanayohitajika katika mifupa na maungio,madini hayo ni k**a Zinc,amino acids,calcium n.k.
Huongeza_ute_ute_kwenye_maungio_na_kuziponya_cartilage_au_sponji_zinazozuia_mifupa_kusagana_na_huondoa_maumivu_maungio_kabisa

Huongeza GLUCOSAMINE ambayo huunda upya cartilage(sponji zinazolinda mifupa isisagane

Huongeza CHRONDROITIN ambayo hutumika kutengeneza ute ute kati ya maungio

Huondoa kabisaa maumivu ya maungio yaliyokithiri

Bidhaa hizi hazina masharti wala madhara na hutibu tatizo kabisa

Kwa msaada na huduma zaidi piga/whatsup.
-0672518275/0621512155

🔻Wanaume wengi hawaponi nguvu za kiume sababu wanashindwa kutatua chanzo Cha tatizo la upungufu wa nguvu za kiume , wana...
17/07/2022

🔻Wanaume wengi hawaponi nguvu za kiume sababu wanashindwa kutatua chanzo Cha tatizo la upungufu wa nguvu za kiume , wanakimbilia kuongeza nguvu za kiume 🔻Yaani
👉 Shughuli ya tendo la ndoa huhusisha akili, homoni, neva, misuli mishipa ya damu na mirija ya kupitisha mbegu za kiume.

👉 kisayansi takribani Asilimia 5% ya wanaume mmoja anakua na upungufu wa nguvu za kiume . Hii hali Huwanyima Sana watu raha.

⚪FAHAMU VIASHIRIA KUWA UNA DOSARI KATIKA AFYA UZAZI MWANAUME👇👇👇
🔴Huwezi kurudia tendo la ndoa kwamara nyingine na hata ukitaka kurudi unachukua mda mrefu.

🔴Uume kusimama kilegevu au kutosimama kabisa.

🔴Kuwahi kumwaga mbegu za kiume unafika mapema kileleni.

🔴 Kuchelewa kufika kileleni.

🔴 Kupata usingizi mzito na kuchoka Sana baada ya tendo.la ndoa .

🔴 Kutoa mbegu za kiume chache Sana zisizobora kurutubisha yai la mwanamke.

🔴Kuhisi Maumivu wakati wa tendo la ndoa .

🔴Kukosa hamu na hisia ya kufanya mapenzi na hata kukinai kufanya tendo la ndoa

⚫Ukosefu wa nguvu za kiume sio ugonjwa Bali dosari ya viungo vya mwanaume kutofanya kazi ipasavyo tendo la ndoa vizuri

⬜Kwa mawasiliano zaidi kwa huduma ushauri bure kupitia andika KIUME *0672518275* WhatsApp/call

DALILI ZA UGONJWA WA NGIRI.Watu wenye kusumbuliwa na ugonjwa wa ngiri mara nyingi hupata moja ya viashiria vifuatavyo�;1...
14/07/2022

DALILI ZA UGONJWA WA NGIRI.

Watu wenye kusumbuliwa na ugonjwa wa ngiri mara nyingi hupata moja ya viashiria vifuatavyo�;

1.Kubana tumbo khasa chini ya kitovu wakati wa baridi au unapokula vitu vitamu.

2.Kupiga mingurumo tumboni.

3.Kujaa gesi tumboni.

4.Kuhisi haja kubwa na ukifika chooni unatoa upepo tu.

5.Kupata haja ngumu k**a ya mbuzi.

6.Kukaa siku kadhaa bila kwenda haja kubwa.

7.Wakati fulani unakwenda haja sana, kila mara.

8.Unaweza kufanya jimai mara moja tu kisha hamu inakuishia hupati nguvu tena mpaka kesho.

9.Nuru ya macho hupotea taratibu.

10.Hutokea wakati mwingine kufanya jimai mwanzo kabisa au katikati ya tendo gari linazimika.

11.Huvutwa makende au upande mmoja maumivu.

12.Hupiga mishale sehemu za haja kubwa na pembeni karibu na tupu.

13.Maumivu makali ya mgongo au kiuno.

14.Uume kusimyaa na kunywea k**a wa mtoto

Kwa Mawasiliàno zaidi TUWASILIANE KWA NAMBA 0672518275/0621512155

UVIMBE KWENYE MFUKO WA UZAZI (FIBROIDS)FIBROID NI NINI?                Fibroid ni uvimbe ambao hutokea kwenye tumbo la k...
26/06/2022

UVIMBE KWENYE MFUKO WA UZAZI (FIBROIDS)

FIBROID NI NINI?
Fibroid ni uvimbe ambao hutokea kwenye tumbo la kizazi ambao huu uvimbe unaweza kuwa ndani ya kizazi (ukutani mwa kizazi) au ndani ya nyama
ya kizazi na nje kwenye ukuta wa kizazi.

Kuna aina kuu zifuatazo za fibroids:
1.Submucosal fibroids(ndani ya kizazi)
2.intramural fibroid(ndani ya nyama za kizazi)
3. Subserosal(nje ya kizaz)

Watu wafuatao wako hatarini kupatwa na ugonjwa huu fibroids
1.Mwanamke ambae hajawahi kupata mtoto mpaka umri mkubwa
2.miaka kuanzia kubarehe mpaka hedhi kukoma
3.kurithi
4.unene
5.kuingia hedhi mapema

Fibroids sio kansa ni uvimbe wa kawaida ambao unakua kwa kutegemea kichocheo cha estrogen hormone ndio maana kuanzia kubarehe mpaka kukoma kwa hedhi ndio wako hatarini. Na mara nyingi uvimbe huu huwaga unaongezeka
kukua sana hasa wakati wa ujauzito kwani vichocheo hivi huongezeka wakati huu kulinda makazi ya mtoto. Ni watu waliofikia kikomo cha hedhi hawapati fibroids.

Dalili za fibroids
1.Kutokwa damu kwenye via vya uzazi katikati ya mwezi.
2.kutokwa na uchafu wenye kiaharufu mbaya au ambao hauna harufu lakini mwingi na mweupe.
3.maumivi ya kiuno hasa wakati wa
hedhi ambayo husababishwa na kizazi kujaribu kusukuma huo uvimbe..wengi hupata maumivu makali sana.
4.Tumbo kuuma sana chini ya kitovu.
5.hedhi zisizokuwa na mpangilio
6.maumivu wakati wa tendo la ndoa
7.Kukosa hamu ya tendo la ndoa
8.maumivu makali wakati wa hedhi

Uvimbe unapokua mkubwa unaweza
kusababisha dalili zifuatazo.
1.Kukojoa mara kwa mara kwani uvimbe unakandamiza kibofu cha mkojo
2.Mkojo kubaki kwenye kibofu cha
mkojo
3.Haja kuwa ngumu
4.miguu kuvimba
5.kupungukiwa damu

Jinsi fibroids zinavyoweza kuzuia kupata mtoto:
1.Fibriods zikikua sana zinakandamiza
mishipa ya kupitisha mayai kutoka
kwenye mfiko wa mayai yaani ovari
2.Uvimbe pia unazuia yai
lililorutubishwa kujishikiza kwenye
kizazi..hasa submucosal fibroids
3.Pia huzuia mfuko wa kizazi kukaza kusukuma mbegu kwenda kwenye mishipa ya kupitisha mayai.

MATIBABU
1.Wanawake wengi wanafibroids ndogo ndogo lakini kwa sababu hazina dalili hahawezi kwenda hospitali na hawa ndo siku wakibeba ujauzito uvimbe unaongezeka kwa sababu ya vichocheo kuongezeka hivyo hawa watu Wanabainika wanapofanyiwa ultrasoudi ndipo wanakutwa navyo.lakini kitaamu
hospitali hawatibu uvimbe wa namna hii
2.Uvimbe ambao ni mkubwa(k**a inavyoonekana kwenye picha hapo) wenyewe
hutibiwa kwa namna zifuatazo (hospital)
A.Dawa ambazo ni gharama sana mfano donazol wengi masikini hawawezi kumdu kununua
B.Vidonge vya maumivu
C.Vidonge vya kuzuia damu k**a
tranexamic acid na dawa za uzazi wa mpango(COCs)
2.Njia ya pili ni operation nazo zipo
operation aina nyingi inategemea na uvimbe ukubwa na wingi wake.
1.Myomectomy hii ni operation ya
kuondoa uvimbe mmoja mmoja bila
kuondoa kizazi kwa wale wenye uvimbe mmoja uko sehemu nzuri
2.Total abdominal hysterectomy. Hii
operation unaondoa kizazi chote k**a uvimbe umekaa vibaya na viko vingi.

Hebu jiulize kwa nini mpaka upate
dalili ndo uanze kushughulikia au kutafuta Matibabu ? Kwa nini ubebe ujauzito huku una uvimbe kisa bado mdogo? Au kwa nini ukae na uvimbe kisa bado mdogo?
tambua uvimbe huu sio kansa hvyo
ondoa hofu. Mbali na donazole ambayo ni ya gharama na haishauliwi itumiwe kwa mda mrefu ina sababisha mwanamke anakua na sifa za kiume.

UKIFANYIWA OPERATION
USIDHANI UVIMBE UMEISHA UNAOTA PEMBENI HADI UTAKAPOWEKA VICHOCHEO SAWA

KINGA ZIPO
TIBA BILA UPASULIWAJI:
0672518275 WHATSAPP

KWAKO WEWE MWANAMKE,,,,je umekuwa ukipitia hali hii kiasi cha kukukosesha furaha,amani na kushindwa kujiamini?,,,,,🌺kuto...
24/06/2022

KWAKO WEWE MWANAMKE,,,,
je umekuwa ukipitia hali hii kiasi cha kukukosesha furaha,amani na kushindwa kujiamini?,,,,,
🌺kutokwa na uchafu mweupe,njano,kijani,kahawia,jibini sehemu zako za siri
🌺uke kutoa harufu mbaya kiasi cha kushindwa kujiamini unapokuwa na mpenzi wako
🌺unapata miwasho sehemu za siri mpaka vidonda
🌺kwa siku unabidilisha chupi zaidi ya tatu tu kwasababu ya maji maji yanayotoka mara kwa mara ukeni
🌺uke kutoa damu wakati au baada ya s*x
🌺maumivu makali wakati wa tendo la ndoa
🌺kukosa hamu ya tendo la ndoa

😔mambo hayo yasikukoseshe furaha na kukunyima amani,unayo haki yakufurahia maisha k**a watu wengine,sisi na afya tupo na suluhisho la uhakika kwa changamoto hizo bila kujali umeenda hospital mara ngapi,umetafuta tiba mara ngapi

Njoo tuzungumze nikupe ushauri ikiwezekana tiba kabisa
0672518275

TATIZO LA KUVURUGIKA KWA HEDHI YA MWANAMKE NA SULUHISHO LAKETatizo la kuvurugika kwa mzunguko wa hedhi huanza ghafla au ...
14/06/2022

TATIZO LA KUVURUGIKA KWA HEDHI YA MWANAMKE NA SULUHISHO LAKE

Tatizo la kuvurugika kwa mzunguko wa hedhi huanza ghafla au polepole ambapo mwanzo mwanamke alikuwa akipata siku zake katika utaratibu unaoeleweka lakini mara haelewi au hajielewi namna mzunguko wake unavyoenda.

Kuvurugika kwa hedhi ni kitendo cha mwanamke kuanza kuona siku zake bila tarehe au mzunguko maalumu na matokeo yake ni kuwa mwanamke atashindwa kutimiza malengo yake ya kwa kutumia mzunguko huo sababu ni haueleweki.

Unaweza kutokewa ghafla tu unapata hedhi mahali usipotarajia jambo linakufanya ubaki na woga na huelewi nini cha kufanya kwani hukuwa umejiandaa kwa tukio hilo k**a matokeo ya siku zako kutokuwa mzunguko maalumu.
Wakati mwingine unaweza kupitiliza mwezi hata miezi kadhaa bila kuona kabisa siku zako na hata ukipima ujauzito unakutwa huna ujauzito wala dalili huna.

SABABU ZINAZOPELELEA KUVURUGIKA KWA HEDHI
▪️Mabadiliko ya mazingira ambayo hupelekea mfumo wa mwili hubadilika pia hasa mwanamke akitoka sehemu ya joto kwenda mikoa ya baridi au toka mikoa ya baridi kwenda mikoa ya joto.

▪️Msongo wa mawazo (stress)HofuWoga
▪️Mabadiliko ya kisikolojia
▪️Uvimbe kwenye kizazi, kwenye O***y na katika mirija ya Uzazi.
▪️Matatizo kwenye mfumo wa homoni yaani homormone imballance

▪️Matatizo kwenye vifuko vya mayai
-Mimba kuharibika
▪️Maambukizi sugu ya kizazi pia ni mojawapo ya sababu.
Kwani hupekekea kuharibika kwa mbegu kabla hazijasafirishwa kwaajili ya urutubishaji.
▪️Maumivu ya tumbo chini ya kitovu ya mara kwa mara
▪️Matatizo ya U.T.I na Fangasi ya mda mrefu ambayo hupelekea Kutokwa na uchafu ukeni mara kwa mara na Maumivu wakati wa tendo la ndoa.

MADHARA YA KUVURUGIKA KWA MZUNGUKO NI PAMOJA NA;

▪️Kushindwa kupata ujauzito,

▪️Maambukizi katika kizazi na kuziba kwa mirija ya uzazi.

SULUHISHO;
Tuma ujumbe neno AFYA MWANAMKE kwenda WhatsApp namba 0672518275 au Piga Simu usaidiwe Mapema

X POWER COFFEE-0672518275Hii ni kahawa iliyotengenezwa Kwa mchanganyiko Wa vitu Zaidi ya vinne yani;1. Fresh maca2. Gins...
05/06/2022

X POWER COFFEE-0672518275

Hii ni kahawa iliyotengenezwa Kwa mchanganyiko Wa vitu Zaidi ya vinne yani;

1. Fresh maca
2. Ginseng powder
3. Tongkat ali
4. Epimedium.

☀️🌻Viambata hivi vimetoka nchi za
KOREA,CHINA,USA,INDIA,PERU

☀️🌻Kahawa hii haina CAFFEINE,imetolewa Kwa kutumia teknolojia bora ili kuwafaa watu Wa aina zote.

🌻Kazi muhimu za Hii Kahawa;

1. Kuimarisha misuli ya uume kuwa bora zaidi na Nguvu mara dufu wakati Wa tendo.

2. Kuupa mwili Nguvu zaidi

3. Kusaidia kurudia tendo la ndoa mara nyingi zaidi yani ukimaliza mshindo Wa kwanza unauwezo Wa kuendelea zaidi.

5. Kumpa mtu hamu ya tendo la ndoa hata k**a iliisha kabisa.

6. Kuondoa uchovu na stress,kuzuia hatari ya kupata Magonjwa ya moyo.

7. Kuilinda na kuipa afya tezi ya mwanaume

8. Kuufanya uume usimame barabara k**a msumari

9. Kusafisha mishipa ya damu

10. Kuongeza ubora Wa mbegu za mwanaume na kuzifanya ziwe na kasi zaidi
11. Haina kemikali ni ya asili kabida 100%

Tunapatikana Dar Es Salaam, Mbagala, Kibaha, Mbezi mwisho, Na mikoani tunatuma kikamilifu, KARIBU SANA.
🌹🌹EPUKA AIBU YA KUFIKA HARAKA KILELENI.X POWER COFFEE

Kwa mahitaji piga/njoo whatsup.
🌹☎️ 0672518275.
🌹☎️ 0621512155.

Address

Dar Es Salaam
Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when JENGA AFYA YAKO SASA posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to JENGA AFYA YAKO SASA:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram